Ndugu yangu mwislamu. Ningependa ungelekea kwa njiya za kunufaisha binadamu na waislamu. Sisi waislamu tuna matatizo mengi sana. Siku zetu duniyani Ni chache. Kesho or baada ya wakati mfupi tutasafiri. Mola amekupa gift ya kuzungumza. MaashaaAllah. Wacha kupoteza wakati wako kwa firaq, Makundi na groups. Sote sisi Ni waislamu. Namuomba Mola akupe elimu yenye baraka
Wallaah ndugu zangu hizi ni zamaa mbaya sanaa Turudini kwa Allaah na tulazmiane na njia ya salaf katika Aqiyda, katka ibada mbalimbali, na muamalat mbalimbali...Allaah asiwakithirishè hawa kina muhammad bacho...
Mashallah, @mohammed bachu ww ni sheikh ambae unatumia hekma na elimu kwa kadri allah alivokuwezesha lkn kuna watu wengine wanaendekeza jazba kuliko elimu
Subhana llah yaaarab naomba utusamehe mazamb yetu kwasababu wakati mwengne hatujui twazungumza nn maswali yanajibiwa kiushabik na hii haifai ktk dini tunajisahihisha ss wenyewe ameshawaona watu wasufi ni watu wa kuabudia makaburi kwavletu hawapo kwenye aliekuwepo yy kijana punguza kiburi na tuna muomba mwenyezimingu akupe hidaya umeenda mbali sana
Assalaam Alaykum Very sad. Extremely sad. We waste energy on fighting each other. We are filled with arrogance. It is as if we are guaranteed to enter Janna. We look down upon anyone with different views. Subhaanallaah. May Allah guide us. I wish we could use our energy into what benefit our fellow Muslims. Instead of fighting each other. Very sad wallahi.
Ni kweli hatupaswi kabisa kuhukumiana kwa maneno maana mtu anaweza akasema kitu kwa nia nzur lakin kwa jazba zetu tukapokea kivingine, na kiukweli manhaj ya sunnah waljamaa ndio pekee ya kufuatwa na masuala ya jazba na kukatana na kudhalilishana kwenye mitandao ni mabaya sana na ndio yaloenea sana.
Kitaalamu na kielimu si ndo hivohivo kaka angu,mbona unamkosoa bure ilhali yuko sawa,taalamu maana kiujuzi ,kiufundi,kielimu zaidi,elimu ndo hivohivo ni neno la kiarabu tuu,usikosowe km hujui na muangalie nani unamkosowa insha,allah.🙏🤫🤫🤐
Nilichokigundua kutoka kwa huyu sheikh Bachu ni kwamba: 1. Ni mtu wa kujifakharisha 2. Ni mtu wa ria ktk elimu 3. Anaongozwa na kibri 4. Ni mtu mwenye dharau sana. Namuombea kwa ALLAH amuondoshee hiv vitu basi atakuwa mtu mzuri sana wa da'awa km alivyo sheikh Kishki
Ninachokijua mimi mtume wetu akuwa shia wala sarafi wala suni ninachojua alikua muislamu tu hayo ni mambo yenu tu Allah atujaalie umoja amina nakama kunayeyote anajua. Mtume wetu alikua sarafi au shia au sarafi anambie aliacha sunna wajukuu zake hassani na hussen na uislamu salama kbsa
Allah amesema Waislam sote ni ndugu lkn Leo tunabaguana kwa usalaf na madheheb mengine wakat sote ni laailaha illa llah Muhammad rasoulullah bado tunaitaj jitihada sana ktk kusoma Dini .
Mawahabi shida sana,mbona wanaoenda kuwaombea dua maiti makaburini mnawalazimisha kuwa wanawaomba maiti,bila ya kuwauliza na mkasikiliza ukweli wao au uwahabi ndio kuwazushia watu tu.
