Ushuhuda wako kama wakwangu I was once like you and everyone was telling me that i have to serve God lakini nilikua mkaidi sana ilifika wakati Mungu aliblock kila kitu kwenye maisha yangu hapo ndipo niliamua kumrejelea Mungu nikafunga na kuomba seven days baada ya hapo Mungu aliniambia kuwa sitakiwi kumtegemea yoyote yule isipokuwa yeye tu tangu hapo Mungu alianza ku repair maisha yangu kidogo kidogo and am growing na ninamtumikia Mungu na kumtumikia Mungu haimanishi kuwa lazima uwe mchungaji nabii au muinjilisti lakini unaweza kumtumikia Mungu kwenye eneo lolote lililo halali na kila mtu aliyempa Yesu maisha ni mtumishi mtangaze Yesu dada Irene kumjua Yesu ndo ujanja sasa yani hapo ndo umekua mjanja
KWAKWELI NMEKUPENDA BURE IRENE WANGU.ALLAH AKUONGOZE.MIMI NI MWISLAM NINA IMAN YANGU LKN NMEKUSIKILIZA KWA MAKINI WW NI MKRISTO ULIOSHIBA YA DUNIA.UENDELEE KUKINAI YA DUNIANI.MANA DUNIA NI MAPITO.UBAKI KUMTUMIKIA MUNGU.NI KWELI TUMELETWA ILI TUMUABUDU MUNGU ❤. MUNGU AKUTUNZE❤❤❤❤❤POLE KWA MAPITO.HUJACHELEWA
Limeinuliwa jina lake Yesu 🙌 Halellujah Hakika wew ni ushuhuda tosha kwa ajili ya ufalme wa Mungu. Na hii ndio maana ya kusema Mungu anawatu wengi sana hajawahi ishiwa🙌. Mungu aendelee kukutunza na ukafanyike baraka ya kuvuta watu wengi sana kwenye tasinia ya sanaa kupitia wew dada. And u will be among the richest women of God in Tanzania in Jesus name🙌
Hakika nimebarikiwa sana na huu ushuhuda!! Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Ninatamani sisi tulio elewa huu ushuhuda tumuishi Yesu kwa aşılımia 💯 kuna raha na amani ndani ya Yesu!!
Kati ya wa sanii wa bongo move ambao nimewahi kuwapenda kutoka moyoni mwangu ni ww chakwanza ni hekima Yako ya kutojibishana mitandaoni nakufurahia sana Irene Mungu akubariki sana umenipa nguvu mpya safari Yako ya wokovu inafanya na yangu hata sasa nastrago kumrudia Mungu 100%
Barikiwa dada erini ushuhuda wako umeniliza sana mungu anakupenda sana hakutaka akuache upotee umepata neema kubwa sana usiipoteze ata kidogo atazidi kukufungua❤️❤️
Mwenyezi Mungu azidi kukuinua Irene, ni maombi yangu kwa Mungu kwamba asikuache na wala usirudi nyuma, roho mtakatifu azidi kukuongoza uzidi kumtumikia, kupitia wewe Wengi wapate kumjua Mungu, Haleluya.
Waoh huyu ndo Mungu wangu naemjua , Mungu si wa watu fulani fulani bali ni wa wote anawaita unqualified na kuwa fanya qualified to His kingdom.hallelujah.i love you ❤
Hongera sana umechagua fungu lililo jema yaani nimefurahi Mungu alikujua na alikuwa anajua Kuna majira yatafika utakuwa mtumishi wake Fanya kazi ya Mungu utalipwa na Mungu
Hakuna raha kama Mungu akikupenda jamn,its a honour in this universe, your blessed dia so blessed ,sijui kama unanielewa,Hongera n never give up n go back,keep moving Cz God will give u a backup
Haleluyaa,yaani nakuonea wivu sana, MUNGU amekupendelea sana wewe ni chanzo cha wadada wengi kumrejea MUNGU ubarikiwe sana wewe na uzao wako kwa kusimama ktk nafasi aliokuitia Mungu,hakuna tena utumwa wala ukimbizi peperusha bendera. ya YESU matokeo yake ni makubwa mno,karibu sana kwenye fungu Jema, God protect you
Neema iliyokushukia ni kubwa mno.Amani ya Bwana iwe rohoni mwako daima.Umechagua fungu lililo jema sanaaa.I really learn and proud of God for His chosen person Irene.Endelea kuwa mtendaji kwenye mavuno ndani ya shamba la Bwana.
