Tabia ya muumini hupimwq kwa matendo yake angelikua c muislamu wala asingelipew hio comment.. mwanamke wa kiislamu anatakiwa ajistiri mwili wake kikamilifu sio kuonesha vifua na makwapa mabarabarani..mwanamke stara au ushawah kula mihogo ilioachwa wazi barabaran
Kila watu huafata kitabu kinacho waongoza katika Imani Yao so Kwa Sisi haijalishi unatabia gani hiyo ni juu yako lkn swala la kujistiri ni amri na sio ombi
Mimi nipo tofauti dhumuni la interview km hii HASWA KWA ZABIBU na situation zooote alizopitia bado hajakaa sawa ni mzazi why mnamfanyia hivi? Siyo sawa kiiafya haswa psychology mnazidi kumuaribu hata km ana saidiwa maswali yakuendea kumuharibu psychology siyo sawa kiafya hata malaika wake atamlea vp akiwa hayupo okay inside. madhara hamuwezi ona sasa. I'm very Emotions nimeangalia 15 mins nimejisikia kuumia sanaa I can't🥺 Zabibu yr very beautiful Mashaalah Allah akulinde nakukusaidia.
Ila Zabibu ulikuwa jasiri sana! Darasa la nne bado hata hujui dunia ni nini.Mpaka umri huu naamini wamekufunua wengi.Jitahidi mdogo angu uwe na sehemu za siri sio za maonyesho na mazoezi kwa wahuni.Maskini kanatia huruma sana ka Zabibu ketu.
Awee zabibu muislam wacha waislamu tumpe nasaha ...ajitande nywele zisionekane ndo uislam unavyofundisha ...haswa huu mwezi lzma uishimiwe angalau angejitanda kidogo ..uoni ata migahawa inawekwa mapanzia yote ni kuuheshimu mwezi ...so kupeana nasaha ni muhimu sana .... ajistiri ni bint wa kiislam
Jamani zabibu nimzuri Sana mashaallah angekuwa hayupo kwenye mahusiano mm ningemuoa Ila nimewahiwa mm nimwana family wa maximamu namukubali Sana zahiri na timu yake nzima nawaombea kwa Allah wajallah awape hekima supila mfanye kazi zenu kwa baraka tele za Allah tabaraka Allah inshaaallah Mina llah
Yani mm nasema kabisa huyu zabibu ni utoto tuu na hawez kujiongoza...mm nabaki kulaumu pale pale malezi yamechangia huyu mtoto kufanya hayo mambo...hv kweli mtu mzima anaona kijana wake Kaleta mtoto wa miaka 14 unamwita mkwe??yani huyu akisaidiwa anatakiwa aondolewe kwao na hata kwa kina halfan pia aondoshwe aoate mtu wa kumuongoza ajue nn maana ya maisha atambue makosa.
Vijana wasaidiwe"counseling"baadaye atafutiwe cha kufanya wataziiishi ndoto zao kwa uongozi na rehema za MWENYEZI MUNGU ALIYEHAI watashindaa. Wapelekwe Sober house kwa da Pili. watasaidika,
Zabibu haelimiki, yaani kila akisifiwa ndoo anajianika,tizameni sasa ramadhani yotehii, bichwa wazi kilasiku tunamfundisha, hafundishiki, hebu tizameni munira, mtoto msikivu mashaa Allah,darasa 4,unakubali ukaishi na mwanaume, kicheche kweli wewe mtoto
Mashallah mdogo wangu Leo Hadi nimekusahau😍 nakushauri bado mdgo wewe hivyo tulia ulee wanao tafuta njia za uzazi WA mpango usizae tena.Halafu Una mwili Sana ukitulia
Pole sana zabibu na sahivi umekuwa siyo kama zaman sahivi kuwa na msimamo lea watoto wako achana na wanaumme,tafuta kazi sahivi usidaganyike sahivi wanaumme asilimia nyingi ni waongo sana usije tena kudaganyika na watu wa mtandaoni,walivyokuona hivo wakakutamani na ww ni mwepesi sana kudaganywa,kuwa na msimamo sahivi mdogo wangu, Allah atufanyie wepesi upate kazi uje uwasaidie wanao inshallah Allah 🙏🥰😘😍
Zabibu she's so beautiful akapata mazingira tofauti na hiyo ya hapo kwao na afwate dini tu vizuri asomeshwe maana hata shule anaweza soma au chochote kile trust me akirudi huko kwao atashaangaa hata hao wanaume amezaa nao mwanzo ataona sio levels zake kabisaa maisha ya mamake Zabibu ndio ilifanya aingilie sex mapema because of money mungu akuonekanie Zabibu uwalee wanao 💞🙏🙏🙏gud work Fabi.
