Hizi ndizo SILAHA ambazo BIDEN ameiambia UKRAINE inaweza kuzitumia kuishambulia URUSI! Zinatisha!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

КОМЕНТАРІ • 207

  • @hatibumohamedi3471
    @hatibumohamedi3471 3 місяці тому +21

    To day mm niwa tatu naomba like jmni🎉

  • @ramadhaniseifuledi513
    @ramadhaniseifuledi513 3 місяці тому +17

    Wakwanza mie naomba like zunu sns

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 3 місяці тому +10

    Uyu jamaa ally masudi inabidi aende jeshini mana anaufahamu sana na mambo ya kivita safi sana.. mashalah

    • @danchisunga4506
      @danchisunga4506 3 місяці тому

      Na akawa saidiye Rusia kupigana ukrain

    • @user-qq6mv6vh3e
      @user-qq6mv6vh3e 3 місяці тому

      Kabisa

    • @user-qq6mv6vh3e
      @user-qq6mv6vh3e 3 місяці тому

      ​@@danchisunga4506😂😂😂

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 3 місяці тому

      kuna watu wanajua zaidi yake

    • @jamilaathumani5481
      @jamilaathumani5481 3 місяці тому

      @@kwisa4899 iyo Sasa nichuki...mungu akimpa mja wake heshim na ukubali ..acha roho mbaya na nongwa

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 3 місяці тому +14

    Ali Masubi hatariiiii...jamaa ni mwingiii 🔥

  • @pascalmanyama2304
    @pascalmanyama2304 3 місяці тому +5

    Hakuna jipya hapo,hizo storm shadow na ATACMS Russia anazitungua kila wakati pia kule Syria ameshakutana nazo ndio maana unamuona Assad bado anadunda.Kinachofanyika hapo ni biashara tuu na kitafanya ukraine iongezewe dozi ya mapigo kitu ambacho ni hatari kwa maisha ya watu.

  • @hudumablack9339
    @hudumablack9339 3 місяці тому +2

    Pamoja na hayo yote, bado Urusi itaendelea kuyachukua maeneo mengi zaidi ya Ukraine.

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART 3 місяці тому +2

    Kaka Aliy masubi wewe ni level nyengine kabisa unastahiki heshima kubwa sana

  • @AjudeKaluwa-bp1zz
    @AjudeKaluwa-bp1zz 3 місяці тому

    Asante sana kwa taarifa

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 3 місяці тому +1

    Asanteni sana kwa taarifa za kisayansi

  • @user-es7jn7cp5d
    @user-es7jn7cp5d 3 місяці тому +4

    Asante mchambuzi kutupatia elimu wengi hatujui Mambo tumekalili urus mpaka tunasema Putin ni mungu waka mungu hazihakiwi na kitu chochote hapa dunia🙏🙏🙏

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 3 місяці тому +1

      Kwani marekani ndie mungu ,Ukraine ilishashindwa kitambo inategemea msaada wa nje ndo maana NATO wanahaha kwa uoga.Putin baba wa dunia.

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 3 місяці тому

      ​@@africanmandetraveler2847Imagine Ukraine ilikuwa hairuhusiwi kulenga ndani ya Urusi. Vp kama Ukraine inaruhusiwa kulenga ndani ya Urusi tangu zamani?

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 3 місяці тому

      ​@@africanmandetraveler2847sasa! Ndugu yangu,, hivi kweli sisi wabara tukawavamie wazanzibar? Kisa wanajitenga, hivi inakujia akilini mwako nini kitatokea, Ukraine ni ka, inchi kadogo sana,,, kasipo omba msaada wataangamizwa kwa muda mfupi sana. Hata tz bara tukiivamia zanzibar, wataomba msaada tu.