Hongera sana mtumishi, karibu kwenye ufalme wa Mungu aliye hai ,ushuhuda wako unagusa sana ,na Kwa ushuhuda huu wengi wataokoka ,hicho ndicho ulichitiwa
Endelea Mbele hajalishi kutakuwa na changamoto Gani ,hata Mungu alimwambia Musa awambie Wana wa Israel waendelee mbele wasitazame nyumba,najifunza vitu vingi sana inanifanya kumuona Mungu hatuwezi kumuweekea mipaka,yeye anauwezo wa kufanya chochote kama apendavyo,sisi ni vyombo vya Mungu anaweza kutumia chombo chochote akipendacho yeye,Ireni nakupenda sana
Yule mama aliyepiga kelele na safari ya Irene aje kusiliza huu ushuhuda wake ...kasema hana kanisa na yeye bado sio mchungaji lakini an kitu cha kuwaleta wengi kwa Kristo hasa mabinti...ana kitu cha kuwaambia na wakawa na ile hamu au hari ya kuja kwa Yesu ...Mungu ana njia zake za kuwafanya watu wamtumikie sio mpaka uoge uoshwe sijui ujitakase ndio utumike...Mungu anajua namna gani anavyorehemu amtakaye ili aweze kuwa wake..hongera sana Irene songa mbele mwanangu kwa ulichoamua ni cha thamani kuliko ulivyowahi kuvimiliki maishani kwako
Glory to the most high God... Hakika Kwa hichi Mungu Atakuzidisha Sana, Maana this is how GOD Can Be Explain and be seen Kwa jamii... GodBlessYou🙏 SisIRENE, (WOMANOFGOD). #FRIENDSOFGOD💪
😭😭😭Your blessed ,Umebariki wengi kupitia huu Ushuhuda.Endelea Mbele Songa Mbele Mwenyezi Mungu hawezi kumuacha Mtumishi wake aibike,Endelea kumtumikia Mungu njia uliyochagua ndio nzuri kuliko vitu vyote Duniani.
Alellujah madam Irene mungu aliekuita kumtumikia nq Mimi aniweke katika nafasi hii kwa jina LA yesu mungu akuzidishe weww uwe mfano kwetu na kwa watoto wetu Amen❤❤🎉🙏🙏
Yesu juu sana,ushuuda wako umesababisha nilie na nimpende Mungu tena,yani na mimi niliokoka kama wewe watu wakanipa mda ,walinicheka na marafiki waliniacha,Mungu akatutia ngivu sasa ni mwaka 16 na sitarudi nyuma.
😢😢😢 Bwana Yesu ni mzuri sanaaaa, Namemuona Mungu tena na tena kupitia huu ushuhuda. Bwana Yesu Asante Kwa haya matendo yako Makuu. Bwana Yesu aendelee kutukuzwa kwenye maisha yako mapya ya wokovu mwana wa Mungu
Mm mweyewe najiona kama irene ntafuata moyo wng ktk kuwa mwema kwangu ,Wallah nimejiona mm kupitia huyu dada ,ngoja sasa nkatafute panadol nimeze mana si kwa kulia huku mwanzo hadi mwisho wa interview yk,Mungu atuongoze wote
Dada irene mungu akubariki sanaa hata mm nilisha kuona sana kwenye ndoto nikawa nawaza nakupataje je utanielewa hatanikikuona lakini nashukuru mungu amekuokoa.andelee kukutetea.
Hongera Irene ,Mungu aendelee kukisimamia hakika umekuwa ushuhuda kwa wengi, nashauri uweke namba ya simu kwa ajili ya michango kwa watakaoguswa kuchangia huduma. Binafsi nimeguswa mno na ushuhuda wako na naamini Mungu aliyetenda kwako atatenda kwangu pia ,Amina.