Zabibu bwana akili yake bado ya kitoto akitegwa kidogo anatoa siri zote 😂 😂 😂 kanifanya nicheke kwa sauti kama atapata mtu wakuishi nae sio mwanaume hata mtu wa kukaa nae huenda angebadilika kutumia ile kitu
mashaAllah zabibu ukikaa ukitulia utapata stara mume mzuri tuu mm ningemshauri zabibu kama atakubali angeenda kusomea veta fundi cherehani ukaa ukalea wanao tuliza akili mdogo wangu mapenzi kweli nimatamu lakini sasa tulia ulee ama utakuta unaza n kila mtoto n Baba yake watakuwa list
Pole ndugu yangu ukiwa na matatizo yako jaribu kuamka usiku uwe una sali na kumuomba allah akusaidie Halafu fata watu wakubwa wenye ujuzi wa maisha au nenda bakwata ukadai haki yako ikiwa kutunzwa au kuachika Katika mitandaoni ni kujiaibisha na hakuna atakae kufaa... ni ushauri tu
Yes zabibu mzuri ila ifike kipindi aambiwe ukwel, mtoto wa miaka 17 watoto wawili, atulie home ache kutoroka home, apunguze kukitembeza, bangi aache alee watoto leo 2022 kapata mtoto wa pili kwa akil za full age next year ataleta mapacha
Ila kuna watu wana wazazi wazur jaman...daaah mama yangu apo ungejuta maisha yako yote...ata sijuw ujasiri awa watoto wanatoaga wapi.daaah awanaga ata uoga wakumuogopa mzazi..!!
Shani na amina amn mzaz anae kubal mttoe aaribik ni bas tu na mzaz ni mzaz kipenz chang ata umkosee vip ww ndie bint yaka kiukwel ata uwe mkal ila majang kama Ayo weee ni lazm uwe mkal Jap utaumia ila utakubal Tusem ty mzaz ni mzazi🙏
ZABIBU JISI ANAVYOONGEA YANI YEYE KATIKA MAHUSIANO YAO ALIANGALIA SANA UTAMU YANI KUFANYA MAPENZI TU ILA SIO ALIWAZA MAISHA YA MBELE HAPANA ALIANGALIA SANA UTAMU TUU.
Astafilullah darasa la nne mmmmh mungu wangu uliwahi we mtt mungu wangu ni umechachuka tangu zamani zabibu mmmmh alafu unapenda kukaa na wanaume wewe mtt kaaah mwenyezi mungu atusamehe sana na atuepushe na vizazi vyetu yarabi
Zabibu naona anavyomuona munira katulia anawasikiliza na yy anataka abadilike awe kama munira sasa amecherew munira yupo kwenye msimamo ametuvyuja moyo sana kuzaa tena
Jamani maswali mingi kwa huyo dada na nimdongo sana mungu yupo dada pia mimi niko na miaka 27 lakini nina mtoto wa miaka 10 but mungu yupo nasi dada yangu pole sana
Zabibu ww ni mama wawa toto wawili kwa umli ni mdogo sana kwa.matendo ni mkubwa sana kachini ule watoto wako uza ubuyu karanga kashata upate matumizi madogo madogo kwa ajiri ya watoto wako maswala ya mabangi na mapenzi ya kiolela olela achana nayo tafuta fulus nzen
Kwa nilichokiona kwa huyu binti ni bado mdogo bado akili yake ya kujitambua ni zero maana type zake ni za wanaume wavuta bange na wakaa vijiweni yn hakajui bado hata kujielezea vzr halafu kingine hajui kukataa mwanaume
Anapenda wanawume wa vuta mbangi Kwa sababu waichangiye hooovyo mi sikupendi ajili ya ayo mabangi na kuza na wanawume wasiyo kuwa namana na unawona na maisha ya kwenu naweye njo wa kusaidia kwenu hovyo 😏😏😏😏😏😏🥱🥱
Tafadhali maximum tv muulizeni zabibu ashaanza family planning sije mkaskia mja mzito tu sasa hivi alphani kambebesha tena..mkumbusheni tu pls 🤲huyu mschana mrembo ila bado mtoto sana..tena arudi shule ajielewe zaidi