  • @toymadebho7048
    @toymadebho7048 3 місяці тому +2

    ally your the best all the time

  • @IdefonceAchimesi
    @IdefonceAchimesi 3 місяці тому +4

    Kiukwel ally masubi anajua sana na huwa namkubali sana anaongea Kwa upana sana na huwa Hana ushabiki katika kuzungumzia haya mambo kiukwel jamaa anajua sana🔥🔥

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e 3 місяці тому +1

    Hatari

  • @MsodokiTheson
    @MsodokiTheson 3 місяці тому +4

    Kuomba like ni mambo ya kichoko

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s 3 місяці тому +1

    Aatarr

  • @denislramadhani7857
    @denislramadhani7857 3 місяці тому +9

    Urusi anawatazama tu kwa mbali

  • @bensonphilip9673
    @bensonphilip9673 3 місяці тому +3

    Jamaa alisha tanguliza satellite ku disturb gps ili isi run

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 3 місяці тому +5

    Aisee vita ni biashara kubwa kuliko maelezo ndio maana watu hawataki viishe

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 3 місяці тому +6

    Taifa la kushindana na marekani katika Dunia hii Bado halijazaliwa toka utawala wa Roma ulivyoanguka

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 3 місяці тому

      😂 upo gizani unadanganywa na media, marekani shughuli yake imeshaisha hafurukuti kwa Urusi na yeye ndio chanzo cha huu mzozo, nayeye ndio anayepigana na Urusi nchini Ukraine kwakushirikiana na NATO yake lakini bado ameshindwa kufua dafu mbele ya Urusi! Urusi ni super power angalia walivyowafurusha ufaransa marekani ukanda wa Saheel Africa kuanzia Niger, Mali, Burkina Faso, Senegal sasahivi Chad! Marekani wameshindwa kuzuia uchaguzi wa uraisi nchini Urusi na raisi keshaapishwa hvyo dunia tuliyonayo ni tofauti na dunia ile aliyokuwa anatawala marekani nandio maana unaona BRICS ilianzishwa na Urusi na bado marekani alishindwa kuizuia 😂😂 hvyo ukiwa unaongea uwe unaongea facts

    • @KibwanaJunioh
      @KibwanaJunioh 3 місяці тому +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hakuna kitu kama hicho haya ni mawazo yako tu

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 3 місяці тому +2

      Asante kwa maoni yako na ndoto zako feki.

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 3 місяці тому +1

      Sahihi kabisa na aseyekubali ukweli huu akajitie kitanzi😂😂😂😂😂😂

    • @HamadJuma-kj5td
      @HamadJuma-kj5td 3 місяці тому +2

      Wewe umeshiba propaganda za magharibi jiangalie wasije kutowa hicho kinyesi

  • @ibrahimmakata2111
    @ibrahimmakata2111 3 місяці тому +2

    Yaan mambo yote haya /bidii yote hii/umahiri wote huu wakutengeneza vifaa vyote hivi kwahyo lengo la binaadam ni kuuwana sisi kwa sisi ...Mwenyezi Mungu anatumuvilia kwa mengi sana wallah😢

  • @barakamalinga
    @barakamalinga 3 місяці тому +1

    👏

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 3 місяці тому +7

    Ukrein sasa itaangamizwa na urusi

    • @user-yw3qh6qj8g
      @user-yw3qh6qj8g 3 місяці тому +2

      Siorahisi kamaunavyofikili

    • @bonifacemeela5247
      @bonifacemeela5247 3 місяці тому

      ​@@user-yw3qh6qj8gAtaangamizwa Vibaya sana Zielensky anatafuta balaa

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 місяці тому +2

      UNAOTA ANGESHA ANGAMIZA ILA ALIJUA NATO GANG WATAMFANYA MBAYA,SASA NDO MBAYA ATAFANYWA

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 3 місяці тому

      ​@@user-yw3qh6qj8g Nyie subrin muone Ukraine arushe bomu ndan ya urus ndio tutapata majibu sahh ndio ombeen na mkifrah

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 3 місяці тому

      ​Hivi ta nato hawezi kutoboa hiii wekaakilini

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s 3 місяці тому +1

    Uu

  • @AderickPutin-jm9kb
    @AderickPutin-jm9kb 17 днів тому

    urusi Ina mfumo mzuri sana

  • @mangiclaus
    @mangiclaus 3 місяці тому

    Kuna watu wanakuja kuomba likes hapa.... Mimi naomba ndege za F16 5 kuna jirani yangu ananisumbua huku wazo

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s 3 місяці тому +1

    Ally unajua kuchambua siyo kama dj smaa yupogi kishabiki sana

  • @user-tg3ev7fo9i
    @user-tg3ev7fo9i 3 місяці тому

    Hongera sana kaka

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g 3 місяці тому +4

    Daaah,marekani anapesa

    • @sadikihamisi7491
      @sadikihamisi7491 3 місяці тому +1

      Marekni hana pesa bali ana makaratas,....

