#EXCLUSIVE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 чер 2024
  • #EXCLUSIVE: MASWALI MAGUMU kwa WAKILI MADELEKA kwa WATEJA WAKE MADADAPOA WANAODAI BILIONI 36 kwa DC wa UBUNGO...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 65

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  14 днів тому

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @SwaleheKudisa
    @SwaleheKudisa 5 днів тому

    Kaka mkubwa mungu akubariki sana na akuongezee umri inshaallah.

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 14 днів тому +2

    Mtemtez WA madada poa😂😂 kweli mbinguni tutafika tumechokaa 😢😢😢😢😢😢

  • @SalimSalimu-z5c
    @SalimSalimu-z5c 7 днів тому

    Muandisi Unachemsha kwa maswari huyo n pita Madereleka

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 14 днів тому +4

    Muandishi msomi vs wakili msomi
    Wakili msomi chaliii miguu juu

  • @user-lj7cw6ee5p
    @user-lj7cw6ee5p 7 днів тому

    Mswahili

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 14 днів тому

    Safi sana wakili ,sheria ichukuwe mkondo wake

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 7 днів тому

    Maadili na utamaduni wa nchi hii umeelezwa wapi kuwa unatakiwa uweje kwenye vitabu vya sheria?

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter 14 днів тому +2

    Hat ushoga Sheria haijanyoosha

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 10 днів тому

    mwenyez Mungu akufelishe na now yako kuhamasisha kwa kapotea kwa maadili ya nchi we madeleka yaani kabla hujafanikisha lengo lako na waliokutuma in sha allah ufeli kwa hili nawe ufungwe in sha allah rabda kwakua rais mwenyewe ndio wale wale lakin kama ahusiki na tuhuma za usagaji ye huyo rais basi angekemea kwa nguvu zote uchafu hu unao tetewa na mawakili njaa kama madeleka

  • @goldenkisoso2107
    @goldenkisoso2107 14 днів тому +3

    kimeumana😂

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 14 днів тому +1

    Kudai 36btsh... rahisi kutamka ila hicho kiasi ni tani ngapi... wenye kujua uzito wa noti za 10,000tsh,

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 14 днів тому +1

    😂😂 Watu wanachelewa kumuelewa wakili wakili anaongelea sheria wa tz wengi mnafasili maneno ya kawaida na dini sio sheria ya selikali apo mmechemka

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 14 днів тому

    Wakili nimekuelewa kiundani sana sheria oyeeeeeeeee

  • @ashrafurwegoshora4227
    @ashrafurwegoshora4227 14 днів тому +1

    Madereka yuko mkini sana,mwandishi siku nyingine jipange

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 13 днів тому

    Sheria Haija sema hayo mambo ndomana anaweza tetea hao wadada

  • @stephenkitururu5588
    @stephenkitururu5588 13 днів тому

    Imani inapatikana MSIKITINI na KANISANI 😂😂😂😂😂hili jibu liko GOOD SANA... Mwana habari hapo umechemka na haujujipanga pole sana 😂😂😂😂

  • @Nobengaphotographer
    @Nobengaphotographer 14 днів тому

    Huyu jamaa anampiga sana maswali magumu kwa madeleka kudadeki mkuu ulitumwaaaa😅😅😅

  • @nurumohamed7225
    @nurumohamed7225 13 днів тому

    Mm namuuliza wakili kesi ya Babati imefikia wapi?

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z 14 днів тому

    Columbus leo u much know umekwisha. Hiyo siyo kesi ya sabaya dago😂😂😂😂

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 14 днів тому +1

    Tusichanganye sheria na utamaduni ndio mana ukiua unafungwa kwa kua sheria ilishaweka azabu ya mtu akiua sasa mnaomuona wakili anakosea nyie ndio hamjui sheria cha kuhimiza ni bunge litunge sheria na hukumu ya hao madada poa hata ushoga hauna sheria kwamba shoga hukumu yake ni nini.... Nchi inaongozwa kwa mujibu wa sheria sio utashi wa mtu.

    • @nicolasmsaki5987
      @nicolasmsaki5987 13 днів тому

      Hapo hakuna kesi kabisa kisheria ila pia mkuu wa wilaya kosa alilofanya ni kupablic habari kwa vyombo vya habarii kwa sisi ambao tulikuwa hajui Kama river side kuna dada poa tumejua tyuuu

  • @chrisekonga9092
    @chrisekonga9092 14 днів тому

    Mtangazaji hukujiandaa kuuliza maswali😂😂😂. Maswali unatunga hapohapo😂😂😂

  • @JataTarish
    @JataTarish 9 днів тому

    Tupate katiba mpya tu ili ayo mambo yawe kama kosa kisheria, vinginevyo ao wadada hawana kosa kisheria😅😅

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 14 днів тому +1

    Maswali ya korumba hayajibiki , pita ni mfanyabiashara
    Kakwepa kujibu swala la kubakwa

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 14 днів тому

    Guys nimecheka jinsi mtangazaji anaulizwa😂😂😂😂

  • @timothbenard8213
    @timothbenard8213 14 днів тому

    Mwandishi chawa

  • @thedeo472
    @thedeo472 11 днів тому

    HIVI KATI YA MALAYA NA MLA RUSHWA NI NANI HATARI KATIKA JAMII?