🙌hongera sana sana sis Mungu akujalie kusonga mbele usirudi nyuma Mungu ni wa wote wenye mwili na humchagua yy amtakaye ili amtumikie songa mbele kazana umenivutia jambo limenigusa sana kweli Mungu hana special🥰🙏tuombe ndugu zako ktk Kristo🙏
Im from burundi🇧🇮nafurahi kumuona Irene mpya 😭😭😭❤❤❤Mungu azidi kukubariki sana dadangu Irene umenikumbusha upendo wa Mungu lakini testimony yako itawasaidia wengii ....Mungu azidi kukutia nguvu ya kumtumikia🙏
I Love You Irene👏🏼Hongera sana kwa Kumtumikia Mwenyezi Mungu ushuhuda wako umezidi kunibariki sana sana sana your Blessed God Loves you so Much🙏🏿songa Mbele Endelea kusonga mbele
Nyieee mwachen Mungu aitwe Mungu,nmelia machiz ya furaha na kujifunza meng kupitia hili, Mungu akutie nguvu usirud nyumaaa thanks God kwa ajili yako❤❤❤
Wewe ni ushuhuda halisi wa Mungu anamchagua yeyote kwa kazi yake, na kila kitu kina kusudi kinapotokea kwenye maisha ya mtu,ulitengeneza njia ili na wengine tuzidi kuamini na tuache kujihukumu na tumuamini Mungu kwa ajili ya kazi yake. Hongera kwa kuwa taa ya mabinti wengi wanaotakiwa kutumika katika ufalme wa mbinguni, barikiwa sana mtumishi wa Mungu, keep pressing on.
Hongera sana mtumwa wa Mungu,lipo kundi kubwa la vijana wataokoka kupitia wewe,,Mungu aendelee kukubadilisha uishi utakatifu wa ndani na nje,uwe natural natural kwa kila kitu.Mungu Akutie nguvu.
Powerful testimony Irene,He that started a good work in you shall accomplish it for his own glory,keep soaring higher,Jesus is proud of you,Sisterhood is proud of you❤
Ireen umechagua jambo jema sana,sitamani hata kidogo urudie yakale uliyo yaishi kabla ya kuitwa na Mungu.Mungu akutunze sana asikuache hata hatua yako moja awe na wewe daima.Sijajuta kukusikiliza mtumishi wa Bwana.Barikiwa sana.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu. Wengi watakubeza, watakucheka, watakudharau, watakukashifu na mengi mengineyo. Ila njia uliyochagua ni njema na sahihi. Mungu aendelee kukutunza na mwisho wa siku tukutane paradiso
What an encounter 👏 Wow Glory to Jesus. You even had a chance to meet Prophettes Bebe Angel wow. Kwa kweli Mungu akimbiwi. Me ata ukianzisha kanisha sishangai. God can do all things
Irene huo ni wito mamii nakushauri ufate Mungu alichokuitia na utaona mengi makubwa na ziba masikio achana na wanaokukatisha tamaa juu ya hii safari uliyoanza. Congratulations mamii😊
Nimelia Ata Sijui nn kimenigusa,naipata sanaaaa sauti niache mambo ya ajabu nimludie Mungu ila shetani yuko mbele yangu naumia sanaaaaaa naikataaa sanaaaa hii nafsi chafu 😒😔
Kuna vitu ambavyo ukiskia na kutokan na mtu mweny anatamka kile kitu inakupa kuamini na kukujengea amani kua kweli Mungu yupo na nimfinyanzi mzuri sana na hakun anacho kishindwa haswa pale anapo kua ameamuwa duh kweli Mungu yupo nikimuon Mama Krish a amini zaidi kua Mungu yupo love you Irene ❤❤❤❤❤❤❤
I tap into this anointing testimony in Jesus' Name. Amen
