Mwanaume mjanja sana usichulie poa anaweza kukujia kama Padri au kukujia kama mjomba Nape au Steve Nyerere.. Mungu akusimamie sana mdomo wangu kikubwa imani tu
Allah akufanyie wepezi mdogo wangu, huyo ulie mpata akawe faraja kwako akusahaulishe maumivu yote uliyopitia akupende kwa dhati, unatabia nzuri binti mtulivu Masha Allah unajielewa sana, Allah akutangulie kwa kila hatuwa akupe kila zuri
MashaAllah Nurikha ww umefanya vzr sana kutomjibu kwa sababu makosa alioyafanya nikukutamkia huna hadhi kwake yani kuonyesha ww siye class yake. Na labda ungekubali kuonana nae au kumjibu text zake, ungeumia zaidi ya ulivyoumia mara ya kwanza. Hongera sana kwa maamuzi yako na nakupenda bure and remember always to follow your heart.Allah akufanyie wepesi In sha Allah
Maa shaa Allah kuwa makin mdogo wangu huyo mchumba yupo mbali umemuon Kwa picha hujui tabia zake hujui familia yake kuwa makin simama usiku swali rakaa 2 kumuomba Allah ushaur km anakher na ww Allah atakuonyesh wengin wanaigiza kujifany niw Wema lkn ukifik huko ikawa tofaut Allah akufanyie wepes
Ahsante Zahiri uyu mtoto nimzr sanaaaa,,uyu alikuwa anakuchezea ipo ciku atakukumbuka sana naatajuta sana kukupoteza mtoto mzr kma ww tena mzr mwenye hekima sauti nzr mashaalah
Mashallah tabarakallah... hongera dada in sha Allah harusi ya kheri ila nimeona wanawake wengi humu wanataka mwanamume alo mcha mungu je na wewe ni mcha mungu? Marriage is a 2 way so ili upate mcha mungu kwanza dada zetu tuwe sisi wacha mungu.
Mimi ushauri wangu Kwanzaa tubia kwa mungu alafu amka usiku uswali swalatul hajjah umuombe mungu uyo mwanaume uliyempata Kama kweli ni sahihi kwako usimuamini kwa maneno yake tu
MashaAllah 🎁❤ Allah SWT Ajaalie Ndoa Usimame Na Awe mume mwenye Kheri na wewe Na nyumba yenu Allah SWT Aijaze kheri na Baraka Na Awajaalie Mpendane Daiman Hadi Hitma ua Mmoja wenu Yaa Rabbi 🤲❤ Nimekupenda kwa Ajili ya Allah SWT Sana Mdogo wangu
Kazuri mashaallah pia nakutakia kila la kheri ila ukiingia kwenye ndoa uwe mvumilivu sababu kunawakati nati za upendo hulegea ila zisilegeze pia moyo wako ukomae naumrejeshe kwa upendo nahuruma sio kwakauli
Hamna kitu hapo huyu bint baado hajapata mtu sahihi na ipo siku atarudi tu hapo kumuelezea huyo jamaa kwa urefu zaid ww ona tu kila analoulizwa kuhusu huyo jamaa hana jibu jamaa hajaingia ndani ya Moyo wa huyo bint mm namwambia akae kwanza atulie atafakari upya
Dada uaikurupuke yaan unaweza ukaolewa NA mtu ambae hujafaham lakin ukajutia kwenye hiyo ndoa yako,,mungu akufanyie tu wepes kwakweli,,, nakuonea huruma
Mashaallah mdogowangu nimefurahisana leo kukusikia upo na furahatena namuomba mwenyezimungu alujalie mumemwenye kheri na wewe na allahuma ameen yarabi jamia Islam enjoy your new marriage ok shukran love you allweys my dear friend 😘
Masha Allah alhamdulillah nilichi kipenda kwahuu dada nikwavile kila kitu ana mshirikisha Allah ila nilicho kigunduwa kwake nimepesi wakuamini kama anapendwa kweli kweli!
