mama mukwe wa zabibu pia naye mapepe sana anamudomo wa tharau sana sema hatumujuwi ila mungu ndiye anawajuwa wote mimi mwanadamu tu siwaelewi wote wabadilike tu
@@alfarsialfarsi2754 kweli kabisaa na anasahau ako na binti na siku zote lisemwalo lipo au lipo njiani laja kuwa binti yake anatoka na mababas waheshimiane tu ndio mungu atawapa baraka anaonea sana mama zabibu ningekuwa na njia yoyote ile ningetumia mama zabibu hela yenye alimupelekea hospital tb ni marathi inaumiza kweli
Hii kesi sasa tuihukumu kiislamu,kwasababu zabibu ni muislamu na Halfani ni muislamu. huyo mtoto ni wa zabibu si wa halfani kwa sababu hakupatikana ndani ya ndoa .na zabibu si mke halali wa halfani kwa sababu ndoa haijafungwa hapo ni zinaa tu inayofanyika.na sheria ya dini hairuhusu zabibu kuhamia kwa Halfani mpaka wafunge ndoa halali ya kiisilam .mama zabibu yuko sahihi achukue mwanawe na wajukuu zake .mtoto alie zaliwa nje ya ndoa ni mtoto wa mama sio baba.hata wakifunga ndoa huyo mtoto atabaki kua wa zabibu si wa Halfani.
Zabibu uyo bado hajawa mkweo wala Khalfani hajawa mumeo Unatakiwa kumtii mamaako Utakuja kujuta Hakuna anaekuonea uchungu katika dunia hii kama mamaako
Malumbano yoote apo chanzi ZABUBU. Lait angekuwa anamueshimu mama yake na kumsikiliza yasingetokea hayo . Zabibu zabibu zabibu ebu mueshim mama yako ivi unafurahi kuona mama yako anazalilika eti hata kama anamapungufu bado ni mama yako hata kama nimchawi bado nimama yako siku zote mzazi hakosi jaman yaanu naumia sana kwakwer. Mama zabibu pole sana
Mtangazajini mchonganishi anamkomalia mama fani alafu zabibu atalala wapi mbona godoro limeuzwa na mama zabibu mtafuteni mtangazaji mwingine huyu hajui kabisa
SubhanaAllah mbona mama Alfan anabwata hv maneno yasio n heshima mbele ya watoto wadogo ....kiusawa n kisheria zabibu hapaswi kukaa Kwa kina Alfan Kulingana Alfan haja muowa amemposa tuu n upande mwingine kuhusu Mtoto kisheria ya dini mtoto anayezaliwa nje ya ndoa huwa n wa mama .......mamazabibu yuko sahihi kusema mwanawe arudi nyumbani hata kama utalala kwenye kiroba au utakula sima n chumvi lakini unajuwa upo nyumbani
Mungu mkali sana mama zabibu pumzika kwa amani uyo mama anae chezesha ziwa kumsuta mwezie Leo mungu kakuonesha kua yeye mkari kamchukua mama zabibu na mwanao pia pumzikeni
Hata hivo mamake alfani kamlinda Zabibu na mjukuu vizuri kang,ara jameni Hadi atembei ukweli isemwe mamake Zabibu anajuwa hapati misaada.Basi Zabibu arudi kwao waendele na maisha yao ya Kila siku yakurandaranda na kuchafuka ndo mamake atafurahi bure ni kesi Kila siku.Zabibu chukua vitu vyako rudi kwenyu angalau mamako afurahi fullstop
Wivu anaona zabibu akiwa ukweni wanaenjoy kumbe hamna lolote ,, zabibu katulia kwasababu ya malezi ya huyo mama,,mama yake hawawezi wanae anajishaua tu
Kwelinkabisa zabibu kapendeza mama zabibu ana wivu sana njo maana hata surayeke haina nuru toka kaka zahiri amsaidie mbona anazidi kuw vilevile mm kivyangu sioni msaada mama alfani anapew zaidi yaile.150000
Mama zabibu na zabibu nahisi wamejiwekeza kwenyw maxmum yan ni watu ambao watachangiwa maisha yao yote..maxmum mnayumba..achaneni na izi family kuna baadhi awachangii awataki kusapot udhinifu. Afadhali ujue unachangia kwa ajili ya wagonjwa nawapo wengi wanakosa huduma sababu hawana pesa..
Kweli zabibu amependeza na kuacha bangi mama zabibu aache unafki na rihoo mbaya yawivu.hatukatai jmn nimama yake mazizi Ila mamaalfan kamsaidia Sana zabibu
Kusema ukweli huyu mama Khalfan kamfanya apendeze sana Zabibu kipindi kile kajifungua mbona mamaake alishindwa kumkanda maji hadi akawa amevimba mkwewe sindo alimuweka sawa.mama Zabibu anatafta sabab eti ajafunga ndoa aoni kuwa mtoto wake nahapo kastiriwa kwa tabia alizonazo huyo msaada ndo umemuuma hana lolote mbona mtoto wa kwanza kazalishwa ajafunga ndoa 😔😔😔
Nashindwa niwe upande gani, zabibu alipojifungua alinyoridoka na kuvimba sura kisa kutokukandwa maji nakutolushwa kama mzazi, mama Khalfan kafanya KAZI Sana zabibu kanawili na kupendeza, ma Halfan amefanya kazi na Zabibu kirabia kabadilika Sana jamani akirudi KWA mamayake atarudi kulekule
Mama zabibu yuaona mwanawe akirudi nyumbani zahir atachangia tena na yualalamika zabibu alitoka nyumbani kwani zabibu yuanza leo kutoka ashazoea ni tamaa tu hebu maximum acheni na hii family tuone kama bila nyie hawataishi
Kweli kabisa ni mkweli kabisa jamani kah!!! Jinsi anavoongea anajielewa ila wengine sura za upole zinawabeba na ndo maana maakama awataki kuangalia sura wanataka Hoja na mama zabibu anaonekana anaumia mwenzake alivopewa junua za mkaa
Hapo ugomvi ni maximum kumsaidia mama mkwe, mama zabibu aache wivu ajitahidi kujitafutia wasigombane kwa msaada unaotolewa kwa ajili ya zabibu mama zabibu ana roho ya uchoyo kwani maximum niyake yy pekeyake? Aache utu uzima ovyo nyumba kajengewa misaada mingi kapata godoro kaliekeza mtoto atalalia nini ebu aache choyo na maximum sio yake
Mama halfan hana kosa jamani mbona wakat wa kikao na zahir aliridhia ila baada ya kuanza kumpelekea mama Halfan msaada ndio Kaanza gubu.halafu mtangazaji anampendelea mama zabibu
Mama zabibu mkorofi wivu unamsumbua anaroho mbaya Sana hawez kulingana na mama fani mwenzio mchakalikaj.halafu hata ukimchukua mwanao msaada hutapata pia saiv zamu ya wenzio.zabibu mamamkwe wake anamtunza bana kwanza kapendeza hadhululi tena katulia tena anamtaka wa nn mxuuu
😂😂😂 Ama kweli penye riziki hapakosi fitina, Wazazi wa Khalfan lipeni mahari muwe na haki ya kuishi na Zabibu..vinginevyo hamna haki ya kumganda mtu..na ww Zabibu utulie kwenu msikilize mama duniani hapa hakuna anayekupenda kwa dhati zaidi ya mama ni swala la muda tu.
