BINTI WA DARASA LA SITA AZALISHWA NA KIBAKA MKABAJI |CHANZO HIKI HAPA UTAUMIA
Вставка
- Опубліковано 5 бер 2021
- SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi. - Розваги
JIUNGE NA GROUP LETU LA TELEGRAM KWAAJILI YA TEAM MAXIMUM TV
t.me/joinchat/WHkxA7pWEkDUDdjM
GUSA LINK HAPO JUU
Mungu awatie nguvu maximum Tv kwa yote mnayoyafanya.
Alafu kazur kweli haka kabinti
Kaka zahir huyo wa binti ni wakike au wakiume?
Mtoto wakike au wakiume
Iiikjjj
Kuna nyakati za kulia na wakati Wa kuomboleza ,,ila naamini mwenyezi mungu atatenda yaliyo mema na mzuri kwa familia hii na tukiungana pamoja kuwasaidia,,,.
👏
Pole mdogo wangu ujaona uo we acha mm mwenyewe yalinipata kama hayo ssa hiv mwanangu jibaba Zima
Dhuuu ya naumiza aisee ni na miaka 21 ila kwa kuogopa wanaume dhu. Mungu nilindie na mdogo wangu wa mwisho kweli hii kitu imeniuma sana. Acha tuachangie tu kweli
Allwah tufanyiewepesi na vizazi vyetu🙏🙏🙏
Kaka zahir mimi napenda sana vipi unavosaidia watu hongera sana mungu akubariki kwa Kazi unayoifanya
Subuhanallah ewe mungu wetu wahifadhi watoto. Wetu wanusuru na vishawishi na mitihani na huyu mtoto mpe shifaaa amleye mtoto wake vizuri kaka zahiri mungu awalinde nyote timu mzima
Naumia sana mm wallh
Allah atulindie wanetu 🇧🇮
Inaumma
Ukiwa n mtoto w kike usijifanye unajua sana kuongea maisha yanamambo mengi ukiona mtoto wako yupo vizur omba dua t
Mackini nimtoto hadi kujielezi hajui vizuri jamani mungu akubariki kaka zahiri
Kuna watu wana tabu jaman polen sana MUNGU yupo pamoja nanyi sku zote😢🙏
Wallah tena 😥😥
Miaka 13/14 lazima utafatwa na wanaume ila ukijiheshimu na Kumcha Allah nothing will happen till u get married to right person... Ila malezi mengine mabaya na ma shoga wengi wengi. Hatariii
Swadakt kx aisha kinia upo kote
mi mambo za mapenzi nilianza nikiwa naelekea 18 yrs but nilikuwa naumwa sana tangu utotoni sikujuwa nitafikiria umri huu but mdogo wangu ni marehemu alizaa na 13yrs after class 8 mimi kwangu nikuombea huyu mtoto mungu amuonee huruma sana na anyoshe mkono wa kumuelemisha asije akapata marathi jamani 🙏
Kweli naamini maneno yako
Kama umezaa utajua malezi yanaugumu kiasi gani unaweza ukaona mtoto wako anajiheshimu lakin nyuma y pazia ni hatari n nusu
Ulez wa mzaz mmoja mtihani, uyo mwengine chakike ata mama yake kumwambia akavae nguo, mmh , mungu akusaidieni
Mungu atugifadhie vizazi vyetu wazazi tunatakiwa tuwe macho kwa watt wetu kesho kwa allah tutaenda ulizwa tulilea vipi watt wetu
Aminaaa
Jaman Mungu Atusaidie Watoto Wetu Wawe Wasikivu Haswa Hofu Ya Mungu Iwe Ndani Yao Na Mapenzi Ya Mungu Yatimie Juu Yao
Amiin
Duh! Inauma sana, bado mdogo hajajua hata maisha yako vipi hana habari mwenyewe 😭😭 akija kujitambua ataanza kutamani wakati urudi nyuma. Adolescent ni mbaya aisee
Kabisaaaa jamn hajui ata maisha n nn mwenyew mungu atulindie mabint zet
Nahisi kuchanganyikiwa mimi kama mama wa mabinti wawili namshukuru allah kwakweli daaa so sad nimeumia sana.Zahir hapo na malezi yamechangia sana jamani mungu nisaidie sana siwezi kama mama kulipokea hili daa bint aonyeshi kuumizwa na hili kabisa.
