KWA MARA MWISHO DULLAH PLANET AKITANGAZA PLANET BONGO, AAGWA KWA MICHANO YA BOSHOO, MAARIFA NA WERE
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2025
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Bunaya amepiga panch nyingi na kalii kuliko wote...japo wamefanya vizuri wote...💯
Dullah Planet niseme Asante 🙏 kwa muda wako uliikonga nyoyo yangu kwenye upande wa hip hop hususani mlipokuja na wazo 🧠🧠 la dakika kumi za maangamizi ulituletea Radha mpya kutoka mtaani unastahili pongezi 🎉🎉🎉 your legend bro 👑👑
Siyo legend,,,, kipindi cha planet bongo kilitafutaga msichana wa kuziba pengo la Salama Jabir alivypkuwa anaacha kukitangaza kipindi cha planet bongo akakosekana ndo Dula planet akashinda Kw kura za mashabiki
@@raskise7493 Waoooooh Asante sikuijua hiyo kabla
yaan chozi limenitoka
Dullah Planet Nomà saana Wap Tena Kaka Njoo Usafiniiii 🔥💥💯💪😊
Bunaya,, maarifa mmetisha sana
Were mura were mura vibe muda wote kaka nakubal 🔥
Mbeya boy ##chumaa 🔥
>>>Hahaha Chuma Kamdiss Maarifa HapoHapo 😀🔥🔥
Noma sana
Bunayoooo and chuma daaamn
Bunaya na Mbeya Boy, Ni moja ya MC wakali sana.. #MuchLove
Big respect to TAMADUNI MUZIK kwa hivi vipqji,..mmewainspire mkawapa nafasi pale kilingeni leo ni historia...
Boshooooo ninja🔥🔥
Bunaya 🔥🔥🔥
Mbeya boy chuma 🇹🇿🇹🇿
Mtu chuma mwana mbeya ni waya mazeee🔥🔥🔥🔥
Kusema laukweli wote wamefanya vizuri Ila bunaya ni untouchable ❤ nakukubali sana umetisha sana mm sipendi mziki Ila umenifanya nipende sana ata wife home katulia ila changamoto mm😅
Sema Bunaya mbaya sana 🙌🏿🙌🏿🔥
Mbeya boy chumaaaaaaaaaaa
Bunaya umetishaa sana😂
Sema Mbeya boi kumamake ndo real definition of Hip Hop.
Ooooooh kwanini tenaaah wapi iyooo kaka jamani much respect to you broooh umefanya mengi sanaaah haswa kwenye vipaji
Hatari sana aisee🔥🔥🔥
Mbeya boy & chantibizzzzzzzzz👊
Daaah cyo kweli jua we ndo main dula ila safi tupeane nafas
Mbeya boy na chat🔥🔥🔥🔥
Mbeya boy chuma🤜
Bunaya ana kiti chake kwenye ufalme wa hip-hop
Big show
Were muraaaa were muraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Big up DJ Dea umechapa biti vzr sana alafu zina vibe kwakila rapper akichana 👊👊💥💥🙌🙌
Hawa vijana wote ni motooo full talented .
Maarifa 🔥🔥💪
Bunayooo
Pure raw talents. Tuseme tu ukweli KENYA hatuonani 😅
Mmetisha wanangu michano kikari
❤❤❤nakubali harakati za bro kadumu Sana kizazi ila Naimani alipo Kuna watu kahama nao
Mbeya boy chuma na Chant biz ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
"Moja ni mimi, Niki wa Pili, tisa Belle" Legendary line right this one
Kali sana
Mbeya boy 🔥🔥
bunayaa,,mbeya boy chuma na were mulaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mbeya Boy Chuma,,, Ni motoo.Ahsante sana Brother Dulla Planet Wambua umeacha alama wewe ni mfano mzuri wa kuigwa katika kazi uliyoifanya kwa weledi.Nasikitika tu sikufanya kazi na wewe.Anyways Big up
Chuma
Hawa rappers waliofik kumuaga dullaplanet kwa umoja wao wangefanya kitu kikaenda hewani aseee
True
Daah kwaheli Mwamba tulikupenda sana
Dulla planet umesapoti sana hiphop tz hususani kwenye dakika10 za maangamizi
Bunaya🔥🔥
Sana mbeya boy chuma
unity
Dulla dulla dulla... please 😢😢😢but all in all 😢 nakuombea kila la kheri penye unaenda Bro. ...Salute.. Hashtag Hip Hop
Bu noma sana
Were mura pata love kutoka 254 Nairobi 🔥🔥🔥
Chant bizz umetisha brother 💥💥🙌🙌
Niseme tuu nimeinjoi Sana🔥🔥🔥
Ni sawa kabisa wote wanajua lakini nimependa Sana flow za Weramura
Nomaa
Dulla Planet tuna deni na wewe kubwa sana,,,,,,,,,Umetuacha na Majonzi
Boshoo ninja ❤❤
Booom naya
Were muya with the hype! 🔥 🔥 🔥
Hip hop stand up 📌📌📌📌📌📌📌🙌🙌🙌
Asee dula popote utakapoenda tuambie nakuelewa sana
This was so DOPE👊🏾💯
Dadeq imenikuta ofisini nipo nacheka pekee yangu🤣🤣🤣🤣
Mikono juu Kwa bunaya... Kaua hii🔥🔥
Unaweza sana bro ❤❤❤ nakubali mkali
Hapo alikosa jr junior
Maarifa,mbeya boy,bunaya ,bishoo,wera mura wote wameua
unaenda wp mr.dulla...
Bunaya mumuache 🔥
Boshoo ni rapa mzuri mithili ya Albert mangwea
wewe acha mambo yako
Sawa kaka forever hip hop😅😊😊
Mbeya,boy chumaa💀
🔥🔥🔥🔥🔥
Korongwe finest 🔥🔥
home boy
maarifa +boshoo ni shida
Bosho ninja banaaah unajua sanaaah
Fire
asante kwa yooote hasa wazo la dakika 10 za maangamizi
Bunaya hatari ogopa 💥💥💥🙌
Boshooo we mwanangu kitambo saaaaanaaaaa
Changamoto 😂😂 i like it🤣🤣
Ao utao waacha watatupiga pesa wauni saaana dah mbona gafra blo dula😓🤭
Were mullah ❤
I enjoyed evey single second of this video 😅
Maarifa bunaya na kinasa 🔥🔥🔥🔥
Ila Bunayoo.....!!!!Big Up
😅😅😅uyu bunaya Ana balaaa...ata wife katulia home changamoto mimi
Hiyo changamoto why kaishia njiani 😅😅😅
Oya hatar lait ningepata nafasi hapo 🤔🤔
Welemula
🔥🔥🔥 ingewaka zaid wangkuj na kina kadonondo, toxic, jako jeezy (odong odwaa)
Tutakumisi sana mwanetu
Ila Kuna Kikubwa Sana kitapungua Kwny Dkk10 za maangamizi
Were akaze sana bado bado
Una maarifa gan maarifa toka tiptop 😂
Mtoto wa babaaa Boshooo Bunaya were mulla daa rap tamu
Chanti apewe dakika 10 za maangamizi
Maarifa, boshoo na bunaya ni noma sana
Welcome #WasafiMedia bro😎🏌️♂️
Mbeya boy Chuma
Chuma ni🔥🔥🔥