🤣🤣🤣😂😂😂 tuache mwanamke kujishebedua,😂😂😂😂 haki haka no kajinga Sana wengine tunapambana na mzumbe mchakamchaka wengne wanahangaika na mapenzi, uwiiiiiiih 😂😂😂😂😂😂
Nuriha jitahidi ujistiri vizuri kifua chako kifunike vizuri La pili Mtume wetu anakuambia tufiche uchumba tudhihirishe ndoa Usipende kusema kl kitu chako kwa sababu kila mtu na nia yake mahasidi wengi Lkn cha muhimu kupata radhi za waxee na za Allah Na jitahidi kusali sala ya istikhaara umshauri Allah kama ana kheri isimame km hana kheri upate mwenye kheri na weye Na ujitahidi usiwe peke yenu mpaka siku ya ndoa
🤣🤣🤣Daaaah khatarii saan mapenzi haya nyie jamani naogopa mie Kaaaah Fabian ww naona kwny macho na pua uko vzr kuwatizama watu ss mie cjui km naweza kuongea wala kumuangalia mtangazaji maan ninaaibu mno tena saan kwakweli
Assallamu aleykum warahma tull lahi wabarakatull, Nuriah ? anae jua moyo wako ni ( Allah azzah wadjala ) . Maneno ya wana Adamu ya sikugutushe , simama na Molah wako ikiwa huko unako kutarajia havikua wewe sema al hamdulilahi apangae ni Mungu.
Wanaume wanambinu nyingi mno nibora kuwa makini sana mana kila mwanaume wanambinu yake yakumjia mwanamke tena anaangalia udhaifu wako uko wapi nae anashikilia hapo hapo mi niliwahi pitia kama hayo uliyo yapitia niliumiia zaidi yakuumia namtu ukuwa namaumivu uatamani upate MTU wakukupa faraja ili upunguze maumivu yako sasa inategemea nahuyo anaekuja kukupa faraja nimtu wa aina gani tena akijua unapenda mwanaume mchamungu basi atakua kila wakati ni aya nahadithi zamitume namanabii wote Ila kilicho ndani yake nimtihani Ila kila MTU nafungu lake Allah akutilie wepesi kwahuru yake naakujaalie mume aliye mwema duniani nakesho akhera Amiiin
Kuwa makini dada asije akawa ni kama huyo alopita wanaume wanacheza na hisia za wanawake ni kama ushauri kwangu Anachokwambia huyo fabi ni kitu sahihi kabisa naomba uwe makini sana
Allah akufanyie wepesi huyo mwanaumme awe mkweli,maana wanaumme wandaganyifu sana,na kingine kwanini unamwita Mme au mchumba wakati huna uhakika kama ana mke au mme usije ukavamia ndoa ya watu kuwa makini Sana mdogo wangu, wanaumme wanakuwa na tamaa sana hapo kuna kitu kakitamani kutoka kwako 💃💃
Mi namuomba Allah tu huyo Mwanaume awe na Nia njema na Tabia njema asije akamtesa Tena bint wa watu,maana mtu akitoka kwenye maumivu ni rahisi kudanganywa maana anafikiri atapata faraji hivyo hajadiri Sana na kimtafakari aliemjia
Mwanaume mjanja sana usichulie poa anaweza kukujia kama Padri au kukujia kama mjomba Nape au Steve Nyerere.. Mungu akusimamie sana mdomo wangu kikubwa imani tu
Mashallah kumbe kazuri ivyo mashallah mungu akuongoze na akulinde usiumizwe tena na ujitahid pia kudumu katik ibada na matendo mazur inshallah
Leo umechangamka Nuria , mashallah umeshapata nguvu , Alhamdulillah km umepata mchumba Nuria nakuombea Awe mume mwema mweny kheri na ww
Mashaallah Nurikha wew kuwa na musimamo wa maisha yako tu utafika mbali inshaaallah
Mashallah dada mrembo kweli jamani,kua na subra subra huvuta kheri
Allah akufanyie wepezi mdogo wangu, huyo ulie mpata akawe faraja kwako akusahaulishe maumivu yote uliyopitia akupende kwa dhati, unatabia nzuri binti mtulivu Masha Allah unajielewa sana, Allah akutangulie kwa kila hatuwa akupe kila zuri
Ma shaa Allah hongera Sana mdogo wangu
Mashallah Hongereni sn binti unaye jitambua Hakika ww ni mke mwema,Nimekupenda bure Mrembo
Mashaallah mashaallah mdogo wangu Allah awalinde na akukinge na Mabaya na akuongoze upate mume sahihi
Wa ngapi mm leo big up maximum kwa vipindi vizuri