Mimi uyu mamamkwee ana nikera ni basi tuu I wish ni send voice una mkazania eti utabeba mtoto ushapatia mtoto wawatu mimba afu Eti utabeba mtoto hhh ingekua mimi uyo mama mkwee angepata shidaa. Zabibu ana mama mpole sanaaa mama yangu apo wangepata shida
Kiufupi kila mtu hapo anataka msaada na huyo bibi anataka mjukuu anajua kabisa atapata msaada kwa hiyo hao wazazi wote wapi kwa ajili ya fursa kupitia zabibu
Mama zabibu ashukuru hata upande wa mwanamme wanamlea zabibu na mwanae japo kidogo wanacho Pata si Haba Sasa akitaka kurud nyumban yatarudi Yale ya khalfan hatoi huduma.
Uyo mama fani anaongea kwa uchungu hakumchukua zabibu kwa sababu ya msaada.Zahiri kaka yangu achana na watu Kama hao tafuta watu wenye uhitaji wa msaada 🙏🙏
Mama zabibu acha wivu mtt mwenyew umemshindwa kumlea godoro lenyew umeuza. Nauyo zabibu kwani nimtt mdogo mpaka alazimiswe siamependa kwenda ukwen mwenyew na kilicho mpeleka kwamume ni bangi tu amna chengine. Mama zabibu ushafel tulia acheni kutiana aibu watu wazima nyinyi msaada aulazimishwi kama watu awatatoa uyo mama fani atawashika nguvu acha ujinga mama zabibu usilete mambo mengi
Ata family planning alishindwa kumpeleka Zabibu jameni mama Zabibu Mimi pia ni mzazi mwenzio ukishaona mwanao amejifungua nyumbani kaa chini na yy umweleze umuhimu wa kupanga uzazi
Mama zabibu kashikwa masikio na majirani hana lolote na Ramadhan hiyi kafturu chai huruma ,nandiomana presha imepanda , umepata familia inae mpenda mtoto wao unataka kuleta vurugu wakwa analea mwenyewe
Mama Zabibu mvumilivu sana, huyo mwanamke mwingine anaongea kama gari bovu halafu wala hamjibu. Kama ni mm ningesimama nimzibue vibao vilivyo soma akili imkae sawa.
Pole mama halfani kwa kuondokewa na mwanao ,,,pole zabibu kwa kuondokewa na baba mtoto wako na mama ako mwenyezi mungu akutie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu unacho pitia
Uyu Mama Zabibu roho ina muuma, kuona watu wana saidiya Mama Mkwe wa Zabibu ndo shida. Mbona Kaka Zahir alimpa biashara tu uyu Mama ila ameisha haribu ndo anatafuta paku egemeya. 🙌🙄
Angalia maneno ya mama mke wako gisi anawazalilisha mdogo wangu zabibu angalia hayo maneno anayo yatoa una gisi mama ana thalilika mbele ya huo unae muita mama mke ngangu siweze
Mama mkwe n mlenz mzur san mama zabibu mwanao umemuarib ww mwenyew mm nashaul km kunamtu anania ya kumsaidia mama Halfan amsaidie mama zabibu anchuk anajua msahad atakos mwenzio nikwel anajitum ww unazuw mara anatk kujengew mara iki huyu mama anamatatizo na zabibu arudi kwao tushachok 🙌🙌🙌
Zabibu hana haki ya kisheria y dini kuishi kiumeni posa sio ndoa wamtolee mahari ndo wamchukue halafu huyu mama fani anamtaka mjukuu wake anazijua sheria ya nchi
kwani zabibu ni mdogo au kafungwa miguu kuwa hawezi kurudi kwao mama zabibu wote ni wivu huo kaona mama Omary kapewa hela ya mtaji wa mkaa kaona mwenzake kafaidi kweli
Hapa umesema Hyu mama hajui anacho ongea kwani kama si zabibu kumbeba mwezi tisa agemuona huu mtoto huyu mama hafai watu kama hawa ndio tatizo kwa familia zabibu ajikate tu kama hana kazi anitafute nitafutia kazi kwetu kenya ale watoto wake na mama yake juu myu biti ni mdongo sana hawezi huu mzozo watamuletea matatizo na alizaa juzi plz
@@rehmabaraka3735 ingependeza ukitoa mguu wako kutoka kenya mpka Tanzania kamchukue zabibu na mama yake ukae nao utakuwa umefanya la mbolea sana kama kweli unawezo huo fanya
Binafs simuwengi mama mkwe jaman, huyu mama pamoja na umaskini wake lkn anamjari sana Zabibu utafikir katoka tumbon mwake, watulie tu wamuache Zabibu a enjoy na mkwewe♥️
Mashallah zabibu kapendeza yote tisa kumi mamazabibu ana wiv na choyo baada akae ajishughulishe ana kazi ya kumkashfu mwenzie kwanza msaada ana taka yeye tu msaada wenyewe ana pewa hamna anachokifanya bas shida tupu
Subhanallah pole Mama Zabibu Huyo mama mkwe ajishushe me ni maoni yang Zabibu arudi kwao tu subhanallah 😥 Ee dunia mbona Hatuna khofu ya mungu pole kwakwel 😒 mama Zabibu
Astaqfirullahi, Astaqfirirullahi, Astaqfirullahi. Zabibu habibty rudi kwa mama yako kwani pepo iko chini ya wayo wa mama. Na nyie Maximum na mahojiano yenu ni fitna tupu wachani hii tabia.
