Hongera sana mkuu umesoma kwa ajili yakudumisha uzalendo kwenye taifa na si unyonyaji ipo haja kwetu sisi wananchi kumuomba mungu atupe viongozi kamahawa kwenye kila kona ya taifa letu tanzania moja uzalendo daima .
JAMAN wanyonge wanaonewa sana,mm mzazi wangu wakiume kafariki 2016,alijiunga na mfuko wa NSSF mwaka 1995 mama yangu kafuatilia lkn pension yake kazungushwa sana mwezi ulopita kalipwa Tsh.million 3 tu. Mimi nina miaka 3 kazn lkn ninauhakika nimesha vuka million tano kwasasa kwenye mfuko wangu.Mi nnaona hii mifuko ingefutwa tu ama ibaki ni hiari kujiunga😕
Asante Mkuu wa mkoa@Ally Hapi unafanya kazi nzuri.Mungu akubariki.Nashauri serikali ifanye ukaguzi wa hizi taasisi za mikopo.Kwa jinsi hiyo nyaraka ilivyo kuna uwezekano mkubwa hawafuati sheria na hata ulipaji kodi una walakini.
Watanzania tuna tabia ya kutesana sisi kwa sisi Mungu anawaona wale wenye roho za nge na nyoka, ni bora uishi na wanyama wote na nyoka wakali chumba kimoja kuliko haya tunayoyaona.
Jamani mwalimu huyu anaitwa mwl mgaya kanifundisha tangu dalasa la kwanza 1986 makalala primary,yaani nimelia sn mkuu wa mkoa asante sn kwa kusaidia wanyonge.
Haya mambo ndio tunayahitaji kwa viongozi watetea watu wa chini, maana wanatupenda sana wakati wa kuomba kura wakishapata watapotea, hongera Mh Raisi kwa kuruletea huyu mkuu wa mkoa maana amekua mkombozi kwa wana iringa
Hii ni laana sana bwana mulaaniwe nyote munaehusika kwa hili mpaka inaliza hii mambo kwa nini munamfanzia namna hii mama mtu mzima anaewazaa kabisa huyu mlaaniwe inshallah mungu atawanyoosha 🤲🏾
hivi wewe unaempa huyu mama milioni 3 na laki 5 halafu akurudishie milioni 16 halafu mama mwenyewe ni mlemavu wa macho duuuu ,Ally Happy mungu akuweke sana kakangu
Iv jmn kweli wanyonge tunateseka sana unakopeshamtu milion3 na laki tano unataka million 16 dunian hakuna upendo huon hata aibu moyo wako hukusuti unataka utajirikie kwa mulemavu
Nataka kujua jamani anaefahamu kwisho wa hii kitu ni nini ? Je mama alipata haki yake? Na huyo binti wa mama baada ya kuleta hizo documents zote zilikuwa zinasomeka wamekopa kiasi gani? Na je huyo Magere alipatikana? Inatia huzuni sana kuona binadamu wamegeuka kuwa na tamaa kiasi cha kudhurumu mpka walemavu tena wasioona! Ee Mungu tusaidie na kizazi hiki tulichonacho.😢😢😢
hv kwnn wakuu wa mikoa wote wacwe kama huyu mh Ally huyu mkuu wamkoa anafanya msaada mkubwa sana angeweza kukaa tu ofcn kwake akapgwa na kiyoyoz lkn amejiongeza kua ktk jamii yoke kunamaonevu mazto maana haya n maonevu mazto kuwah kutokea hyo n riba ya kias gan ee MUNGU naamin hulal wala hucnzii MUNGU naomba ummulike huyu aliekua anataka kumtapel huyu mama
Yaani japo simfagilii Ali Hapi ila kwa hili.... Ikiwezekana sweka ndani especially hawa mbuzi wa mifuko ya hifadhi ya jamii.... Wanasumbua sana! Nawachukia bure!
Mmh Dunia hii na wanaadamu wamekosa kabisa imani na hofu ya Mungu hakuna inavyoelea hawa wastaafu wanadhulumiwa saana na watu wanaoshughulikia pesa zao za mafao wana shirikiana ba huyo magere pesa zao hawawapi ili waende kwa Magere kukopa ili siku zikipita nyingi ndio watoe hizo pesa magere achukue zoote na agawane na watu wa mafao kwa nini huyo magere a deal na watu wa pension na hao wa pension ndio wanachukua hao wastaafu kwa magere lol
Tukiacha maisha ya siasa hiii dunia itakuona ally happy# kila lakheri brother mhim kuzingatia sheria ,wananchi wanapata taaabuuu saana aiseeee...... Upinzani sio uadui, tuungane kwa pamoja kukomesha hiz harakat kandamizi.....kama watu hawatasema bas jiwe litapaza sauti,......