Ama kweli Allah humuongoza amtakae pamoja na baba yake kuwa katuka haq lakin Allah hajamkadiria ndugu yetu yapasa tumubee.. Sasa hata ukimsikiliza hupat maelezo ya kielimu..Nasaha zangu Soma ndugu Yangu mambo ya kutafsri kiarabu sio Dini ya akhy..Waarabu wanajua kiarabu lakin pia wanasoma soma ndugu bado kijana mdogo soma soma soma soma Allah akuongoze katika haq
Huna elimu yoyote umejawa kibuli na huna adabu kwa wakubwa zako,kwa usheh wako ni bora niikose hiyo elimu,huna adabu huna hekima Tanzania mzima hupendwi kwa tabia zako mbaya,unakokwenda kubaya...
kwamba kuna jitihad ya taasisi..na jitihadi za nurdin kishki...sasa Allaahul mustaanu ...jithd gan ndio raajih kwako kulingana na dalili wabanishie watu kwan haiwezkn haqq zikawa mbili ... ihurumie nafsi yko
Sasa mbona naona unamtetea kishki na huku ukijisahaulisha mawqif ya maulamaa ya waliotangulia kuhusiana na watu wa bidaa? Na ili hali Imaamu Ahmad ameulizwa ukiona mtu anatembea na mtu wa bidaa ufanyeje? Akasema mnasihi, wakasema je ikiwa hakumuacha ? Akajibu: muunganishe nae ( yaani na mtu wa bidaa ).
Innallilah wainna ilaih rajiun watu wanaofuata manhaj salaf anawaita uvundo je ww je unawasema wezako hawana nidhamu je wewe una nidhamu Allah akuongoze katika kufuata sunnah japo nakuona kama una Sifa fulani ivi
Barakallahu fikh sheikh Muhammed bachu
Huyu sheikh, naweza pata mawazisiano nae. Amenyooka sana mashallah. Nampenda kwa ajili ya dini
Number zake nenda mbagala uta zipata
Jazzaqallahu kheir
allah akulipe khery sheikh bachu, inshallah
Ndugu yangu mwislamu. Ningependa ungelekea kwa njiya za kunufaisha binadamu na waislamu. Sisi waislamu tuna matatizo mengi sana. Siku zetu duniyani Ni chache. Kesho or baada ya wakati mfupi tutasafiri. Mola amekupa gift ya kuzungumza. MaashaaAllah. Wacha kupoteza wakati wako kwa firaq, Makundi na groups. Sote sisi Ni waislamu. Namuomba Mola akupe elimu yenye baraka
Huna HOJA.hivi si ndio kufundisha au afundishe unayoyataka
Dawa yako ni mfumo wa kiyahudi
Ndugu. Si sawa kuapizana. Allah akupe na atupe hidaaya
Wallaah ndugu zangu hizi ni zamaa mbaya sanaa Turudini kwa Allaah na tulazmiane na njia ya salaf katika Aqiyda, katka ibada mbalimbali, na muamalat mbalimbali...Allaah asiwakithirishè hawa kina muhammad bacho...
Shukran sn Shekh Allah akulipe khri❤
Muhamed bachu unafahamika Kaka upo vizurii Sana MashaAllah
MASHA'ALLAH ,Sheykh wetu Muhammad bachu
Naam
Mashallah 🙏🏿
Mashallah❤❤❤❤❤❤
Mashallah, @mohammed bachu ww ni sheikh ambae unatumia hekma na elimu kwa kadri allah alivokuwezesha lkn kuna watu wengine wanaendekeza jazba kuliko elimu
ALLAH Akulipe kila LA kheir sheikh mohamed Bachu
Sheikh Mohammad! Nimekusikiliza sanaa na vizuuri,nimekupata.
Tabia nzuri ni katika uchamungu, mwenye tabia nzuri kakushinda katika dini!