Jamani huyu mtangazaji kapooza kweli yani mbanga za uswazi Kama sad moment🤔🤔lkn ugomvi wote huo si wamwache zabibu atulie ukweni hata Kama hajaolewa kisheria huyo mtoto bado mdogo lkn tokea amezaliwa kelele tupu sasa atakuwaje na nidhamu akiwa mkubwa
Mama Hasani tabia ya kwenda kufoka kwenye nyumba za watu mbele ya watoto unamtukana Mama yao sio heshima Wala sio vizuri siku yake utakula kichapo bahati yako umekuta watoto wa Mama Zabibu wapole, kwanza sheria ya Tanzania ukitukana ndani ya nyumba ya watu umekosa sheria na hata wakikupiga haki ya Mwenye nyumba
Kiubinadamu uyu mama halfan ni MTU mzur sana .we mwadishi umezd kumkaba na maswali mengi.kama misaada wrote wanaitaji huduma.mama zabibu simuelewag kbsa toka alivyokula mtaji mala kuuza godoro hayuko seriousy na maisha.zahiri fannya mambo.
mama zabibu anataka misaada kupitia mtoto wake amekazana Alfan hana kazi yule mtoto wake wa kiume saidi wana tofauti gani na Alfani si wote wavuta bangi tamaa itampoza mama zabibu
Kama wew ni dada angalia zabibu alivyo pendeza jamani akienda kwa mama yake atakonda kwasababu kule nikugombana tu na mama yake wamuache tu zabibu mwenyewe hataki kurudi kwao wasimlazimishe kwani yeye ndo peke yake anaishi na mumewake kiharamu mbona wapo wengi wakristo na waislamu
Hapana Kwa kweli kaka zahiry tunaomba mjitahidi kupatanisha na siyo kugombanisha, kiuhalisia na kisheria zabibu ni Mtoto bado kiumri anatakiwa abaki nyumbani kwao. Na pia hii taarifa mngeiacha Tu inakwaza
100% Zabibu akirudi kwao ataharibu huyo mtoto mtakuja muone umuhimu wa mama Fani kumngangania mie napita mama Zabibu apunguze chokochoko na wivu🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🤸♂️🤸♀️🤸♂️🤸♀️
Mama zabibu kwani anamkataba na zahiri 😂😂😂 mbona wivu kwani wao siwalisaidiwa wakachezea adi godoro wakauza mama zabibu umeniacha hoi nahayo mabuzi veeep
Wow huyu mama komesha sasa anataka mtoto ,Africa wanaweza towa mtoto kwa mama bila kufikisha miaka kumi na nane ( 18 ) huyo mama atowe ushamba wake sheria iko
Mwaxheni akae nae alee mjukuu wake akitembea amuachie na yy atashika njiya yake. Sababu mama Zabibu godoro kaliuza nae mama Zabibu ana mtindio kidogo ww umechangiwa godoro vipi unaliuza
Mnamuonea uyo mama Alfan, mbona upendo anao, nakujali pia anajitaid japo hana kitu.. Angalieni laana za wahanga wamatatizo mbali mbali zisiwake juu yenu, maana apo anataman ata ndoa ifungwe tu leo,ata mtoto wake pia. Ni uchumi tuu, ila anajali sana, na hana gubu zisizo na sababu kama mama zabibu. Namuombea sana Mungu ambariki amfanikishe kumpambania mwanae, maana wote bado wadogo ni dhahir kua wanahtaj msaada wa mawazo ,uchumi,nk
Basi kama mzazi haingikii Mapenzi hata wewe usiingilie mambo ya mtoto wake zabib. Na huwezi kumzibiti kama chipi yako mama unasema saana duuu. Mwachie mtoto wa watu arudi kwao Acha ukavu....
Nmependa apo zabibu alivyomkazania uyo mama mkweo Acha kumsuta mama yangu sipend nan kama mama
Kweli
Kweli kaona uchungu masikin
Zabibu Leo umenifulaisha sana mama ni mama awezi kubadilishwa msimamie mamako
Nigemumwagia maji uwii sitaki masiara namama angu
Zabibu ni mpole sana Lakini leo uvumilivu umemshinda.
mama mukwe wa zabibu pia naye mapepe sana anamudomo wa tharau sana sema hatumujuwi ila mungu ndiye anawajuwa wote mimi mwanadamu tu siwaelewi wote wabadilike tu
Kweli anajifanya anajuwa Sana ili aonekana anaakili
@@alfarsialfarsi2754 kweli kabisaa na anasahau ako na binti na siku zote lisemwalo lipo au lipo njiani laja kuwa binti yake anatoka na mababas waheshimiane tu ndio mungu atawapa baraka anaonea sana mama zabibu ningekuwa na njia yoyote ile ningetumia mama zabibu hela yenye alimupelekea hospital tb ni marathi inaumiza kweli
Hahahahahaha mdomo siku zote unasaidia ila kuna muda unafeli hahahaha tusubir yajayo
yote kayataka mama zabibu mama Alfani alinyamaza na alificha makucha yake lakini choko choko za mama zabibu ndo maana kaamua kuongea hivyo
@@user-rd7jt1vi5x chokochoko za waandishi ,
😭😭😭Mungu mlaze mahari pema peponi Mama Zabibu wetu.
Ameen
amin
Mama zabibu angalia mbele na nyuma.zabibu alikua hafai kiasi hiki alichokaa kwa mkwe wake amebadilika japo maisha magumu lkn mama mkwe anajitahidi
Hanaangalia hera uyu mama zabibu
Hii kesi sasa tuihukumu kiislamu,kwasababu zabibu ni muislamu na Halfani ni muislamu. huyo mtoto ni wa zabibu si wa halfani kwa sababu hakupatikana ndani ya ndoa .na zabibu si mke halali wa halfani kwa sababu ndoa haijafungwa hapo ni zinaa tu inayofanyika.na sheria ya dini hairuhusu zabibu kuhamia kwa Halfani mpaka wafunge ndoa halali ya kiisilam .mama zabibu yuko sahihi achukue mwanawe na wajukuu zake .mtoto alie zaliwa nje ya ndoa ni mtoto wa mama sio baba.hata wakifunga ndoa huyo mtoto atabaki kua wa zabibu si wa Halfani.