Aiseeeee dunia simam nishuke nimefka ktuo chng jmni ao mama wote ao wa 3 kawapa nin mbn wamepoa ivo yn mama ote kila ktu sawaaaaa kila ktu wanachoambiwa zabib anasem atak kuzaa ten wakt gurudum la wanaum bado analiendeleza
Fabi hujui kutangaza kipindi cha mapenzi sababu huna experience chingine unayachanganya maneno mdomoni upangiliaji wake chingine bro unauliza maswali km zahir ya kwenye sad moments tofautisha sad moments na loves story jaribu kujifunza kwa wenzio waliotangulia....sio mnafiki ila I’m try the best everyday to tell you that truthfully so I abeg you if I disappoint you 🙏 siwezi kukusikiliza mana nitakukosoa sana na mungu hapendi
Sie wapemba .au wazanzibar watu wa bara wanasependa kutwambia kuwa watu wa zanzibar tunapenda kuolewa wadogo sana .ila nimeona bola hivo kuolewa mapema kuliko watu wa bara .siku moja nilioongea na zahiri akanambia akanilaunu nyie wapemba mwaolewa mapema yani lawama tele .ila nimeona kit hapa wabongo wao wanatumika sana wakiwa wadogo .tena akiaambiwa Nakupenda t.na akiwaambiww n mwanaume njoo kwangu bs anajimaliza anamfata tu anaeenda kuishi nae .na wazazi pia ata wsws hawana wanawaachia t .binafsi sijapenda hawa wadada .zabibu . munira na wengine wapo wengi wanaotumika hivo wazazi jitahidini bs kuwa imara maana mtto akishakua na miaaka 20 .bs ashatumika vokutosha
Bro samahani umesema zahidi badala ya(zaidi)pia kwenye vichwa vingi vya habari zenu hua mtanumia H mfano:aua mnaandika haua na mengine mengi ila nisamehe kwa kukosoa ni maoni tu
Hapa tatizo nilogundua akili ilikuwa bado hivyo alikuwa hajaweza changanua mambo,,pole sana Zabibu mm nakupenda bure
Unaweza kufunika kichwa lakini umeshindikana, tabia nzuri inaweza kupatikana hata kama unavaa Jean's
Tabia ya muumini hupimwq kwa matendo yake angelikua c muislamu wala asingelipew hio comment.. mwanamke wa kiislamu anatakiwa ajistiri mwili wake kikamilifu sio kuonesha vifua na makwapa mabarabarani..mwanamke stara au ushawah kula mihogo ilioachwa wazi barabaran
Kila watu huafata kitabu kinacho waongoza katika Imani Yao so Kwa Sisi haijalishi unatabia gani hiyo ni juu yako lkn swala la kujistiri ni amri na sio ombi
Jipe moyo hata Kwa mambo yakukupoteza.
Zabibu mzuri Ma Sha Allah ila anapendeza zaidi akijistiri kichwa🥰🥰🥰
Mashaallah zabibu kwa kweli we ni mrembo ddangu usizae tena saii panga uzazi mtt akianza kutembea fanya kazi ulee wanao tosha usizae tena
Interview nzuri sana. Hongera Fabi. Zabibu mzuri sana. Nampenda saaana ❤✌
Mimi nipo tofauti dhumuni la interview km hii HASWA KWA ZABIBU na situation zooote alizopitia bado hajakaa sawa ni mzazi why mnamfanyia hivi? Siyo sawa kiiafya haswa psychology mnazidi kumuaribu hata km ana saidiwa maswali yakuendea kumuharibu psychology siyo sawa kiafya hata malaika wake atamlea vp akiwa hayupo okay inside.
madhara hamuwezi ona sasa. I'm very Emotions nimeangalia 15 mins nimejisikia kuumia sanaa I can't🥺
Zabibu yr very beautiful Mashaalah Allah akulinde nakukusaidia.
Ila Zabibu ulikuwa jasiri sana! Darasa la nne bado hata hujui dunia ni nini.Mpaka umri huu naamini wamekufunua wengi.Jitahidi mdogo angu uwe na sehemu za siri sio za maonyesho na mazoezi kwa wahuni.Maskini kanatia huruma sana ka Zabibu ketu.
