KWA MARA MWISHO DULLAH PLANET AKITANGAZA PLANET BONGO, AAGWA KWA MICHANO YA BOSHOO, MAARIFA NA WERE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

КОМЕНТАРІ • 218

  • @mnyakitz2007
    @mnyakitz2007 Рік тому +22

    Bunaya amepiga panch nyingi na kalii kuliko wote...japo wamefanya vizuri wote...💯

  • @josedorothea7939
    @josedorothea7939 Рік тому +42

    Dullah Planet niseme Asante 🙏 kwa muda wako uliikonga nyoyo yangu kwenye upande wa hip hop hususani mlipokuja na wazo 🧠🧠 la dakika kumi za maangamizi ulituletea Radha mpya kutoka mtaani unastahili pongezi 🎉🎉🎉 your legend bro 👑👑

    • @raskise7493
      @raskise7493 Рік тому +1

      Siyo legend,,,, kipindi cha planet bongo kilitafutaga msichana wa kuziba pengo la Salama Jabir alivypkuwa anaacha kukitangaza kipindi cha planet bongo akakosekana ndo Dula planet akashinda Kw kura za mashabiki

    • @josedorothea7939
      @josedorothea7939 Рік тому

      @@raskise7493 Waoooooh Asante sikuijua hiyo kabla

    • @TunguMwele
      @TunguMwele Рік тому

      yaan chozi limenitoka

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt Рік тому +19

    Dullah Planet Nomà saana Wap Tena Kaka Njoo Usafiniiii 🔥💥💯💪😊

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 Рік тому +8

    Bunaya,, maarifa mmetisha sana

  • @noahnsubc1666
    @noahnsubc1666 Рік тому +26

    Were mura were mura vibe muda wote kaka nakubal 🔥

  • @yohanakayuli4786
    @yohanakayuli4786 Рік тому +14

    Mbeya boy ##chumaa 🔥

  • @dullahsimbaulanga6472
    @dullahsimbaulanga6472 Рік тому +14

    >>>Hahaha Chuma Kamdiss Maarifa HapoHapo 😀🔥🔥

  • @13eka_tz-ko8zp
    @13eka_tz-ko8zp Рік тому +2

    Noma sana

  • @emmanueljohn5162
    @emmanueljohn5162 Рік тому +11

    Bunayoooo and chuma daaamn

  • @MarwaFidelis
    @MarwaFidelis 18 днів тому

    Bunaya na Mbeya Boy, Ni moja ya MC wakali sana.. #MuchLove

  • @mbelikemtamaduni7905
    @mbelikemtamaduni7905 5 місяців тому +1

    Big respect to TAMADUNI MUZIK kwa hivi vipqji,..mmewainspire mkawapa nafasi pale kilingeni leo ni historia...

  • @idrissaabubakari859
    @idrissaabubakari859 Рік тому +18

    Boshooooo ninja🔥🔥

  • @sebastianmkumbi
    @sebastianmkumbi Рік тому +10

    Bunaya 🔥🔥🔥

  • @Paplick9
    @Paplick9 Рік тому +14

    Mbeya boy chuma 🇹🇿🇹🇿

  • @issaomary7718
    @issaomary7718 Рік тому +12

    Mtu chuma mwana mbeya ni waya mazeee🔥🔥🔥🔥

  • @kitwanazanzibar5687
    @kitwanazanzibar5687 Рік тому +6

    Kusema laukweli wote wamefanya vizuri Ila bunaya ni untouchable ❤ nakukubali sana umetisha sana mm sipendi mziki Ila umenifanya nipende sana ata wife home katulia ila changamoto mm😅

  • @gerriemagic
    @gerriemagic Рік тому +6

    Sema Bunaya mbaya sana 🙌🏿🙌🏿🔥

  • @JimmyMwamlenga
    @JimmyMwamlenga Рік тому +11

    Mbeya boy chumaaaaaaaaaaa

  • @camillomakongwa8308
    @camillomakongwa8308 Рік тому +23

    Bunaya umetishaa sana😂

  • @pharergyramson5918
    @pharergyramson5918 Рік тому +9

    Sema Mbeya boi kumamake ndo real definition of Hip Hop.

  • @abdilahijuma3373
    @abdilahijuma3373 Рік тому +3

    Ooooooh kwanini tenaaah wapi iyooo kaka jamani much respect to you broooh umefanya mengi sanaaah haswa kwenye vipaji

  • @KelvinEmersonSteven
    @KelvinEmersonSteven Рік тому +8

    Hatari sana aisee🔥🔥🔥

  • @francyfanuel1286
    @francyfanuel1286 Рік тому +3

    Mbeya boy & chantibizzzzzzzzz👊

  • @yusuphmtuga4951
    @yusuphmtuga4951 Рік тому +8

    Daaah cyo kweli jua we ndo main dula ila safi tupeane nafas

  • @jumazinga941
    @jumazinga941 Рік тому +4

    Mbeya boy na chat🔥🔥🔥🔥

  • @dinyoabeli9028
    @dinyoabeli9028 9 місяців тому

    Mbeya boy chuma🤜

  • @producercharlz2549
    @producercharlz2549 Рік тому +6

    Bunaya ana kiti chake kwenye ufalme wa hip-hop

  • @alphoncesamwel6973
    @alphoncesamwel6973 Рік тому +6

    Big show

  • @chegaritofx
    @chegaritofx Рік тому +7

    Were muraaaa were muraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @charlesndauka335
    @charlesndauka335 5 місяців тому

    Big up DJ Dea umechapa biti vzr sana alafu zina vibe kwakila rapper akichana 👊👊💥💥🙌🙌

  • @petermsangi2701
    @petermsangi2701 Рік тому +2

    Hawa vijana wote ni motooo full talented .