Kweli kabisa
Bongo ukisema hivo hawakuelewi ila Mimi mwenyewe nilizaa pekeyangu sijawahi kumtafuta mtu mtoto wangu Ana miaka 14 sina habari
Mimi niliwahi kusema watoto wote ni wazabibu
Sahih Ukhty
Angalau heshimianeni alau Ramadhani
Zabibu uyo bado hajawa mkweo wala Khalfani hajawa mumeo
Unatakiwa kumtii mamaako
Utakuja kujuta
Hakuna anaekuonea uchungu katika dunia hii kama mamaako
Subhan Allah sijapenda leo mama zabibu anahaki yamwanae kumwambia harudi ajaolewa sheria yadini hairuhisu akaishi kwabwana
Asha kileo mama zabibu yuko sawa
Nikweli kabisa
Na huyo mjukuu huyo mama anang'ang'ania bure lkn mtoto wa mama kwasbb hajaolewa
Sionzuri hiyo kuzilslishana bure hapatena nizambi zahir apautabeba zambi
Huyumama anasifa mtoto mdogo ataande mahakamani hapewi
Malumbano yoote apo chanzi ZABUBU. Lait angekuwa anamueshimu mama yake na kumsikiliza yasingetokea hayo . Zabibu zabibu zabibu ebu mueshim mama yako ivi unafurahi kuona mama yako anazalilika eti hata kama anamapungufu bado ni mama yako hata kama nimchawi bado nimama yako siku zote mzazi hakosi jaman yaanu naumia sana kwakwer. Mama zabibu pole sana
Alhamdulilah namshukuru Allah kumpa mzazi anaejitambua. Mama kama huyu atakuombea Dua gani anaongea mambo ya madango. Pole Zabibu mkwe 0
Mtangazajini mchonganishi anamkomalia mama fani alafu zabibu atalala wapi mbona godoro limeuzwa na mama zabibu mtafuteni mtangazaji mwingine huyu hajui kabisa
Hata me cjapenda anavyomshupalia mama fani wa watu
Jaman mbona kuna wagonjwa wanahitaji msaad kwanini hawa jamani
Mtangazaji ondoka unabowa zahir uko wapi?
Mama zabibu ulikubali kiuwongi
SubhanaAllah mbona mama Alfan anabwata hv maneno yasio n heshima mbele ya watoto wadogo ....kiusawa n kisheria zabibu hapaswi kukaa Kwa kina Alfan Kulingana Alfan haja muowa amemposa tuu n upande mwingine kuhusu Mtoto kisheria ya dini mtoto anayezaliwa nje ya ndoa huwa n wa mama .......mamazabibu yuko sahihi kusema mwanawe arudi nyumbani hata kama utalala kwenye kiroba au utakula sima n chumvi lakini unajuwa upo nyumbani
Masikini mama zabibu Mwenyezi Mungu amlaze pahala pema peponi inshaAllah yani aliwa siomgomvi
Mungu mkali sana mama zabibu pumzika kwa amani uyo mama anae chezesha ziwa kumsuta mwezie Leo mungu kakuonesha kua yeye mkari kamchukua mama zabibu na mwanao pia pumzikeni
Mama fani anasema kwel jaman zabibu kapendeza kabisa kawa na Nuru jama tuondoe unafk
Hata hivo mamake alfani kamlinda Zabibu na mjukuu vizuri kang,ara jameni Hadi atembei ukweli isemwe mamake Zabibu anajuwa hapati misaada.Basi Zabibu arudi kwao waendele na maisha yao ya Kila siku yakurandaranda na kuchafuka ndo mamake atafurahi bure ni kesi Kila siku.Zabibu chukua vitu vyako rudi kwenyu angalau mamako afurahi fullstop
Wivu anaona zabibu akiwa ukweni wanaenjoy kumbe hamna lolote ,, zabibu katulia kwasababu ya malezi ya huyo mama,,mama yake hawawezi wanae anajishaua tu
Very true
Kwelinkabisa zabibu kapendeza mama zabibu ana wivu sana njo maana hata surayeke haina nuru toka kaka zahiri amsaidie mbona anazidi kuw vilevile mm kivyangu sioni msaada mama alfani anapew zaidi yaile.150000
@@zenabaziga3620 very true 👍
Wallah huyu mama angekuwa kwangu ANGEJUTA , ANADHARAU SANA ! ALLAH AMREHEMU MAMA ZABIBU AMIN AMIN ;
Aamin yaa rabbi
mam ni mama hata akiwa chokoraaa ahsante zabibu nimependa sana apo ulipomuonya mkweo safii sana
Mama zabibu na zabibu nahisi wamejiwekeza kwenyw maxmum yan ni watu ambao watachangiwa maisha yao yote..maxmum mnayumba..achaneni na izi family kuna baadhi awachangii awataki kusapot udhinifu. Afadhali ujue unachangia kwa ajili ya wagonjwa nawapo wengi wanakosa huduma sababu hawana pesa..
Hajamwoa arudi kwa mama yake.
Halfani hafai hana kazi. Wanangojea msaada na Maximum TV Online
Duh mwanamke anaongea kama chiriku. Hafai tena mkandamizaji.
Utashindwa mama sheria itakubana.
Huelewi kabisa. Jaribu utafungwa.
@@eppiemodest hapa mama zabibu kanafsi knamuuma kwa ajili ya kutaka misaada kupitia mtoto wake ndio maana anataka arudi ili misaada iendelee
Subhanna-Allah!Wanawake wenzangu kuweni na kikomo Cha kuongea kumbukeni huu mwezi wa Toba!!Midomo Mali yenu ila mnatia aibu jamani nyie wamama.
