“Tunamdanganya nani? tunataka maelezo ziko wapi Trilion 1.5” -Mbunge SUGU
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi maarufu Sugu amemtaka Waziri wa Fedha na Mipango Dr Philip Mpango kutoa majibu sahihi kwa wananchi kuhusu zilipo Trilion 1.5 ambazo hazieleweki zilipo katika ripoti ya mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (CAG)
Ila sio sili huyu mbunge mbeya tulimpata,Hongera Sana kaka mkubwa suguuuuuuu
nawakubali zitto// sugu// msigwe// mungu awabaliki sana mnavoiweka ichi sawa
Unamsahau na VP na bwege
Mr mbeya Asante tukiwa na wabunge wanao tendea haki posho zao Kama wew Tanzania itakua up in the air
upo vizuri mbunge wetu sugu utapita bila kupingwa 2020
kama unataka maendeleo ya nchi utamkubali jamaa ameonge point Safi sana brother
Kwanini Bunge lisiwe huru na NEC iache uchaguzi uwe huru hili Taifa tuna viongozi imara sana.Bravo Sugu
Respect 2 u Mr.Mbeya President...
I9om
hahaha we noma sugu mwenyezi mungu akujalie maisha malefu amina nakupenda
very good #sugu
mavazi sio tija makanzu kofia kujivisha Uislamu undani wake yeye ni kafiri haramu
Haya maombi ya Watanzania mimi siyaelewi. Akiongea Magufuli mnampongeza, Akiongea Msigwa na Sugu mnawapongeza hivi tuwaeleweje.
Sungu hatari
@@medkisalazo3890 Kula kitimoto na ukafiri vinahusiano Gani ww
Safi Sugu nakubali
Huyu jamaa ana point sana
Long life SUGU
Ndugai na Sugu mnachangamsha sana bunge
Nakukubari Rais wa Mbeya....
penda sana mbunge wetu sugu
Sugu Oyeeeeeeeeeh,Mungu azidi kukubariki
Safi sana sugu
Safi sana sugu nakukubali sana.
Mungu akupe miaka mingine 5 yakuwatetea wanyonge
Hapo sawaaa mkuuuu
Viva sugu live long utumikie taifa
Asanten
Big sugu
Mmmmmmh Hadi shekh anakula NGURUWE dunia imeisha
Wabunge kama nyinyi ndio tunawaitajii katika taif hili
I personally like the how mbilinyi argues
Umemchapa kisomi🙏🙏🙏🙏
Kitu Moto ana gongaa!!Kibaraka Shea cha bure tuuuu😄😄😄😄 Hapendi ya Mafuta😁😁😁 Message sent...Aibu kweli kweli 🤣🤣🤣🤣🤣
Ni nomaaa
But numbers don't......
Bungeni Raha Sana.
Kwani kufungo hakifungiki vipi sugu❤❤❤
Maniga sugu unafaa kuwa rais maniga ukiwa rais nchi itakua kama ulaya yani naona itakua zidi ya mzee ruksa sugu oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
✌️✌️✌️✌️Nyundo hizi nasemaaaa Kuzitowa Ninguvu kubwa awanimajembe kweli
Sugu unajielewa sana Big up
Daah nimekuja kuangalia hii mwaka huu2021 yanu sugu bhana eti hapendi ya mafuta😅😅😅😅😅
Bunge la sasa lina raha sana kama vile class
Jino kwa jino
Noma sana sugu
Nakukubali sana sugu.
Dah !!! Kwa MTU mwenye uwezo wakufikiria lazma ajue kua tz kwandani ya miaka 5 ijayo tutakua na hasara kubwa sana kitaifa kuwakosa hawa watu
Inaoneka sasa hivu
Safi sana
Sugu ana balaa sana
Freedom
Sugu ndio Mbunge wenye vius kuliko Mbunge yeyote
Hahahahaha tatizo mbwa ukimjuwa jina hakusumbui ng'o
Mbeya prezdnt
Safi
Big up sugu moto chini
Uyu jamaa Ana Akiri nyingi sanaa
Mungu akuongzee miaka5
Hata watu wangu wa mbeya hivyo ndivyo pia
Haaaa unashangaa kuitwa mla kitimoto ila ni halali kuwaita wenzie mbwa king hana akili ni bwege tuu
Thank u mr sugu
Spikaa ni ovyooo ase linafikkkk duh
Kamanda
minapendelea uwe raisi..mr..sugu
Zipo kwenye trab na track nchi ya ahad
Duh
Sugu hatre !!!
