WAKILI MADELEKA ; KULIPA MSHAHARA WENZA WA VIONGOZI NI SHERIA YA KIBAGUZI "NI AIBU SANA "
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
UA-cam : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Ahsante sana mheshimiwa Madeleka, sichoki kukusikiliza Mungu akubariki sana..❤️❤️❤️❤️❤️🙏
NCHI tumepigwa kizembe na pakuponea ni Watanzania kubadili mtazamo Tuwapeni WAPINZANI NCHI HII., INATOSHA
Wakili Madeleka umeilemisha Jamii ya Wtz kwa kirefu sana.
Asante sana
Badala ya kuhangaikia umeme wanaenda kulipana pesa wakati wananchi wanabakia maskini...😭
Yaani ni ubaguzi wa hali ya juu...
Wakimbizeni hao🏃♀️🏃
Hawa wabunge sijui wanafikiria kwa kurumia nini jamaniiii!!!! Hivi Mungu wetu unayaona haya????? Inaumiza sana
Nakukubali sana wakili Madeleka!
💯👍
Msomi Madeleka wewe na Mwabukusi Nawaombea kwa Mungu Mshiriki kwenye Bunge la Mwaka 25 ili kuendelea kulisaidia Taifa hili. Iwekwa kuchaguliwa au kuteuliwa.
Good analysis from learned lawyer Madeleka 🔥
❤Mume wa Mama Naye ameula.
CCM Karagabao😂
WELL SAID
Wacha wajipangie tu jinsi ya kuwanyonya maskini walipa kodi.Mungu yupo..Madeleka Mungu akulinde..
Sisali watumishi wa kawaida na wastaafu
Kikokotoo kinatutoa kamasi halafu wanatuletea Sheria ya kuwalipa wenza ! Katiba mpya ni muhimu Sana! Na tukutane kwenye uchaguzi ujao ! CCM haina huruma kabisa! Yarabi Kodi yangu miye!
Huyu mwamba namkubal Sana,
Nataman sku moja nipate fursa angalau ya kuonana naye nimpe mauwa yake
Ukweli mtupu
Na me nilipwe maana mke wangu ni Mwl,
Sahihi kabisa.
Wanapiga fedha bado hawarodhiki jamani hii Nchi bora Katiba zilekebishwe na Wabunge wasiwe watunga sheria yoyote ile iwe mwisho kwao
Kweli kabisaa. Kucheza kodi zetu. Mungu anaona
Wananchi wengi watanzania hawajui sheria...
Hii clip itembee kote watanzania wajue kinachoendelea nchini kwao....
KATIBA MPYA...
NI SASA....
Ndio reality ya Tanzania.
Kundi Fulani katika Kila aspect ya Society ndio wanakuwa re-cycled. Kwa mfano, mtu anashindwa huku anahamishiwa kule wakati Kuna watanzania wengi Wana uwezo zaidi wa kufanya Majukumu hayo. Ubaguzi upo, umetengenezwa na unazidi kushika Kasi.
Hapa ndio napata tabu kujuwa nchi yetu ina shida ya Katiba au shida ni UTEKELEZAJI na KUHESHIMIWA Katiba? Kwa sababu tukienda hivi hata Katiba Mpya tunayodai haitakuwa na maana yoyote.
Umezungimza vizur sana
Hivi kweri wanajadiri sheria na wanalipana pesa kwa ajili ya kulipana wake wa viongozi au waume wa viongozi wakati huduma za kijamii ni hafifu hospitalini kweri hiyo nisawa kabisa?
Matereka na mwabulikusi Ni wazalendo wa taifa hili hakuna haja ya wake wa Marais kulipwa mbona Wana marupulupu mengi Kuna watu wengine hata Panadol hawana
mishahara wanalipwa,maji hawalipi,umeme bure,!!!!!!.
Wakalipane wakati kikokotoo Kwa watumishi wa kawaida bado ni kitendawili
Hii nchi apana tutakuja tufie barabarani wee subir
Mungu tuhurumie watanzania
Hata Mimi mke wangu ni mtumishi wanipe Hera zangu
CCM inatafuna nyama mpaka mfupa pia. Hiyo ndiyo CCM ya mama Samia na bunge lake la kiharamia.
BRAVO COMRADE MADELEKA.....ENYI WATANZANIA WOTE BILA KUJALI TOFAUTI ZETU TUING'OE CCM MADARAKANI....CHADEMA....CHAMA PEKEE MBADALA KWA TAIFA LETU.
Hapa leo nakuunga mkono 100+%.
Ulikuwa bado humkubali tu?
@@ramadhanmahongole9293 Ni mara nyingi sana simkubali ushabiki anakuwa mshabiki zaidi.