Subhanallah, inasikitisha sana ujana unatusumbua,allah atunusuru kwa kizazi chetu
Yaan ad nalia eeeeh Mungu Baba tunusuri na haya ya dunia
Eeeeh jamani hali ngumu ya maisha pia inaelekea matatizo haya... Allah atuongoze pamoja na vizazi vyetu
Amiin
Amiin
Amiin
Amiin
Amen
Eee mwenyezimungu naomba unilindie uzao wa kizazi changu kweli nimeumia sana pole mtoto mzury mungu akuongoze upya
Subhanaallah mungu a wasitiri watoto wote yaarabi
Daah pole sana mdogo wangu mungu ata wasaidia daah inauma sana
Pole mwanangu 😢😢ila usha kuwa mama tena kikubwa tuombe uhai mtt wako atakua kwa uwezo wa Allah na ht km mna Maisha magumu lkn mazingira ya humo ndn mnayaweka uchafu ht nyoka aweza kukaa humo
Pole sana
Jamani ! jamani kiama hiki duh mtoto Ana lala kwa mashoga na mama unaridhika....dunia tutaiacha Subhannallah., maisha magumu mnoo na ya hatari sana
"EEE MWENYENZI MUNGU TUNUSIRU NA VIZAZI VUETU"Binti usijali kwa mapito hayo mdogo wangu ni njia ya kujifunza maisha ipo siku yote yatabaki stori kikubwa mwamini Mungu na kumtumaini yeye na kufanya ibada sana yeye Mungu atakuonyesha njia sahihi na apo badae uyo mtoto atakuja kukupa thamani kwa jinsi Mungu atakavyo mwinua, mtumaini Mungu pekee achana na hao mashoga watakupoteza zaidi kipenzi
Mungu Tulindie Watoto Wetu
Amiin
Amiin
Amina
Allahumma amen
Amiin Thuma amiin
Mtihani kwakweli mm nnae mtt wa dada angu kaishia la4 sasaivi ana watt2 watt wavigodolo wanamatatizo sana mungu atulindie watt wetu Inshallah 🤲🤲🤲
Jaman.....mungu asaidie vizazi vyetu...kwakwel
Ee mungu wangu! Sipati ujasir wa kuendekea na hii kitu kwa kweli😭😭😭😭
Subhannallah sikuzote tunaambiwa akiona kwako kunawaka kwamwenzio kushafanya jivu Yani moto ushamaliza kuwaka
Subhanallwah
Watoto wa ushwahilini bhana
Inawezekana huyo ni bwana ata wa tatu
@@emmamatemu8225 maneno kuntu
Habari za matiti ziacheni,changieni,kama hamuwez saidia Fanyen mengine,dont b wicked kumkosoa hyo cameraman,mtoto anaitaji malezi mnatazama matiti tu,kwenden
🤣🤣🤣🤣we kaka jamani umefanya nicheke wakati nimehuzunika.
Jamani 😭😭😭😭mm mwenyeww ninawatoto wakike siwezi ongea sana ngoja nione mwisho🙄miaka 15uwiiii
Nikuomba mungu tu dunia hii
Nakwambia mungu atusaidie hii dunia ya saii siyo kama ya wakati wetu
@@rehemasalim4590 kweli mm pia ni mama
Dunia ya leo inatisha sana
Masela wanawasalandia .....!
Subhannahllah poleni sana kwa mazingira na masibu mlonayo..Alhamdulillah kwahivi ninavyoishi.Allah awafanyie wepesi naimani kwakidogo tutakacho kitoa kitasaidia.
