Nondo za Wakili Madeleka Juu ya Utendaji wa Mahakama Dhidi ya Matamko ya Kisiasa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024
  • #ijuesheria

КОМЕНТАРІ • 87

  • @joelmwaitege2121
    @joelmwaitege2121 Місяць тому +12

    Nimekuelewa vizuri sana..
    Ubarikiwe sana mheshimiwa.

  • @user-gy4vk1hh3x
    @user-gy4vk1hh3x Місяць тому +5

    Mungu akulinde Wakili umenifanya nisiwe mwoga Kwa kweri. Viongozi machawa ndio wanaorudisha nyuma maendeleo ya nchi hii

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Місяць тому +4

    Notisi of apili zinatutesa sana unaka myaka makalane jamani watafute kazi nyingine ndio wanachafua mahakama jamani wajaji wamesoma sana makonda jeli silaa Wana amuka siku moja majaji wanaoshindwa nini

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Місяць тому +4

    Nakukubali sanasana afande mwanasheria wakili masomi

  • @moyokajange1699
    @moyokajange1699 Місяць тому +4

    Wewe mtumishi wa mungu kazi unayo ifanya ni ya kitume Bwana yesu akulinde akuingezee siku zakuishi ubarikiwe sana.

  • @robertmapinda1866
    @robertmapinda1866 Місяць тому +2

    Wakili madeleka nakukubali sana katika utendaji wako Mungu akuongezee hekima na busara,usimamie haki

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry7346 Місяць тому +2

    Hongera sana kaka Madeleka.Watanzania wanahitajisana vipindi kama hivi angalau kila wiki,

  • @tumsifumartine612
    @tumsifumartine612 Місяць тому +2

    Kuna watu wazuri sana kama Madereka Mungu akulinde wakili Madereka

  • @stevenmabungi3245
    @stevenmabungi3245 Місяць тому +1

    Nakuelewa sana Peter your the best one,taifa la Tanzanian linahitaji watu kama hawa.

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl Місяць тому +3

    MADELEKE is big advocaten her from AMSTERDAM NEDERLAND she want to kuongea na WEWE

  • @user-eo4bl3do8k
    @user-eo4bl3do8k Місяць тому +1

    Tafadhali sana wakili MADELEKA usikubali kununuliwa na wale wasiotaka mabadiliko ya nchi yetu ,,kwasababu ccm hawataki kuyasikia hayo unayoyasema

  • @geraldgedi4657
    @geraldgedi4657 Місяць тому +1

    Peter Madeleka huwa unanikosha sana , mwanangu mmojawapo nitahakikisha anasoma sheria.

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Місяць тому +3

    Hakuna cha amani na usalama
    wakati tunaishi kama wanyama pori

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho Місяць тому +1

    ❤❤❤❤ mm nikwelewa sana ila nakuomba ungane na lisu

  • @user-uh3eg5cj2r
    @user-uh3eg5cj2r Місяць тому +3

    Peter MUNGU AKUJALIE AFYA NJEMA TU!

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 Місяць тому +1

    Wakili dunia zote zinazo sitahiki zikufikie amina rabilaalah mina

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Місяць тому +1

    Hawa hawana mungu hawa ni sehemu ya wauaji maana huwa wanawatetea mpaka wauaji hawana lolote

  • @exseviangaeje1158
    @exseviangaeje1158 Місяць тому +1

    Madeleka ni azina ya nchi tuwaombee sana kwa Mungu mtu kama UYU mtu wa kutaka haki ni wa kumwombea sana

  • @augustinomsuya9310
    @augustinomsuya9310 Місяць тому +1

    Mungu aendelee kukulinda

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 21 день тому

    Kaka kunywasoda safi nalipa mimi nakukubali sana

  • @waziradam2794
    @waziradam2794 Місяць тому +2

    Wee Madeleka ni kiboko. Pokea 🎉🎉 yako.

  • @asibwenemwaipopo4863
    @asibwenemwaipopo4863 Місяць тому

    Asante kwa kuwaelimisha Watanganyika. Mungu akubariki, akulinde na kukupa maisha marefu.

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234 Місяць тому

    Hakika ww mungu akubariki sana

  • @ClementLushino
    @ClementLushino Місяць тому

    Biblia inasema tunapata wapi watu kama awa wenye kusimamia kweli, MUNGU akubariki sana na akuongeze ujasili.