1:20 @@hajihassan5433Unashida kichwani mwako, miongoni mwa wanasheria Wenye uelewa mzuri ni huyu bwana.Ila kwasababu wewe uko upande wa waonevu ndiyo maana uko bias
Hili bunge la ovyooo sana kuiba tu Mungu ingilia kati
Kuchukua mali ya mtu bila kibali chake kwa siri ni kumuibia mtu huyo.Hii ni wizi.Tunafanya dhambi mbele za Mungu.Tutubu na tuache kabisa.
Hawatosheki na pesa kabisaa. Watoto wadogo chini ya miaka 5 hawapati huduma government hospital Kwa sababu Serikali inapata hasara.
Maccm yatuletee tume huru na hayo mabolice kazi Yao kutupiga tunapojaribu kuipigania haki zetu yamepewa nini sasa kikundi kinaendelea kutunyonya
Wataleta🤔👀?
Mwamba nakuelewa vyema upepesi macho unatoa makavu safi
Yaani serikali hii inakera sana bunge la ovyoo sana wizi mtupu yaani hakuna kiongozi anayewafikiria wanyonge bali kuimarisha tabaka waliloliunda watanzania tumelala nchi inaendeshwa kihuni
Nilidhani hao wenza wangelipwa na vyama vyao kuliko kuiingiza serikali matatizoni. Walipa kodi wanaumia sana jamani.
Hizo pesa za kuwalipa mishahara Waume/ Wake zao, wazipeleke kurekebisha/kutatua Tatizo la umeme
Wakili,mtaenda mahakama ipi.Angalia msije kupuyanga
Ninashukuru kwa kutuelimisha wa tz Mungu akupe uhai mana ckwa uchovu tulionao
Wabunge hawa wakirudi majimboni wasichaguliwe tena hawa wabunge....
Kwani kuna mbunge aliye chaguliwa kihalali?
Wanatunga sheria kila siku kwa manufaa yao bila aibu, wametoka kwenye kuhongana mahekalu wanaongeza na wake tukinyamaza hawatakomea hapo .Wanataka kushibishwa mpaka watapike hawatosheki walafi wabinafsi hawana haya.Wanalipwa wanatunzwa na wakifariki wanatunzwa familia zao maisha yote yao bado wanataka tu nchi ya kibinafsi hii
Serikali badala ya kupunguza matumiz wao ndo kwanza wanaongeza matumizi
Kama I hili Bunge linajadili masala ya wananchi au maslai yaviongozi mbona mnataaa sana hamtosheki duu
Raisi akisaini muswada huu nitashangaa....
Tutampinga kwa nguvu zote
Imeshapitishwa tayari ina wiki mbili sasa
Serikali hii imeteka mifumo yote yavyombo vyadora kwakutumia hongo yaani wakubwa wote wanakula sahanimoja na watawala mafisadi kwahiyo ningumu kutatua ukifatilia hizivurugu zote zasheria chaguzi utendaji wakibabe chanzo nikuhongana kwamifumo yetu yakulinda haki,ili waendelee kuwalinda waendelee kutunyonya eemungu tusaidiye
Blessed madeleka, hii awamu tunaongozwa na vipofu, RIP JPM
Bima za watoto zimefutwa eti wanapata hasara. Hawapati hasara kuwalupa wake wa Marais wastaafu? Hii ni kudhulumu kodi zetu.😢😢😢
AIBU NA FEDHEHA KUBWA SANA KWA BUNGE LETU....KUPITISHA SHERIA YA OVYO NA YA KIFISADI KWA NCHI MASIKINI KAMA YETU.
Hii CCM ifike wananchi tuseme inatosha hospital dawa hazitoshi vitanda wao wanaendelea kujinufaisha wenyewe na kodi zetu
Sheria yoyote unayoiona inawasilishwa bungeni na kupitishwa ujue ni serikali imepeleka hivyo dada mkubwa anahusika.
Kiukweli hii ni mojawapo ya sheria mbaya kuwahi kutokea hapa nchini sheria ya kibaguzi.
Kwa maana hii watu waapply kuwa wake/waume wa maraisi na viongozi ili wakistaafu wapate mafao kisheria
Ujinga wa bunge la Tanzania 🇹🇿
Hawa wanafanya kazi Kwa ubabe wanaovunja Sheria Kwa makusudi tutawawajibisha Kwa kuandamana
Wanasema umeme vijiji vyote.Ninachoona mie ni nguzo za umeme zenye nyaya ambazo zina umeme wa mgao usiokuwa na faida kwa wananchi
Tutapigwa Kama Ngoma 😂😂😂😂😂😂😂😂
Hatuna watetezi hii nchi mungu anasikia.Mungu tunusuru.