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 5 місяців тому +1

    Maarifa 🔥🔥💪

  • @kaJEMBEvip
    @kaJEMBEvip Рік тому +6

    Bunayooo

  • @nelsonbilali3888
    @nelsonbilali3888 11 місяців тому +1

    Pure raw talents. Tuseme tu ukweli KENYA hatuonani 😅

  • @AbdulShaymaa
    @AbdulShaymaa Рік тому +2

    Mmetisha wanangu michano kikari

  • @kingnyotta1376
    @kingnyotta1376 8 місяців тому

    ❤❤❤nakubali harakati za bro kadumu Sana kizazi ila Naimani alipo Kuna watu kahama nao

  • @kastorymalila1109
    @kastorymalila1109 Рік тому +2

    Mbeya boy chuma na Chant biz ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @MrRabbih
    @MrRabbih Рік тому +5

    "Moja ni mimi, Niki wa Pili, tisa Belle" Legendary line right this one

  • @IsackVedasta
    @IsackVedasta 6 місяців тому

    Mbeya boy 🔥🔥

  • @sindephilimon9094
    @sindephilimon9094 7 місяців тому +1

    bunayaa,,mbeya boy chuma na were mulaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 Рік тому +6

    Mbeya Boy Chuma,,, Ni motoo.Ahsante sana Brother Dulla Planet Wambua umeacha alama wewe ni mfano mzuri wa kuigwa katika kazi uliyoifanya kwa weledi.Nasikitika tu sikufanya kazi na wewe.Anyways Big up

  • @bonifasjk2290
    @bonifasjk2290 Рік тому +27

    Hawa rappers waliofik kumuaga dullaplanet kwa umoja wao wangefanya kitu kikaenda hewani aseee

  • @gallodograpper
    @gallodograpper Рік тому +3

    Daah kwaheli Mwamba tulikupenda sana

  • @mohamedmaphya7286
    @mohamedmaphya7286 Рік тому +2

    Dulla planet umesapoti sana hiphop tz hususani kwenye dakika10 za maangamizi

  • @Ahmedmshauri1494
    @Ahmedmshauri1494 Рік тому +3

    Bunaya🔥🔥

  • @KeyvillyShaban
    @KeyvillyShaban 3 місяці тому

    Sana mbeya boy chuma

  • @jacksonaloyce9920
    @jacksonaloyce9920 24 дні тому

    unity

  • @venturebown6983
    @venturebown6983 Рік тому

    Dulla dulla dulla... please 😢😢😢but all in all 😢 nakuombea kila la kheri penye unaenda Bro. ...Salute.. Hashtag Hip Hop