😀😀😀😀at maonyeshooo
Ni mtoto hakuweza kujitetea watoto wakike ni wa kuwalinda hasa na Mungu atusaidie!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ety ajitahidi awe na sehem za siri🤭🤭jamani mie nimeshangaa sana, darasa la nne mtu ashajua mapenzi🤦♀️🤦♀️🤦♀️
Aisha unanivunja mbavu zangu eti wamekufumuaaa daaah we nomaa
Zabibu mzuri manshallah, tulia sasa hivi ulee watoto wako achana na mambo ya wanamme
Kujisitiri mbona kavaa jamani? IMANI IKO MOYONI SIO MAVAZI.
AMBAE MTIMILIFU KATIKA HII DUNIA ANYOSHE MKONO HUMU.
Hamna ila kukumbushana kupo
Awee zabibu muislam wacha waislamu tumpe nasaha ...ajitande nywele zisionekane ndo uislam unavyofundisha ...haswa huu mwezi lzma uishimiwe angalau angejitanda kidogo ..uoni ata migahawa inawekwa mapanzia yote ni kuuheshimu mwezi ...so kupeana nasaha ni muhimu sana .... ajistiri ni bint wa kiislam
Zabibu nibint wakilsam nasi km waislam wanzake nilazima tumlinganie hivo ndivo uislam unatufundisha
@@nasraabdallah850 naam ukhty
Mbona siku zote akihojiwa huoni nywele Leo ndo kaenda hivo
Jamani zabibu nimzuri Sana mashaallah angekuwa hayupo kwenye mahusiano mm ningemuoa Ila nimewahiwa mm nimwana family wa maximamu namukubali Sana zahiri na timu yake nzima nawaombea kwa Allah wajallah awape hekima supila mfanye kazi zenu kwa baraka tele za Allah tabaraka Allah inshaaallah Mina llah
Mwanaume yupi ndugu,,,,hyuu bint angepata Mwanaume alotuliaa angetuliaa mnoo,,,maan alishapitia meng
Hy naomba kuongea na ww
@@zainabchizi960😅
Zabibu funika kichwa wewe mtoto wa kiislamu nakupnda kwa ajili ya ALLAH😍😍😍, MUNGU akuongoze mdogoangu
Kwani mwarabu huyo mpaka ajifunikefunike kama anakwenda kujilipua
@@Mpakauseme 😂😂😂😂😂😂😂
@@Mpakauseme 😂😂😂😂
@@Mpakauseme hahahahahahahahahaha haki hizi coment kwakweli sio mwarabu
@@Mpakauseme kama ujui maana ya kujifunik funga🤐🤐🤐 domo lako usiniletee makasiriko 😏😏
Yani mm nasema kabisa huyu zabibu ni utoto tuu na hawez kujiongoza...mm nabaki kulaumu pale pale malezi yamechangia huyu mtoto kufanya hayo mambo...hv kweli mtu mzima anaona kijana wake Kaleta mtoto wa miaka 14 unamwita mkwe??yani huyu akisaidiwa anatakiwa aondolewe kwao na hata kwa kina halfan pia aondoshwe aoate mtu wa kumuongoza ajue nn maana ya maisha atambue makosa.
kabisaa,mazingira hayo na ukosefu wamuongozo ndiko kumechangia zabibu kuishia katika hali hii!
Kabisa
Vijana wasaidiwe"counseling"baadaye atafutiwe cha kufanya wataziiishi ndoto zao kwa uongozi na rehema za MWENYEZI MUNGU ALIYEHAI watashindaa.
Wapelekwe Sober house kwa da Pili. watasaidika,
Nampenda saana zabibu
Lkn kichwan ndio mtikhan
Zabibu haelimiki, yaani kila akisifiwa ndoo anajianika,tizameni sasa ramadhani yotehii, bichwa wazi kilasiku tunamfundisha, hafundishiki, hebu tizameni munira, mtoto msikivu mashaa Allah,darasa 4,unakubali ukaishi na mwanaume, kicheche kweli wewe mtoto
😂💃💃
@@zuhurakhasimu969 huyu wa dela jekundu nimkorofiiii
Yaani dah darasa la nne ila siku hz kupevuka haraka sijui maana darasa la nne sijui chchte yaa rabbi ...ee mungu vinusuru vizazi vyetu jamani 😭
Akili zake na makundi pia yanachangia ukifatana na mtembea wazi na ww utakuwa hvyo
Hahahahahahahahaha darasa la nne na shule hataki tena
Mashallah mdogo wangu Leo Hadi nimekusahau😍 nakushauri bado mdgo wewe hivyo tulia ulee wanao tafuta njia za uzazi WA mpango usizae tena.Halafu Una mwili Sana ukitulia
Haki Fabian uko vizuri kakangu kwa kazi Yako🥰Allah Akutanguliye kwenye safari Yako ya maisha
Mashaallah zabibu mzuri,lakn mbona leo hukujistiri nwyele zako kipindi hki cha mwez mtukufu.