  • @geofreykasinda1895
    @geofreykasinda1895 14 днів тому

    Jamani yani hata yie mliotuma izo sms kumlaumu wakili mnafanya malaya sio lazima kuuza mwili ndo kujuwa ni malaya hata kumsaliti mwenzio ni umalaya huo . Au kwakuwa hao wameamuwa kujiweka wazi ndo mnaanza kumlaumu huyo wakili ? Achenu kujifanya nyinyi hamjawai kumsaliti mwenzako. Na kama umemsaliti basi umefanya umalaya

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 14 днів тому

    Sheria haitaki hisia wala mihemuko ya imani bali ni uhalisia jambo,hoja mezani..

  • @petermbwei1347
    @petermbwei1347 14 днів тому

    Hamna mic ya kufanya tukasikia vizuri mnasikika kama mnaongelea stoo

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 14 днів тому

    Jamaa ni mpuuzi mnooo,na ana elimu, daaah asante mwandishi, umejua kumbana

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 14 днів тому

    Wanasheria ni mazezeta kweli hao ,kama hawajui kuna mungu vile

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 13 днів тому +2

      Sheria za Tanzania hazija tungwa kwa kufatisha dini usi changanye dini na sheria za nchi

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter 14 днів тому

    Hakuna Sheria yahii kitu.mnajitekenya tu

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 14 днів тому

    Kuna watu wamesoma ila bado ni wapuuzi

  • @maspro6294
    @maspro6294 14 днів тому +1

    Hili jamaa pumbavu Sana kutete umalaya na ushoga haya ndio mijitu INAYO tumiwa na shetani na Lina tafuta Kiki za kisiasa

    • @captenndunga6745
      @captenndunga6745 14 днів тому

      Hapa inazungumziwa sheria mzee hata kusingekuwepo na sheria ya mtu akiua hukumu yake ni nini basi ingekua mtu akiua huwezi kumfunga lakini kwa kua sheria ishawekwa juu ya makosa ya mauaji ndio mana ukiua unafungwa sasa usiropoke ni kuhimiza bunge litumge sheria juu ya madada poa lakini kama sheria haijatungwa ukiwakamata ni kosa acha kuchanganya sheria na utamaduni mzee

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 14 днів тому

    Kama kuna ubakaji mahhabusu mbona hatari

  • @deodathsilayo3639
    @deodathsilayo3639 11 днів тому

    😂😂😂eti iman ni msikitin na makanusani

  • @masoudlulanga1576
    @masoudlulanga1576 День тому

    T

  • @amirjuma9395
    @amirjuma9395 14 днів тому

    Nilichogundua wa watanzania wanachanganya kati ya Sheria alizotunga binadamu na Sheria za Mungu kwanza uyo muandishi hajui kuuliza maswali muhimu Sheria haiukumu mtu kwa macho unatakiwa ushahidi wakuthibitisha kosa

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 14 днів тому

      😂😂 Uko sahihi wa tz wengi upande wa sheria jawamo nikelele tu za vijiweni

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we 14 днів тому

    Wakili hajibu swali mpuuzi tu

  • @edwinmeenda9171
    @edwinmeenda9171 14 днів тому

    Mtangazaji wa mchongo

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 14 днів тому

    😅wakili shkamoo

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 14 днів тому

    Pita ubongo ziro kabisa

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 14 днів тому

    Korumba hana jipya huyo
    nibmfanya biashara huyo
    Hata wakishikwa mashoga atawatetea

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 13 днів тому

      Bila uthibitisho wa kosa hana mamlaka ya ku kamata watu ovyo na kuwa weka polisi

  • @ferdinandmakore5002
    @ferdinandmakore5002 14 днів тому

    Common prostitute ni kosa kisheria kwa mujibu wa kifungu cha 176 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura namba 16 ya mwaka 2022.

  • @minuleabdulkadir2838
    @minuleabdulkadir2838 14 днів тому

    Mchuano mkali kabisa

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 14 днів тому

    Karumba umemkaba koo kweli kweli
    Akikuona tu atakukimbia ,na hawezi kukubali intavew tena na wewe
    Wakili janja janja tuuu pumbavu kabisa

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 14 днів тому

    Anakimbia maswali huyo

  • @bilid4128
    @bilid4128 14 днів тому

    🤣🤣🤣

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 14 днів тому

    Kwanza kusema kuna biashara
    ya ukahaba na umalaya Tanzania ni uwongo mkubwa.
    Kwani maduka ya biashara hiyo?

    • @jamaliddiin9357
      @jamaliddiin9357 14 днів тому

      Wewe pia watetea upumbafu biasha mpaka duka

    • @msafirimaulidi5054
      @msafirimaulidi5054 14 днів тому

      Pale kajaba anapojalibu kualalisha ukahaba

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 14 днів тому

      Biashara maana yake uwe na leseni,bidhaa na wateja​@@jamaliddiin9357

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 14 днів тому

      ​@@msafirimaulidi5054Kahaba ni mwanaume anayeoa wake wengi au mwanamke anapewa
      talaka na kubadilisha wanaume 😂

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 14 днів тому

    Wakili feki eti sheria haikatazi