Subhanaallah watoto tulienii jamani hali ya maisha yenyewe magumu... Kisha una lete mimba... Ebu muurumie mama
Pole bint Allah akutangulie shetani ulie nae akae mbali naww maan ni bora ungeuza hata maandazi kulikoni kuingia kwenye mapenzi jamani
Duh sina la kusema maana mimi mwenyewe ni shawahi lala chini ya mti kwa zaidi ya mwezi mumoja nikiwa na watoto wangu watatu vijana mvua ikinyesha tunajifunika mwavuli lakini kwa sasa nashukuru mngu nipo mahali pa zuri na pesa na pata vizuri 💪
Mungu ni mwema
@@mrsliverpool4235 kabisa
Alhamdulilah
ALHAMDULILLAH 🙏
Alhamndulilah mungu ni mwingi wa Rehma
Pole sana kwa mapito Mungu anaona yote mnayo pitia atafanya njia pasipo n njia
Ya rabb tusamehe waja wako hakika tunakuas usiku na mchana ila msamaha wako nimkubwa kuliko dhambi zetu majanga yamekithir kisa dhambi zetu zinaa imegeuka halali watoto awajulikan watu wazima awajulikan kaz kuziniana tu tumrudie muumba jmn hii hali imezid hakuna mkamilifu ila ukitubu unasamehewa 😭😢😢😢😢😢
Mabinti weng wanapenda masela akienda mtu ambae katulia tu hataki mwisho wa siku anapgwa mimba anatelekezwa
Binti mrembo mwenyewe wanaume wahurumieni wabinti wadogo hawajui kukataa hawa jamani!!!
God hv mercy nautulindie watoto Pole dada later utaenjoy mtoto ni baraka thank God ulijifungua salaama.
Pole mdogo mtoto wangu, usikate tamaa. Jitie Nguvu na uamue nini unataka kufanya, kama unataka shule , basi eleza Mungu atakupa watu wakukusaidia
Rahir nakuombea Sana kwa Allah azidi kukulinda na kukupa riziki kubwa
We dogo mtangazaji hujaona maisha magumu inaonyesha umekulia mboga Saba yaan hayo ni maisha ya kawaida sana huku sebulen wanalala watu 4 we nn bana na mpaka kazaa huyo sio mtoto man na hujamkuta ktk kigodoro anavyotikisa tako moja mzee ya uswaz waachie wenyewe ooohhh
Nenda huko naroho yako mbya km mkaanga sumu
Mungu tulindie watoto wetu peke yetu hatuwezi
Mhhh!!! Asante Mungu kwa Mimi kua house girl, nakushukuru kwa hiv nilivyo
Uko wap nuru
@@arjainahabeidy7827 Goms
@@nuruelmada9570 ooh so wafanya house maid gongo LA mhoto e
Jamani u are doing such great job...keep it up man...much lov from Kenya....
Jamaniiii utoto daah,unajikuta unaongea ukweli tuu,na shule ndiyo hataki tena 😭😭,Mungu atulindie watoto wetu,ila mtoto mzuri kweli na afya tele,
Eeeeh jamani mm pia nilifiliwa na baba nikiwa miaka 11 na mm ndio wakwanza na wadogo wangu wawili lkn namshkuru mola nimeelewa katika maadili mema namshkuru sana mamangu kwa kutulea hadi Leo niko miaka 25... Sijapitia utundu huu wa kulala nje ila tuu nilishirikiana na mama kibiashara kujikimu kimaisha... Alhamdhulilah
Mashallah
Hongera sana yaan mm napenda watu kama nyie
Ya rab Wa usiku watoto wetu ktk jamii lazima mafunzo yapatikane tuma kwa Mama au mtu awekwe awafundishe watoto ili wasihadaike
Kaka zahir mkiwa record wamama wanao nyonyesha jaribuni kufunikia matiti isionekane na Camera tu tafathali. Na sina ubaya ila titi la mama ni uchi wa mwana mke jamani. 🤔🤔🥱🥱
Huku kwetu Tanzania mama mzazi afuchi titi ndo ilivo ananyonyesha popote na Hakuna wa kushangaaa
@@maximumtvonline nikweli ila uwaambie video zinaonekana sehemu nyingi kwaio wajifunike
Halafu kwasie waislam hata wewe ukiangalia ni makosa waombe zahir wajistiri
Elimu bado haitoshi jamani tujiendeleze masomo ni muhimu
@@nameno8608 Naam
Maskin namhurumia sana huyu mtoto na mwanae...
na bibi nae namuhurumia sana maskin shida na dhiki waliyopitia
Jaman usiombe afariki mume halafu huna hata nyumba yakuishi...