Dada imani haikai kichwani,bali moyoni
@@josephmuchiri3180 Nashangaa
Nikweli zabibu mzur lla aache mambo ya vejiweni na bange aache
Haki tabia ya zabibu sio nyakumlaumu anahitaji mtu amuongoze
Pole sana zabibu na sahivi umekuwa siyo kama zaman sahivi kuwa na msimamo lea watoto wako achana na wanaumme,tafuta kazi sahivi usidaganyike sahivi wanaumme asilimia nyingi ni waongo sana usije tena kudaganyika na watu wa mtandaoni,walivyokuona hivo wakakutamani na ww ni mwepesi sana kudaganywa,kuwa na msimamo sahivi mdogo wangu, Allah atufanyie wepesi upate kazi uje uwasaidie wanao inshallah Allah 🙏🥰😘😍
Dah zabib Leo umeniangush ukifunikag kichwa unapendez saan lkn Leo nahuo msuko mh sio wa nchi hii
Fabin kisaka nakupenda sana
Zabibu mzuri mashaa allah
This girl is so adorable 🤩 watching all the way from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Zabibu were sie...mama yk unamuathirisha kwaajili ya m.mume..Zahir anamtolea mane no duuuh...Dunia mwisjo
Zabibu she's so beautiful akapata mazingira tofauti na hiyo ya hapo kwao na afwate dini tu vizuri asomeshwe maana hata shule anaweza soma au chochote kile trust me akirudi huko kwao atashaangaa hata hao wanaume amezaa nao mwanzo ataona sio levels zake kabisaa maisha ya mamake Zabibu ndio ilifanya aingilie sex mapema because of money mungu akuonekanie Zabibu uwalee wanao 💞🙏🙏🙏gud work Fabi.
Zabibu bwana akili yake bado ya kitoto akitegwa kidogo anatoa siri zote 😂 😂 😂 kanifanya nicheke kwa sauti kama atapata mtu wakuishi nae sio mwanaume hata mtu wa kukaa nae huenda angebadilika kutumia ile kitu
😂😂😂hata Za kitandan
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mashallah Fabian uko vizuri
Hongera , zabibu take care of your kids God will open the way
mashallah warahi zabibu amependeza akae tuu kwa mkwewe
Zabibu mzuli sana jaman tulia ww ni mzuli sana ❤️mashaallah
mashaAllah zabibu ukikaa ukitulia utapata stara mume mzuri tuu mm ningemshauri zabibu kama atakubali angeenda kusomea veta fundi cherehani ukaa ukalea wanao tuliza akili mdogo wangu mapenzi kweli nimatamu lakini sasa tulia ulee ama utakuta unaza n kila mtoto n Baba yake watakuwa list
Chrahani Kuna vipimo mpaka mahesabu yataka mtu na akili ya kushika sio rahisi hivyo mnavyothania
@@mamalao8574 huo n mfano tuu nimetowa
Fabi nielekezee ofisi yenu ipo sehmu gani nije na Mimi nije nitowe yangu ya moyoni ya kutelekezwa na mme wangu ☺️😌😊
@@Awatee point
Sawa asateni kwa ushauri🙏
Pole ndugu yangu ukiwa na matatizo yako jaribu kuamka usiku uwe una sali na kumuomba allah akusaidie
Halafu fata watu wakubwa wenye ujuzi wa maisha au nenda bakwata ukadai haki yako ikiwa kutunzwa au kuachika
Katika mitandaoni ni kujiaibisha na hakuna atakae kufaa... ni ushauri tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimejikuta nacheka kweli pole sn ndg
Shukurani kwa wote mliyonipa ushauri Allah awazidishie umri mrefu 🙏🤲
Maskini katoto mashaallah karembo allah akuongozeyenyekher badonimtoto naamini utabadilika mn kunawatuwakubwa wanafanyamamboyaajabu hadishetani anawashangaa
Yes zabibu mzuri ila ifike kipindi aambiwe ukwel, mtoto wa miaka 17 watoto wawili, atulie home ache kutoroka home, apunguze kukitembeza, bangi aache alee watoto leo 2022 kapata mtoto wa pili kwa akil za full age next year ataleta mapacha
Ameishaambiwa sana huyu mtoto ni sikio la kufa
Ameishaambiwa sana huyu mtoto ni sikio la kufa
Sema unakili sana ila tu hujampata mtu wakukutuliza akili wallah Zabibu tulia mwaya wee uko so beutifull gril
Mashaallah kizabibu kinasula softii
Khaaaaaa, aiseeeee umri huo watoto wa2 mungu akutunzir lkn
Ubadilike sasa ustirike kw a ndoa tena
Kazuri sana zabibu tuliya bac
Maximum TV hoyeeeeee💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽🔥🔥🔥🔥👍
Ila kuna watu wana wazazi wazur jaman...daaah mama yangu apo ungejuta maisha yako yote...ata sijuw ujasiri awa watoto wanatoaga wapi.daaah awanaga ata uoga wakumuogopa mzazi..!!
