WAKILI PETER MADELEKA ni POLISI! AFUNGUKA KUHOJIWA UTORO KAZINI - ASEMA YEYE ni ZAIDI ya IGP...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 лис 2023
  • WAKILI PETER MADELEKA ni POLISI! AFUNGUKA KUHOJIWA UTORO KAZINI - ASEMA YEYE ni ZAIDI ya IGP...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 260

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  7 місяців тому +6

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @thomasgogomoka6404
    @thomasgogomoka6404 7 місяців тому +12

    Very inspiration, natamani nikasome sheria, kwa manufaa yangu na jamii yangu. Huyu ndiyo maana halisi ya wakili msomi.

  • @leonardkinanda3284
    @leonardkinanda3284 7 місяців тому +10

    Hongera kwa spirit ya kuwapambania watu wengine ! Mungu anawapenda watu kama wewe Doctor peter

    • @salumntulo1589
      @salumntulo1589 7 місяців тому +1

      Unaweza kuta ni usalama wa taifa

  • @josephatbwakome5711
    @josephatbwakome5711 7 місяців тому +27

    Ukiwa umesoma na kuelewa vitu unakuwa na full confidence, Lowasa hakukosea kusema elimu elimu elimu.Congratulation wakili msomi Peter Madeleka

  • @gasperswai6963
    @gasperswai6963 7 місяців тому +13

    Hongera kaka! Hiyo ndiyo raha ya kuelewa mambo!!! Hadi rahaa!! Kaka unajua mambo mkuu!!!

    • @marianmartin7483
      @marianmartin7483 7 місяців тому

      Kichwa kizuri sana hiki. Safi sana. Madeleka akili nyingi.

  • @godsson5954
    @godsson5954 7 місяців тому +10

    nilikua sieleag mtu akiijita wakili msomi sasa huyu ni wakili msomi pasipo kujiita hayo maneno HUYU NDO THE REAL WAKIL MSOMI

  • @musanzowa8988
    @musanzowa8988 7 місяців тому +11

    Wale wote tuliosoma Luka 3:14 mikono juu!

  • @user-bc8gj8uk3g
    @user-bc8gj8uk3g 7 місяців тому +3

    Huyo mwamba huwa namkubali saaana kwakujiamin kwake kajb kwa jeur saaana kamanda wa police wa mkoa nivitu vidogo saaana salute mwamba madeleka

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y 7 місяців тому +8

    Mh madeleka nakuku bali Sana mungu akubaliki

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 7 місяців тому +7

    Dah cc tunatafuta ajira kwa nguvu lakini kumbe kuna watu wameajiriwa na hawataki ajira zao dunia round about bhan tutafute hela vijana

  • @felixsamford4168
    @felixsamford4168 7 місяців тому +1

    Huyu br yuko vizuri sana zaidi ya sana tanzania tunahitaji vichwa kama hvi

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 7 місяців тому +4

    INCHI TAMU IKIWA NA WATU KAMA HAWA❤❤❤❤❤❤

  • @starjay3052
    @starjay3052 8 годин тому +1

    😂😂 awezi kua na jeshi makini alafu wasijue platin kamanda yupo wapi apa ndio nimesitisha kua atuna jeshi makini na kila siku nasema sasa mmemsikiliza wakili msomi madeleka nakubali sana mzee

  • @EleziaNzowa-el7gi
    @EleziaNzowa-el7gi 7 місяців тому +1

    Yaa inaleta raha sana kuwa na watu waelewa kama hawa katika nchi yetu, safi sana wakili madeleka mungu awe nawe daima

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 7 місяців тому +4

    Akili.kubwa.huyu.sio.bashite.nape.mwigulu..na.vilaza.wegine.big.up

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 7 місяців тому +1

    Upo sahihi wakili.mungu amewaandalia makao mazuri pamoja na mh. Mwabukusi

  • @LuganoPondo-km8ub
    @LuganoPondo-km8ub 7 місяців тому +10

    Kweli wanaotuongoza Hawana uwezo wa kufikiri,na wenye uwezo wa fikra wako nje ya madaraka

    • @Asajile490
      @Asajile490 6 місяців тому

      Tatizo wananchi Na ccm yao

  • @starjay3052
    @starjay3052 8 годин тому +1

    kweli police 👮 sio kabisa kama mimi siwapendi police na naraani ata siku mwangu akiwa police yani mimi sio baba yake police baada ya kusaidia watu wao wanakandamiza watu

  • @jamesukombozi5216
    @jamesukombozi5216 7 місяців тому +14

    Madereka ni mtu mwenye akili nje na Elimu ya shule

  • @JuliusMtunguja
    @JuliusMtunguja 7 місяців тому +4

    Unafaa hata kuwa mbunge ukatetee wananchi jimboni mwako. Hongera.

