Dont know if anyone gives a shit but if you're stoned like me during the covid times you can watch pretty much all of the latest movies on InstaFlixxer. I've been watching with my gf these days :)
King nimembatiza kuanzia Leo Chidy Benz ndio king baada ya kiti hicho kuondoka na Marehemu MaGwAir Ameamua kumrudishia Mchizi Wake Poa #ChidyBenz #KingofFreestyle100%
Dah! Bila kukaka kimya wala kuchanganywa na beat aisee! I'm happy to see that Chuma is truly back, sober n stronger! You really mean alot to East Africa. Keep it up Mtoto wa Ilala.
hii ni CHUMA Kweli..CHICHICHICHICHI...hahahaha kali aiseh..jamaa hapumui...kupumua ni after 10mins...+254 tunamtambua CHIDI..kama imefanya ucheke gonga like apa
Chid benzi ameshindikana yan ni non stop ...hahahahah wangeongeza dakika ziwe 15 ili tuendelee kupata radha and that is what we call it freestyle nasio kurudio kuimba nyimbo zisizokuwa namaana
Mmi Mkenya huwa nafagilia saana bongo flavour. Kiukweli tangu hiki kipindi kianze cha freestyle dakika kumi,huyu jamaa kachana bila kuangalia simu,kukatika ama kurudia mistari.HUYU BWANA KIBOKO YAOOO...alafu Msodoki anafuata.....hao wengine kina Mr.berry tuuuuuuu!!!!!
sasa mtu unang'ang'ana uelewe na freestyle huijui! wew kakomae na mduara na taarabu ,wanaojua nini maana ya freestyle tuache na kingkong wetu. saafi.saaaana CHID BENZ CHUMA
King free style,tumuombee huyu mwana arudi kwenye hali yake,kama zamani,jamaa yupo vizuri sana,ila unawaumiza mashabuki wako kwa jinsi unavyoshindwa kubadilika,chidi unatisha.
shikamoo chidy,daaaah cdhan kama kuna wa kubattle na wewe bro maana kufoka dakika 10 bila kukaa kimya hata kidogo so rahisiii. big up bro na karib tena kwenye game binafsi nilimiss sana uwepo wako hahahaa..😂😂
Kinachoniuma ni kwamba He still Get his Flows,Style ila Uwezo wa Kufikiri Umeshuka ndo maana anaweka Vina lakini hakuna maana, Yani kama Basata wakiangalia wataongeza misamiati mingi ambayo hatujui maana Yake. Tunakuombea Urudi kwenye Ubora wako Bro.
Kwata Unit ....maana ya free styl ni kuchana chochote ambacho mwishono kutakua na vina vinavyoendana na sio kuja na mistati ambayo umeiandaa kabla na kama huamnin tafta free styl za cowbama utaona au wakazi au godzilla
Kama bado unasikiliza hii freestyle 2024 gonga like
2024 unasikiliza hizi dakika kumi likes zihusike umo👉👉👉
Kama yupo anaesikiliza hizi freestyle lines 2023, basi nasikiliza naee....🔥🔥🔥
Tumetisha
noma sana
Chid🔥
Nipo
1
Kila cku lazima nipitie hii video kama unamkubali chid gonga like tukae sawa
Dont know if anyone gives a shit but if you're stoned like me during the covid times you can watch pretty much all of the latest movies on InstaFlixxer. I've been watching with my gf these days :)
@Emery Ryan definitely, I have been using InstaFlixxer for years myself =)
King nimembatiza kuanzia Leo Chidy Benz ndio king baada ya kiti hicho kuondoka na Marehemu MaGwAir Ameamua kumrudishia Mchizi Wake Poa #ChidyBenz #KingofFreestyle100%
Chidbenz uyu ndo la family daresalama standup ana nyota
Uwiiiiiiiiiii
Frestler techniQue was back again
Gonga 💗 kama unamkubal huyu techiQuer
Zahd Al yoh fundi uyu akoseagi
Hatariiiiiiiiii
Linapokuja suala la freestyle, Chidy Benz hana mpinzani kwenye hilo.
