Msukuma nikupe zawadi gani jamani.unakuta mfugaji anahangaika kutafuta marisho na maji anapigwa najua anapauka ndani ya miaka 6 ndio ng'ombe awe amekomaa kuuzwa huyo waziri hana huruma na mfugaji.afanye majaribio kuchunga ng'ombe mwezi mmoja kwanza aone hiyo sela yake watakuwa amewatendea haki wafugaji?
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm
Big up sana Msukuma, wewe ni mtetezi wa wanyonge tangu zamani.
Mungu akubariki sana
Nyie wabunge wengine' igeni kutoka kwa msukuma,,,,,,,good points brother
Hama Kwa hakika nakukubali sana mbunge Joseph Musukuma una hoja za msingi sana Kwa serikali hongera sana
Wasukuma wa jimbo lako, wamepata mbunge, safi sana msukuma, unaonesha uzalendo.
Hongera Dk. Msukuma Kataza Hereni ni Upuzii tuu
Big up Msukuma umeongea kwa kuwatetea vizuri wafugaji,na Bunge litumie Hansard hizo kurekebisha yaliyo kinyume kwa sababu ndiyo maana ya kuwa na Bunge
Safi Sana nkoi Msukuma. Ogitula gezungu ja nguzu getegete.
Huo ndo ukweli baba🎉
Safi sana mh. Msukuma
Nice speaking 👍👍
Kweli kabisa mbunge msukuma umeongea point sana hongera sana,na hiyo ishu ya bagili ni dili la baadhi ya viongozi wakubwa
SAFI SANA MBUNGE MSUKUMA.
Huyu jamaaa ni kichwa snaa siku hiz anaongea point sana wanataka kututapel
Umeogea Sasa musukuma hivyo sasa 5:51
Mau yako msukuma🎉🎉🎉🎉
Hakika Jimbo lako limepata mbunge,wabunge white wangekuwa kama ww wallah tungekuwa juu zaid
Upo Sahihi sana
Huyu jamaa anaongea ukweli mtupu lkn kwa njia ya kuchekesha
Kweli ndio madhara ya elimu za makalatasi
Sio kizungu sema kingereza
Kwakweli watu kama msukuma ndani ya ccm wamebaki wachache
Huyu angesoma!!!!!hatari
Tunahitaji wabunge kama huyu bila kujali ugumu wa ilani ya chama chake
Jamn sisi lupa mbungeame lala hatu jali
♥💝😄👏
Buku buku za kwenye umeme mbona wabunge wamezkalia kmya wananch wanaumia na pesa hazielewek znafanya kaz gan
Msukuma nikupe zawadi gani jamani.unakuta mfugaji anahangaika kutafuta marisho na maji anapigwa najua anapauka ndani ya miaka 6 ndio ng'ombe awe amekomaa kuuzwa huyo waziri hana huruma na mfugaji.afanye majaribio kuchunga ng'ombe mwezi mmoja kwanza aone hiyo sela yake watakuwa amewatendea haki wafugaji?
KUMBE Mh. MBUNGE MSUKUMA ALITABIRI KUWA WABUNGE WENGI 2025 ITAKUWA VIGUMU KURUDI? SUALA LA BANDARI LIMEKUWA MWIBA KWENU WABUNGE. Mhhhhhh? Bandari zetu zirudi.
Raid ajae
😂