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 7 місяців тому

    Bu noma sana

  • @OfficialSilomeno
    @OfficialSilomeno 10 місяців тому

    Were mura pata love kutoka 254 Nairobi 🔥🔥🔥

  • @charlesndauka335
    @charlesndauka335 5 місяців тому

    Chant bizz umetisha brother 💥💥🙌🙌

  • @shabanimrisho8260
    @shabanimrisho8260 Рік тому +2

    Niseme tuu nimeinjoi Sana🔥🔥🔥

  • @msolidwagalilaya6094
    @msolidwagalilaya6094 3 місяці тому

    Ni sawa kabisa wote wanajua lakini nimependa Sana flow za Weramura

  • @raufsaid3691
    @raufsaid3691 Рік тому

    Nomaa

  • @kulwajeremiahlibori9583
    @kulwajeremiahlibori9583 Рік тому +6

    Dulla Planet tuna deni na wewe kubwa sana,,,,,,,,,Umetuacha na Majonzi

  • @lameckmkuvasa9931
    @lameckmkuvasa9931 Рік тому +3

    Boshoo ninja ❤❤

  • @mustaphagezina2366
    @mustaphagezina2366 Рік тому +4

    Booom naya

  • @chrismutua4676
    @chrismutua4676 Рік тому

    Were muya with the hype! 🔥 🔥 🔥

  • @Paplick9
    @Paplick9 Рік тому +10

    Hip hop stand up 📌📌📌📌📌📌📌🙌🙌🙌

  • @eliahswai1607
    @eliahswai1607 Рік тому +7

    Asee dula popote utakapoenda tuambie nakuelewa sana

  • @elishamgaya6305
    @elishamgaya6305 Рік тому +5

    This was so DOPE👊🏾💯

  • @jacksonfrancis5944
    @jacksonfrancis5944 Рік тому +1

    Dadeq imenikuta ofisini nipo nacheka pekee yangu🤣🤣🤣🤣

  • @duncankisilu7977
    @duncankisilu7977 4 місяці тому

    Mikono juu Kwa bunaya... Kaua hii🔥🔥

  • @OfficialSakky
    @OfficialSakky Рік тому

    Unaweza sana bro ❤❤❤ nakubali mkali

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 Рік тому +3

    Hapo alikosa jr junior

  • @mariamchiga846
    @mariamchiga846 Рік тому +2

    Maarifa,mbeya boy,bunaya ,bishoo,wera mura wote wameua

  • @wazir_prince2
    @wazir_prince2 Рік тому +5

    unaenda wp mr.dulla...

  • @edwardraymond8643
    @edwardraymond8643 Рік тому +7

    Bunaya mumuache 🔥

  • @Noel-bp1xd
    @Noel-bp1xd Рік тому +8

    Boshoo ni rapa mzuri mithili ya Albert mangwea

  • @KidaMack
    @KidaMack 24 дні тому

    Sawa kaka forever hip hop😅😊😊

  • @mballaJR25
    @mballaJR25 Рік тому +9

    Mbeya,boy chumaa💀

  • @SonOfJack255
    @SonOfJack255 Рік тому +3

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @luisojr3480
    @luisojr3480 Рік тому +4

    Korongwe finest 🔥🔥

  • @rickpoz1795
    @rickpoz1795 Рік тому +6

    maarifa +boshoo ni shida

  • @abdilahijuma3373
    @abdilahijuma3373 Рік тому

    Bosho ninja banaaah unajua sanaaah

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb Рік тому

    Fire

  • @josephrichard241
    @josephrichard241 4 місяці тому

    asante kwa yooote hasa wazo la dakika 10 za maangamizi

  • @koffianodichisesa238
    @koffianodichisesa238 Рік тому

    Bunaya hatari ogopa 💥💥💥🙌

  • @khamisbk8569
    @khamisbk8569 Рік тому +1

    Boshooo we mwanangu kitambo saaaaanaaaaa

  • @GuerschomOmollo-wz9ly
    @GuerschomOmollo-wz9ly Рік тому +3

    Changamoto 😂😂 i like it🤣🤣

  • @homesaickofficial7407
    @homesaickofficial7407 Рік тому +7

    Ao utao waacha watatupiga pesa wauni saaana dah mbona gafra blo dula😓🤭

  • @FaithMatila-f3s
    @FaithMatila-f3s 4 місяці тому

    Were mullah ❤

  • @gerriemagic
    @gerriemagic Рік тому +2

    I enjoyed evey single second of this video 😅

  • @revocatusmtahaba9955
    @revocatusmtahaba9955 Рік тому +7

    Maarifa bunaya na kinasa 🔥🔥🔥🔥

  • @SteveTegemea-fj6de
    @SteveTegemea-fj6de Рік тому +5

    Ila Bunayoo.....!!!!Big Up

  • @bushboi6601
    @bushboi6601 Рік тому +2

    😅😅😅uyu bunaya Ana balaaa...ata wife katulia home changamoto mimi

  • @djhdscratchmaster4110
    @djhdscratchmaster4110 Рік тому +6

    Hiyo changamoto why kaishia njiani 😅😅😅

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Рік тому +6

    Oya hatar lait ningepata nafasi hapo 🤔🤔

  • @philipongilini8604
    @philipongilini8604 10 місяців тому

    Welemula

  • @richardibrahim5609
    @richardibrahim5609 Рік тому +1

    🔥🔥🔥 ingewaka zaid wangkuj na kina kadonondo, toxic, jako jeezy (odong odwaa)

  • @fidonsostenes
    @fidonsostenes Рік тому +2

    Tutakumisi sana mwanetu

  • @maufijose2294
    @maufijose2294 Рік тому +2

    Ila Kuna Kikubwa Sana kitapungua Kwny Dkk10 za maangamizi

  • @JumaIsaya-z7i
    @JumaIsaya-z7i 4 місяці тому

    Were akaze sana bado bado

  • @bushboi6601
    @bushboi6601 Рік тому +5

    Una maarifa gan maarifa toka tiptop 😂

  • @jumashelukindo4079
    @jumashelukindo4079 Рік тому +7

    Mtoto wa babaaa Boshooo Bunaya were mulla daa rap tamu

  • @christophergeorge5490
    @christophergeorge5490 Рік тому +5

    Chanti apewe dakika 10 za maangamizi

  • @SalumuHimidy-o9s
    @SalumuHimidy-o9s Рік тому

    Maarifa, boshoo na bunaya ni noma sana

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla Рік тому +6

    Welcome #WasafiMedia bro😎🏌️‍♂️

  • @lukassospeter1594
    @lukassospeter1594 Рік тому

    Mbeya boy Chuma

  • @joshuauisso2930
    @joshuauisso2930 Рік тому +2

    Chuma ni🔥🔥🔥