WAKILI PETER MADELEKA ni POLISI! AFUNGUKA KUHOJIWA UTORO KAZINI - ASEMA YEYE ni ZAIDI ya IGP...
Вставка
- Опубліковано 13 лис 2023
- WAKILI PETER MADELEKA ni POLISI! AFUNGUKA KUHOJIWA UTORO KAZINI - ASEMA YEYE ni ZAIDI ya IGP...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Hongerababa
Very inspiration, natamani nikasome sheria, kwa manufaa yangu na jamii yangu. Huyu ndiyo maana halisi ya wakili msomi.
Hongera kwa spirit ya kuwapambania watu wengine ! Mungu anawapenda watu kama wewe Doctor peter
Unaweza kuta ni usalama wa taifa
Ukiwa umesoma na kuelewa vitu unakuwa na full confidence, Lowasa hakukosea kusema elimu elimu elimu.Congratulation wakili msomi Peter Madeleka
Uyo bangi zinamzumbua
Ama kweli ukimuamsha aliyelala utalala wewe...
Hongera kaka! Hiyo ndiyo raha ya kuelewa mambo!!! Hadi rahaa!! Kaka unajua mambo mkuu!!!
Kichwa kizuri sana hiki. Safi sana. Madeleka akili nyingi.
nilikua sieleag mtu akiijita wakili msomi sasa huyu ni wakili msomi pasipo kujiita hayo maneno HUYU NDO THE REAL WAKIL MSOMI
Wale wote tuliosoma Luka 3:14 mikono juu!
Huyo mwamba huwa namkubali saaana kwakujiamin kwake kajb kwa jeur saaana kamanda wa police wa mkoa nivitu vidogo saaana salute mwamba madeleka
Mh madeleka nakuku bali Sana mungu akubaliki
Dah cc tunatafuta ajira kwa nguvu lakini kumbe kuna watu wameajiriwa na hawataki ajira zao dunia round about bhan tutafute hela vijana
Huyu br yuko vizuri sana zaidi ya sana tanzania tunahitaji vichwa kama hvi
INCHI TAMU IKIWA NA WATU KAMA HAWA❤❤❤❤❤❤
😂😂 awezi kua na jeshi makini alafu wasijue platin kamanda yupo wapi apa ndio nimesitisha kua atuna jeshi makini na kila siku nasema sasa mmemsikiliza wakili msomi madeleka nakubali sana mzee
Yaa inaleta raha sana kuwa na watu waelewa kama hawa katika nchi yetu, safi sana wakili madeleka mungu awe nawe daima
Akili.kubwa.huyu.sio.bashite.nape.mwigulu..na.vilaza.wegine.big.up
Upo sahihi wakili.mungu amewaandalia makao mazuri pamoja na mh. Mwabukusi
Kweli wanaotuongoza Hawana uwezo wa kufikiri,na wenye uwezo wa fikra wako nje ya madaraka
Tatizo wananchi Na ccm yao
kweli police 👮 sio kabisa kama mimi siwapendi police na naraani ata siku mwangu akiwa police yani mimi sio baba yake police baada ya kusaidia watu wao wanakandamiza watu
Madereka ni mtu mwenye akili nje na Elimu ya shule
Unafaa hata kuwa mbunge ukatetee wananchi jimboni mwako. Hongera.
Huyu kapitiliza vyeo vyote Ana akili ya kizidi cheo cha Rais na sio lazima uwe mbunge kutetea wananchi
Jamaaaa linajua hadi raha respect madeleka
Inachekesha kwa kweli, hasa hizi behavior za polisi wetu
Hao police wa Arusha hawana uwezo wa kumhoji Wakili Msomi madeleka ,sawa na Waziri mkuu amhoji Rais
siyo kila kitu lazima ucoment bro
Jamaa anajikubali Kwa fact sana, bigup msomi
Hongela Sana
Nikachukua mkoba wangu nikaondoka zangu,hii kauli imekaa ki mamlaka sana
Madeleka na Jeshi la polisi hawana tatizo wala ugomvi wowote kati yao, wanaolipamba jambo hili lionekane kama kuuuuubwa ni waandishi wa habari
Madeleka na Mwabukusi wanafaa wajiunge na Chadema kisha wagombee ubunge, ndipo wapate jukwaa safi la kupambana na wabadhilifu serikalini.
Ni kwl, lkn si hadi wachaguliwe? Ama Chadema ndiyo wameunda/wataunda serekali? 🏃🏃
Uko vizur sana hongera
Brilliant discussion learned counsel.
Nakukubali sana wengi wanakosa haki zao kwa kutokujua sheria , Mungu akutangulie ktk huduma yako
Knowing the law is a part of protection.✌️
Thats why they don't teach from childhood
Coz they will not rule us
Wakili mahiri zawadi kutoka kwa Mungu hongera sana mtoto wetu na wakili wetu. Mungu akubariki sana na akuongoze daima maana uko vema kabisa mbele za Mungu na walimwengu. Binadamu hawakuelewi isipokuwa wale Mungu atakaowafunulia. Ni mtu wa pekee mwenye karama ya pekee. Ni mkweli na muwazi ndiyo maana upo shujaa. Mungu azidi kukulinda akupe baraka nyinginyingi sana Madereka unaaminika hata anayekutazama TU anakuamini kabla hujaongea naye. Tuanazidi kukuombea kila la kheri katika maisha Yako.