Ushuhuda wako kama wakwangu I was once like you and everyone was telling me that i have to serve God lakini nilikua mkaidi sana ilifika wakati Mungu aliblock kila kitu kwenye maisha yangu hapo ndipo niliamua kumrejelea Mungu nikafunga na kuomba seven days baada ya hapo Mungu aliniambia kuwa sitakiwi kumtegemea yoyote yule isipokuwa yeye tu tangu hapo Mungu alianza ku repair maisha yangu kidogo kidogo and am growing na ninamtumikia Mungu na kumtumikia Mungu haimanishi kuwa lazima uwe mchungaji nabii au muinjilisti lakini unaweza kumtumikia Mungu kwenye eneo lolote lililo halali na kila mtu aliyempa Yesu maisha ni mtumishi mtangaze Yesu dada Irene kumjua Yesu ndo ujanja sasa yani hapo ndo umekua mjanja
Amen
Baada ya kusikiliza nimetambua Irene is truly a Living Testimony. Mungu wa Mbinguni azidi kukuinua viwango vya juu zaidi dada
Pastor Tony is a blessing to Many of us. Mungu amtunze sana
Hongera sana Irene Uwoya, MUNGU ameamua kukuchagua usiache njia hiyo ni sahihi! Keep it up💌
Mungu aliyekuonekania kwenye maisha yako akaonekane na kwangu Amen 🙏♥️
Amen 🙏
Amen sana
🙏
Amen 🙏🏾 😔
🙏🏾 amen
Daaah mpk nimetoa machozi, hongera sana Irene, kwa kweli umeupiga mwingi, nakutamani sanaa❤
KWAKWELI NMEKUPENDA BURE IRENE WANGU.ALLAH AKUONGOZE.MIMI NI MWISLAM NINA IMAN YANGU LKN NMEKUSIKILIZA KWA MAKINI WW NI MKRISTO ULIOSHIBA YA DUNIA.UENDELEE KUKINAI YA DUNIANI.MANA DUNIA NI MAPITO.UBAKI KUMTUMIKIA MUNGU.NI KWELI TUMELETWA ILI TUMUABUDU MUNGU ❤. MUNGU AKUTUNZE❤❤❤❤❤POLE KWA MAPITO.HUJACHELEWA
Limeinuliwa jina lake Yesu 🙌 Halellujah
Hakika wew ni ushuhuda tosha kwa ajili ya ufalme wa Mungu. Na hii ndio maana ya kusema Mungu anawatu wengi sana hajawahi ishiwa🙌. Mungu aendelee kukutunza na ukafanyike baraka ya kuvuta watu wengi sana kwenye tasinia ya sanaa kupitia wew dada. And u will be among the richest women of God in Tanzania in Jesus name🙌
Amen
Heshima na utukufu wotee tumpe Bwana Yesu,Dada Irene ushuhuda wako umeniongezea nguvu sana ktk imani na kuendelea kunyenyekea sana mbele za Mungu
Hakika nimebarikiwa sana na huu ushuhuda!! Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Ninatamani sisi tulio elewa huu ushuhuda tumuishi Yesu kwa aşılımia 💯 kuna raha na amani ndani ya Yesu!!
Na Irene kweli umebadilika,yani umekuwa mzuri zaidi❤❤❤🙏
Hakuna neema kubwa kama hii aliopata irene neema na kusali kuomba kufunga na kua karibu na Mungu ni neema kubwa mnooo kuliko neema yoyote ile
Glory to God, Glory be to the most highest God forever and ever AMEN 🙏 🙏 🙏
YESU azidi kukutunza na kukupa nguvu ya kumtumikia.❤
Kati ya wa sanii wa bongo move ambao nimewahi kuwapenda kutoka moyoni mwangu ni ww chakwanza ni hekima Yako ya kutojibishana mitandaoni nakufurahia sana Irene Mungu akubariki sana umenipa nguvu mpya safari Yako ya wokovu inafanya na yangu hata sasa nastrago kumrudia Mungu 100%
Jina la Yesu Christo liinuliwe milele na milele Amen 🙌🏽🙌🏽🙌🏽 IRENE nakupenda kuanzia leo na Mungu atuimize katika safari ya kwenda mbinguni😭😭🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Umeongea maneno yamenigusa sana we dada 😭eeh Mungu tusamehe waja wako 🤲😭
Barikiwa dada erini ushuhuda wako umeniliza sana mungu anakupenda sana hakutaka akuache upotee umepata neema kubwa sana usiipoteze ata kidogo atazidi kukufungua❤️❤️
Mwenyezi Mungu azidi kukuinua Irene, ni maombi yangu kwa Mungu kwamba asikuache na wala usirudi nyuma, roho mtakatifu azidi kukuongoza uzidi kumtumikia, kupitia wewe Wengi wapate kumjua Mungu, Haleluya.