Hizi pesa za riba kwa kweli ni tatizo,sisi huku kwetu unakopa 100000 kwa riba ya 50000 kwa mwezi,sasa km unakuwa huipati hiyo 100000 wanakwambia unarejesha cha juu waweza lipa hicho cha juu hata mwaka na bado manyanyaso kibao! Kwa kweli hii ishu itizamwe kwa jicho la tofauti.Mungu akubariki kiongozi.
Mpaka machozi yanatutoka kamanda najua we unauchungu n wazazi wetu Kwa hili tenda ipasavyo iwe fundisho Kwa ukatili huu wa kinyama ni makusudi safisha Tanzania yetu
#AyoTv# hebu tuendelezee hii habari tushike waizi hawa na wafungwe hawa bora hata utapeli mtu alie sawa sawa kidole mpaka nywele unatapeli mama mlemavu bwana wallah nasikia moyo wangu umeumia sana
Hongera sana mkuu umesoma kwa ajili yakudumisha uzalendo kwenye taifa na si unyonyaji ipo haja kwetu sisi wananchi kumuomba mungu atupe viongozi kamahawa kwenye kila kona ya taifa letu tanzania moja uzalendo daima .
Mkuu wa mkoa wa kamwene 😘😘 ubalikiwe sana
Mungu akubariki mkuu WA mkoa, akupe maisha marefu na heri tele dunian,
Alberto Arcangel Aamin Inshaallah yaarab
Amen@Alberto Arcangel.
Ahsante mh. Hapi ww ni kiongozi wa kuigwa
JAMAN wanyonge wanaonewa sana,mm mzazi wangu wakiume kafariki 2016,alijiunga na mfuko wa NSSF mwaka 1995 mama yangu kafuatilia lkn pension yake kazungushwa sana mwezi ulopita kalipwa Tsh.million 3 tu. Mimi nina miaka 3 kazn lkn ninauhakika nimesha vuka million tano kwasasa kwenye mfuko wangu.Mi nnaona hii mifuko ingefutwa tu ama ibaki ni hiari kujiunga😕
Mim nimefuatilia Nssf mpaka viatu vilichakaa nikaamua kuacha tu nawachukia mpaka basi
Umenena
Hongera sana MKUU Wa mkoa wetu, umeonyesha utu Wa hali ya juu.
Du kweli million 3.5 inaludi kumi 16 life is not fair
Asante Mkuu wa mkoa@Ally Hapi unafanya kazi nzuri.Mungu akubariki.Nashauri serikali ifanye ukaguzi wa hizi taasisi za mikopo.Kwa jinsi hiyo nyaraka ilivyo kuna uwezekano mkubwa hawafuati sheria na hata ulipaji kodi una walakini.
Hongera sana mkuu wa mkoa..
Watanzania tuna tabia ya kutesana sisi kwa sisi Mungu anawaona wale wenye roho za nge na nyoka, ni bora uishi na wanyama wote na nyoka wakali chumba kimoja kuliko haya tunayoyaona.
Jafari Msaghaa yani sijui tutaacha lini kudidimizana tunajijali wenyewe tu
Jamani mwalimu huyu anaitwa mwl mgaya kanifundisha tangu dalasa la kwanza 1986 makalala primary,yaani nimelia sn mkuu wa mkoa asante sn kwa kusaidia wanyonge.
acha maneno wewe karudishe fadhira
Karudishe fadhila jamaa wacha mboyoyo,, kulia kwako kuna faida gani kwa mfano
OMG
Usiichie kulia tu nenda katoe msaada
Alikuwa mlemavu hivo hivo toka zamani
inauma sana ningekuwa namamlaka mimi wote wanaonea watu wangeipata nimetokwa namachozi
Tanzania, give us this great man to be the president of Kenya!!
tunamtaka Burundi
Duuu brother hauna siasa mzee, kiongozi bora kwa sasa
ee MUNGU tutazame maana wewe mtetezi wetu
😭😭😭😭😭😭mam ameniliza xan
Mtihani kwakweli binadam hawana huruma hapo kwenye riba hakuna ubinadam kabsa
Kaka unanishawishi nikukubali katika kazi yako! Ni jasiri, nakuombea mungu akujaalie uiongeze nchi In Shaa Allah.