Big up brother
Baba babaa babaaa huyoooo!
MATUNDA MUHIMU KITIBA: ua-cam.com/play/PLRMIRcpWDhtzWjWKEULSse5negv5AuGl2.html
asant mh sugu
Upo vizur bongo sio poa nchi wote yetu rakin unafanya Kama sebureni ya famiriya yako
dah nacheka sana mno,
Kuonyesha maturity ni pamoja na kwa namna yetote ile kutunza yale ambayo unayafanya sirini na mndani wako.Hata kama mkitofautiana huwezi kumuanika mwenzio.
Siasa n mchezo mchafu brother
Ndo uwaite wenzio mmbwa
Huyo pembeni ya Sugu ni nani? 😍
kwel kaka
Nilidhani Kenya ndo pesa hupotea kumbe huku pia
Mungu alibadilishe hili bunge wakati bunge la 12
Ok
Sugu point tetea tz yetu
Jamani mpaka wivu me sijawai msikia mbunge wangu wa Arumeru magharibi akichangia au kafungiwa kuchangia!??
Utamuona tuu
Ndo wanasema wamchague tulia du wamwache sugu du tutakua tumepotea
Ustadhi hapendi kitumoto ya mafuta🤣🤣
Hahahahaaaaaaa yeye hapendi yamafuta hahahahahaaaaaa
duh ety hapendi ya mafuta
real?????????
Suguuuuu hoyeeeeee...!!
hahahaaa....ustadhi ameshikwa pabaya ...hapendi ya mafuta ......
nimemmis sana mwamba
Mbilinyi
majibu .....tunayasubiri
Sungu atar endelea kuwa nyoosha
Hhahhha et hapend ya mafuta
Huyu kavaa kaz au dela
Mhhhiiii kitimoto!!!!usrazi mhhh Hio ndio chadema
Et hata mi nishangaa
erasto mujuni eti wananchi wanateseka njaa na magonjwa hakuna dawa mahospitali eti mbunge mzima anaelezea dunia eti yeye na ustazi wamekula kitimoto na bia !!shameonyou!!
sugu hatar
Hahahahahahaaa
"Ila yeye hapendi ya Mafuta "
Rama Mtetu 😀😀😀😀😀
Bangi
hiphop imetumika apo
suguuu nakupendaga sana hhaha
Sasa Unaweza Kupata PAST PAPERS & NOTES za Kidato cha PILI (II) na Kidato cha NNE (IV) Kupitia Mobile App ya O - Level Past Papers Inayopatikana Kwenye Play Store Bure Kabisa Kupitia Link Ifuatayo bit.ly/Olevelpastpapers
mr naomba tuwasiliane kwa whatsapp naitaji kurist pcb 0716754847
Shekhe achana na (kiti moto) ni haramu
Faraj Ramadha n mnati wake tu sii kweli
Faraj Ramadha n vp
Unaudhibitisho wowote kusema ni haramu.
Tumepoteza dila, mahalifa tupo tumechochora
Hata cielew anaongea Nini matako huyu..... Bado kdgo kila mtachokuwa mnaongea bungeni mtaonekana vituko TU.... JPM Yuko fire Sana .... Siku hz JKT wanafanya kazi yao kweli Wala sio jkt jina TU... Wanajenga taifa kweli , Sasa we kilaza ukisikia mil 500 unacaoculate kipinzani unaona NI zaidi.
Uyu mwamba hatar
Ww huwa ckushangai mjani kawaida yk
Lilikuwa bunge haswa
Huyu Jamaa ni sheedda
Sugu unatamiwa ujikumbushe hayambo
Kusema kweli kama alivo sema uyo shee mbunge,,,kwa maelezo yake sijaona kamuita mtu mbwa kwa kauri iyo alo toa apo.
Mbeya Wana mfaid huyu jamaaa
Sugu njoo nyamagana nikupe kura yng
Enjoy the World