Yaani wanatia aibu Adabu ya mwezi mtukufu hawana
Subhana Allah
Haya yote kayataka mama zabibu kuuza godoro kwa sababu mzazi hauwezi kumlaza chini zabibu Kanenepa mashaallah mama Alufani kamlea vizuli zabibu
Kweli zabibu amependeza na kuacha bangi mama zabibu aache unafki na rihoo mbaya yawivu.hatukatai jmn nimama yake mazizi Ila mamaalfan kamsaidia Sana zabibu
Kusema ukweli huyu mama Khalfan kamfanya apendeze sana Zabibu kipindi kile kajifungua mbona mamaake alishindwa kumkanda maji hadi akawa amevimba mkwewe sindo alimuweka sawa.mama Zabibu anatafta sabab eti ajafunga ndoa aoni kuwa mtoto wake nahapo kastiriwa kwa tabia alizonazo huyo msaada ndo umemuuma hana lolote mbona mtoto wa kwanza kazalishwa ajafunga ndoa 😔😔😔
Kiukweli uyu mama japo anaongea Sana lakini amejua kumpendezesha zabibu mwanzo akua hivyo amependeza Sana zabibu
Kweli mm niko upande wa mama fan
Mama alhfan hana moyo tu maskini
Nashindwa niwe upande gani, zabibu alipojifungua alinyoridoka na kuvimba sura kisa kutokukandwa maji nakutolushwa kama mzazi, mama Khalfan kafanya KAZI Sana zabibu kanawili na kupendeza, ma Halfan amefanya kazi na Zabibu kirabia kabadilika Sana jamani akirudi KWA mamayake atarudi kulekule
@@hadijamshimbula7616 subhanallah hata wewe kumbe unasupport zinaa na una jina la kiislam kabisa🥵
Mama zabibu yuaona mwanawe akirudi nyumbani zahir atachangia tena na yualalamika zabibu alitoka nyumbani kwani zabibu yuanza leo kutoka ashazoea ni tamaa tu hebu maximum acheni na hii family tuone kama bila nyie hawataishi
Umeonaee yani umeongea kweli Habity
Kaka zahir achana na hii familia tunawagonjwa wanatusubir uku
Mama mkwe wa Zabibu ni mkweli lakini Mimi nampenda sana.. Mimi binafsi nitatimiza ahadi yangu ya kukusaidia Kwa moyo mmoja kabisa 🙏
Kweli kabisa ni mkweli kabisa jamani kah!!! Jinsi anavoongea anajielewa ila wengine sura za upole zinawabeba na ndo maana maakama awataki kuangalia sura wanataka Hoja na mama zabibu anaonekana anaumia mwenzake alivopewa junua za mkaa
inshaallah Allah awafanyie wepesi mtimize hilo amiina
Nami mmoja wao nina ahad ya kumsaidia mama mkwe zabibu
Allah awabarik kwa kusema mtamsaidia awape afya na awaongezee barka
Kwer kabs mama zabibu hinamuuma roho mbaya
Mama mkwe maneno mengiiiii harafu vijembe kama radio 📻 duh kiboko,mama zainabu mpole sanaaaaa hana maneno
Hapo ugomvi ni maximum kumsaidia mama mkwe, mama zabibu aache wivu ajitahidi kujitafutia wasigombane kwa msaada unaotolewa kwa ajili ya zabibu mama zabibu ana roho ya uchoyo kwani maximum niyake yy pekeyake? Aache utu uzima ovyo nyumba kajengewa misaada mingi kapata godoro kaliekeza mtoto atalalia nini ebu aache choyo na maximum sio yake
Mama halfan hana kosa jamani mbona wakat wa kikao na zahir aliridhia ila baada ya kuanza kumpelekea mama Halfan msaada ndio Kaanza gubu.halafu mtangazaji anampendelea mama zabibu
zabibu kanenepaaaa sana🙌
Kweli na Mimi naona kwa mama mkwe wanampikia ila kwa mama yake anakalia maneno na uchafu bila kujishuhhulisha na maisha
hajanenep bwana ila kanawiri sannna
sijapenda kabisa mwacheni mama zabibu wawatu jamn looooo anahaki na mwanae
Mama ni Mama! Sijapenda haya nayoyaona na kuyasikia! Siwezi ruhusu ety mamkwe andhalilishe mamangu jinsi hii! Mzazi ni mzazi hata awe mbaya! Ni mzazi
Ooh yee mama zabib she's just too nice for her own good God bless her
Huyu mama alfani ajifanya muone
@@rukiaosman18 you see through how fake and nasty she is and she brain washed zabibu to stay at her house with her thug son I can't her bs
Kabla ya kurusha hayo mahojiano, jaribuni kuhakiki sababu kuna lugha zinaleta ukakasi masikioni mwetu.
Kweli
😂😂😂😂😂😂😂hatari leo
Hpn hizi n mbanga sio sad momment
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
mtangazaji anaonekana hana taaluma ya utangazaji
Zabibu unaona mama mkwe wako anavyo mkashfu mama yako, we mama alfan mtoto huwez kumchukua had afikishe myaka 7 ila zabibu akikubali sawa
Mama zabibu mkorofi wivu unamsumbua anaroho mbaya Sana hawez kulingana na mama fani mwenzio mchakalikaj.halafu hata ukimchukua mwanao msaada hutapata pia saiv zamu ya wenzio.zabibu mamamkwe wake anamtunza bana kwanza kapendeza hadhululi tena katulia tena anamtaka wa nn mxuuu
Kweli kabisa mama zabibu ana wivuuuuuuuuu
Nimekuja kulia huku😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭R.. I. P mama fetty
😭😭😭
😂😂😂 Ama kweli penye riziki hapakosi fitina, Wazazi wa Khalfan lipeni mahari muwe na haki ya kuishi na Zabibu..vinginevyo hamna haki ya kumganda mtu..na ww Zabibu utulie kwenu msikilize mama duniani hapa hakuna anayekupenda kwa dhati zaidi ya mama ni swala la muda tu.
Kweli
Kweli hata Mimi sijapenda
huyo zabibu c aondeke kwani kuna ulazima gani kuishi hapo
Kwan zabibu katiwa kamba
Mimi uyu mamamkwee ana nikera ni basi tuu I wish ni send voice una mkazania eti utabeba mtoto ushapatia mtoto wawatu mimba afu Eti utabeba mtoto hhh ingekua mimi uyo mama mkwee angepata shidaa. Zabibu ana mama mpole sanaaa mama yangu apo wangepata shida
Kiufupi kila mtu hapo anataka msaada na huyo bibi anataka mjukuu anajua kabisa atapata msaada kwa hiyo hao wazazi wote wapi kwa ajili ya fursa kupitia zabibu
M alfani wewe upo vizuri ndoa hailazimishwi m zabibu anaona kama unafaidi saaaana dawa wewe mwache abaki namtoto wake
We mtangazaji vip unataka kupatanisha au mi sikuelewi
Mama zabibu ashukuru hata upande wa mwanamme wanamlea zabibu na mwanae japo kidogo wanacho Pata si Haba Sasa akitaka kurud nyumban yatarudi Yale ya khalfan hatoi huduma.