Waoh huyu ndo Mungu wangu naemjua , Mungu si wa watu fulani fulani bali ni wa wote anawaita unqualified na kuwa fanya qualified to His kingdom.hallelujah.i love you ❤
Kabisa huyu ndio Mungu wetu❤
Mungu Akuwezeshe sanaa Irene maana kama ni bata umelila lakutosha umepitia vikwazo vingi dunia tunapita dada kua na mwisho mwema ndo kizuri zaidi.🥰🥰
Irene mzuri iv halafu ameokoka,...mimi ni nani hata nisimtumikie Mungu,...Jehovah nisaidie nami hasa kimsimamo maana nalegalega mno. IJN Amen
Hongera sana umechagua fungu lililo jema yaani nimefurahi Mungu alikujua na alikuwa anajua Kuna majira yatafika utakuwa mtumishi wake Fanya kazi ya Mungu utalipwa na Mungu
Hakuna raha kama Mungu akikupenda jamn,its a honour in this universe, your blessed dia so blessed ,sijui kama unanielewa,Hongera n never give up n go back,keep moving Cz God will give u a backup
God bless you Irene❤️
Uzidi kusonga mbele tupo tunaokutazama kuanzia leo 🙏🏾🙏🏾 He will never Leave you nor Forsake you🥰
Haleluyaa,yaani nakuonea wivu sana, MUNGU amekupendelea sana wewe ni chanzo cha wadada wengi kumrejea MUNGU ubarikiwe sana wewe na uzao wako kwa kusimama ktk nafasi aliokuitia Mungu,hakuna tena utumwa wala ukimbizi peperusha bendera. ya YESU matokeo yake ni makubwa mno,karibu sana kwenye fungu Jema, God protect you
Wengi wataingia FOG ministry
Asante sana Irene wewe ni role model wa mabint wengi sana Mungu na azidi kukutumia kuokoa wengi. Ubarikiwe mno
❤ Njia za Mungu hazichunguziki, honger San Dad Irene keep it up
Niko Burundi.Habari ya kuokoka kwa Irene Uwoya yanifurahisha mno.Kama ni Mungu aliyemwita aendelee kumtumia ili wengine mfano wake waokoke
Mungu akutunze dada Irene...am happy for you. Jesus is always a real big deal and a permanent solution.
Neema iliyokushukia ni kubwa mno.Amani ya Bwana iwe rohoni mwako daima.Umechagua fungu lililo jema sanaaa.I really learn and proud of God for His chosen person Irene.Endelea kuwa mtendaji kwenye mavuno ndani ya shamba la Bwana.
Iyo nikweri
Mungu aliyekuita ana sababu kubwa na maisha yako Irene Uwoya
Sifa na Utukufu kwa Mungu
Mungu akubariki Irene ,umenitia moyo sana
Hongera sana mtumishi, karibu kwenye ufalme wa Mungu aliye hai ,ushuhuda wako unagusa sana ,na Kwa ushuhuda huu wengi wataokoka ,hicho ndicho ulichitiwa
Endelea Mbele hajalishi kutakuwa na changamoto Gani ,hata Mungu alimwambia Musa awambie Wana wa Israel waendelee mbele wasitazame nyumba,najifunza vitu vingi sana inanifanya kumuona Mungu hatuwezi kumuweekea mipaka,yeye anauwezo wa kufanya chochote kama apendavyo,sisi ni vyombo vya Mungu anaweza kutumia chombo chochote akipendacho yeye,Ireni nakupenda sana
Spiritual Enlightenment at its height! 👏👏👏.