Hivi hili bunge lipo tayari kupitisha hiyo sheria?au hilo bunge halioni mateso ya watanzania na maisha yao
Hawa wabunge wanadanga kwamba wapo kwaniaba ya kutetea wanainchi huo ni uongo wao wapo bungen I Kwa masilahi Yao na chama Chao kilichoko madarakani
Wakili msomi mungu akupe Marsha marefu uendelee kutufumbua macho, ukweli happ wametukosea Sana wanalipwa mafao posho zanini
Hakika unachozungumza ni ubaguzi haswaaa unaongelea
Nakuellewa sana wakilpitter
Duu! Hivi mbona hawa watu wamekuwa zaidi ya shetani? Yaani kodi za Watanzania kazi yao ni kulisha viongozi kweli? Wamemzidi hata shetani.
Tunaomba mpereke mahakamani kupinga sheria kandamizi.
😂 😂
Yaani hapa wabunge hawa wamechemsha!
>Ni sheria mbaya sana inayoonyesha ubinafsi uliopitiliza kwa wake au waume kulipwa kwa kigezo cha mmoja wao kuwa ktk uongozi!
>Ni kulipwa mshahara na marupurupu pasipo kuvuja jasho!
>Ni jambo lisilo na maslahi yoyote zaidi ya hasara kwa walipa kodi...wenye nchi..wananchi!
Aiseee kuweni Serious yani mnamaanisha Wenza Wa Viongozi Wapewe Mshahara? Mnaakili kweli Nyie Yani hatuna umeme maji madawa hospitals halafu tunawachagua mkatusemee bungeni kisha mnatunga Sheria za Kuwalipa Wenza Wenu?
WATANZANIA sikiza huyu wakili ana manzuri.
Labda wenza wa madaktari na walimu walipwe pia
Viongozi wanatudharahu sana
Pamoja na hayo serkali iangalie kuongeza kiwango cha pensheni kwawanaolipwa 100000 kwa mwezi. Kwahali ilivyo kiwangohicho kwasasa hakitoshi hatakununulia fungu la nyanya na vitunguu.
INASIKITISHA SANA
Maajabu hayo wazazi wanakufa hovyo kwa sjili ya kukosa pesa za matibabu halafu wanawalipa familia za Marais ujinga gani huo bandari ziuzwe utawala gani huu wa mauzauza
Hayo ndio matokeo ya wabunge ambao hawakutokana na wananchi maamuzi Yao niyaovyoovyo
Watu wa Saloon, Mama Lishe, mabucha ya nyama/samaki na Wafanyabiashara wengi wamefilisika kwa mali zao kuharibika na kuoza
Imepenya iyo sioni chawa wala kunguni wa kijani wakiunga mkono utopolo uu
Lakini ni kweli hao Marais wakistaafu wanalipwa pesa nyingi na wanapewa marupurupu mengi tu na nyumba wanajengewa mpya ifike sehemu watu wawaoneee huruma wananchi wa kawaida
Ndio ubatili wenyewe huu! Fedha batili zinaliwa na watu batili ili kusudi NENO litimie...
Hizo pesa kwa nini wasitulipe sisi walikokotoa pensheni zetu?
💐💐💐💐💐💐
💅 chukua ua lako Hilo maana ufafanua
Yaani viongozi tulionao wafikri njia kuwaibia watanzania tu hawatosheki fahamuni iko siku yatawatokea puani
Hii nayo ni ukweli
Mwaandishi hauelewi kabisa
Aise Wakili msomi umeongea poiti sana!! Madeleka!! Da!! Sikua najua kwamba hawa watu walikua wanalipwa!!!
Wanapeana nafasi kwa kujuana hapa ni ulaji tu
Uzuri anaijua katiba na anaongea kwa reference za kisheria huyu ni kutoka kwa MUNGU lakini Watanzania kwa ujinga wetu tutamdharau
GOD forbid
Umenifungua wakili
Hawasomi hiyo katiba.
Wa-Tz wengi wanalala njaa na mateso makubwa ktk Mahospitali, wakati Mafisadi machache yanafaidi Madini, Misitu, Bahari, Maziwa, Mito na Mbuga za Wanyama
Hiyo ni michongo inayotengenezwa kwa manufaa yao watanzania hakikisheni wabunge hawarudi bungeni
Tanzania 😢
NCHI INAENDESHWA KIPUMBAVU
Tutakutananao 2025 ndio watajua
Kodi zetu zinaliwa hivyo kweli jamani nyie wabunge. Watanzania wanashida wanakula kwa shida sehemu za kulala wengine hali mbaya
Kuna walimu ambao ndiyo kila kitu,kuna madaktati.
Hata mishahara ya nchi hii hailipwi kulingana kazi anayofanya mtu, anayofanya kazi kubwa analipwa kidogo na anayefanya kazi kidogo ndiye analipwa Sana, ajabu kubwa nchi hii duu.
🤣🤣🤣🤣kweli hii serikali niya kimchongo mchogo Tz kuna Family ambozo wanakula chakula kwa kubaatisha alafu kuna watu ambao wako manyumbani hawafanyi kazi alafu wanalipwa
Nyinyi wake za marais PDM
Ni aibu Kwakwel