MashaAllah Nurikha ww umefanya vzr sana kutomjibu kwa sababu makosa alioyafanya nikukutamkia huna hadhi kwake yani kuonyesha ww siye class yake. Na labda ungekubali kuonana nae au kumjibu text zake, ungeumia zaidi ya ulivyoumia mara ya kwanza. Hongera sana kwa maamuzi yako na nakupenda bure and remember always to follow your heart.Allah akufanyie wepesi In sha Allah
👍Hongeraaaa Dada nurikhaao
Maashallah allah akuwekee wepes huyo mume awe wa kheir inshaallah
Maashaallah mwezangu kuumizwa kwely kunafundisha kwely
Maa shaa Allah kuwa makin mdogo wangu huyo mchumba yupo mbali umemuon Kwa picha hujui tabia zake hujui familia yake kuwa makin simama usiku swali rakaa 2 kumuomba Allah ushaur km anakher na ww Allah atakuonyesh wengin wanaigiza kujifany niw
Wema lkn ukifik huko ikawa tofaut
Allah akufanyie wepes
Unambiwa kamata dini tudani kama unavyomfanyia mwezio na ww utafanyiwa tu m.mungu analipa suniani hongera sana nurha
Naam
Mashaaallah binti Nurikha Nzruri
Ahsante Zahiri uyu mtoto nimzr sanaaaa,,uyu alikuwa anakuchezea ipo ciku atakukumbuka sana naatajuta sana kukupoteza mtoto mzr kma ww tena mzr mwenye hekima sauti nzr mashaalah
Mwanamke tabia siyo uzuri wapo wengi wazur zaidi yake lakini wameachwa sema tabia kama ana tabia nzur itakuwa vzur sana 👏🥰🥰🥰🥰
@@zuhurakhasimu969 unaweza ukawa na tabia nzuri pia ukaachwa mungu tu atusimamie wanawake 😂😂😂
@@rehemalukali8326 minaic kikubwa 👉*
Mashallah tabarakallah... hongera dada in sha Allah harusi ya kheri ila nimeona wanawake wengi humu wanataka mwanamume alo mcha mungu je na wewe ni mcha mungu? Marriage is a 2 way so ili upate mcha mungu kwanza dada zetu tuwe sisi wacha mungu.
Mimi ushauri wangu Kwanzaa tubia kwa mungu alafu amka usiku uswali swalatul hajjah umuombe mungu uyo mwanaume uliyempata Kama kweli ni sahihi kwako usimuamini kwa maneno yake tu
Mashallah Rahma sahihi kabisa
MashaAllah 🎁❤
Allah SWT
Ajaalie Ndoa Usimame
Na Awe mume mwenye Kheri na wewe
Na nyumba yenu Allah SWT Aijaze kheri na Baraka
Na Awajaalie Mpendane
Daiman
Hadi Hitma ua Mmoja wenu
Yaa Rabbi 🤲❤
Nimekupenda kwa Ajili ya Allah SWT Sana
Mdogo wangu
Amin
Kazuri mashaallah pia nakutakia kila la kheri ila ukiingia kwenye ndoa uwe mvumilivu sababu kunawakati nati za upendo hulegea ila zisilegeze pia moyo wako ukomae naumrejeshe kwa upendo nahuruma sio kwakauli
Hamna kitu hapo huyu bint baado hajapata mtu sahihi na ipo siku atarudi tu hapo kumuelezea huyo jamaa kwa urefu zaid ww ona tu kila analoulizwa kuhusu huyo jamaa hana jibu jamaa hajaingia ndani ya Moyo wa huyo bint mm namwambia akae kwanza atulie atafakari upya
Mungu hamtupi mja wake, hawezi kukuacha, nakuombea ufanikiwe katika hili.
Ila hawa wanaume wa mbali kupitia mtandaoni muwaamgalie na wakisha kujua wewe ni mgonjwa wa kupenda haaaaa
Mwanaume wa nje ya nchi si ndo wale wa kutafuta online woi hao ni bure kabisa dada tulia usikimbilie kuolewa🙌🙌
We muache kuolewa kupo lakini huyu amezidi anapenda sana kuolewa
Hongera bint Mungu akufanyie wepesi
Usinge jionyesha dada 🙁
Mashallah nampenda huyu binti
Dada uaikurupuke yaan unaweza ukaolewa NA mtu ambae hujafaham lakin ukajutia kwenye hiyo ndoa yako,,mungu akufanyie tu wepes kwakweli,,, nakuonea huruma
Mashaallah mdogowangu nimefurahisana leo kukusikia upo na furahatena namuomba mwenyezimungu alujalie mumemwenye kheri na wewe na allahuma ameen yarabi jamia Islam enjoy your new marriage ok shukran love you allweys my dear friend 😘
Mashaallah hogera sana mwanagu🙏🙏🙏
Allah akujalie khet kwa kweli ila dd mapez yanauma kweli ila mungu akupe mume wa kher inshaallah
Haya mummy sisi bado tupotupo.twaangalia maisha na kupiga kazi
Allah atakufanyia wepesi upate mume mumeo Muhimu kuomba msamaha tuu kwa Allah . Hakuna mkamilifu
Masha Allah alhamdulillah nilichi kipenda kwahuu dada nikwavile kila kitu ana mshirikisha Allah ila nilicho kigunduwa kwake nimepesi wakuamini kama anapendwa kweli kweli!