Ukiona hvyo ujuee mama hakun,,,,yaan mzaz ukiwa ni mkal bint haharibiki hvyoo Allah atunusuru na vizaz vyetu
Shani na amina amn mzaz anae kubal mttoe aaribik ni bas tu na mzaz ni mzaz kipenz chang ata umkosee vip ww ndie bint yaka kiukwel ata uwe mkal ila majang kama Ayo weee ni lazm uwe mkal Jap utaumia ila utakubal Tusem ty mzaz ni mzazi🙏
ZABIBU JISI ANAVYOONGEA YANI YEYE KATIKA MAHUSIANO YAO ALIANGALIA SANA UTAMU YANI KUFANYA MAPENZI TU ILA SIO ALIWAZA MAISHA YA MBELE HAPANA ALIANGALIA SANA UTAMU TUU.
Mbona utamu sasa 😂😂
@@rahimaan6481 🤣🤣😆😆😆
TENA ALIANZA KUSKIA UTAMU AKIWA BADO MTOTO MDOGO SANA .ATA BARABARANI HANGEKATAA .
😂😂😂akuamgalia mapenzi aliangalia ngono kuna tofauti ya love and sex
@@roseatieno6691 😂😂😂
Astafilullah darasa la nne mmmmh mungu wangu uliwahi we mtt mungu wangu ni umechachuka tangu zamani zabibu mmmmh alafu unapenda kukaa na wanaume wewe mtt kaaah mwenyezi mungu atusamehe sana na atuepushe na vizazi vyetu yarabi
Ishallah🙏
kwny uongo.tuseme na ukwl tuseme zabibu mzuriii
Subhanaallah wamaume jamani watoto wetu muwe makini💔💔maashallah mpole sana usikubali kabisa zabibu kuchezwa tena Masikini
Kauli kazabibu
Mashaallah zabibu mzuri sana mashaallah
Afu mtangazaji mbon kama simuelew 🥺🥺handsome jamn with that eyes 🥺🥺🥰
Jaman huyu hajatimiza miaka 18 lkn kanishinda tabia na maswali anavyo yajibu sasa Mungu nihurumie mie na kizazi changu
Pengine 16
Zabibu wew mzur san nataman ningekuwa ndo mm nipo kama wew kweli dunia ingesimama bila shika,zabibu leo ujasitili kwann my wetu mwezi mtukufu huu.
Pole sana zabibu umeanza mahusiano ukiwa mdogo sana darasa la 4 sawa na miaka 10 inauma kama mzazi .
Mmi ningependelea zabibu arudi shule yaliyotokea n bahati mbaya,rudi shule mdogo wangu
Jaman zabbukanenepa juhud za mamkwe pongez kwake kamtendea haki mzaz
Mungu atustiri nawatto wetu lkn darasa la nne ni mtto mdogo sana. Mtihani kweli jamani. Mpaka sasa sura yako inaonyesha bado mdogo Zabibu.