Mashaallah allahumma barik alaihi
Mashallah al akhy
Sh.Muhammad fanya kazi ukiamini Allah yukopamoja na ww
Subhana llah yaaarab naomba utusamehe mazamb yetu kwasababu wakati mwengne hatujui twazungumza nn maswali yanajibiwa kiushabik na hii haifai ktk dini tunajisahihisha ss wenyewe ameshawaona watu wasufi ni watu wa kuabudia makaburi kwavletu hawapo kwenye aliekuwepo yy kijana punguza kiburi na tuna muomba mwenyezimingu akupe hidaya umeenda mbali sana
Wewe ni shabiki wa jamii ya wapigaji raddi kimtazamo
Kajibu kisomi hamna lenu
Taannak
Na ww una mengi si tumekinai inshallah
Assalaam Alaykum
Very sad. Extremely sad. We waste energy on fighting each other. We are filled with arrogance. It is as if we are guaranteed to enter Janna. We look down upon anyone with different views. Subhaanallaah. May Allah guide us. I wish we could use our energy into what benefit our fellow Muslims. Instead of fighting each other. Very sad wallahi.
They are not fighting each other, but they debate and from their debate we get Islamic knowledges, so don't worry @A Believer
Sisi ni waswahili kiingereza hakina sababu hapa
Ni kweli hatupaswi kabisa kuhukumiana kwa maneno maana mtu anaweza akasema kitu kwa nia nzur lakin kwa jazba zetu tukapokea kivingine, na kiukweli manhaj ya sunnah waljamaa ndio pekee ya kufuatwa na masuala ya jazba na kukatana na kudhalilishana kwenye mitandao ni mabaya sana na ndio yaloenea sana.
Allah akulipe kher
بارك الله فيك
Akh punguza Riyaa, halafu umejawah na kutaka umaarufu na baba ako hakuwa hivo, MCHE ALLAH
Ikiwa mtu anaweza kuiona Riyaa ya mtu basi watu wataiona kwako, maana hii comment yako huenda ni Riyaa😎
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. Swadaqta Akhy
Allah amuongoze huyu jamaa
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. Una mtihan sana, wewe kiboko yako ni al akh Abul Abbas Muhammad Rashid, NDIE ANAKUTWANGA TWANGA NYUNDO
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. wewe huna isipokua riaa tu ..mm naamini sh bachu ingekuepo engekutwanga makofi kwa upuuxi wako huu
ماشا ء الله ماشا ء الله أمين يا رب العالمين 🤲ansante sana
Usiseme kitaalamu Bali SEMA Kielmu, Hvo
Kitaalamu na kielimu si ndo hivohivo kaka angu,mbona unamkosoa bure ilhali yuko sawa,taalamu maana kiujuzi ,kiufundi,kielimu zaidi,elimu ndo hivohivo ni neno la kiarabu tuu,usikosowe km hujui na muangalie nani unamkosowa insha,allah.🙏🤫🤫🤐
Assalaam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu hii tunaomba itengenezwe short clip ili ienee kweny magroup yawasap
Barakh Allah Khair sheikh
Nilichokigundua kutoka kwa huyu sheikh Bachu ni kwamba:
1. Ni mtu wa kujifakharisha
2. Ni mtu wa ria ktk elimu
3. Anaongozwa na kibri
4. Ni mtu mwenye dharau sana.
Namuombea kwa ALLAH amuondoshee hiv vitu basi atakuwa mtu mzuri sana wa da'awa km alivyo sheikh Kishki
Punguza mihemko
Mashallah Allah akuhifadhi kw kufuata nyayo za baba
جزاك الله خيرا يا اخي
Baaraq Allah Sheikh
Allah akulipe Ujira Stahili
mungu akulipe heli wambie aho tumekuelewa sana mr yani usiache
Kama nihivyo mbona unawaradi mashekh wenzio wanapo kosea bila kuwauliza makusdio ?
Mashaallah shekhe wetu Muhammad bachu Mungu akuzishiye ilmu zaidi inshaallah kutoka kenya khadija said Nahdi mld
Ninachokijua mimi mtume wetu akuwa shia wala sarafi wala suni ninachojua alikua muislamu tu hayo ni mambo yenu tu Allah atujaalie umoja amina nakama kunayeyote anajua. Mtume wetu alikua sarafi au shia au sarafi anambie aliacha sunna wajukuu zake hassani na hussen na uislamu salama kbsa
Unajua maana ya salaf?