I'm from Burundi nafurahi sana kuskia testimony yako Irene umeichagua njia nzuri endelea kumtumikia Mungu 🎉🎉🎉🎉
Yule mama aliyepiga kelele na safari ya Irene aje kusiliza huu ushuhuda wake ...kasema hana kanisa na yeye bado sio mchungaji lakini an kitu cha kuwaleta wengi kwa Kristo hasa mabinti...ana kitu cha kuwaambia na wakawa na ile hamu au hari ya kuja kwa Yesu ...Mungu ana njia zake za kuwafanya watu wamtumikie sio mpaka uoge uoshwe sijui ujitakase ndio utumike...Mungu anajua namna gani anavyorehemu amtakaye ili aweze kuwa wake..hongera sana Irene songa mbele mwanangu kwa ulichoamua ni cha thamani kuliko ulivyowahi kuvimiliki maishani kwako
Naamini vijana tumejifunza mengi kupitia ww asante Mungu kupitia Irene 🙏🙏
Hongera Sana Irene Neema hiyo uliyoipata, naipokea Kwa Jina la yesu.
God is Good All the time nirikuwa nakupenda ivi sasa nakupenda zayidi na zayidi maman Krish wangu❤❤❤❤kuwa kwa Yesu ni raha sana
Glory to the most high God... Hakika Kwa hichi Mungu Atakuzidisha Sana, Maana this is how GOD Can Be Explain and be seen Kwa jamii... GodBlessYou🙏 SisIRENE, (WOMANOFGOD). #FRIENDSOFGOD💪
Ubarikiwe Dada don't give up
😭😭😭Your blessed ,Umebariki wengi kupitia huu Ushuhuda.Endelea Mbele Songa Mbele Mwenyezi Mungu hawezi kumuacha Mtumishi wake aibike,Endelea kumtumikia Mungu njia uliyochagua ndio nzuri kuliko vitu vyote Duniani.
Alellujah madam Irene mungu aliekuita kumtumikia nq Mimi aniweke katika nafasi hii kwa jina LA yesu mungu akuzidishe weww uwe mfano kwetu na kwa watoto wetu Amen❤❤🎉🙏🙏
Asantee sana dada irene umebadilisha maisha yangu sanaa mungu akubariki
Yesu juu sana,ushuuda wako umesababisha nilie na nimpende Mungu tena,yani na mimi niliokoka kama wewe watu wakanipa mda ,walinicheka na marafiki waliniacha,Mungu akatutia ngivu sasa ni mwaka 16 na sitarudi nyuma.
Umenitia moyo sana dada Irene mungu azidi kukuinua sana katika huduma yako
😢😢😢 Bwana Yesu ni mzuri sanaaaa, Namemuona Mungu tena na tena kupitia huu ushuhuda. Bwana Yesu Asante Kwa haya matendo yako Makuu. Bwana Yesu aendelee kutukuzwa kwenye maisha yako mapya ya wokovu mwana wa Mungu
Ushuhuda huu unaenda kuokoa watu wengi mno ktk dhambi
Mm mweyewe najiona kama irene ntafuata moyo wng ktk kuwa mwema kwangu ,Wallah nimejiona mm kupitia huyu dada ,ngoja sasa nkatafute panadol nimeze mana si kwa kulia huku mwanzo hadi mwisho wa interview yk,Mungu atuongoze wote
Sana sanaa pamoja na mimi
Am blessed with your testimony,God is Soo loving jmn🥺🙌
Nimesikia kulia 😢😢😢😢😢😢😢😢❤❤❤❤mungu akuongoze pia aniongoze nimjue kupitia ww najiona kabsa hata ninavyoishi
After so much crying, Point taken "Ni Mungu Tuu"
Dada irene mungu akubariki sanaa hata mm nilisha kuona sana kwenye ndoto nikawa nawaza nakupataje je utanielewa hatanikikuona lakini nashukuru mungu amekuokoa.andelee kukutetea.