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Місяць тому +1

    Amen mungu akubaliki sana

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa2001 Місяць тому

    Nimekukubali wewe ni mpigania haki. Mungu akuinue zaidi

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Місяць тому +1

    Kwahiyo kazi baba mama waliyofanya nizawadi za watoto wao

  • @DavidDanken-uf7kp
    @DavidDanken-uf7kp Місяць тому

    Mendez madereka ,nakutaman kaka.moja kati ya watanzania walio soma wakaelewa ❤

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl Місяць тому +2

    UAGOPENINI KAKA TUTAKUFAWOTE WAZALENDO

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 10 днів тому

    Polisi bado wale wale hajui kama kuna maungo maungo ya KATIBA. CCM ndiyo kabisa hawana habari wanaona Hatamu yao bado kabisa.

  • @gustavrwekaza802
    @gustavrwekaza802 25 днів тому

    🎉libarikiwe tumbo lililokuzaa, ziwa ulilonyonya na kiuno ulimotoka

  • @peterkitima4383
    @peterkitima4383 Місяць тому +1

    Madeleka ubarikiwe saana nduguuu

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Місяць тому

    Jamani Madereka,akupe ulinzi mungu baba.ni huruma na upendo.utu.mungu atakulipa.

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 Місяць тому +1

    Safi sanaa kaka

  • @SarahAlphonce-q4e
    @SarahAlphonce-q4e 27 днів тому

    Mungu akubariki wewe nimtetezi wa wanyonge

  • @user-mh2fw4ze8m
    @user-mh2fw4ze8m 27 днів тому

    Da sina hamu kabisa na ujumbe huo wakili madeleka

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 10 днів тому

    Hata sisi tulikuwa wadogo. Hapa hakuna amani hata kidogo sasa hivi kuna uchawa tu wala hakunaAmani.

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope7327 Місяць тому

    Duuuu kazi kweli kweli.asante

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Місяць тому +1

    Tanzania hamuna mawakili ni waganga njaa wapo ishalla lugemeleza mwabukusi madeleka lisu antipasi lisu

    • @user-uh3eg5cj2r
      @user-uh3eg5cj2r Місяць тому +1

      Bado Kuna vichwa kama kibatara, Bob wangwe, nk!

  • @user-ii7yw9ng5d
    @user-ii7yw9ng5d Місяць тому

    Madeleka,libarikiwe ziwa ulilonyonya,darasa lako limenibariki!

  • @NdebileMathias
    @NdebileMathias Місяць тому

    Good message for our country

  • @kasumalnews4580
    @kasumalnews4580 Місяць тому +1

    Awesome

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Місяць тому +2

    Baba unasitahili mauwa yako

  • @AtuganyiraKabigumila-rz7ou
    @AtuganyiraKabigumila-rz7ou Місяць тому

    Uje utukomboe madereka jaman naomba hata uwe kaka yangu wa mfano nakupenda Bure baba

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah6237 Місяць тому +1

    Msomi Madeleka wewe ni AKILI KUBWA hata wasioelewa wanakuelewa vizuri sana. Japo wachache hawataki kukuelewa Kwa sababu za wivu tu Kwa uwezo Mkubwa ulionao.

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi Місяць тому +2

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @charlesmapunda2002
    @charlesmapunda2002 Місяць тому +3

    Unajua mpaka basi

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Місяць тому +1

    Tuache uoga tufanye maandamano tuwaondowe vibaya kwenye wamefanikiwa

  • @farajansekela5763
    @farajansekela5763 Місяць тому

    Mmmh!!!!! Akili kubwa Sana Kakangu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Місяць тому +1

    Shetani anafanya mabaya zaidi hata kuliko shetani. Kesi hata direct tunahangaika nazo miaka na miaka mingi kila siku kwa sababu ya utawala wa CCM ambayo hauna hata uelewa wa kutawala bali wanacho jua ni kupigiwa makofi, kupokea uchawa na sifa za uongo mtupu.