    • @kiazikitamu3985
      @kiazikitamu3985 7 місяців тому

      Huyu kapitiliza vyeo vyote Ana akili ya kizidi cheo cha Rais na sio lazima uwe mbunge kutetea wananchi

  • @noelkipera6581
    @noelkipera6581 7 місяців тому +2

    Jamaaaa linajua hadi raha respect madeleka

  • @mmewaswida
    @mmewaswida 7 місяців тому +4

    Inachekesha kwa kweli, hasa hizi behavior za polisi wetu

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 7 місяців тому +5

    Hao police wa Arusha hawana uwezo wa kumhoji Wakili Msomi madeleka ,sawa na Waziri mkuu amhoji Rais

  • @liberatusulaya2269
    @liberatusulaya2269 7 місяців тому

    Jamaa anajikubali Kwa fact sana, bigup msomi

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 7 місяців тому +2

    Hongela Sana

  • @jacobpatrick7936
    @jacobpatrick7936 7 місяців тому +3

    Nikachukua mkoba wangu nikaondoka zangu,hii kauli imekaa ki mamlaka sana

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 7 місяців тому +5

    Madeleka na Jeshi la polisi hawana tatizo wala ugomvi wowote kati yao, wanaolipamba jambo hili lionekane kama kuuuuubwa ni waandishi wa habari

  • @majidukalokola7253
    @majidukalokola7253 7 місяців тому +4

    Madeleka na Mwabukusi wanafaa wajiunge na Chadema kisha wagombee ubunge, ndipo wapate jukwaa safi la kupambana na wabadhilifu serikalini.

    • @manilabonalumanula9210
      @manilabonalumanula9210 7 місяців тому

      Ni kwl, lkn si hadi wachaguliwe? Ama Chadema ndiyo wameunda/wataunda serekali? 🏃🏃

  • @user-le3oc2xz1f
    @user-le3oc2xz1f 7 місяців тому +1

    Uko vizur sana hongera

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 7 місяців тому

    Brilliant discussion learned counsel.

  • @godsonkilua7738
    @godsonkilua7738 7 місяців тому +6

    Nakukubali sana wengi wanakosa haki zao kwa kutokujua sheria , Mungu akutangulie ktk huduma yako

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 7 місяців тому +24

    Knowing the law is a part of protection.✌️

    • @simontamba2189
      @simontamba2189 7 місяців тому

      Thats why they don't teach from childhood
      Coz they will not rule us

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw 7 місяців тому +2

    Wakili mahiri zawadi kutoka kwa Mungu hongera sana mtoto wetu na wakili wetu. Mungu akubariki sana na akuongoze daima maana uko vema kabisa mbele za Mungu na walimwengu. Binadamu hawakuelewi isipokuwa wale Mungu atakaowafunulia. Ni mtu wa pekee mwenye karama ya pekee. Ni mkweli na muwazi ndiyo maana upo shujaa. Mungu azidi kukulinda akupe baraka nyinginyingi sana Madereka unaaminika hata anayekutazama TU anakuamini kabla hujaongea naye. Tuanazidi kukuombea kila la kheri katika maisha Yako.

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 7 місяців тому +6

    Huyu ni jasusi.Serikali ina siri kubwa sana.

  • @michaelmabula7444
    @michaelmabula7444 7 місяців тому +1

    Yupo na kazi maalumu

  • @user-ol5ih9wh1p
    @user-ol5ih9wh1p 7 місяців тому +1

    Wow so good 💪🏻💪🏻

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga7172 7 місяців тому +3

    Sasa masaa 24 ndani ya PGO jumlisha miaka sita ya bila maulizo na walimweka ndani kwa sababu ambazo hazikutajwa na mlengwa madeleka hii sikama walimpa go ahead bila kelele wana sababu zao hawa hawapo serius na pia hatakama jeshi ni moja lakini mwenye mamlaka ya kuita huyu jamaa ni mkuu wake kule Zanzibar maana alipotelewa na mtu ambaye naye pengine alijua aliridhia upotevu wake