Mashaaallah Zabibu leo Studio mbona hukuvaa mtandio leo
yani nikimsikiliza Zabibu yani nachoka kwakweri hii Love story yani usanii kama wotee
Leo kanoga uzazi umempenda🥰🥰🥰🥰🥰 hyu mtoto atuambie anataka maisha gni kwenye hii dunia😁
Mzuri nampole sana akikaa mazingira mazuri naamini atabadilika lkn mumsihi aache bangi napombe afuate ibada nadini sana
Uyu Faby jamani mbona mzuri ivii
Zabibu naona anavyomuona munira katulia anawasikiliza na yy anataka abadilike awe kama munira sasa amecherew munira yupo kwenye msimamo ametuvyuja moyo sana kuzaa tena
Aisee darasa la 4
JAMANI mzuri huyu mtoto
Halfani umeokota dodo hapo hongera mtuliye mfanye maisha
STD 4 . Zabibu ulikuwa uxhapata ukubwa? Yani kuvunja ungo. Mmmmh aise Zabibu uko vizuri
Kazuri mashallah zabibu halafu mdogo
Jamani maswali mingi kwa huyo dada na nimdongo sana mungu yupo dada pia mimi niko na miaka 27 lakini nina mtoto wa miaka 10 but mungu yupo nasi dada yangu pole sana
Mashallah huyu msichana ni mrembo sana angevumilia usichana wake angezidi uzuri wallahi tena nakupenda bure my dada
Kwakwel ni mzur ila hajatulia bad
Fab nawe mmbeya na maswal yako nifanye nije namie niongee yangu ya moyon😜
Mashallah zabibu mzur basi maisha me naona yanamvuluga
Mtoto darasa la nne, kweli kuna muda dunia inakimbia kwa kasi sana, woi
Kweli aaan nashangaa mi nilifika fm 3 ata ungo sijavunja jamani
Kumbe mzuri uyo binti mashallah 🥰🥰🥰
Sana
Zabibu nimrembo mno ndg ulikuwa ujui ilo yani nibas tu ndopale unaskia kwenyemit hamna wajenz ila nimtt mrembo sn hataki kutulia tu
Zabibu nimrembo mno ndg ulikuwa ujui ilo yani nibas tu ndopale unaskia kwenyemit hamna wajenz ila nimtt mrembo sn hataki kutulia tu
@@nasraabdallah850 kampita had huyo wema sepeto watu wanosemaga mzuri,tizama toto halijapambwa yuko iv je angekuwa na hels
@@fatmamsiliwa8485 umeonaee hatar mi ananikata tu kutokutulia ila ndoivo tunazid kumuombea Allah atamuongowa mja wake
Mashallah she is so beautiful girl
Zabibu U looking beautiful today mashallah ❤️
Zabibu ww ni mama wawa toto wawili kwa umli ni mdogo sana kwa.matendo ni mkubwa sana kachini ule watoto wako uza ubuyu karanga kashata upate matumizi madogo madogo kwa ajiri ya watoto wako maswala ya mabangi na mapenzi ya kiolela olela achana nayo tafuta fulus nzen
Kwa nilichokiona kwa huyu binti ni bado mdogo bado akili yake ya kujitambua ni zero maana type zake ni za wanaume wavuta bange na wakaa vijiweni yn hakajui bado hata kujielezea vzr halafu kingine hajui kukataa mwanaume
Anapenda wanawume wa vuta mbangi Kwa sababu waichangiye hooovyo mi sikupendi ajili ya ayo mabangi na kuza na wanawume wasiyo kuwa namana na unawona na maisha ya kwenu naweye njo wa kusaidia kwenu hovyo 😏😏😏😏😏😏🥱🥱
Tafadhali maximum tv muulizeni zabibu ashaanza family planning sije mkaskia mja mzito tu sasa hivi alphani kambebesha tena..mkumbusheni tu pls 🤲huyu mschana mrembo ila bado mtoto sana..tena arudi shule ajielewe zaidi
Mbona mdogo ivi jaman
kiukweli zabibu akikaa kwa mama Fani ana nawili sana
hata kipndi chamimba alinenepa🌹🌹
Zabib mzuri achana na yule mvuta bangi mwenzio ulee watoto wako, iga mfano wa Munira wanaume wapo tu unaweza kupata wa kukuoa tulia ufanye biashara
Wtoto zetu hawa mungu ndo anajua
Unasoma darala la 4 then unaenda kutambulishwa ukweni👫
Apo hyo ya mchongo maana ata hao wakwe huenda awako sawa duh hatari
🤣🤣🤣🤣🤣
Inaelekea hilo eneo wazazi na watoto wote mvurugano 😅😅😅😅😅
Mimi nahisi alikua anacheza kimamamama
And be strong dear, life is not easy.
Ukweli tuu broo huyo mdad Yuko vzur xan
Dunia isimame wengine tushuke lol darasa la nne kweli zabibu ?