Kaka yangu we ni mfano wa kuigwa .......You are my Role model. One day Yes.
Hongera rc hapi,nilikuwepo kwenye mkutano huo.
Samwel Mwachitu Iliishaje hii mkuu
Haya mambo ndio tunayahitaji kwa viongozi watetea watu wa chini, maana wanatupenda sana wakati wa kuomba kura wakishapata watapotea, hongera Mh Raisi kwa kuruletea huyu mkuu wa mkoa maana amekua mkombozi kwa wana iringa
Mbon hujafika mwisho tuone nn kilitokea 😢😢Big up Mwamba hawa ndo viongoz tunaowataka katik TAIFA letu 😘😘😘
Hii ni laana sana bwana mulaaniwe nyote munaehusika kwa hili mpaka inaliza hii mambo kwa nini munamfanzia namna hii mama mtu mzima anaewazaa kabisa huyu mlaaniwe inshallah mungu atawanyoosha 🤲🏾
Ukiitazama lazimaa utoee machozi daaa Eee Mungu asante kutuleteaa watetezi wa wanyongee
Safi sana upo sawa na makonda wetu uku dar mungu awabariki nawengine wafate nyendo zenu watu tunaonewa sana kwa kuwa tu wanyonge
Duh mungu akupe maisha marefu mkuu wa mkoa Iringa maana umevumbua madudu ambayo watu tulionewa sana
tz tungekua na viongoz 20 kama ww mh Tanzania ingekua mbali xana
Safi sana mkuu mungu akupe maisha marefu sana jaman
Hiyo ni mwizi. Hiyo baba mkopeshaji kamatwe na hao PSPF wachekiwe.
Jah bless u mkuu Wa mkoa..... Kama tupo pamoja gonga like hapo chini
ბ
Ivi wewe ALI HAPPY unamoyo waainagan kaka I wish viongozi wote wawekama wewee
Abeid Mayanga i
mh:Mkuu wa mkoa iringa wewe ni kichwa kweli unafaa, mungu akupe maisha marfu
hivi wewe unaempa huyu mama milioni 3 na laki 5 halafu akurudishie milioni 16 halafu mama mwenyewe ni mlemavu wa macho duuuu ,Ally Happy mungu akuweke sana kakangu
Iv jmn kweli wanyonge tunateseka sana unakopeshamtu milion3 na laki tano unataka million 16 dunian hakuna upendo huon hata aibu moyo wako hukusuti unataka utajirikie kwa mulemavu
Jaman ipitishwe sheria watoa riba waingize kwenye kes za utapeli, hata mungu kakata riba jaman mungu akulinde kakyangu happy unasaidia watu sanaa
heri usaidiaye wanyonge maana unajitengenezea akiba ya utu wako,,
Hii haitawai zeeka... Asante sana mkuu wa mkoa. Yaani tunafikaje hapa
Super Service Waziri huwo ndio mwongozo mzuri kwa Wananchi ubarikiwe
Nataka kujua jamani anaefahamu kwisho wa hii kitu ni nini ? Je mama alipata haki yake? Na huyo binti wa mama baada ya kuleta hizo documents zote zilikuwa zinasomeka wamekopa kiasi gani? Na je huyo Magere alipatikana? Inatia huzuni sana kuona binadamu wamegeuka kuwa na tamaa kiasi cha kudhurumu mpka walemavu tena wasioona! Ee Mungu tusaidie na kizazi hiki tulichonacho.😢😢😢
Mkopeshaji ana makosa maana yy mwenyewe akuwa na uwakika Wa kulipwa hao wahusika ndiyo washugulikiwe haswa tena wasisikilizwe ata kidogo
Subhanaallah , kwakweli mama anatia huruma kweli ,huo mwiz was mchana kweupe .Inabid tupate mwendelezo wake.