Huyu ni jasusi.Serikali ina siri kubwa sana.
Upo sahihi
Hana ujasusi wowote
Yupo na kazi maalumu
Wow so good 💪🏻💪🏻
Sasa masaa 24 ndani ya PGO jumlisha miaka sita ya bila maulizo na walimweka ndani kwa sababu ambazo hazikutajwa na mlengwa madeleka hii sikama walimpa go ahead bila kelele wana sababu zao hawa hawapo serius na pia hatakama jeshi ni moja lakini mwenye mamlaka ya kuita huyu jamaa ni mkuu wake kule Zanzibar maana alipotelewa na mtu ambaye naye pengine alijua aliridhia upotevu wake
Brilliant man
Subirini akifa na kuanza kusomwa risala yake ndio mutaijua Tanzania 🇹🇿 vizuri
Smart sana
Huyu jamaa angestahili kuwa mkufunzi mkuu wa chuo cha maofisa wa polisi Tanzania anauwezo mkubwa sizani kama yupo mkubwa wa.polisi a.mbae anaweza kupiga nae michi
Kwa mifumo yetu ya kumsujudia watawala wala msingemjua,kuna wanasheria wengi sana nchi ungejaribu kujiuliza kwanini hawasikiki wala kujulikana
Excellent Advocate.
Bright man,mungu akubaliki
Madeleka mungu akulinde
Ok sawa
Boss nimekukubali sana natamani niwe karibu nawe nijue mengi
SHULE imebakia silaha ambayo wakati Fulani watu wameitumia kwa manufaa mapana binafsi ya jamii na kinyume chake pia
Safi sana kaka
Hawa mapolise wamekuwa kanakwamba hawakuzaliwa na wanadam hawana roo ya kibinadam
Salute kwako Wakili
Mungu akulinde peter
education
I'm on
..
Madeleka oyeeee
Yani mkuu ukitaja police dam mpaka inanisisimka mana walisha nipiga bilakosa walidai Mimi nimzururaji nikawaonyesha kilakitu nanilpo Toka lakn nilpgwa huyo askari police mpaka Leo nikimuangalia mh! ila Haina shida
Pole mzee
Mwenyezimungu akuzidishie
Huyo mwamba anajua tangu nipo nae secondary, aliweza kukalili albam nzima ya bob marley
Madereka unafaa uwe katibu mkuu chadema
Wewe mpaka sasa wee ni jasusi ilo halipingiki
Elimu ina mhimu sana katika maisha ya sasa
Nadhani Sheria ina umuhimu sana katika maisha ya sasa kwa kuwa bado watu wengi wenye Elimu wanateseka
Nimekuelewa sana madeleka
Raha ya kujua sheria ndiyo hiyo
😁😁 nimewapiga chini
Wana sheria bwana
Kama unajua ni raha sana hongera zako
Hongera kaka
Huyu jamaa kweli msomi
Sheria ya kweli ni ya Mungu t
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kaka nimekupenda mno mno , ila sasa watu wana woga kukuunga mkono kukomesha uovu uliopo, yaani Tz ingekuwa paradiso kama haki ingetendeka kisawasawa
Asante Wakili
Kaka nimekukubali sana kwa majibu yako
Uliletwa kwa ajili ya mashekhe wetu
Nimekuelewa
Kweli kabisa
Big up bro
Madeleka huwa hakurupuki,kwakua si mvivu wa kusoma
Fact ✌️
Siyomtoro wanataka kumsumbua
Congrats
Jamani mwenye namba ya huyu wakili naomba anipatie
Mwanangu kua usomee sheria
Huyu Mueshimiwa anamengi lakini nisiri yake hawezi kufunguka yote ni mtihani kweli fikiria kuacha kazi ya upolisi si mchezo kaangaliambele
Hongera madeleka nakupenda,kwakukoti mstari wa biblia juu ya ___
This is fact
Nakukubali
Namimi mdogo wako ezekieli nakupa bigup pambana
Yap !! Ila mwamb naona yy na polisi mbalimbali kabixa ha apendi kabix dhuluma zinazofanywa na polisi Mungu kakupitisha uko ili ufanye amendment na eatu ajue kama usingekaa uko usingejue haya
Yes BIG up madeleka
He could be a sword
Kaka modereka ongera sana na mungu ataenderea kukulinda
Na wewe...siyo modereka ni Madereka pia siyo ongera ni hongera....shule mhimu
Mmmh
Safi
Hongera kaka madeleka
Hii dunia ni ngumu sana
Huko kuna hela mno !
Namkubali saaaan huyu,Anatakiwa kuwa Rais
Duuu🙄 ww n kiboko najua uongo uliojificha utaenda kuwekwawaz kupitia ww, Mungu akubarik sanaaaaa kk naumenenavyema sanaaaaa Police 🚓 wamekuwa n wazulumu hakil za watu🤐
Madereka hoyeee
Ure so smart nakutafuta
Naomba simu namba ya wakili Madeleke maana tunahitaji msaada wake wengine pia tunayo mambo mazito lkn hatuna pakusemea
nimependa apo kwenye neno la Mungu