  • @mchinatz9335
    @mchinatz9335 3 місяці тому +3

    NIKO HAPA NASUBIRI HAYO MASHAMBULIZI YA UKRAIN KWA URUSI ALAFU MTAONA MAJIBU YA URUSI KWA UKRAIN

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu4153 3 місяці тому +1

    Tunaelekea kipindi ambacho Urusi itarusha kombora USA

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 3 місяці тому +2

    Atuna shaka na urussi.ulaya na marekani iyali yao kuhishi watu au mbwa,putini kasema.

  • @muhammadmbaraka4515
    @muhammadmbaraka4515 3 місяці тому +1

    Silaha hizo ni hatari kwa majeshi dhaifu... lakini zikikutana na majeshi madhubuti ya URUSI zinafanywa kuwa biscuits

  • @mathiaslaurent756
    @mathiaslaurent756 3 місяці тому +1

    Nina mashaka sana na mfumo wa ulinzi wa makombora wa nchi ya urusi!!

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 3 місяці тому +1

    Hawana uwezo wakupigana Na Amerika kwasai

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 3 місяці тому +1

    URUSI na yeye alishaumia sema basi tu ni sili ya Inchi,

  • @claudejc8648
    @claudejc8648 3 місяці тому +4

    Bro acha tufe wote tu maisha yenye magumu

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm 3 місяці тому +2

    Pesa wanazo marekani

  • @dasilvajr9647
    @dasilvajr9647 3 місяці тому +1

    Huyu jama anajua kuchambua kama anachambua mpira

  • @AliAbdallah-yo8dx
    @AliAbdallah-yo8dx 3 місяці тому +1

    Hivyo ni vita vya dunia tu sababu Ukraine hawana watu watakuwa na ujuzi wa kutumia hizo sila .......

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn 3 місяці тому

    Jamamani lisije likarushwa likaja uku kwangu kitaruka kivumbi

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 3 місяці тому

    Silaha ni hatari mrusi .wenyewe kashituka yataMfikia

  • @veraisaria
    @veraisaria 3 місяці тому +1

    Huyu jamaa anaetusimulia sio mtu wa kawaida ni wa systim haiwezekani mtu wa kawaida tu ujue hivi vitu halafu awe mtaani tu huyu jamaa ni mwanajeshi yupo mtaani ni systim

  • @rashidiiddi2433
    @rashidiiddi2433 3 місяці тому

    Haimas ilipigwa sana na Russia mdamrefu sana

  • @emanuelidamiani2943
    @emanuelidamiani2943 3 місяці тому

    Aiseeeeeee kwa gharama hizo kuna kufilisika taifa. Yaaani manyang'au hawaoni hata aibu nchi zote hizo mnapigana na nchi moja na inawapa shida hivyo!!!! Ama kweli Mungu akiwa upande wako, mbona maadui watatawanyika kwa njia saba. Ngoja tu inyeshe tuone panapovuja. Ila Putin naye apunguze upole sasa, washavuka redline sana, washamlaghai sana ila yeye anavumilia, hao sio watu hao watamnyea akiwaendekeza.

  • @jamessiame5169
    @jamessiame5169 3 місяці тому +3

    Safi sana Ukraine vitisho vya vula avimuzuwii,tembo kunywa maji

  • @boniphace1
    @boniphace1 3 місяці тому +3

    Kuna watu hawapo kwenye mifumo ya serikali ila wana uelewa wa mambo sana. Serikali ijifunze kuona watu nje ya Box.