Uyo mama fani anaongea kwa uchungu hakumchukua zabibu kwa sababu ya msaada.Zahiri kaka yangu achana na watu Kama hao tafuta watu wenye uhitaji wa msaada 🙏🙏
Hawa wote chenga tu,Kaka Zahir saidia wenye uhitaji hao tumewachoka Sasa kwanza wanaoneana wivu kwny hiyo misaada,alafu wanamaneno sn.
@@dottojafet9153 muafrika ni muafrika tu izo ndio desturi zetu hata akisema hawa wako vp na wengine wapo zaid ya hv umeyasahau ya fadina.
Zabibu amenenepa mashaallah
Atakinda tu Kwan uyo zabibu mtt alimpata kwenye ndoa bado mtt ni wazabibu huo ukovi hauishi akikaa apo
Mama zabibu acha wivu mtt mwenyew umemshindwa kumlea godoro lenyew umeuza. Nauyo zabibu kwani nimtt mdogo mpaka alazimiswe siamependa kwenda ukwen mwenyew na kilicho mpeleka kwamume ni bangi tu amna chengine. Mama zabibu ushafel tulia acheni kutiana aibu watu wazima nyinyi msaada aulazimishwi kama watu awatatoa uyo mama fani atawashika nguvu acha ujinga mama zabibu usilete mambo mengi
Mtoto mwenyewe kamshinda huyo mbona saizi zabibu katulia sana kwa zinaiva na mkwe
Kabisa mama zabibu co mlezi kabisa wa kulea watoto huyo wa kiume kamshinda
Ata family planning alishindwa kumpeleka Zabibu jameni mama Zabibu Mimi pia ni mzazi mwenzio ukishaona mwanao amejifungua nyumbani kaa chini na yy umweleze umuhimu wa kupanga uzazi
Kweliii hyu mama zabibu ana tatizo ngani ni wivu ndo unamsumbua...
Kweli kabisa
jamani wamakonde wana mdomo sana wanafitina sana zabibu rudi nyumbani kwenu hakuna ndowa happ mama zabibu ni mpole sana masikini
Mama fani mzalamo
Mama zabibu mpeni haki wallahi nawambiya hii family ya kina khalfan si nzuri maskini mama zabibu atia imani
@@sukariyao6537 hapana hajambadilisha zabibu angebadilisha mwanawe kwanza alfani ngoja mtoto akue ndio utamjua zabibu kama amebadilika
Huyo mama zabibu,Ana tamaa kwamba akimchukua mtoto wake na mjukuu Ndio msaada Utatolewa kwake
Umeona
Yeah kabisa
Mama zabibu kashikwa masikio na majirani hana lolote na Ramadhan hiyi kafturu chai huruma ,nandiomana presha imepanda , umepata familia inae mpenda mtoto wao unataka kuleta vurugu wakwa analea mwenyewe
Mama Zabibu mvumilivu sana, huyo mwanamke mwingine anaongea kama gari bovu halafu wala hamjibu. Kama ni mm ningesimama nimzibue vibao vilivyo soma akili imkae sawa.
Pole mama halfani kwa kuondokewa na mwanao ,,,pole zabibu kwa kuondokewa na baba mtoto wako na mama ako mwenyezi mungu akutie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu unacho pitia
Subhanallah mtihan watu wazma kudhalilishana kiasi hichi allah awaongoze ktk njia inompendeza yeye mmalize tofaut zenu...
Uyu Mama Zabibu roho ina muuma, kuona watu wana saidiya Mama Mkwe wa Zabibu ndo shida.
Mbona Kaka Zahir alimpa biashara tu uyu Mama ila ameisha haribu ndo anatafuta paku egemeya. 🙌🙄
Huyu mtangazaji hajui kazi yake
Uko sahihi kabisa
Mama zabibu mbona anaonekana kabadiliak Sana jamani akapime magonjw yote ,maaana kilasiku anasingizia homa iyo homa haiishi🙄🙄
Wala aumwi hyu choyo imemjaaa
Angalia maneno ya mama mke wako gisi anawazalilisha mdogo wangu zabibu angalia hayo maneno anayo yatoa una gisi mama ana thalilika mbele ya huo unae muita mama mke ngangu siweze
Mama mkwe n mlenz mzur san mama zabibu mwanao umemuarib ww mwenyew mm nashaul km kunamtu anania ya kumsaidia mama Halfan amsaidie mama zabibu anchuk anajua msahad atakos mwenzio nikwel anajitum ww unazuw mara anatk kujengew mara iki huyu mama anamatatizo na zabibu arudi kwao tushachok 🙌🙌🙌
Ila mama zabibu kama mtt wako anakaa vizuri anaangaliwa muwache tu akae huko kwa mkwewe ni bora kuliko alivyokua anazurura na mabangi
Zabibu hana haki ya kisheria y dini kuishi kiumeni posa sio ndoa wamtolee mahari ndo wamchukue halafu huyu mama fani anamtaka mjukuu wake anazijua sheria ya nchi
kwani zabibu ni mdogo au kafungwa miguu kuwa hawezi kurudi kwao mama zabibu wote ni wivu huo kaona mama Omary kapewa hela ya mtaji wa mkaa kaona mwenzake kafaidi kweli
Hapa umesema Hyu mama hajui anacho ongea kwani kama si zabibu kumbeba mwezi tisa agemuona huu mtoto huyu mama hafai watu kama hawa ndio tatizo kwa familia zabibu ajikate tu kama hana kazi anitafute nitafutia kazi kwetu kenya ale watoto wake na mama yake juu myu biti ni mdongo sana hawezi huu mzozo watamuletea matatizo na alizaa juzi plz
Ni kweli na mama mkwe hajui sheria ana bwabwaja tu eti amchukue mtt wa kwake kwa sheria ipi? Zabibu akae kwao nyie mpeleke uduma tu
@@rehmabaraka3735 ingependeza ukitoa mguu wako kutoka kenya mpka Tanzania kamchukue zabibu na mama yake ukae nao utakuwa umefanya la mbolea sana kama kweli unawezo huo fanya
@@user-rd7jt1vi5x nitakuja juu nahitaji zabibu azinduke kwenye usingizi alio lala
Mama zabibu aache ujinga uwezo wa kumtunza zabibu na mwanawe hana amuache zabibu akae kwa mzazi mwenzie walee mtoto wao
We mwandishi mchonganishi sana, unaharibu taaluma, unaangukia upande mmoja.