Mashaallah binti mrembo
inshallah habbty honger wanaume TZ chef afazali abao wako about ute enjoy 👏👏👏👌🔥🔥🔥🔥😀chawaten
Umechangamka leo nuryath wangu 🥰🥰
Mashaallah Hongera sana
Mashaallah uyu mwanamke mzr sjui mwanaume alitokwa na akili akakuacha.
🤣🤣🤣
Wanaume kwa kweli sijui huwa wanataka nn
Kwa hizo BEE nazoooo....kweli ama matashtiti tu....😂😂😂🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣😂😂😂 tuache mwanamke kujishebedua,😂😂😂😂 haki haka no kajinga Sana wengine tunapambana na mzumbe mchakamchaka wengne wanahangaika na mapenzi, uwiiiiiiih 😂😂😂😂😂😂
Mashallah mashallah mashallah mashallah!
Daaah mashallah jomon ongera Sana kipenzi changu ❤️❤️❤️
Jamani nakapenda aka kadada kazur mashallh
bismillah Mansha'Allah hongera za binti
Huyu dada napenda sana vile anaogea mungu akupataniche namtu sahihi
Alafu anajitambua sana maashallah
Mashaallah
Mashallwah nimefurahi sana kumuona nurha leo anafuraha sana, na pili kawa na msimamo mkubwa
Waalaykum salaam
Maasha Allah
Mashallah bint mungu akusimamie
Mashallah binti
Swali lakaambili ya listikhala umtake. Ushauli Allah atakuonyeshs kama huyo mume kweri mwema lnshallah 🤲
Kabisa in shaa ALLAH habibty
Point
Kabisa
Mungu atakusimamia ila aliekuwa halijamkuta atasema mengi ila vumilia mungu atakuonesha njia dada
Mashallah mungu aleteheri
😂Fabe unapenda vipini Manshallah 😍😍
Jmn binti mzr mashaallaah
Allah akujaalie awe wema uliempata lnshallah
Subra ni mihimu sana
Nikekupenda..dadaa
Wow zahri kumbe unawatu wanzuri wakuoa me dada ako sijaolewa nisaidie na mimi nipate mume jmn
🤣🤣🤣😂
Pamoja maxmamo tv nawapenda xana
Maximum TV😘
mashallah mzuri atari uyomwanaumu kaacha chombokikara ivi
Fabi ulitusikilza, ushauri wetu wa kuvaa miwan Masha Allah umependeza
Inabidi afiche macho yake maana itadhani anatongoza hao mabint kumbe ni macho yake Mungu aliyomzawadia
@@souvenirweber7169 kwa kweli pia mm humuangalia sana macho yake amefanya vzr kuvaa miwani
Mungu akufanyie wepesi
Manshaallah, nilimuomba Allah abuse subira na stara.
Asanteeeni sana nuriyat alove you ♥️♥️🥰fabi I love you too
Mdogo wangu kuwa makin na hilo mwanaume uko inchi za nje nawe uko Tz uchunguze hilo kabla ya ndoa
Nuriha jitahidi ujistiri vizuri kifua chako kifunike vizuri
La pili Mtume wetu anakuambia tufiche uchumba tudhihirishe ndoa
Usipende kusema kl kitu chako kwa sababu kila mtu na nia yake mahasidi wengi
Lkn cha muhimu kupata radhi za waxee na za Allah
Na jitahidi kusali sala ya istikhaara umshauri Allah kama ana kheri isimame km hana kheri upate mwenye kheri na weye
Na ujitahidi usiwe peke yenu mpaka siku ya ndoa
Shukrani kwa kumkumbusha
Uangaliye sana mana inaonekana ushajaa Kwa huyo mwanaume sasa kumjua ni mpaka muonane
Bora asimuone face to face akimuona tu mahali zinaa hyooo ...hvyo hvyo mbali mbali allah ataleta kheri afanye tu taratibu za ndoa za kiukweli .