Good job All
hv kwnn wakuu wa mikoa wote wacwe kama huyu mh Ally huyu mkuu wamkoa anafanya msaada mkubwa sana angeweza kukaa tu ofcn kwake akapgwa na kiyoyoz lkn amejiongeza kua ktk jamii yoke kunamaonevu mazto maana haya n maonevu mazto kuwah kutokea hyo n riba ya kias gan ee MUNGU naamin hulal wala hucnzii MUNGU naomba ummulike huyu aliekua anataka kumtapel huyu mama
Yaani japo simfagilii Ali Hapi ila kwa hili.... Ikiwezekana sweka ndani especially hawa mbuzi wa mifuko ya hifadhi ya jamii.... Wanasumbua sana! Nawachukia bure!
Huyu msichana ni mwizi pia hawa ni waizi wafungwe wote mkuu hawa sio wa kuishi kabisa huyu mama ni mlemavu bwana mbona inaliza hii
iFruit X20 jzzbsbacwga
iFruit X20 jzzbsbacwga
Duh!
Yani mkopo milioni 3,
Halafu riba milion 7.
Hakika huu ni unyama wa hali ya juu mno
@Change Mindset kabisaa walitaka kumuibia kwasababu haoni
Angekuwa mkuu wa mkoa dar angetoa uwamuzi opo opo wauni wote awo watumbuliwe
Alf laki tano liba milion tisa mmmm
Mmh Dunia hii na wanaadamu wamekosa kabisa imani na hofu ya Mungu hakuna inavyoelea hawa wastaafu wanadhulumiwa saana na watu wanaoshughulikia pesa zao za mafao wana shirikiana ba huyo magere pesa zao hawawapi ili waende kwa Magere kukopa ili siku zikipita nyingi ndio watoe hizo pesa magere achukue zoote na agawane na watu wa mafao kwa nini huyo magere a deal na watu wa pension na hao wa pension ndio wanachukua hao wastaafu kwa magere lol
Nimekupenda byre happy my allah blessing you
yaaan kuna watu siku ya mwisho watachomwa kwa makaa ya mawe kwa kwel
Lukemelye Mwenga hahah
Uko vizuri sana mh ! Mungu akubariki
Inauma kwel mwl kanifundisha somo la maarifa ya jamii anafundisha vizur mno pole mwl karinga
Nyie Jamaa nae ‘ video muwe mnaweka fulu mkoko ‘ mnatukoroga ndonya Jamaa yangu kuanza kupekenyua muendelezo...!
VP JAMAA YANGU’ MBONA NUSUNUSU HABARI RIPOTI UTAMU JAMAA..!
Oohoo jaman ...dunia haina huruma
Yani mheshimiwa naona Mungu kakutuma kweli kusaidia wanyongeee, maskini huyu mama thambi sana
uyu jamaa ni kiongozi anayefata haki,afanyi kazi kwa masifa
Riba ya mil3 ni mil 16 dunia imeisha bigup brother Rc mungu akulinde bro
Huyu dada ni jeuri sana "boss wangu boss wangu nkt" TZ huyu mkuu wa mkoa awafaa kuwa president wenu
napenda kazi yako mkuu,mungu akubariki sana
Mkuu was mkoa wwe mungu akulinde miaka kumi na mitano ijayo unatakiwa uwe rais
Mkuu wa mkoa mwenyezi mungu atakulipa kwa mema unayowafanyia wanyonge
Hongera sana Happy Ally wewe ni kiongozi bora kabisa. Msaidie sana Mwl huyu kwani inatia uchungu sana. Hawa ni matapapeli siyo wazalendo.
Mheshimiwa unafanya kazi nzuri twatamani ungekuwa ndo mkuu wa mkoa wetu wa songwe!
Jamani hadi nimelia,cyo kwa riba hiyo jamani,kweli nimeamini kuwa nirahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano ......
We mwasibu muuzi sana
MUNGU akupe maisha malefu kiongozi wangu. Kwani MUNGU anawataka wenye moyo wa kuwajali wengine zaidi.
Yani Kenya tukipata viongozi kama hawa 👏👏👏
Asante kwa kulijua hilo
Hongera San mkuu wa mkoa iringa mungu ukulinde uwe na maisha maref ili uendelee kuwasaidia wanyong
Mwendelezo Ayo unahtajika inauma sana
VIONGOZI WATANZANIA WANATUMIA MAGULIFICATION OF LEADERSHIP.