  • @djmaxbeatztz
    @djmaxbeatztz 3 місяці тому

    Hapo bado silaha za kibaiolojia za magonjwa

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 3 місяці тому +3

    Walipuane tu, tushawachoka

  • @sadikiwilibadi4533
    @sadikiwilibadi4533 3 місяці тому

    Ukren edeleen kujitetea msionewe au msiwe mateka

  • @hajiameir8688
    @hajiameir8688 3 місяці тому

    Mimi nauliza tu vifaru hatari vya ambrahams viko wapi navyo vilitutisha sana lakini sasa hatuvioni

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 3 місяці тому

    Wasitishane moto moto

  • @amanistudio467
    @amanistudio467 3 місяці тому +2

    Hivi huyu Ally masubi Kuna ubaya gani akipewa uwaziri wa ulinzi

    • @HomeboyTZ19
      @HomeboyTZ19 3 місяці тому +1

      mpe uwaziri wa familia yako, kwa hivi vi uchambuzi uchwara ndio unawaza uwaziri? we boya kweli

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 3 місяці тому +2

    Wana sns Huwa hawatuangushi

  • @amonezekiel4893
    @amonezekiel4893 3 місяці тому +3

    Mtaaramu shusha newkilia kivu, chap, acha kucherewa, unatuangusha, sie warusi, waafrica,

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 3 місяці тому +2

    Urusi kiboko mpaka imebidi watume siraha zao zote kumdhibiti mrusi.Wasicho tambua Urusi amejipanga wakimwaga mboga mrusi anamwaga ugali.

  • @DavidCharles-yi1lq
    @DavidCharles-yi1lq 3 місяці тому

    Gharama ya kombora moja ni billion nne afu inatungulia na ndege zisizo na ruban toka iran zenye gharama ya million 10 ndo maana marekan anaichukia sana iran

  • @muhengamakunga
    @muhengamakunga 3 місяці тому +2

    rasia ina bidi apige nyuklia ili apunguze mazoea uklein sio watu poa bora wafe kama ni vikwazo ulisha wekewa sasa urusi hana tena cha kupoteza

    • @danchisunga4506
      @danchisunga4506 3 місяці тому

      Unafikiri, akipiga nyukiria wenzake hawana, ajaribu aone

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 3 місяці тому

    Ona sasa,angalia sasa!

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ 2 місяці тому

    Kwa gharama hizi tuendelee Kula bia vita haviishi ni biashara za watu hizi 😂😂😂

  • @rashidiiddi2433
    @rashidiiddi2433 3 місяці тому

    Ujue Russia amejipanga Yani kabla yakuingia vitani alijua kabisa hatopigana na ukrein bali atapbana na NATO kiwanja cha mapambano Kiko ukrein nawenyewe wanaijua nguvu ya Russia ndomana hawamvamii kijeshi bali wamewapeleka wanajeshi wao kinyemera lkn Bado wanapigwa kwaiyo hayo wewe nimaoni Yako tu

  • @show...002
    @show...002 3 місяці тому +1

    nuclear itumike tyu ili heshima iwepo

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 3 місяці тому

    Urusi hatopigwa Hadi mmarekani apigike na yeye🙌🙌🙌

  • @malkiawagiza1327
    @malkiawagiza1327 3 місяці тому +2

    Zelensky hana la kusema anafanya kile ambacho Wamarekani wanamwambia.

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 3 місяці тому +2

    Tupo tunaangalia viva Russia

  • @HajjiSilima-rd3uh
    @HajjiSilima-rd3uh 3 місяці тому +1

    Duhh! Ukrain anajitia kitanzi Sasa anakubali kizembe kujitoa kafara

    • @danchisunga4506
      @danchisunga4506 3 місяці тому

      Ukrain, amesha isha, kuna nini tena chakuogopa, kama tinzi mbona muda. Groly to ukrain

  • @HalifaMouammee
    @HalifaMouammee 3 місяці тому

    Hapo NATO wanatangaza biashara ya silaha.mana walkwah kuwapa cluster bombs na Bado haijafua dadu

  • @lukafbbwebelof3874
    @lukafbbwebelof3874 3 місяці тому +2

    Ukraine bye bye Nato na Marekani wamekutoa kafara. Utakwisha na kusahaulika

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 місяці тому +1

      UNAOTA 😳🙄🤣🤣🤣🤣

  • @goodluckygobam4477
    @goodluckygobam4477 3 місяці тому

    Hapa watu washaingia kwenye mfumo acha watu wanyooshwe kwanza

  • @godfreydavid6847
    @godfreydavid6847 3 місяці тому +1

    Urusi anatishia kutumia silaha za maangamizi....Hii inamaaniaha kwenye conventional war ameishiwa mbinu

    • @kibwamoko8767
      @kibwamoko8767 3 місяці тому +2

      Wewe unaweza kupambana na Manchi yote ya NATO bila Silaha za Maangamizi.
      Wewe Mtu mmoja unaweza ukapigana na watu 40, lazima watakushinda tu otherwise utumie bunduki kujaribu kujitetea.