Ben Msonganzila iko wazi wengi wanaandika ila chid na ngwear noma
weeee hanifikiii mda wangu haujafika tu
Saul Mwakyusa jitahidi
+Saul Mwakyusa mkundu firimbi huwezi chidy ww matako
+Khalifa Mweusi hujui mana ya frestail wewe huyo ndo kauwaaa mkuu
Mimi nasema hana mpinzani huyu jamaa kwenye frestail, nani anabisha ;;;nakama unamkataa juwa Wewe ni mchawi tu!!!
Niko hapa April 20:2019 nimekuja kuwakilisha +254 🇰🇪 tunakubali sana chid Benz king wa rap true freestyle💯🔥🔥🔥
Kaka sio mpaka ufe ndo wakupe cheo ngwair(RIP),we Ni mkali WA freesyle kuliko wote waliotokea
hahahahhahahaa chid bhana .....fundiiiiiiii....wanaoponda waendelee kuponda ila ukwel haukwepeki jamaaa...anajua sanaaa
Hii ndio freestyle bhana, mnaomchukia mkajinyongeeee
Michael Assenga true meaning of FREESTYLE
Michael Assenga true
Dk 3:49 amazing
Michael Assenga 0
Dah! Bila kukaka kimya wala kuchanganywa na beat aisee! I'm happy to see that Chuma is truly back, sober n stronger! You really mean alot to East Africa. Keep it up Mtoto wa Ilala.
Kama bado yupo anaeskiliza hii free style ndan ya 2019 niko pamoj nae...
Huyo kuma chid aache unga
2021
2023
kiukweli huyu jamaa ni noma ana pumzi balaa ila ufalme wa freestyle tulishampa ngwair, chid upo vizuri tunakusapoti broo
chidi bana sowamchezomchezp bana
Festo Ntandu nakubali
nakubali
Kweli tulimpa Ngwair ila huyu alishika namba mbili. So kwa kua Ngwair hayupo Chid anasogea namba moja
Big up chid B' ooooh much love to you. You're the best ❤
2024 and still one of the best freestyles so far🔥😮💨🙌
hii ni CHUMA Kweli..CHICHICHICHICHI...hahahaha kali aiseh..jamaa hapumui...kupumua ni after 10mins...+254 tunamtambua CHIDI..kama imefanya ucheke gonga like apa
Huyo ndio mkali wa freestyle hii nchi akuna kama hyu jamaa
....huyu ndo mkal wa free style ...yaan full puziiiiii
kuntu xana chid by mangi
Nick Mbishi
hukuwah kumfaham marehem gwea ww eeeh
daaaah chid balaaaaaaaah...huyo ndo chuma dullah
Chid benzi ameshindikana yan ni non stop ...hahahahah wangeongeza dakika ziwe 15 ili tuendelee kupata radha and that is what we call it freestyle nasio kurudio kuimba nyimbo zisizokuwa namaana
King ni chidi benz
Nanianakataa?
kenya we blv chuma is da best kwa freestyle salute
Chidi best of all time 🔥🔥🔥🔥🔥
Wakati mnampa mangwea king of free style mm sikuwepo na wala sikushiriki . mm na mpa uyu KING KONG ILALA MABEGANI . ngraaaaaaaaaaaaahhh
Irudiwe irudiwe
Freestyle machine!!
Hiki kichwa kinabalaa dadeki
Kuna muda inabidi ukweli uwekwe wazi
#realfreestyle✊🏽✊🏽✊🏽👊🏽👊🏽✊🏽
chid benz is a best freestyle alive in TZ and EAST AFRICA as well, type like if you agree
duh!!
duu nini umeona nyoka!!!!
Thats real free style...Keep up KING KONG!!!
Haya ndo mambo tunayoyataka katika freestyle, hatutak mashair ya kuandika. Umetixhaaa brother Chid
chidi mzuri kbsa lkn uraibu maskini mungu amtoe kwenye hilo janga.una weza mzee mzima
chid benz king of the freestyle in DSM
Geophrey Joseph iko wazi
Geophrey Joseph hatari sanaa huyu jamaa
Anasauti zaidi ya moja
Mmi Mkenya huwa nafagilia saana bongo flavour. Kiukweli tangu hiki kipindi kianze cha freestyle dakika kumi,huyu jamaa kachana bila kuangalia simu,kukatika ama kurudia mistari.HUYU BWANA KIBOKO YAOOO...alafu Msodoki anafuata.....hao wengine kina Mr.berry tuuuuuuu!!!!!
