NNA MIAKA 26 SIJAOLEWA MPAKA UMRI HUU |NILIKUWA NAFANYA KAZI ZA NDANI |NAOMBENI MUMSAIDIE BIBI YANGU
Вставка
- Опубліковано 2 чер 2023
- SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi. - Спорт
Mungu atawek wepesi Insh'Allah pole sana dada
YAA ALLAH NAOMBA mfanyiye bibi nafuu Yaa ALLAH hakika kwako hakishindikani kitu Yaa rabiy 🤲💔😭☝️wewe ndiye tegemezi letu YAA ALLAH.pole sasa dada inshaallah ALLAH akuzidishiye Imani.Hongera pia mtangazaji kwa kazi inshaallah nawe ALLAH akulipe kwa hatua yako kuwasaidiya wenye matatizo🤲🙏
Hongera sana rehema huna moyo wa pekee ❣️hakika MUNGU hata kufanyia kheri kwenye kila. Kazi zako
Bint ana moyo mzur jaman wanaume mko wap mfanyien nusur ndo azid kumlea bib yake duuh mungu msaidie apate mme mzuri amsaidie
Pole mama kwa kuumwa
Mungu akufanyie wepesi
Pole
Duh pole sana😢
Usijali Rehema kila kitu kitakuwa sawa kwa uwezo wa Mungu
Pole sana
Pole sana dada
Hongera sana dada una moyo mzuri sana
Pole sana rehema 😘kazur sana
Mtafutie mchumba basi nayeye aolewe
@@josephineminanisalma3792 wakati wa MUNGU ni wakat sahihi kabisa awe na subira maaana!!! mi mwenyew ndo wale wale 🤣🤣🤣ladb tutafute wewe da short 👌🏽
Rehema kuna mume anahitaji mke kama upo tayali
Yaani amekuja hakiwa na miaka 10 mbona alikuwa mdogo, kazi za ndani alizifanyaje. Maana kasema miaka kumi inapita tangu aje. Mmmm pole.
Sasa c ana miak 26 ukitoa 10 c 16
Embu subir na ww wa28 tuolewe
Umeonaee 🤣🤣🤣
@@fatmamdihiri4164 😂😂🙌Naona anaaraka wakati ssi wa28 ata odi akuna asubir kwanza
Kwani yeye kalalamikia kuolewa si kaulizwa tu swali sasa mnataka ajibu kuolewa?
Mnataka aseme kaolewa na wkt hajaolewa?
Hahaha😂😂😂nikwel Aiseh atupishe kwanzaa
Goita ndo ugonjwaa ganii jamnii
Uvimbe koo,dakitari husema yaletwa na chumvi
26 hujaolewa wenzio 30 hatujaolewa😅😅😂😂
🤣🤣🤣Na hatuna Habari 😂🤸♀️🤸♂️🤸♂️🤸♂️
@@faudhiasalum7279 sifikilii kabosa
Niko na dadangu 37 bado uyu mdogo sana
@@awaahassan936 hiv sas ahakuan waume waume wanataka kulelewa
wengine 42 hata hodi hakuna😂😂