    • @godfreydavid6847
      @godfreydavid6847 3 місяці тому

      @@kibwamoko8767 Nchi 40 Vipi? Wewe Kwa akili yako unadhani Urusi anapigana na nchi 40 za NATO? Ushawahi kusikia F 16, F 22 au Ggripen zikishambulia Urusi, ushawahi kusikia Subs za Marekani au U8ngereza zikishambulia Urusi. Ukraine hupewa msaada mdogo wa silaha za kujilinda Tena Kwa masharti asipige ndani ya ardhi ya Urusi. Urusi husaidiwa silaha na Korea Kaskazini, China, Irani, Venezuela, Azebaijan, Belarus, na husaidiwa Majeshi na nchi Kama Mali, Ivory Coast na Guinea Bissau. Urusi vita ya conventional ameshafeli maana mipango yake imekufa ndio maaana anatishia kutumia silaha za maangamizi

    • @HamadJuma-kj5td
      @HamadJuma-kj5td 3 місяці тому +2

      Wewe ni kiziro ambacho hakina shaka ndani yake ety kaishiwa mbnu😂😂

    • @godfreydavid6847
      @godfreydavid6847 3 місяці тому

      @@HamadJuma-kj5td Yah ameishiwa mbinu...Msaada mdogo anaopewa Ukraine una masharti lukuki, mfano haruhusiwi kupiga ndani ya mipaka ya Urusi. Yeye Ukraine anaruhusiwa tu kushambulia ndani ya mipaka yake hivyo humfanya Urusi kuwa mizani inayombeba. Mwaka Jana Finland imejiumga NATO bila kuogopa vitisho vya Urusi. Ukiona taifa lenye silaha za. Nuclear linatishia kutumia basi majinyamezid unga. Urusi husaidiwa na Iran, China, Korea Kaskani, Venezuela na hata nchi za AFrica ikiwemo Burkina Faso. Mipango ya Urusi imeshafeli..Taifa kubwa kupigana na taifa changa Tena lililopakana nalo na mpaka sasa miaka miwili ishapita na kutoamgusha dola ni dalili za kushindwa

  • @daxenkiller6274
    @daxenkiller6274 3 місяці тому

    Afe nato au ukrain mbon kam WANATAK UKRAINE iishe

  • @hajiameir8688
    @hajiameir8688 3 місяці тому

    Mimi nauliza tu putin yy hana makombora ya kufika ndani ya kiev kama anayo basi kazi ipo

  • @khalidmdotta3843
    @khalidmdotta3843 3 місяці тому

    Hiyo mkwara tushazoea walitamba na mavifaru kikowapi yaani ninachokiona vita hii itakuwa kubwa kwa ujinga wa marecani

  • @MaugadoMaugado
    @MaugadoMaugado 3 місяці тому

    sasa kam ymetengnezwa 370 why USA amptie Ukraine kwkuw makombala c machache

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm 3 місяці тому +1

    Hawo anao watisha pia wanazo marekan ufarasa uingeleza nk.

    • @clementsabuni75
      @clementsabuni75 3 місяці тому

      Tatizo hao Marekani na uingereza ufarasa kwao hakuna vita ndo faida yao ni wachochezi tuu inatakiwa putini anatakiwa kushambulia nyumbani kwao.

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 місяці тому

      @@clementsabuni75ANAUWEZO? Yani hakuna anachokijua hawachochei ni kwamba mrusi anatka kutake over europe hapo anapita njia akimaliza aingie nchi nyingine, mnadhani kwanini wanamzuia? Yani hamjui lengo la mrusi ????? Yani kama afrika atokee kiongozi anatka kuchukua Afrika yote ndoivo

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 місяці тому +1

      @@clementsabuni75Hawachochei hamjui kitu,,wanajikinga sababu ana lengo la kuchukua ulaya yote hivo wakimuacha watatawaliwa kwani hamjui kitu na mnacoment nini? Unadhani wangemzuia wangejua kuna ka ugovi kadogo na ukraine? Wanajua anapita njia tu kwenda nchi zote za ulaya so lazima azuiliwe kwa nguvu ajue mipaka yake