Nimeyapitia kulea watoto wangu pekee yangu yanenikuta ya kunikuta maisha magumu sana...wala simuombei mwenzangu yamkute yalio nikuta mimi..
Pole
Pole sana ndugu
Umaskini wanao ila wawe wanapanga vitu vyao kwa mpangilio. Umaridadi huficha umasikini
Mtangazaji nae eti anacheza anajibinua
Aaaaah we kwa maelezo hayo huyo mtoto kamtaka mwenyewe kwa umalaya wake na kutosikia ya wakubwa kweli wanamaisha magumu lakini angetulia tu nyumbani jamani na hali yenyewe hiyo duh subhannallah namba za hapo jamani tuisaidie familia hii
all in all usikate tamaa kwan cio mwisho wa maisha
Jamani huyu tutamapataje namba zao kutaka kuwassidia kwa chochote maskin from 🇬🇧 uk
Namba zinaonekana apo kwa kioo
Zahir kama inawezekana naomba nimuadopt mtt jamani nimsaidie uyu binti
Dah, binti mzuri
malezi ya uswazi ni shida, ukijumlisha na umasikini wetu basi watoto wa kike wanaingia sana kwenye vishawishi vya kugongwa
Zahir samahani kama nitakoseya nihivi kazi unayoifanya ni nzuri sana Allah atakulipa kwa kweli lakini naomba jitahidi sana tena sana kina mama wanao nyonyesha waambiye wajitahid kujifunika kifuani hio picha inatembeya ulimwengu mzima jitahid sana samahani sana lakini
Tupo Kwenye kipindi akatoa ziwa mwenyewe umeona sa tungefanyaje
@@maximumtvonline 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nikweli kaka angu, Hiyo niasili ya kiafrica hata watu wawepo elf 90 unanyonyesha tu.
Inna lilah waina elehi rajioon Allah atustiri jamani ajistiri wazi Allah amtulize
Mmmh yeye anasema ukweli Ni mtoto mzuri maisha tu ndio yamechangia pia .Kaka zahiri nimecheka Kama mazuri et kwanini hamfanyangi usafi jaman
Hahahaaaaaa
Ukweli uwe unawaambia maana umasikini nauchafu vitu wili tofauti kabisa
Mtt wake mzuri anaafya nzuri
Mbona maswali mengi brother wasaidie ndugu yangu roho yaniuma wallahi 😭😭😭😭
SUBHANA ALLAH MTIKHAANI NAO HUU
Duuuuuuuuuuuuuuuuu sijui nisem nn ila mung ndio mjuaj wa kila kitu lakin maisha ya sis tusio sikia ndio ndio tunapat shid san yalionikuta aya
dah mtihani, nikupe pole na ni shida hasa familia hizi za kimasikini inauma sana tu!!!
Hao mashoga zake ndowamemponza asie sikia lamkuu huvunjika nguu mtoto mdogo mambo makubwa tuwalinde watoto wetu wasiwe na marafiki wa mtaani maana kila mtoto anatabia yake
Ni kweli kabisa
Mtoto mdogo mambo makubwa subhanallah
Kabint kadogo sn tena sn maskin alafu kazur mashaallah dah imeniuma sn😢😢😢
😂😂😂Mashoga zangu 👌🏽👌🏽👌🏽kama mazuri ila jamani loooh 😢
Yesu tenda miujiza kwenye watoto wetu
Mungu tulindie watoto wetu jamani ,nyie wanaume kuweni na huruma na wazazi .
Pole sana dadang hila epuk marafik wengi
Sema ukweli kudanganywa kupo kwa watoto wa kike, na siyo tuseme kwamba uyu msichana ni mhuni ciyo hivo hivo ni kusema mungu linda kizaz changu na mabinti zangu..
Hata umaskini unachangia
Polesn dah
Bado bint mdogo masikini jamani namuhurumia xanaaaaaaa.....ila amejifunza kitu huyo bint vizazi vyake ataviongoza vzr tu
Sina cha kuelezea kikubwa tumshukuru allah karim🙏
Mtihan Allah atustir
Ata mm nilizaa nikiwa na miaka iyo unanikumbusha mbali mdogo wangu pole
Mungu tulinde maana hatujui kesho yetu
Pole sana 😥
Da uminiumiza mdogo angu nimekumbuka mbali yalinikuta nilijuta mm
Eheee mwenyez MUNGU naomba uwanusulu watoto wetu jamani
Amiin
Ameen
🙏
Mjomba wanzania 100% ni tunashida balaa tutaona mengi Sana
Daaaah.