Merci maman Mutumishi Wa Mungu Amen❤❤❤❤❤❤
Hongera Irene ,Mungu aendelee kukisimamia hakika umekuwa ushuhuda kwa wengi, nashauri uweke namba ya simu kwa ajili ya michango kwa watakaoguswa kuchangia huduma. Binafsi nimeguswa mno na ushuhuda wako na naamini Mungu aliyetenda kwako atatenda kwangu pia ,Amina.
Such a beautiful testimony Irene. Sending you love from Kenya❤❤❤ God's faithfulness is evident in your story. More grace to you Sis.
Mungu amemchagua iren kuja kutuokoa kwenye dhambi zetu na kupitia iren tutabadilika wengi sanaaaa
🙌hongera sana sana sis Mungu akujalie kusonga mbele usirudi nyuma Mungu ni wa wote wenye mwili na humchagua yy amtakaye ili amtumikie songa mbele kazana umenivutia jambo limenigusa sana kweli Mungu hana special🥰🙏tuombe ndugu zako ktk Kristo🙏
Im from burundi🇧🇮nafurahi kumuona Irene mpya 😭😭😭❤❤❤Mungu azidi kukubariki sana dadangu Irene umenikumbusha upendo wa Mungu lakini testimony yako itawasaidia wengii ....Mungu azidi kukutia nguvu ya kumtumikia🙏
I Love You Irene👏🏼Hongera sana kwa Kumtumikia Mwenyezi Mungu ushuhuda wako umezidi kunibariki sana sana sana your Blessed God Loves you so Much🙏🏿songa Mbele Endelea kusonga mbele
Hallelujah Hallelujah 🙌🙌🙌👏👏👏👏God bless you my sister 🙏
Hallelujah Hallelujah Hallelujah
Dada Irene,ushuhuda huu mrefu,lakini nimeusikiliza..Mungu akusaidie Una kitu Cha kusaidia wengine,Fanya kama ulivyomaanisha,Bwana Yesu anatukuzwa.
Nyieee mwachen Mungu aitwe Mungu,nmelia machiz ya furaha na kujifunza meng kupitia hili, Mungu akutie nguvu usirud nyumaaa thanks God kwa ajili yako❤❤❤
God bless you Mtumishi Irene,with this na amini umegusa maisha ya wengi,Gods time is the best,God bless you
Wewe ni ushuhuda halisi wa Mungu anamchagua yeyote kwa kazi yake, na kila kitu kina kusudi kinapotokea kwenye maisha ya mtu,ulitengeneza njia ili na wengine tuzidi kuamini na tuache kujihukumu na tumuamini Mungu kwa ajili ya kazi yake. Hongera kwa kuwa taa ya mabinti wengi wanaotakiwa kutumika katika ufalme wa mbinguni, barikiwa sana mtumishi wa Mungu, keep pressing on.
Mungu akubariki sana yaan mm hata kwenda kanisani moyo wangu huwa mzito saaaana siwez sjui kwann yan roho yangu inaniuma sana sanaaa
Ongera sana huyo ndiyo Bwana Yesu anavyo badilisha watoto wake wependwao sana Dada keep moving on in life Christ in the way
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah.
Mwenyezi Mungu akubariki na akuwezeshe uendele mbele
Hongera sana mtumwa wa Mungu,lipo kundi kubwa la vijana wataokoka kupitia wewe,,Mungu aendelee kukubadilisha uishi utakatifu wa ndani na nje,uwe natural natural kwa kila kitu.Mungu
Akutie nguvu.
Am really blessed by your testimony na nakutamania.
Powerful testimony Irene,He that started a good work in you shall accomplish it for his own glory,keep soaring higher,Jesus is proud of you,Sisterhood is proud of you❤
Sifa kwa bwana Mungu nimelia😢😢 sn ushuhud nkuu sn umenijeng an niko Burundi ubarikiw na Mungu awenaw
Im happy for you Irene na umenipa nguvu ya kusonga mbele❤❤❤
Ireen umechagua jambo jema sana,sitamani hata kidogo urudie yakale uliyo yaishi kabla ya kuitwa na Mungu.Mungu akutunze sana asikuache hata hatua yako moja awe na wewe daima.Sijajuta kukusikiliza mtumishi wa Bwana.Barikiwa sana.