Tumma Bryan
chichichichidy Benz ninoma zaidi ya noma bila kupumua dk 10 nani kama uyo
my best freestyler ever,,, uwezo wa kufikiri umepungua kidogo ila umeua sana mzee 👏👏👏
chid upo vizur mleten rayvan tumsikie na yeye japo anaimba ckuiz
long live chidi benz number one rapper in bongo yes back in the game no one like this guy
26 dec 2019 still kitu ni 🔥🔥... nani uko anaangalia 10 za maangamizi agonge like!!?
akipoa ndo kabisaaaaaatakuwa hakamatiki😎🔉🎶🎵📣
natoka juu mpaka chini kwenye sori
kama una mkubali CHID gonga like hapa
Uuuuuuuu n mwambaa kweli dar es salaam bila chid Benz amna ktuuuuu
I'm still watching this non stop 2019
DAAAAHHH HUYU JAMAAAA BALLAAAAAAAAAAHHH KWA FREEEEEEEEEE STYLEEEEEEEEEE
King of freestyle in the world
oooh my God kumbe ukonamnahivi nimekuelewa Chid b... Leo nimekukubali mkali wangu.😍🎶🎵
Chuma katisha kinyamwezi#toka 254 namuaminia
Tanzanian king of freestyle
Chidi is hip hop monster in Tanzania
Mungu msimamie huyu kiumbe wako aitendee haki talent yAKE
Huyu ndo Mkali kama unamkubali gonga like!
Kama unamkubali CHID KING KING,"" gonga like appa😊😊
wapi diamond alete zake karangaaa mamaaae wameikataaaaa 😀😀😀😀😀😀😀
tanzania son wataipenda tu😂😂😂😂
ezra Lwitiko ila chid mashineee
music and football fans 😆😆😆
sasa mtu unang'ang'ana uelewe na freestyle huijui! wew kakomae na mduara na taarabu ,wanaojua nini maana ya freestyle tuache na kingkong wetu. saafi.saaaana CHID BENZ CHUMA
.
Wanasema2 Lkn hawajui Nn Maana freestyle, chid katish San, wakitak vna vipangwe wakaimbe wao
Alipofariki Mkali Albert Mangwair niliumia ila baadae nilimtazama Chid Nakusema Kwamba Free Style bado inaishi. Go go go Chumaaaaaaaaa
HIKI KIPAJI HAMNAGA🙌🙌🙌🙌🙌
Ni 12/3/2023. Still on fire
Ni kipaji kitupu. Ana enjoy anachofanya.
oiiii kka chid mlithi wa cowbama
King free style,tumuombee huyu mwana arudi kwenye hali yake,kama zamani,jamaa yupo vizuri sana,ila unawaumiza mashabuki wako kwa jinsi unavyoshindwa kubadilika,chidi unatisha.
Hamna kama chidy Benz kwa hii fass ya freestyle yaan mpinzan alikua GweAir
sanaaaaa
Bad alikuwepo king zilla
Shikamooooooooo yeeeeeeeeaaaaaah chumaaaaaaaaaaa chidiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii king'nkooooooong
Namkubali Sana chid wengine kwenye dakika kumi hua wanakuja wameandika verse kwenye sim big up chid Benz
Jamaa ni moto hakuna mtu anamueza TZ big up man
The best best best freestly.. Dah jamaa anajua anajuaa
Africa nzima hamna mtu kama huyu ambae yanamtoka tu na wala hatafuti maneno, kama mtu anabisha amtaje mwengine
Mbona rap rahisi tu,nadinda narinda natinga natimba naminya namimba....kuna sehemu kama vile mhubiri🇰🇪🇰🇪King kong🔥
Daaaah
chumaaaa aiseee we ni nomaaaa
Nafikiri Chid benz aliacha ameseti standard waliofuata wte walizingua sn
King Kong chuma wanaroga mpk chumaaa ilala mabegani
uyu msenge kaxhindikana kabisa si kwapumzi alio nayo
Respect to yah broo
Hii ndio maana halisi ya kipaji
👊👊👊 bado hii ndo best🔥🔥🔥🔥
Hahahaha eti nna sauti kama damuu
Dan Kirunda Yan saut nzito
chid benzi ni noumer mazee sio kwa kupasuka vile yani jamaa namkubali still he is the king of hop hip
No one like u king Kong ww ni nomaaaaaaaaa braza
shikamoo chidy,daaaah cdhan kama kuna wa kubattle na wewe bro maana kufoka dakika 10 bila kukaa kimya hata kidogo so rahisiii.