    • @Makikokasongo
      @Makikokasongo 3 місяці тому

      Wee atuu muongomuongo sana unaona wengine wajinga

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 місяці тому

      @@Makikokasongo 🤣sio lazima uamini tumia akili yako 😉

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 3 місяці тому

    Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
    Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇰🇪

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 3 місяці тому

    Akuna kile Rashya wata fanya kwa Amerika

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 3 місяці тому

    Ukraine babalao

  • @saidimdoe5246
    @saidimdoe5246 3 місяці тому

    Urusi aipige marekani haraka bila kuchelewa

    • @mbembelatv
      @mbembelatv 3 місяці тому

      😂😂acha bhangi kijana wangu

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 3 місяці тому +1

    Putin acha huruma igeuze Kiev majivu

    • @HajjiSilima-rd3uh
      @HajjiSilima-rd3uh 3 місяці тому +1

      Imefika ahadi Putin kupambana na Hawa manyang'au wa magharibi ila Kiev anaelekezwa kuzimu ni Hawa jamaa

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z 3 місяці тому +2

    Putin ni kiongozi ambaye Haogipi Kwa chochot ni mtu wa vitendo tu

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 місяці тому +1

      UNAOTA 🤣🫣😂😂😂😂NDO ANAVODHANI

  • @e11said23
    @e11said23 3 місяці тому

    Mzee tupe kidogo putin na taliban alio waalika.wageni wake

  • @PatrickKagiraneza-ok8cw
    @PatrickKagiraneza-ok8cw 3 місяці тому

    Naku haidi hivyo vyote havita fanya lolote...vita dunguliwa kbsa...

  • @jahrean-tc8561
    @jahrean-tc8561 3 місяці тому

    Kuna Chanel moja nimemuona zelenks anaiomba nato kuifosi Russia kufanya mazungumzo ya amani dj smaa uko wap

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 3 місяці тому

    HAWA WAZUNGU WAMETUWAI ENZI ZA MABABU ZETU KUCHUKUA MALI NYINGI KUJIWEKA VIZURI MPAKA MWISHO WA DUNIA SILAA ZOTE HIZO LAZIMA UPATE MADINI KUTOKA AFRICA MATILIONI YA MADOLLA WAMECHIMBA KWETU 😢😢😢😢😢😢

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 місяці тому

      ULIZA VIONGOZI WAKO WALOWAKARIBISHA, WAGENI HAWANA MAKOSA

  • @rashidmaty7824
    @rashidmaty7824 3 місяці тому

    Aly ww ni pro American,iyo ipo wazi

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 3 місяці тому

    Putin afe

  • @lukafbbwebelof3874
    @lukafbbwebelof3874 3 місяці тому

    Ukraine Wapambe usiwakubalii

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 місяці тому +1

      Utakapovamiwa siku na Kenya au Kagame ndo utaacha mdomo 😊

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 3 місяці тому +3

    Urus si anasema ana moto 🔥, sasa hata wenzake wana moto 🔥, awashe moto na wenzake watawasha moto 🔥😂.

    • @clementsabuni75
      @clementsabuni75 3 місяці тому

      Makombora yatadunguliwa tuu

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 3 місяці тому

      @@clementsabuni75 ) acha wawashiane moto 🔥. Moto kwa moto 🔥😂😂😂

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 місяці тому

      ⁠@@zebedayokatamaduni9676wamemvumilia wamechoka miaka miwili sasa wanamtizama tu sasa hata mtu mpole upole hufika mwisho nahisi sasa umefika muda na wao kumuonesha kuwa jitafakari na utubu lasivo moto kwa moto, kweli mtoto akinunua wembe mpe

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 3 місяці тому +1

    Russia na yeye ampe Hizbollah makombora aweze kuipiga Israel

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 3 місяці тому

    Nina uhakika, wakitumia tuu haya makombora hypersonic missile zitahusika, nyuklia itahusika maana NATO hawatakua tayari kudhalilika

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 місяці тому

      Kiufupi Watu weupe wote si watu wakujishusha so hapa hadi dunia ifike mwisho ndo mambo yataisha, watakaobahatika kubaki ama watapata kazi ya kujenga dunia na kutafuta madawa nk, wataaza kuishi kama babu zetu kwa kula madawa ya porini yani kuishi natural