  • @KelvinBamuhiga
    @KelvinBamuhiga Місяць тому

    Mungu akulonde madeleka🎉

  • @user-vg4ph5zx8h
    @user-vg4ph5zx8h Місяць тому

    This guy he so genius

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Місяць тому +1

    Kwa kweli lakini watu wamewekwa chini ya CCM. Watanganyika wanafanyiwa vibaya sana lakini hata nadhani serikali, mahakama, na CCM ndiyo wamekuja kuharibu Time kwa sababu Rostam kwani aliposema kuwa kuwa mahakama ya kungonjea ku maagizo kutoka juu. Kwa nini mahakimu walijifanya kulalamika kwani siyo kweli? Mahakimu waliolalamika waliokuwa wanalalamika walikuwa uchawa au kweli? Jamani sisi tulikwisha kaa inje ya Tanganyika huwa tunaona kama serikali ya kujifanya ya kitoto. Yaani watoto wanapo jifanya kupika kupika unaweza kuona wazi kuwa ni watoto. Serikali ya CCM inafanya kuwa kila kitu kana kwamba wanajifanya. Ni kwa sababu ni CCM hata watu professional wanakuwa wachawa tu. Sasa hii ni serikali gani?

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 Місяць тому +1

    Nakkubali kaka

  • @brigethsauzand3926
    @brigethsauzand3926 Місяць тому

    Mungu Wa Mbinguni akujaalie na TLS nzima mtendee wananchi haki

  • @JoshuaStanley-qu3im
    @JoshuaStanley-qu3im Місяць тому

    Uko vizur mwamba

  • @jumannekamota4870
    @jumannekamota4870 Місяць тому

    Yani saizi ukiwa na kesi usiombe polic awe na ukaribu na hakimu au wakili wamahakama ya karibu na kituo yani uwe nahaki usiwe na haki ndani utaenda

  • @FADHILICHIKOLO-pb8iy
    @FADHILICHIKOLO-pb8iy Місяць тому +1

    Wewe ndiye wakili Bora Sana kwa sasa

  • @christophermalango1433
    @christophermalango1433 Місяць тому

    Hongera sana Madereka

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Місяць тому +1

    👍👊✌️.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Місяць тому

    Umemtaja Biswalo bado Anna Makaka.

  • @peterantony5890
    @peterantony5890 Місяць тому

    Peter Madeleka naPeter Kibatala ni miongoni mwa mawakili bora na watetezi wa haki za binadamu.

  • @Kwarasi
    @Kwarasi Місяць тому +1

    Hekooooo

  • @samwelmohonge4573
    @samwelmohonge4573 16 днів тому

    tupo tayari kuiandika katiba mpya

  • @johnmathew9854
    @johnmathew9854 Місяць тому

    Bado tunawatu wanaakili mmno!!!!!!!

  • @pastorypetro6861
    @pastorypetro6861 Місяць тому

    Bro kweli unajielewa

  • @brigethsauzand3926
    @brigethsauzand3926 Місяць тому

    Namba Yako tunazipataje kaka

  • @jeremiahmwasanu8157
    @jeremiahmwasanu8157 Місяць тому

    Ihubiriwe haki popote ulipo pasi kuangalia nani anafanyiwa uonevu.

  • @BernadethaCharles-sv3oy
    @BernadethaCharles-sv3oy Місяць тому

    Kumbe una uelewa mdogo wa kisheria? Mbona hatari sana sasa. Kumbe unatupotosha!

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa День тому

      Baba yako ametuibia sana ndiyo maana unahofu ugali wako utachukuliwa,

  • @hamissomary6869
    @hamissomary6869 Місяць тому +1

    Tunataka katiba mpyaa"

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl Місяць тому +1

    Aya mauupuuzi kamalile CHALAMILA ajafikaatalasaba yani stupide sijawai kuuona MATAKUYAKE

  • @eliaschipanda2006
    @eliaschipanda2006 Місяць тому

    Madeleka, we ni kiboko.

  • @alexlazoro3530
    @alexlazoro3530 Місяць тому

    CCM imesha penyeza watu wao humo ndani ya T L S

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Місяць тому +1

    Tufanye anzisheni

  • @januarysila1569
    @januarysila1569 Місяць тому

    chuma hicho

  • @user-cp8df8ik5h
    @user-cp8df8ik5h Місяць тому

    Dah, hii nchi, kuvuanguo!!?

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Місяць тому

    Wengi wanakataa vyeo.

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 Місяць тому

    Tumpate wapi mtu kama huyu

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Місяць тому

    Hiyo ya kuwavua watu nguo na
    kuwaingiza vidole sehemu za siri hata mimi siikubali.
    Kuna haja ya maandamano kupinga hilo ili serikali inunue vifaa vya uchunguzi kuliko kuwatia watu vidole sehemu za siri