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t 7 місяців тому +1

    Brilliant man

  • @ThomasKajiru
    @ThomasKajiru 7 місяців тому +1

    Subirini akifa na kuanza kusomwa risala yake ndio mutaijua Tanzania 🇹🇿 vizuri

  • @bensonlameck6348
    @bensonlameck6348 7 місяців тому +1

    Smart sana

  • @NeemaLieda-qz3kd
    @NeemaLieda-qz3kd 7 місяців тому +8

    Huyu jamaa angestahili kuwa mkufunzi mkuu wa chuo cha maofisa wa polisi Tanzania anauwezo mkubwa sizani kama yupo mkubwa wa.polisi a.mbae anaweza kupiga nae michi

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 7 місяців тому

      Kwa mifumo yetu ya kumsujudia watawala wala msingemjua,kuna wanasheria wengi sana nchi ungejaribu kujiuliza kwanini hawasikiki wala kujulikana

  • @josephgitagano4533
    @josephgitagano4533 7 місяців тому

    Excellent Advocate.

  • @hamisinamulya8810
    @hamisinamulya8810 7 місяців тому

    Bright man,mungu akubaliki

  • @mdemualphonce1559
    @mdemualphonce1559 7 місяців тому +2

    Madeleka mungu akulinde

  • @furaha7154
    @furaha7154 7 місяців тому

    Ok sawa

  • @HamisSaid-uc5jm
    @HamisSaid-uc5jm 7 місяців тому +2

    Boss nimekukubali sana natamani niwe karibu nawe nijue mengi

  • @elinazijonasi2957
    @elinazijonasi2957 7 місяців тому +3

    SHULE imebakia silaha ambayo wakati Fulani watu wameitumia kwa manufaa mapana binafsi ya jamii na kinyume chake pia

  • @samwelkessy9129
    @samwelkessy9129 7 місяців тому +1

    Safi sana kaka

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 7 місяців тому +3

    Hawa mapolise wamekuwa kanakwamba hawakuzaliwa na wanadam hawana roo ya kibinadam

  • @mgegebrand
    @mgegebrand 6 місяців тому

    Salute kwako Wakili

  • @user-ev2sm1rg4t
    @user-ev2sm1rg4t 7 місяців тому

    Mungu akulinde peter

  • @damaka_
    @damaka_ 6 місяців тому +1

    education

  • @GalusChikawe
    @GalusChikawe 7 місяців тому +1

    I'm on
    ..

  • @kwasmokweka9598
    @kwasmokweka9598 7 місяців тому +4

    Madeleka oyeeee

  • @RajabJuma-pe9ml
    @RajabJuma-pe9ml 7 місяців тому +6

    Yani mkuu ukitaja police dam mpaka inanisisimka mana walisha nipiga bilakosa walidai Mimi nimzururaji nikawaonyesha kilakitu nanilpo Toka lakn nilpgwa huyo askari police mpaka Leo nikimuangalia mh! ila Haina shida

  • @wanatangawaja6397
    @wanatangawaja6397 7 місяців тому

    Mwenyezimungu akuzidishie

  • @PeterNgaiza
    @PeterNgaiza 23 години тому

    Huyo mwamba anajua tangu nipo nae secondary, aliweza kukalili albam nzima ya bob marley

  • @DoganJagard-dn2sk
    @DoganJagard-dn2sk 7 місяців тому +6

    Madereka unafaa uwe katibu mkuu chadema

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 7 місяців тому +2

    Wewe mpaka sasa wee ni jasusi ilo halipingiki

  • @user-vy5ei1xl4p
    @user-vy5ei1xl4p 7 місяців тому +5

    Elimu ina mhimu sana katika maisha ya sasa

    • @geraldmadirisha2100
      @geraldmadirisha2100 7 місяців тому

      Nadhani Sheria ina umuhimu sana katika maisha ya sasa kwa kuwa bado watu wengi wenye Elimu wanateseka

  • @alexurassa
    @alexurassa 7 місяців тому +1

    Nimekuelewa sana madeleka

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 7 місяців тому +3

    Raha ya kujua sheria ndiyo hiyo

  • @starjay3052
    @starjay3052 8 годин тому +1

    😁😁 nimewapiga chini

  • @michaelmwalimu6057
    @michaelmwalimu6057 7 місяців тому +2

    Wana sheria bwana

  • @user-ey8cb3wu9h
    @user-ey8cb3wu9h 7 місяців тому

    Kama unajua ni raha sana hongera zako

  • @elisaabraham-xr5zj
    @elisaabraham-xr5zj 7 місяців тому

    Hongera kaka

  • @subetizaid6515
    @subetizaid6515 7 місяців тому +3

    Huyu jamaa kweli msomi

  • @askofkibwe6106
    @askofkibwe6106 7 місяців тому

    Sheria ya kweli ni ya Mungu t

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 7 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kaka nimekupenda mno mno , ila sasa watu wana woga kukuunga mkono kukomesha uovu uliopo, yaani Tz ingekuwa paradiso kama haki ingetendeka kisawasawa