Wapi Bwana MTUME alipanda azam marine
Kwani kuna ulazima wa kuendelea kujadili masaala ya ikhtilafah hamuoni mnaikuza fitnaaa
Bachu ulishawahi kumfuata Sheikh wa Kisufi ukamuuliza kama anaabudu kaburi akakujibu nfio anaabudu Mkaburi...!!?
We Ni mgonjwa
huyu kijana kapinda vibaya allah amuongoze
Niukweli kabisa Yuko vibaya huyu shekhe
Makafiri
Ktk siku nilizuelewa shkh mhmd Bach basi nikupitia hii kalma
Ustadh Njoo Kenya Nairobi Kuna baadh ya mitaa Majadida wamejaa
Ujidanganya nafc kaka wwe wew ni hizb tu
unauhakika mbona unasema tu
Punguza mihemko
Maashallah
shekh nan amsema swarf na nahwu haidhuru katika aqida ?
Allah amesema Waislam sote ni ndugu lkn Leo tunabaguana kwa usalaf na madheheb mengine wakat sote ni laailaha illa llah Muhammad rasoulullah bado tunaitaj jitihada sana ktk kusoma Dini .
Asalam alaikum, sheikh naomba ni. Yako
Ila shekh mimi ninge furahi saana ungekuja huku kwetu kenya kambini Turkana count.
Japo kwa siku chache
Nimependa wallahi majibu yako
Sheikh Mohammmad Bachu nakuelewa sana kwa uwazi wako na ukweli. Ndio maana hawakupendi.
Huyu ni fitina wa kugawa watu oogomvi ugomvi kila. Siku hana hata ilimu ya kuwafahamisha
Duh mtihani
kwani al imaam Ahmad alipoulizwa kuhusu husain Alkaraabisy alisemaje ?
Mawahabi shida sana,mbona wanaoenda kuwaombea dua maiti makaburini mnawalazimisha kuwa wanawaomba maiti,bila ya kuwauliza na mkasikiliza ukweli wao au uwahabi ndio kuwazushia watu tu.
Suala unasema maulidi hayakuwepo Enzi za Bwana MTUME wala MASAHABA..JE UROJO ULIKUWEPO Tunaula sio bidaa.
Shekh apo ulisema Uvundo umekosea ucseme maneno km hayo tumia hekma na waombe radhi km waislam wenzako
Allah amrehem shekhe nasoro Bachu bado tunapata manfaa kupia yeye kwa rehma za Allah.
Kwanini aombe radhi
Mbona kama wame edit
Barak Allahu alayk
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Mimi hatakama iwe nini sisomi kwa jadida yeyote wataniambukiza chuki zao
Kweli kabisa akhy
Majadih wana chuki sana
Kweli kabisa hawana adabu na wanakauli chafu sanaaaa
Majadida hawana hekma ktika kulingalia Da3wa.
Nini maana ya hekima
Kweli kabisa hawana hekma wala adabu,wallahi wanakauli chafu sanaaaa.
Km huyu ingeeishika sunna kweli Basi wengi wengekubeza
Hamnakazi nyinyi kwa nyinyi
Tafuteni elimu ......msiwe watu wamalumbano bachu elimu ni BAHARI elewa hilo ...
Ama kweli Allah humuongoza amtakae pamoja na baba yake kuwa katuka haq lakin Allah hajamkadiria ndugu yetu yapasa tumubee.. Sasa hata ukimsikiliza hupat maelezo ya kielimu..Nasaha zangu Soma ndugu Yangu mambo ya kutafsri kiarabu sio Dini ya akhy..Waarabu wanajua kiarabu lakin pia wanasoma soma ndugu bado kijana mdogo soma soma soma soma
Allah akuongoze katika haq
Ni kwel akh, huyu jamaa ana mtihani sana
Hakik shekh bachu upo vzr
Makundi ni bid'a, kumbe nyinyi mna taasisi, ilikuwa sijawaelewa
Sasa wafundisha kitu gan
Wewe ni mgonjwa
Unatumia nguvu kubwa sana kutetetea baathwil
Mbona hueleweki kutetea haki au batil 😕😕😕😕
Nakuuliza umesoma wapi ww?????
kwa vigezo vya shehe hao waisilamu wa pongwe ni kama mahawarij hamna tofauti kabisa.