  • @lameckraphael3743
    @lameckraphael3743 3 місяці тому

    Chambua athar na madhara yake katika kusababisha vita,wachambua siraha tu jamaa angu

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 місяці тому

      ZINALIPUA KILA KITU KUTOKANA NA ENEO LILIPOSETIWA

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 3 місяці тому

    HAYO MADUBWANA YAMETENGENEZWA NA MAGARAMA MAKUBWA YA KUULIA KUWAUWA MINADAMU NAKUWALIBU NCHI SASA DUNIA TUNAELEKEA WAPI 😢WEKENI PROGRAM MOJA NDUGU ZANGU CHANNEL YETU MUIPE JINA ICHO KIPINDI DUNIANI TUNAELEKEA WAPI???????😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @LylyShaban
    @LylyShaban 3 місяці тому

    Huyu ally ni pro_west hamna kitu leo nimeamua kumchana kabisa tuletee dj smaa wetu ndio katufanya tuwe hapa sns

    • @abdurashidinasorodini
      @abdurashidinasorodini 3 місяці тому +1

      acha ujinga wewe wasilisha wewe sasa kama waweza mbona dharau nyingi sana

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 місяці тому

      Hhhhhhhh ANAONGEA UKWELI NA NI MSOMI MKOME ALLY NA UMUACHE MTIZAME

    • @mbembelatv
      @mbembelatv 3 місяці тому

      Sepa t af unsubscribe uone km kuna kitakachoharibika😂

  • @danchisunga4506
    @danchisunga4506 3 місяці тому

    Mbona naye putin, anayishambulia Ukrain kutoka aridhin mwake?
    Sawa kabisa ukrain ishamburiye tu. Pun ana dhani yeye, ndo yeye, atachapwa tu

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 3 місяці тому +2

    Pigaaa ao urusi nyie mnashambulia ukreni mnaona sawa yeye urusi akipigwa sio swa subiri muone chamtemakuni vita sio masiara pigaaaaa ao warusiiiiii wapuziii urusi ameingia chooo chaa kikeee

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 місяці тому +1

      SIJUI KWANINI WATU WANAONA SAWA URUSI KUVAMIA UKRAINE AMEWAKOSESHA WATU MAISHA, watoto wamebakwa wanawake wamekufa nyie watanzania nmeamini ni watu waajabu mno, bora wewe umeongea tofauti

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 3 місяці тому +1

      dogo ukapimwe akili kwanza ndiyo uje kukoment humu.

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 місяці тому

      @@PAULNYANDILE POVU🤣🤣🤣🤣🤣

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 3 місяці тому +1

      @@atutweve4160 nope swala siyo povu dogo ila inshu ni uwelewa wa uhalisia au mambo ivyo tu, ila kwa kiwango cha upeo wako wa kufikilia ndiyo umeishia hapo na kuona kwamba nipovu et.

  • @atutweve4160
    @atutweve4160 3 місяці тому +1

    URUSI KAWAONEA SANA UKRAINE JAMANI MIMI SIPENDI MTU MUONEVU NA ANATAKA KUWA MBABE, MUNGU TUSAIDIE KIUKWELI WATU WAIVI WAZUIWE KWA NGUVU SANA 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

    • @ManyaSumaili
      @ManyaSumaili 3 місяці тому +2

      Wewe nakuunga mukono ata mimi sipendi mutu kaoneya mwenziye

    • @hajiramadhanihaji355
      @hajiramadhanihaji355 3 місяці тому +2

      Lipo taifa lililouwa watu kama marekani?

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 3 місяці тому

      ukapimwe akili kwanza ndiyo uje ukomenti​@@ManyaSumaili

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 3 місяці тому +2

      ukapimwe akili kwanza ndiyo uje ukoment

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 місяці тому

      @@hajiramadhanihaji355 MAREKANI ndo mkombozi wa wanyonge hakuna unachokijua 🤣yani yule ni God Father ukionewa anakuja KIRANJA MKUU

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 3 місяці тому

    Putin acha huruma igeuze Kiev majivu

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 3 місяці тому +1

      HANA HURUMA HANA UWEZO UO FAMILIA YAKE INAISHI NCHI ZA NATO ATAIUA PIA 🤣🤣🤣🤣