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 7 місяців тому

    Asante Wakili

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 7 місяців тому +2

    Kaka nimekukubali sana kwa majibu yako

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 7 місяців тому +2

    Uliletwa kwa ajili ya mashekhe wetu

  • @user-ph2tk3cy9s
    @user-ph2tk3cy9s 7 місяців тому

    Kweli kabisa

  • @meckitilidatushabe
    @meckitilidatushabe 7 місяців тому

    Big up bro

  • @michaelabrshamsaidimu367
    @michaelabrshamsaidimu367 7 місяців тому +2

    Madeleka huwa hakurupuki,kwakua si mvivu wa kusoma

  • @YusuphSadallah-um4sp
    @YusuphSadallah-um4sp 7 місяців тому

    Fact ✌️

  • @josephinarobert3325
    @josephinarobert3325 7 місяців тому +4

    Siyomtoro wanataka kumsumbua

  • @edgarmbehikya8150
    @edgarmbehikya8150 7 місяців тому

    Congrats

  • @tazamamaajabuyaulimwengu2786
    @tazamamaajabuyaulimwengu2786 7 місяців тому +1

    Jamani mwenye namba ya huyu wakili naomba anipatie

  • @RevocatusJames1212
    @RevocatusJames1212 7 місяців тому

    Mwanangu kua usomee sheria

  • @ShekiyaoHussein-ki4ty
    @ShekiyaoHussein-ki4ty 7 місяців тому +1

    Huyu Mueshimiwa anamengi lakini nisiri yake hawezi kufunguka yote ni mtihani kweli fikiria kuacha kazi ya upolisi si mchezo kaangaliambele

  • @user-zs2nf8xf8s
    @user-zs2nf8xf8s 7 місяців тому

    Hongera madeleka nakupenda,kwakukoti mstari wa biblia juu ya ___

  • @zakayomasingoti9238
    @zakayomasingoti9238 7 місяців тому

    This is fact

  • @user-nz9wf4bf2u
    @user-nz9wf4bf2u 5 місяців тому

    Nakukubali

  • @user-fx9wv7wk5b
    @user-fx9wv7wk5b 7 місяців тому +2

    Namimi mdogo wako ezekieli nakupa bigup pambana

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 6 місяців тому

    Yap !! Ila mwamb naona yy na polisi mbalimbali kabixa ha apendi kabix dhuluma zinazofanywa na polisi Mungu kakupitisha uko ili ufanye amendment na eatu ajue kama usingekaa uko usingejue haya

  • @AbdallahDotto-ik4ni
    @AbdallahDotto-ik4ni 7 місяців тому

    Yes BIG up madeleka

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 7 місяців тому +2

    He could be a sword

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 7 місяців тому +1

    Kaka modereka ongera sana na mungu ataenderea kukulinda

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 7 місяців тому

      Na wewe...siyo modereka ni Madereka pia siyo ongera ni hongera....shule mhimu

  • @user-le7pv1wo2j
    @user-le7pv1wo2j 7 місяців тому +1

    Mmmh

  • @asalitamu5182
    @asalitamu5182 7 місяців тому

    Safi

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 7 місяців тому

    Hongera kaka madeleka

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 7 місяців тому +2

    Hii dunia ni ngumu sana

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 День тому

    Huko kuna hela mno !

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 3 місяці тому

    Namkubali saaaan huyu,Anatakiwa kuwa Rais

  • @dicksonfrank5098
    @dicksonfrank5098 7 місяців тому +1

    Duuu🙄 ww n kiboko najua uongo uliojificha utaenda kuwekwawaz kupitia ww, Mungu akubarik sanaaaaa kk naumenenavyema sanaaaaa Police 🚓 wamekuwa n wazulumu hakil za watu🤐

  • @user-om2uq8vs6o
    @user-om2uq8vs6o 7 місяців тому +4

    Madereka hoyeee

  • @zawadjose5440
    @zawadjose5440 7 місяців тому

    Ure so smart nakutafuta

  • @rashidmanaji6206
    @rashidmanaji6206 7 місяців тому

    Naomba simu namba ya wakili Madeleke maana tunahitaji msaada wake wengine pia tunayo mambo mazito lkn hatuna pakusemea

  • @mkoma49
    @mkoma49 7 місяців тому

    nimependa apo kwenye neno la Mungu