Mungu akutie nguvu iren uwoya na neema ya Mungu iwe juu yako daima❤ nimependa sana na ninafuraha kubwa sana kwa ajili yako
Its called restoration may the Lord of restoration continue restoring you in your entire journey Irene Uwoya blessing from 🇰🇪
Hongera kwa neema hongera kwa kuchaguliwa na Mungu hongera kwa ushindi hongera Irene Mungu ameshindaaa Ameeen
Thank you for saying YES to our LORD JESUS CHRIST ❤️❤️ we love you ireen and we are praying for you and the ministry
Mungu akubariki dd angu sijawai saidiwa na weye lakini kila siku nakuombea irene nakupenda kutokea congo
Mwacheni Mungu aitwe Mungu. Wengi watakubeza, watakucheka, watakudharau, watakukashifu na mengi mengineyo. Ila njia uliyochagua ni njema na sahihi. Mungu aendelee kukutunza na mwisho wa siku tukutane paradiso
What an encounter 👏 Wow Glory to Jesus. You even had a chance to meet Prophettes Bebe Angel wow. Kwa kweli Mungu akimbiwi. Me ata ukianzisha kanisha sishangai. God can do all things
Bebe angel sijaelewa
@@olivemwamengonakilimombeya6951 Kuna mtumishi wa Mungu alikutana nae kipindi huyo mtumishi amekuja Dar
Mungu anisaidie niiasho maisha yankumpendeza Mungu....🙏
Nimebarokiwa sana naushuhuda wako Namuomba Mungu anitendee pia ubarikiwe ❤
To God be Glory 🙏🙌🙏🙌🙏
Asante kwa hii Mungu akubariki imenijenga 🙏🏻❤️
Glory to God, nimebarikiwa mno, nimeguswa
Ushuhuda wako da Irene umeniinua sana kiroho na mimi kama binti.Kumtumikia Mungu kuna faida kubwa sana.Mungu akubariki sana dada angu.
Irene huo ni wito mamii nakushauri ufate Mungu alichokuitia na utaona mengi makubwa na ziba masikio achana na wanaokukatisha tamaa juu ya hii safari uliyoanza. Congratulations mamii😊
Nimelia Ata Sijui nn kimenigusa,naipata sanaaaa sauti niache mambo ya ajabu nimludie Mungu ila shetani yuko mbele yangu naumia sanaaaaaa naikataaa sanaaaa hii nafsi chafu 😒😔
Irene Mungu akubariki sana, kupitia wewe uta okoa wengi mnoo, endelea na usirudi nyuma kabisa.
Can't stop crying while watching your testimony 😭,our God is a merciful one and there is no one like him, Endelea kumtumikia Kwa uaminifu
Irene mapenzi ya Mungu yatimizwe kwenye maisha yako.Amina
Kuna vitu ambavyo ukiskia na kutokan na mtu mweny anatamka kile kitu inakupa kuamini na kukujengea amani kua kweli Mungu yupo na nimfinyanzi mzuri sana na hakun anacho kishindwa haswa pale anapo kua ameamuwa duh kweli Mungu yupo nikimuon Mama Krish a amini zaidi kua Mungu yupo love you Irene ❤❤❤❤❤❤❤
You are and have always been beautiful in and out. Keep your head high, you are a child of God. He loves you.
God bless you so much. This is very strong testimony.
Asante sana IRENE, ushuhuda wako umenisidia sana. Mungu akubariki na akupe haja ya moyo wako. ❤❤❤❤❤
Nimeskiliza nimeguswa na story yako Iren ,mungu akuongoze safari yako ya kumtumikia mungu
neema ya Mungu inatenda kaz sana dunian🙏🙏🙏 umenitoa sehemu mama IRENE 🙏🙏🙏sifa ni kwa Mungu
Hakika Irene umejua kunifurahisha. Mungu akuimarishe zaidi.
Karibu sana Irene Uwoya kwenye injili ya Yesu Kristo na nina wimbo mahususi inayogusa maisha ya watu natamani nikushirikishe wimbo unaitwa MY SERVIOR
Mungu akubariki sana Irene