hongera_dadaangu
Nmekuelewaa sanaaa dadaaa
Ameen dada
Sauti yk Mashallah
Marahii ushamuamini ten mtumwingin mdogowang il in sha Allah awe wakher
Hahaha 🤣🤣 umeona
Yaani mbona yajayo yanafurahisha
@@mariamgodfrey53 hahaha labda kw kuwa yuko nje ndio anaamini
Nyie mana akee nichekee
Hata wewe bwana mtangazaji macho yako mazuri sana mashahallah
Nuriha, Allah atajaalia mume mwema
🤣🤣🤣Daaaah khatarii saan mapenzi haya nyie jamani naogopa mie Kaaaah Fabian ww naona kwny macho na pua uko vzr kuwatizama watu ss mie cjui km naweza kuongea wala kumuangalia mtangazaji maan ninaaibu mno tena saan kwakweli
Assallamu aleykum warahma tull lahi wabarakatull, Nuriah ? anae jua moyo wako ni ( Allah azzah wadjala ) . Maneno ya wana Adamu ya sikugutushe , simama na Molah wako ikiwa huko unako kutarajia havikua wewe sema al hamdulilahi apangae ni Mungu.
Mbona unaijua vzr dini ulikubalije kuzini,mungu akusamehe
We hujawah kuzin?
Hapo sasa,na ukiangalia hakuna mkamilifu...
Dada we kama uliolewa bila mwanaume kutex mtambo shkuru vijana wengi sk hz bila kutex mtambo bado ndoa kwake ataitilia mashaka
Iyo inatokea Kw akila mtu ww ujawai kuzini
Mkamilifu ni Allah pekee jiangalie
Nice fc
Una akili sana mashaa Allah
Wanaume wanambinu nyingi mno nibora kuwa makini sana mana kila mwanaume wanambinu yake yakumjia mwanamke tena anaangalia udhaifu wako uko wapi nae anashikilia hapo hapo mi niliwahi pitia kama hayo uliyo yapitia niliumiia zaidi yakuumia namtu ukuwa namaumivu uatamani upate MTU wakukupa faraja ili upunguze maumivu yako sasa inategemea nahuyo anaekuja kukupa faraja nimtu wa aina gani tena akijua unapenda mwanaume mchamungu basi atakua kila wakati ni aya nahadithi zamitume namanabii wote Ila kilicho ndani yake nimtihani Ila kila MTU nafungu lake Allah akutilie wepesi kwahuru yake naakujaalie mume aliye mwema duniani nakesho akhera Amiiin
Mashallah🍎 ❤
Mashallah Allah awabariki
Je ukiwa mwanaume akiwa mbali na nchi yake je unaweza kuvumilia na je nakuuliza yuwaishi nje ama ni mtanzania lakini yuko njee
Kuwa makini dada asije akawa ni kama huyo alopita wanaume wanacheza na hisia za wanawake ni kama ushauri kwangu
Anachokwambia huyo fabi ni kitu sahihi kabisa naomba uwe makini sana
Mashallah kumbe hilwa sana
Go head mamii utapata mwenye kheri nawewe. Huyu hana kheri nawewe. Mungu atakulipa inshaallah.
Mrangi mzur masha allah
Pole dada
mashaallah
maashaallah
Nampend San uy dad❤️❤️❤️❤️
Ungejiifadhinvixuri mbonakiguakipowazi ndiyo imefunga hivyo Subuhanallah vaa majumba ndiyo staraya
Mashallah
Usisubutu mdogo wangu
Inshallah mwenyez mung akujalie
Allah akufanyie wepesi huyo mwanaumme awe mkweli,maana wanaumme wandaganyifu sana,na kingine kwanini unamwita Mme au mchumba wakati huna uhakika kama ana mke au mme usije ukavamia ndoa ya watu kuwa makini Sana mdogo wangu, wanaumme wanakuwa na tamaa sana hapo kuna kitu kakitamani kutoka kwako 💃💃
kabisa anaonekana mwepesi kudanganywa kidogo tu kalipuka kama mfalme zumaridi 😂😂😂
amesema amempata 😂😂
😂😂😂😂😂 angetulia tu kwa sasa afanye maisha yake baadae ndo aolewe
@@user-rd7jt1vi5x alisema amepata mme
Mi namuomba Allah tu huyo Mwanaume awe na Nia njema na Tabia njema asije akamtesa Tena bint wa watu,maana mtu akitoka kwenye maumivu ni rahisi kudanganywa maana anafikiri atapata faraji hivyo hajadiri Sana na kimtafakari aliemjia
Mmmh mtihani
Nafrahi sana ukijuwana furaha wallah
Ngoja leo ni cmnt fabi ukiona hii cmnt nakupenda😋😋😘