Zabibu nimekupenda Sana leooo upo upande WA mama yake
jaman tusemeukwe wamungu mama arafani kamleavizuri zabibu
Binafs simuwengi mama mkwe jaman, huyu mama pamoja na umaskini wake lkn anamjari sana Zabibu utafikir katoka tumbon mwake, watulie tu wamuache Zabibu a enjoy na mkwewe♥️
Kiufupi zabibu kalizika kukaa kule jamani kwao watu wengi yaani familiya kubwaaaaaa jamani
Hadi wanalala kitanda kimoja na yule ndugu yao mkubwa
Mtu kwao zabibu hajaolewa mama ake anayo haki
Afu zaher we ndo unaweza haya huyu mwanamke ulomleta kama anakaa upande mmoja mama alfan mbn hana baya jaman
Huyu mama khalfan mjanja mtizameni sana
Alfu muongo kasahau alisema anamume
Wote hawa siwo hta uyo mama zabibu nae sie
Mashallah zabibu kapendeza yote tisa kumi mamazabibu ana wiv na choyo baada akae ajishughulishe ana kazi ya kumkashfu mwenzie kwanza msaada ana taka yeye tu msaada wenyewe ana pewa hamna anachokifanya bas shida tupu
Huyo mama Zabibu, Anaonekana anauchungu Sana na misaada inayotolewa kwa mwenzie. Halafu mama zabibu ni mvivu.
We mtangazaji Kwanini usimhoji mama Zabibu umemganda mmoja na unarudia TU maswali yaleyale.
Mqmq zabibu fanya kazi achakuendekeza kuomba kote huku kusingetokea. .... Kuhusu mzazi kutoka toka sio vzr
Subhanallah pole Mama Zabibu Huyo mama mkwe ajishushe me ni maoni yang Zabibu arudi kwao tu subhanallah 😥 Ee dunia mbona Hatuna khofu ya mungu pole kwakwel 😒 mama Zabibu
Mama mkwe, mama Zabibu na Zabibu mwenyewe, wote wazuri. Shida hapo ni hali ya maisha tu.
Mama Zabibu anadharau amesahau alikotoka
yani hapo wamekutana mama Fani ana dharau maneno meng anamzarau mwenzie Na mama Zabibu nae ana roho ya choyo hataki wenzie wasaidiwe
Mma zabibu nimshezi ila asaivi ajtegemee ana umaskini wkuzid ajshuhulishe
Angekuwa Kaka zahir hapo Wala yasingetokea🤣🤣
Kabisa
Astaqfirullahi, Astaqfirirullahi, Astaqfirullahi. Zabibu habibty rudi kwa mama yako kwani pepo iko chini ya wayo wa mama. Na nyie Maximum na mahojiano yenu ni fitna tupu wachani hii tabia.
Yan akamtese mtoto mwisho abanwe na maralia ampoteze kabisa ndo furaha yako. Mana huyo mam zabib kuuza had godoro la msaada
Mama mkwe wa zabibu ana akili sana dah ukimpata mama mkwe kama uyu hadi raha jamani 💚💚💚💚💙💙💙💙💚🧡🧡🧡🧡💜💜💜💜💜💜💜💚💚💚💚💙💙💙💙🧡🧡🧡🧡
Sanaaaa
Jamani huyu mtangazaji kapooza kweli yani mbanga za uswazi Kama sad moment🤔🤔lkn ugomvi wote huo si wamwache zabibu atulie ukweni hata Kama hajaolewa kisheria huyo mtoto bado mdogo lkn tokea amezaliwa kelele tupu sasa atakuwaje na nidhamu akiwa mkubwa
Yes acha wanogeshe tu kipindi chetu ila leo mwandishi kaamua kuwa mtazamaji😂😂hizi family moto
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣make ni cheke
Mama Hasani tabia ya kwenda kufoka kwenye nyumba za watu mbele ya watoto unamtukana Mama yao sio heshima Wala sio vizuri siku yake utakula kichapo bahati yako umekuta watoto wa Mama Zabibu wapole, kwanza sheria ya Tanzania ukitukana ndani ya nyumba ya watu umekosa sheria na hata wakikupiga haki ya Mwenye nyumba
Kiubinadamu uyu mama halfan ni MTU mzur sana .we mwadishi umezd kumkaba na maswali mengi.kama misaada wrote wanaitaji huduma.mama zabibu simuelewag kbsa toka alivyokula mtaji mala kuuza godoro hayuko seriousy na maisha.zahiri fannya mambo.
