MUME WANGU AMEKUJA KUNIUA |ALINIWEKEA SUMU NIFE NA WANANGU |MKE MDOGO ANATAMANI NIFE HATA LEO
Вставка
- Опубліковано 8 тра 2023
- SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi. - Спорт
Kaka zahir mnazungukwa hapo na jamaa asije akawatembezea kichapo 😂😂 lakini yote kwa yote Pole sana mama angu kwa uliyoyapitia Mungu amekuandalia furaha. hakuna machungu yasiyokuwa na mwisho
I am really sad about this story but this woman is so tough with all she has gone through she still narrates with details
May God see you through this hardship
Pole sana mama yangu 😭😭. Wanaumme wanajua kututesea mama zetu 😢😢. Acha nipigane na warabu niwe na changu maana wanaumme Hapana 🙌🙌🙌🙌🙌🙌😢😢😍
Hajui kujieleza, kazi sana
Pole sana mama kwani ni ucku?😳😮😮 Subhanallah
Pole dd
Jamani jamani wanawake wasio kuwa na hofu ya mungu wana roho mbaya sn Mpka inamfikia Unamwekea simu mwenzio kaaaa ukatili wa nn duniani tunapita
Subhanallah pole mama yarrab kuna wanaume wakatili mnoo mwenyezimungu akusimamie mama nimelia mnoo dahhh Allah akufungulie rizki na afya njema
Wallah inauma Sana mnatoka mbali baadae Mume anaoa mke wa pili bi mkubwa unaonekana hufai tena
Sasa Zahir unavyoongea ni kama siri wakati huyo mzee anaweza angalia kipindi kuwa makini tafadhali ❤
Kwanza huyu mama ana moyo wa pekee mateso yote hayo na bado ulikuwa ukiendelea kuzaaa uwiiii mm naona ningeishia 2 au 3 Mungu akufanyie wepesi mama upate sehemu Yako
Kweli kabisa ajengewe vyumba viwili aishi na wanawe
Subhanallah BIN ADAM SIO WEMA
MTOWE HAPO KWANZA IYO KUJENGEWA IYO NYUMBA
Pole sana dada angu mungu yupo pamoja nae inshaallah
😢💔
Wamebadilisha mada jamani zahir unakazi kuwa makini😂😂😂😂😂, sicheki kama mazuri
Wakabadilisha mada😂😂😂😂
@@zamzamhassan2651 umeona🤣🤣🤣
Pôle sanajilani yang unamtanga mwenzagundiomaanatunatokakujanchizawatusiokupendashidandiohizopoleswahiba
Maskin 😭😭😭😭😭pole mama angu
Ajengewe tu Nyumba jaman Aishi na wanawe 🥺💔💔💔💔Hasbiyallah Allah atakutetea Inshaallah ☹️😭😭😭😭😭😭😭😭
Ali iyo kiwanjatu jee ingekuwa .nyumba mama pole
Kakazahir kitambo umepote
💔
Kwa ushauri tu...hapo juu ya title msiwe mnaandika kilichozungumzwa ndani ili kuwavutia watazamaji wenu
Ukizaa watoto wawili bila kuolewa ndoa nzuri...kuwa maakini.... achana na wanaume,funga kuxaa jitafutie...ishi single... mbona haya mateso yote...jamani
Kumbe jilani yangu
😢😢😢😢😢wajina wangu
Sasa si angewahurumia hawa watoto basi😥😥 maskin katoto kadogo kanasinzia wanaume wengine ni wa hovyo kwel😏😏
Wakwanza leo
Hii mtihani mbuwa huo😮
Nimependa mulivyozugaa😂😂😂😂
95%wanawake tunapitia mitihan kikubwa allah atuhifadhi yarrab 🤲🤲🤲pole Sana dadaanga mungu yupamoja nawe atakulinda in sha allah pia mungu atuhifadhie na atulindie kakaaetu Zahir atuwekee na afya daima na mwisho mwema azid kupambana wenye matatizo makubwa
Charles ni pumbavu sn
Kama ni 93 utakuwa uliolewa na miaka 20 na siyo 18.Mungu atkutetea.
😂😂😂😂Zahir umenichekesha leo
Wacha nione hivyo vichekesho 😂😂😂😂
Mada imechange ghafla 😅
Nyombo kilakala kwamajula
Kwani video mbili maelezo hayo hayo au??
😂😂😂😂
Ndomaana Mimi nikaamua kusafiri saai na kibanda changu hakuna mwanaume ataenisumbua
Saana mungu atusimamie tuanaoyesekea nichimba arabun maana hakuna kazi rahis nchi Hz
@@pillyseleman8090 kabisa dadangu
Pambaneni Mungu yupo mpenzi 😊
Kwani video mbili maelezo hayo hayo au??
Kumbe wewe unataka maelezo gani?