Uongozi wa mkuu huyo ni wa uzalendo hasa wengi wetu tunamuomba apewe nafasi ya mbele zaidi katika uongozi
Kweli bbk Lucas devid
Tukiacha maisha ya siasa hiii dunia itakuona ally happy# kila lakheri brother mhim kuzingatia sheria ,wananchi wanapata taaabuuu saana aiseeee...... Upinzani sio uadui, tuungane kwa pamoja kukomesha hiz harakat kandamizi.....kama watu hawatasema bas jiwe litapaza sauti,......
Hizi pesa za riba kwa kweli ni tatizo,sisi huku kwetu unakopa 100000 kwa riba ya 50000 kwa mwezi,sasa km unakuwa huipati hiyo 100000 wanakwambia unarejesha cha juu waweza lipa hicho cha juu hata mwaka na bado manyanyaso kibao! Kwa kweli hii ishu itizamwe kwa jicho la tofauti.Mungu akubariki kiongozi.
Wakomeshe baba,,,na Mungu akubariki
Safi kiongozi wangu upo vizuri.
Mh Hapi piga kazi endelea kufukua hayo makaburi maana hii nimeisikiliza huku mwili unasisimka kwa hasira mambo waliyomfanyia huyu Mama
Napenda viongozi kawa hawa mungu akubariki wewe mkuu wa mkoa
ILA KUNA DHAMBI NYINGINE SIJUI KAMA MUNGU ATAZISAMEHE
YAANI MNAMDHURUMU HATA KIPOFU JAMANI MMMMMM
James Ngunda Teresia huyo dada anajibu mpk huruma
asante sana mkuu wa mkoa asante baba nalia utazan km namjua uyo mama dah shukran sana
KAZI NZURI, NIMEPENDA NAMNA YA MAHOJIANO YALIVYOKWENDA, KILA MMOJA AJIELEZE.
Kaka Hapi, Mungu atakulipa, usisite wala kuogopa na kwani fadhila zako Mungu anakuwekea akiba, utainuliwa juu zaidi ili uwafikie wengi
hapy...... bigapu chapa kazi iringa moja iyo.....
Milady mwendekezo wa hii tuwekee
Yaani hamna hata aibu kweli kumuwekea liba kubwa hivyo
Jamani watu wana zambi kaaa
Pole Sana mama story yako inanitoa machozi kweli
Mh Ally Hapi utabaki Kuwa juu
Pole mama mungu akufanyie wepesi akupe hitaji lako la moyo
Grace Ligunda
N.
Magufuli hoyeeeeee kweli unajua kuchagua wafanyakazi wakafanye kazi sehemu husika
Daaa!!! hii Dunia hii ....Ndomana Vitabu vya dini vimekataza maswala ya riba
Mpaka machozi yanatutoka kamanda najua we unauchungu n wazazi wetu Kwa hili tenda ipasavyo iwe fundisho Kwa ukatili huu wa kinyama ni makusudi safisha Tanzania yetu
Nilikua sikupendi but now Nakupenda kwa moyo wangu woote
Daaah, inauma sana
Mungu akubariki
Happy to be muslim . Nn kazi ya riba
Riba inamzidishia tajiri na inamkandamiza ama kumuangusha masikini ..
Tatizo la ayo TV taarifa zenu hazimaliziki hamkamilishi mpo vizuri ila angalieni ktk hilo
yaan hakia MUNGU huyo jamaa anaroho mbaya sana taget hapo mama alitakiwa ashndwe kulipa ili wakamfilis jaman hao n wakufunga
#AyoTv# hebu tuendelezee hii habari tushike waizi hawa na wafungwe hawa bora hata utapeli mtu alie sawa sawa kidole mpaka nywele unatapeli mama mlemavu bwana wallah nasikia moyo wangu umeumia sana
Huyo muhasibu nae mpigaji tu anajua kila kitu kinachoendelea kwa boss wake.
RC Ally Salum Hapi mkombozi kwa wana Iringa
Samweli Daud
Kiomgozi imara, jasiri, wa kweli
We RC utaokoa wengi
Dah nalia tu Maana huyu nikama mama Dah Nawaaaazaaaaa Mimi dah
Mungu ampeafya tele rais wetu magufuli
Naomba muendelezo kaka millard.
mama umejieleza vizuriiii jmn msaidie
Where is part two
Huyu magufuli mdogo....