🤣🤣🤣🤣🤣
watoto wa mjini dada
Darasa la nne nlikua na miaka 10🙆🏽♀️
@Mwanangu unajua sana
Darasa la nne kashajua kuachana zabibu mungu akusaidie ubadilike tu ni mitihan tu ya dunia
Aiseeeee dunia simam nishuke nimefka ktuo chng jmni ao mama
wote ao wa 3 kawapa nin mbn wamepoa ivo yn mama ote kila ktu sawaaaaa kila ktu wanachoambiwa zabib anasem atak kuzaa ten wakt gurudum la wanaum bado analiendeleza
Wanalanaa jmn
Yni sio laan wote awajielew tyu na uyo mwanaum wake ndo kbsaaa
DAAAA?YANI ADI LEO BADO MPO NS HII FAMILIA?KUNA WATU KIBAO WANAUMWA,EBU ACHANENI NA WATU HAWA
Jaman zabibu kazuli saaaaana na saaaana💞💞💞💞💞
Sanaaaaa
Zabibu mwanangu upepo mbaya ulikupitia mapema
jamani mm namtaka huyu binti nimuoe
Nenda kitaani kwao
Muache alee kwanza
Mfate kwao kama upo serials
Nikweli ila uyu naona kalelewa Kama gilasi maana ata kuosha vyombo nazani ajui ni kuzurila tu labda ukae na fimbo ndani,,aaaahaaah,,
Mimi mpaka apanilipo mama yangu halijui usiano LANGU na muogopa atali najiuliza mamazabibu yukovipi 🤔
Apa Kwanza. Ncheke,,,kweli mama zabibu mzembe au anamfanya mwanae chuma ulete,,akileta kitu anafurah sana
@@zawadimussa2514 Huyu mama waaina gani?🤔
@@fetychina3273 nchi Ina mauzauza ya watu
Fabi hujui kutangaza kipindi cha mapenzi sababu huna experience chingine unayachanganya maneno mdomoni upangiliaji wake chingine bro unauliza maswali km zahir ya kwenye sad moments tofautisha sad moments na loves story jaribu kujifunza kwa wenzio waliotangulia....sio mnafiki ila I’m try the best everyday to tell you that truthfully so I abeg you if I disappoint you 🙏 siwezi kukusikiliza mana nitakukosoa sana na mungu hapendi
Yaaan hajui kujieleza ad inaboa
Zabibu ni mzuri ila kwa sasa tulia lea watoto wako
😂😂😂zabibu ety sigara s inaleta TB ile!!! Kwahyo bora bangee
Moto wa darasa la 4 washawishiwa kwa kutambulishwa duh bongo mna mambo
Wallah nakupenda Sana zabibu
Muoe yule funny hamna kitu
Wazazi hwana mafunzo kwa watoto wao wa kike
Sie wapemba .au wazanzibar watu wa bara wanasependa kutwambia kuwa watu wa zanzibar tunapenda kuolewa wadogo sana .ila nimeona bola hivo kuolewa mapema kuliko watu wa bara .siku moja nilioongea na zahiri akanambia akanilaunu nyie wapemba mwaolewa mapema yani lawama tele .ila nimeona kit hapa wabongo wao wanatumika sana wakiwa wadogo .tena akiaambiwa Nakupenda t.na akiwaambiww n mwanaume njoo kwangu bs anajimaliza anamfata tu anaeenda kuishi nae .na wazazi pia ata wsws hawana wanawaachia t .binafsi sijapenda hawa wadada .zabibu . munira na wengine wapo wengi wanaotumika hivo wazazi jitahidini bs kuwa imara maana mtto akishakua na miaaka 20 .bs ashatumika vokutosha
Nipate nafasi ya kuwasiliana na zabibu ningemsaidia mtaji walau aweze kutafuta pesa kwajili ya kusaidia hao watoto ambao ni taifa la kesho.
Fabian kisaka mie nakupenda we mkaka🌹❤❤❤❣
Bro samahani umesema zahidi badala ya(zaidi)pia kwenye vichwa vingi vya habari zenu hua mtanumia H mfano:aua mnaandika haua na mengine mengi ila nisamehe kwa kukosoa ni maoni tu
Zabibu ushatereza jirekebishe umeanza mambo mdg sn darasa la nne mama WA Hassan kaukubali kuwa mkwewe,Sasa hivi uko ivyo kipindi icho ulikuwaje?