big up bro na karib tena kwenye game binafsi nilimiss sana uwepo wako hahahaa..😂😂
Daah mm ni wagospel lakin tangu 2019 mpaka sasa nachekaga tu kwa hii freestyle
king wa freestyle tanzania ni Genius NIKKI MBISHI ao wenyewe wanamuelewa zohan nni nan
Reeeeespect brooo!! saaay Kingkongggggg Tz1 , Ebhana wemkali brooo.
bro ,respect respect respect ..................weka nolinoliiiii
now this is true hiphop freestyle. Chidi anafoka tu...thats hiphop. Kingkong,.,u know how we get down get down parampapaha!
Yaani beat zote chindi ameua mbya sana uko juu man
nakukubali sana na freestyle zako chumaaa Chidbenz
Chid hatar,big up zote kwako
Nimekuelewa sana chuma hii ndio mitindo huru sio wengine wanaangamiza kwa nyimbo walizoandika king Kong noma sana
Nzuri, sema ufanisi umepungua chidi.
Kijana mwenye talent. Usirudie kaka wewe ni Bro mwenye roho nzuri sana. Nakuombea6maduwa
His voice is a damn killer
Akuna kama chid Tz nzimaa kwaa michanooo bado cjaona mwengnee🔥🔥🔥
sijawahi juta msikiliza huyu mwambaaa wa chuma 2 by 6 mdabweshiii 51 mturushumbii chwakachaa🔥🔥🔥🔥🔥
Kinachoniuma ni kwamba He still Get his Flows,Style ila Uwezo wa Kufikiri Umeshuka ndo maana anaweka Vina lakini hakuna maana, Yani kama Basata wakiangalia wataongeza misamiati mingi ambayo hatujui maana Yake. Tunakuombea Urudi kwenye Ubora wako Bro.
Kwata Unit freestyle LA msingi vina ..content unaipata unapoelewa maneno
Kwata Unit ....maana ya free styl ni kuchana chochote ambacho mwishono kutakua na vina vinavyoendana na sio kuja na mistati ambayo umeiandaa kabla na kama huamnin tafta free styl za cowbama utaona au wakazi au godzilla
Drokens Charz hapo child kachana freestyle na hakuna alichokiandika before
Kabisa mzee
Weweeee benzi benzi tuuu 🔥🔥🔥
Tuache roho mbaya jamaa yuko vzr kwa freestyle,kwanza cjaelewa kwamba n yy
Freestyle kwa dakika 10🔥 #HE IS THE REALLY G.O.A.T🙌🏾
salute
Maamaaaeeeee chid nyokoooooo bn had nmelia freestyle
Mwamba mwenye hiphop yake bongo 🔥🔥🔥
Wowowooooo chichichichiiiiii beeeenziii🔥🔥🔥🔥🔥
chumaaaaah iyo ndo free style ya kwer 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jose Dorothea kweli kabisa
Namkubali sana chid B
oyoooooooooo oyoooooooo la familiiiaaaaaaaa
Respect guys for your Dakika kumi za maangamizi
hyu jamaa kichwa sema tu cjui anayumba wap asee, kila cku lazma niiangalie nikiwa ofisini, gonga like hapa kama unamkubari benz the chid
Chid benz aliset standard dats free style co wanaogandamiza 🔥🔥🔥🔥
Chid benz mkal Sana lkn ndo ivo 2
Daaaa chid benzi umetisha Sana mkuu ila bangi utaacha lini kaka😂😂😂 mbavu zangu2😂😂