Asante Mtumishi wa Mungu kwakuniongoza maana leo nipeota najisaidia haja kubwa nikawa nasafisha juu nakitumbukiza choon asante kwakuniongoza ktk utakaso🙏🏾🙏🏾
Me uota nkiwa shamban ushago mara naota nkiwa nki kwanye tope nmwkwama nangangana kutoka na ingine najikuta napanda mlima na nitelez bt huwa natoka mara naota nki mjamzito ama nko njian natembea bt kwasafar huwa sifik mwisho mana yke nini paster please naomba unisaidie..
Anza kuwa msafi na Mtakatifu. Acha dhambi. Samehe wote waliokukosa na kukuloga, usiwahukumu. Omba rehema kwa mungu kwa dhambi ulizotenda na hata waombee wote kwenu rehema kwa zaburi ya 51 na 103. Omba roho mtakatifu akusaidie kwa jina la Yesu. Mshukuru kwa zaburi ya 100, 113,117,150. Na funga mfungo wa siku 3 masaa 12. Ombea haya 1. Rehema 2.imani 3.mapenzi ya Mungu kwako yani mpe Mungu moyo wako Na waombee maadui zako baraka mathayo 5:44 na mathayo 7:1 Mungu akubariki sana. Lakini pia tuna vitabu vizuri sana sana vya kiroho, roho mtakatifu, vya ndoto, kujua kipawa chako, kukuza karama za kiroho, kujua kusudi la Mungu maishani mwako, na Kujijua wewe ni nani ili uwe mkuu na nyota duniani kirahisi, maombi na mfungo sahihi, kuharibu nguvu za giza, vya utajiri na mafanikio na vya mahusiano, ndoa, malezi watoto, kutatua migogoro ndani ya ndoa na kumrudisha mwenzi mloachana kirahisi. Usivikose vitakusaidia sana kukukomboa
@@shiningstarheavenlyembassyApostle mm leo nimeota mm leo nimeota mtu akiniekea haja kubwa kwa nguo yngu sasa nakaa km mwenye amejiendea haja kwa nguo, badaye nikasikia kuenda haja wakanionyesha choo tna mmoja wao akanipeleka kwa iyo choo haikuwa imefunikwa juu mwenye kunipeleka akaniekelea kamti ya kupita ndh niweze kukaa na kujisaidia, after kumaliza ile nguo waliniekelea haja akaimwagilia maji km mwenye anaiosha kulikuwa na nguo yake chini apo kando ya choo ile kinyezi waliweka kwa nguo yngu ikanguka kwa iyo nguo yake ilikuwa kando, alf iyo boma ilikuwa ya wachawi nini maana yake
Mimi nimeota najisaidia ndotoni tena naharisha. Nikijisaidia chooni Alafu wakati najisaidia kulikuwa na watu 2 wananiangalia. Inamaana gani mtumishi? Nisaidie
Asantee Yesu mm niliota nasidaia afuu najisafisha,,,kumbee nimetoa sumuu mwilini,,,asante Yesuuuuuuuu
Asante Mtumishi wa Mungu kwakuniongoza maana leo nipeota najisaidia haja kubwa nikawa nasafisha juu nakitumbukiza choon asante kwakuniongoza ktk utakaso🙏🏾🙏🏾
Mimi nimeota ninajisaidia mbele za watu... Ina maana gani
Thanks so much
Ahsante sasa je mi nimeota nimejisaidia kwenye nguo inamaana gani
Kupoteza heshima, na utukufu wa MUNGU. MAMBO unayofanya wenda yataleta album kubwa
Me uota nkiwa shamban ushago mara naota nkiwa nki kwanye tope nmwkwama nangangana kutoka na ingine najikuta napanda mlima na nitelez bt huwa natoka mara naota nki mjamzito ama nko njian natembea bt kwasafar huwa sifik mwisho mana yke nini paster please naomba unisaidie..
Pastor mm nimeota najisaidia kwenye choo cha kukaa alafuu najitawaza kbs
Pastor nisaidiee mm nimeota najisaidia kwenye chooo cha kukaaa alafuu najitawaza kbs
😊l
😊
Mimi huwa naota mwanangu kajisaidia na ninamsafisha inamaana gan?
Nisaidiee maana yakee
Mimi nimeota
Mimi nimeota leo nimejisaidia kwenye suruali ya mume wangu nikafutia na koti lake tena mengi yaan sasa sijui tena nguo anazipenda kweli hizo
ISHARA ya kupoteza FURAHA ya ndoa. ISHARA ya MAISHA ya DHAMBI na MAAMUZI YASIYO sahihi
OMBEA NDOA msije ingia kwenye migogoro
Anza kuwa msafi na Mtakatifu. Acha dhambi. Samehe wote waliokukosa na kukuloga, usiwahukumu. Omba rehema kwa mungu kwa dhambi ulizotenda na hata waombee wote kwenu rehema kwa zaburi ya 51 na 103. Omba roho mtakatifu akusaidie kwa jina la Yesu. Mshukuru kwa zaburi ya 100, 113,117,150.
Na funga mfungo wa siku 3 masaa 12.
Ombea haya
1. Rehema
2.imani
3.mapenzi ya Mungu kwako yani mpe Mungu moyo wako
Na waombee maadui zako baraka mathayo 5:44 na mathayo 7:1
Mungu akubariki sana.
Lakini pia tuna vitabu vizuri sana sana vya kiroho, roho mtakatifu, vya ndoto, kujua kipawa chako, kukuza karama za kiroho, kujua kusudi la Mungu maishani mwako, na Kujijua wewe ni nani ili uwe mkuu na nyota duniani kirahisi, maombi na mfungo sahihi, kuharibu nguvu za giza, vya utajiri na mafanikio na vya mahusiano, ndoa, malezi watoto, kutatua migogoro ndani ya ndoa na kumrudisha mwenzi mloachana kirahisi. Usivikose vitakusaidia sana kukukomboa
@@shiningstarheavenlyembassyApostle mm leo nimeota mm leo nimeota mtu akiniekea haja kubwa kwa nguo yngu sasa nakaa km mwenye amejiendea haja kwa nguo, badaye nikasikia kuenda haja wakanionyesha choo tna mmoja wao akanipeleka kwa iyo choo haikuwa imefunikwa juu mwenye kunipeleka akaniekelea kamti ya kupita ndh niweze kukaa na kujisaidia, after kumaliza ile nguo waliniekelea haja akaimwagilia maji km mwenye anaiosha kulikuwa na nguo yake chini apo kando ya choo ile kinyezi waliweka kwa nguo yngu ikanguka kwa iyo nguo yake ilikuwa kando, alf iyo boma ilikuwa ya wachawi nini maana yake
Mimi nimeota najisaidia ndotoni tena naharisha. Nikijisaidia chooni Alafu wakati najisaidia kulikuwa na watu 2 wananiangalia. Inamaana gani mtumishi? Nisaidie
Tena watu hao mmoja mdogo wangu wa kike mwingine jirani yangu yy wakiume sijui inamaanisha nn
ukiota. unaimb
Ukiiimba NYIMBO gani
Wa dini ule wa shangilia piga kelele Kwa Bwana