Inaonekana waislamu wengi uwezo wetu ni mdogo Sana wa kufikiri ukweli tubadilike tumebeba chuki Sana kuliko uhalisia
Sasa huyo kishki anahusika nn hapo?
Wewe unaumwa towa mawaidha acha hayo hasidiyi kitu katika uwisilamu
Dah, dini mnaifanya ushabiki, kuingizana na kutoana kwenye sunna na usalafi kwa matakwa yenu.hahahah
Vita ni vyema tuambiiane ukweli maulidi ni bidhaa uzushi ulio wazi
Kaka ntk kjfund kwko
Mashee wenge wanapenda sana pesa ndio maana wanazalishana
Huna elimu yoyote umejawa kibuli na huna adabu kwa wakubwa zako,kwa usheh wako ni bora niikose hiyo elimu,huna adabu huna hekima Tanzania mzima hupendwi kwa tabia zako mbaya,unakokwenda kubaya...
Usifabye upu mbavu
Mihemko punguza 😂
Ndio utaalamu huu au utumbo
Huyu mtoto wa bachu hana hikma zaidi ya utovu wa adabu
Unatakiw kuwa Humble Bachu...
Fasiri uliyotoa kuhusu Ahlusunna Waljamaa inapatikana kitabu gani
Uyu jamaaa muongo huyu Yani kusema Ivo tu imam ndo ukaacha hao masalafy hili Ni vundo kweli
kwamba kuna jitihad ya taasisi..na jitihadi za nurdin kishki...sasa Allaahul mustaanu ...jithd gan ndio raajih kwako kulingana na dalili wabanishie watu kwan haiwezkn haqq zikawa mbili ... ihurumie nafsi yko
Shekhe ww niwamchongo hujuwe unacho kisema swali majibu nivitu viweli tafauti
Punguza mihemko
Huyu kijaana kwa kutafta umaarufu tu mejitahid amefanikiwa
Duuh, huyu kijana inaonekana haijui manhaji inatakiwa amtafute mwalim akasome tena,maana sijui haya majibu anayyajibu kwa ufaham wa nain katika wanawachuon
O
shekhe google uyo
Tobbaaaaa
Sasa mbona naona unamtetea kishki na huku ukijisahaulisha mawqif ya maulamaa ya waliotangulia kuhusiana na watu wa bidaa? Na ili hali Imaamu Ahmad ameulizwa ukiona mtu anatembea na mtu wa bidaa ufanyeje? Akasema mnasihi, wakasema je ikiwa hakumuacha ? Akajibu: muunganishe nae ( yaani na mtu wa bidaa ).
Huyu Ni mbabaishaji tu Wala usipoteze mda wako
Wewe ulikua HAJAWIRA hujawahi kua SALAFI baada ya kukushinda uhajawira ukaamua kurudi kwenye uhizbi
Sheikh bachu naomba nijibiwe kula nyama ya mtu . Ni kauli ya Allah au kauli ya mtume? Naomba afafanuz
Ni kauli ya Allah
Misufi kwwli inauzi maana hapa mtaani wapo kila siku wanaswali swala za tasbihi na mania
Mtaani wapi
Hahaa misufi
@@hanifatanzania7258 naona umefrahi
kuwa naadabu misufi kina nani angemuuliza babaake kilichomfanya atolewe mlango wa nyuma br 19 nikitu gani?
Innallilah wainna ilaih rajiun watu wanaofuata manhaj salaf anawaita uvundo je ww je unawasema wezako hawana nidhamu je wewe una nidhamu Allah akuongoze katika kufuata sunnah japo nakuona kama una Sifa fulani ivi
Allah akuongoze hujui unachokifanya uvundo mwenyew
Najivunia kuwa salaf swaleh
Sasa kujinasibisha au kundi?
Duh yani ukimuuliza mtu tu akikubali unamkufurisha ni mwanachuoni gani alisema hivyo ,,
Kuna kitu kinaitwa موانع التكفير sasa chunga sana usikurupuke