@@beatricemalola5055 Bora wewe umeliona hilo, huyo mtangazaji kamshupalia Mama wa watu kwann asiongee na kaegemea upande mmoja mxiuuuu
Twende mbele turud hy MTT Zabib kapendeza sana tofaut na akiwep kwa mamako
Huyu mama asijitoe fahamu hakuna sheria ya kumchukua mtoto mdogo hivyo na zabibu arud kwao tu mama ni mama yey kama anahamu ya kulea azae 🙌
Mama zabibu analolote anatakamisaada tuu
una wazima huyo zabibu alijitia vidole ndo kapata mimba
mama zabibu anataka misaada kupitia mtoto wake amekazana Alfan hana kazi yule mtoto wake wa kiume saidi wana tofauti gani na Alfani si wote wavuta bangi tamaa itampoza mama zabibu
@@user-rd7jt1vi5x umeonaee anashindwa na mwanae yule wa kiume kakazana halfani tu
Kama wew ni dada angalia zabibu alivyo pendeza jamani akienda kwa mama yake atakonda kwasababu kule nikugombana tu na mama yake wamuache tu zabibu mwenyewe hataki kurudi kwao wasimlazimishe kwani yeye ndo peke yake anaishi na mumewake kiharamu mbona wapo wengi wakristo na waislamu
Zabibu kapata mkwe sanaaa Ila mqmq zabibu ndio ziro akisema huko. Alikua anakaa kiholela huko alipozalishwa kapewa nini au Huyo mma zabibu ananini
Ndio basi mama zabibu hatunaye tena 😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Yamekua hayo ALLAH awaongoze in sha Allah 🙏
Mama Zabibu nakukumbuka sana mama😭😭😭😭😭
Yani nammiss sana wallah
Nimempenda zabibu hataki atukanwe mamake safi sana
mwanzo alifichanguo mamazabibu nasabuni kakomeswa leokalisaki rengine😂😂😂🤣🤣
mama zabibu pambana na haliyako, godoro umeuza pambana nahali yako, sio kwamba tunavyo kusaidia kwamba tunazo sana hapana, maisha magumu kwakila mtu,,
Mama khalfani leo nimezungumza utumbo. Hio kuishi bila ndoa ni zinaa na usimtolee siri zake zilizopita na wewe zabibu rudi kwenu
Noor: tatizo Zabibu anaweza rudi kwao na mwanaume mwingine atampa mimba nyingine
@@svt3 hio itakuwa shida yake
Hapana Kwa kweli kaka zahiry tunaomba mjitahidi kupatanisha na siyo kugombanisha, kiuhalisia na kisheria zabibu ni Mtoto bado kiumri anatakiwa abaki nyumbani kwao. Na pia hii taarifa mngeiacha Tu inakwaza
Mama fani anampenda sana mkwewe na huyo mama zabibu Hana msimamo anamganda Zahiri tu
Mungu tuskiri aiseee hizo familia km movie mazingira mapaka maneno na mazingira zabibu km anauwa kunguni aiseee atariiiii
Mama alufani iyo tabia ya kuongea Kama cheleani siyo nzur na kuwa makini na mwanao wakike
Makabila hayo wanaongea
😁😁😁😆🙌🙌 kama cherehani... Daah🤭
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 hata mate hamezi duuh
Innalilah mama Alfani wewe una uhaki ya kukaa na mtoto watu
100% Zabibu akirudi kwao ataharibu huyo mtoto mtakuja muone umuhimu wa mama Fani kumngangania mie napita mama Zabibu apunguze chokochoko na wivu🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🤸♂️🤸♀️🤸♂️🤸♀️
Kabisa
Zabibu,Zabibu,Zabibu, nakuhurumia sana Yana mama ako alipambana sana juu Yako lkn ulikuwa humsikii ona Mama hayupo tena sasa utajua umuhim wa mama😭😭
Mama zabibu kwani anamkataba na zahiri 😂😂😂 mbona wivu kwani wao siwalisaidiwa wakachezea adi godoro wakauza mama zabibu umeniacha hoi nahayo mabuzi veeep
Mama zabibu ana roho mbaya😅
Yaan mama mchoyo sana kajengewa mtaji alipewa magodoro kapewa alafu kauza akiumwa anapiga simu mjinga mama zabibi
Mjeuri tu
Mama Zabibu anataka asaidiwe yeye tu
@@ttss7716 na anavosemaga kaka zahiri anachekesha huyu mama zabibu adi vyakusaidiwa anawivu navyo sazingine katoto dogoe😂 au anatudangia huyu?
Mama zabibu yuko.sawa hata mimi ni.mama
Kweli kabisa huyu mama khalfani mpuuzi sana yeye angekubali awe na mtt mchanga anyanganywe atapenda zabibu arudi kwako
Mm kila cku na muelewa mama zabibu ila wt wmadjinfwaga kumueewa wanamyukana ila mama zabibu yupo sahihi kbs
Kabsa Mama zabibu yupo sahihi
Sanaa tena huyu mama fani msafii kuliko mama zabibu mchafu
Mama fani msiamuandame wewe mtangazaji anajielewa sana
Wow huyu mama komesha sasa anataka mtoto ,Africa wanaweza towa mtoto kwa mama bila kufikisha miaka kumi na nane ( 18 ) huyo mama atowe ushamba wake sheria iko
subhanaallah hii familiya inamtihani kwa kweli zabibu rudi kwenu ww ni muislam bd hujaolewa katulie kwenu bd mdogo usijitie tafran.
Mtoto anayezaliwa nje ya ndoa ni wa mama,
Kweli kabisaaaaa
Hata ingekuwa ndani ya ndoa mtoto wa mama alive zaa ni zabibu hakuna sheria aweza kupawa mtoto sahau we we mama halfani 😹
@@faridahussein4962 mtoto akiwa ndani ya ndoa ni wa upande wa baba.ila akiwa wa nje ya ndoa ni wa mama.
Mwaxheni akae nae alee mjukuu wake akitembea amuachie na yy atashika njiya yake. Sababu mama Zabibu godoro kaliuza nae mama Zabibu ana mtindio kidogo ww umechangiwa godoro vipi unaliuza
Mtangazaji nimnafiki yukoupande mmoja hawezi amwachie zahir
Huyu mama alfankumbe hana qauli nzuri,,,zabibu arudi kwaoi
Mama zabibu ataki kufanya biashala mama zabibu anataka msaada tuu sio kufanya biashala tumemchoka
Mama Khalfan ni muongeaji sana hana maneno ya busara anaongea sana yani Mama khalfan ni sawa na mwanawe Halima mgomvi
Ila zabibu kapendeza Mashallah...iyo kesi wah na pia ka hujatoka 40 hurusiwi kutoka mm mwenyewe nimezaa last wee siruhusiwi kutoka kabsaa
Mnamuonea uyo mama Alfan, mbona upendo anao, nakujali pia anajitaid japo hana kitu.. Angalieni laana za wahanga wamatatizo mbali mbali zisiwake juu yenu, maana apo anataman ata ndoa ifungwe tu leo,ata mtoto wake pia. Ni uchumi tuu, ila anajali sana, na hana gubu zisizo na sababu kama mama zabibu. Namuombea sana Mungu ambariki amfanikishe kumpambania mwanae, maana wote bado wadogo ni dhahir kua wanahtaj msaada wa mawazo ,uchumi,nk
Kweliii mama zabibu ana wivu kwani.kama ni msaada ata si yy pia ashanjengwa nyumba ana uchungu na msaada wa mama alfahn
@@brianboyd7720 ana roho ya kwanini
Nikweli mama zabibu asingeweza kumtunza mtoto
Point
Hapa tatizo misaada mama zabibu roho yake ya korosho ndio mana hata kunenepa inshu
Basi kama mzazi haingikii Mapenzi hata wewe usiingilie mambo ya mtoto wake zabib. Na huwezi kumzibiti kama chipi yako mama unasema saana duuu. Mwachie mtoto wa watu arudi kwao Acha ukavu....
Hamna kazi ya kufanya kila siku ya maneno tu