Duh! Pole sana jamani
Pole sn
Subhanallah
Kilakala yombo ABC mikoroshini ni sehemu zenye changamoto sana..hali ya maisha inachangia watoto kujiingiza kufanya mambo yasiofaa
itabd unpeleke cku nikapaone namim
Na wewe umo eh
Mzuri jamani pole
Subhanallah 😥
Huyu masichana amedanganya kwani hajabadilisha myenendo yake kabisa,hata hakai kujutia,Kwa hio Zahir ukirudi pale karibu kumtolea sura ya kazi ndio ajue maisha magumu kiukweli,cz hata stori ya mamake nitofauti.Tena mchango ulikua wakutosha warudishie tu nyumba yao ya rooms 3 cz ya Kaka yao kwa sababu ndie anawasimamia kwa chakula plz an plz👏💪🌞🙏🇰🇪@Kenya.
Ewe allah tunaomba unusuru vizaz vyetu😢😢😢
Amin 🙏
@@jokharymasoud7396 tupunguze na kutenda dhambi, adhabu ikija haichagui, tajiri na pesa zake utaambiwa anasukari na presha asile vitu vya chumvi na sukari na mafuta, na maskini nae anazidishiwa umaskini, sasa wakati tunamuomba Mungu anusuru vizazi tupunguze kumkosea Mungu, kwenye umma huu sasaiv hakuna dhambi isotendwa, dhambi nyengine ummati zilizopita M Mungu alikuwa anawaangamiza hapohapo, tumrudie Allah ili tunusuriwe.
Ameen
@@khatibuhijja459 amiin inshaallah
Mdogo sana 15yrs hata hajielewi kwa kweli akili haijakomaa, lakini 15yrs kenya angekua form 2 amecheleweshwa shule Pia atleast angewai shuleni elimu ingemshanua kiasi
Mmmh maisha haya unajiona ww umetokea katika maisha magumu lakini kuna kuzidiana kwakweli pia Mungu atulindie mabint zetu arafu uko yombo kilakala siyo tandika
Ndiyo tandika
Ukweli huyu binti anaongea kawaida sana Ila mtangazaji anaonekana kua na huruma sana, hemu tudirect location yake hiyo familia tuweze kufika na kuwaona...pia Mtangazaji ahsante kwa habari kwani huu ndo uandishi wa habari na sio wale wanatupostia uhuni...tnx brother
Temeke nipo nao jirani 😭😭😭
Huyu binti ni mdogo sana hapo haelewi kitu bado hajajua chochote hajui hata maana ya maisha.
Daaa kwa hata malezi bado hajuwi mtoto mdogo anampa maji na kikombe kikubwa jamani Mungu amsaidie tuu na pia siye watoto wa kike tunajisahau sana kwa wazazi wetu wakituambia tunakuwa wajeuri sana ona Sasa Leo amempa Mama yake wakati mgumu
Usiseme hivo cs mtoto anabaki kua mtoto na akili zao tunazijua, wote sisi ni wazazi tunazaaa au tutazaaa
Daah inatia huruma sana mi ningechukua jukumu la kumuoa huyo bint walau akae atulie lkn umri wake bado mdogo serikali hairuhusu
Weee!! Muoe tu serikali itafanyahe wakati amesha zaa
We nenda kaoe serekali inadeal na walioko shule...ila ukimuoa umuhamishe hapo...utakua umesaidia na Mungu atakulipa kwa kweli
Mtihani
Polen sana Allah akufanyie wepes
Ahahaha nimecheka hatar etii kuna mwengine kajitokeza kutaka mtoto jmn wasichana sisi mtihan mungu wangu tunusuru tuu
Lkn ni mkwel huyo mtoto maskini
Jaman mashoga hawa 😂😂😂😂 nomaaaa snaaaa alafu anacheka tuu
Bdo kadg maskin hakajitambui msikalaumu
Dah! Nishida Hatari Na Nusu Pole Kwa Matatizo Zabibu😥😪😓