nashukuru sana Mungu kukutumikia ili nijue napotelea wapi sijui nifanye aje !!ili nitumikie hii kipower😢😢nmekaa tu bure dunian ambapo kazi ya Mungu inaningoja😢😢
Mimi huwa nachukia sana dhambi, napenda kukaa peke angu kutafakari juu ya neno la Mungu, muotaji wa ndoto zinazotokea baada ya siku chache baadae ,naamini katika kuwezekana,kuthibitisha vitu kwa nguvu, naamini katika kuwezekana na nyingine nyingi tu ulizozitaja . Mungu anitie nguvu mimi ni nabii wake .
Asante sanaaa Mtumishi wa Mungu kwa kunifunulia haya yote. Mimi sikuwa ninajua kwamba nina sifa za Kinabii. Lakini kiukweli ni kwamba haya yote uliyoyasema ninayo kabisa kwa asilimia zote, na ndivyo ninavyo ishi katika maisha yangu yote. Sasa nina muomba Mungu, anisaidie ni yaishi maisha ya Kinabii ili Mungu azidi kunitumia katika maisha yangu na kwa ajili ya watu wengine hapa Duniani tuki mngojea Yesu kurudi kwa mara ya pili, kutuchukua kwenda Mbinguni katika maisha yetu ya umilele. Mungu wetu akubariki sana Nimeguswa mnoo. Amen
Asante mtumishi dalili nyingi zimenigusa, mimi nampenda MUNGU sana na naichukia dhambi,nikiota kitu huwa kinatokea vile vile, huwa nina roho ya hisia mtu anaweza kuwa ananishirikisha changamoto anayopitia basi hunijia hisia naanza kumtamkia kinachomsumbua ni nini na nampa solution yake kwa kumwombea na kumpa neno la Mungu na kinaenda kutokea vilevile, Na kweli huwa ninaroho y kutonyamazia kitu kikinijia ktk hisia huwa najikaza nisiseme lkn kuna roho inanipush niseme na nikisema bdae kinathibitika kuwa Mungu alikuwa n kusudi jema kuniambia nikiseme bila kuogopa japo kinaweza kutafsirika vibaya lkn bdae sifa zinarudi kwangu, Napenda uwepo wa MUNGU, na ninapenda kubeba shida y mtu ktk kumwombea nitahakikisha namfatilia mpaka majibu yatokee, Pia huwa naweza pata hisia kichwani km mtu ananielekeza na nikiongea kinatokea vile vile hd najiogopa, Pia huwa natamkiwa kuwa mimi ni mtumishi ila cjajijua au cjapata pa kutumika kulingana na kipawa changu, mamaangu Ananiitaga nabii. MUNGU anisaidie
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, katika hizo ishara ulizotaja mimi ambazo ninazo ni kuota ndoto ,kupata ujumbe frani kabra haujatokea iwe ni mzuri au mbaya, kuumia ninapoona mtu anapitia shida na Mungu yupo,kuwa muwazi sana kwa mtu au watu kwa jambo ambalo naona halitosis sawa,napenda kuombea watu na nione matokeo ya kuomba kwangu uponyaji nk ,na huwa inatokea,kumtamkia mtu neno na ikawa kweli na mengine mengi uliyotaja kuna baadhi ya watu huniita nabii
Mutumishi wa mungu ubarikiwe kabisa,miye najisikia kukua Na furah maneno aya unatoka kuyasema inanifanya nijijuwe kama mie niko nani,lakini ndani ya moyo wangu nakuaka na woga,ila nasemaka ndani ya moyo mie niko mutumishi wa mungu kupitia byenye na kuaka naona ao byenye napitiaka,tatizo yangu yenye nakuaka nayo nakuaka nasema tamutumikiaje mungu,maisha ya mwili aina bien ,ila tangu nilianza kukufata nilikamata atuwa kusema kama mie uyu mwaka wa 2024 tajikaza kwenda kuma ibada,kuma fundisho,nifundishwe mbele juu maneno na matendo ivaye mwili nione kile mungu alitia ndani yangu,sijui ni seme nini kwa kweli na shukuru tu kwa yote.
Asante hizizote na sikiakama nyingine katiya azo zinani fikia ila sijifahamu kwani sijajua namuna ya kizitumikisha alafu sijui ni fanye Nini mimi Nina majukumu inayo husiana na mamboya kiroho ila naishiakwanjia Yani hazitimiye wazi asante kua kio kwangu je nifanye Nini
Yesu ni bwana mwanangu ana zote ishirini haswa ya maombi nakutabiri na ana miaka 16 ninahitaji sana mungu amtunze awe mtumishi wakumtumikia cku zote za maisha yake
Shalom mtumishi nisaidie tafadhali natamani kujua haya mtoto wangu anaona vision yakuonyeshwa vitu Tena katikati ya bahari juu ya mwamba anafanta maombi samaki na viumbe was baharini wakimzunguka bilakumzuru na anaonyeshwa mistari ya biblia kwenye hayo maono kaona waraka Kwa waebrania sura ya tatu mstari 1 Hadi SITA lakini kwenye ndoto isaya 60 :1 na hagai 1
Ubarikiwe sana mtumishi uzidi kutufindisha na kutufinua! Mimi mtumishi hapo nimeona vingi sana kwangu zaidi ya 10 Apostle,nahitaji kujifunza mengi sana kutoka kwako ili niweze kujipata Apostle naanza kugundua kitu...!
Mimi,napenda kuomba na kumtaja Mungu sana,ninapenda kusaidia sana,nina huruma nyingi hata hua nateseka kwa moyo ninapoona shida za wenzangu,ikuna kipindi naeza ombea mtu na akapona,lolote litakalo tokea hata kama ni kesho nitaota,hofu kipindi chengine,sipendi ogomvi,nina hasira sana ila ni mwepesi wakusamehe,hata adui yangu niko tayar kumsaidia,nafikiria sana nikifa nitakwenda ishi vipi huko,Hakika Mungu tuongoze kwenye mema
Mimi napenda nitabiliwe,arafu iyo yakitizama mtu unaona ugonjwa wake iyo ninayo sanaa,kingine ndoto zangu naotaga mtu ana niambia kitu "uyo mtu simuoni nasikia sauti tu"lazima icho kitu kitokee❤
Amen ata mm uwa najihisi niko na unabii lkn sijui venye nitaanza shida yangu ni maneno mengi alafu venye napitia maisha ngumu ndio maani uwa narudi nyuma
Oooo Asante Mungu wangu.......mie naona ninazo zote.isipokua Ile ya kuota.Mungu wangu na Yesu wangu.......nimeogopa sanaaa ...dumisha kilichomo ndani yangu na ninakipokea.ninaitika kama samwel.nena bwana mtumishi wako anasikiaaaa.ninavyo viashilia karibu vyoteeeee!!!!!!
Asante sana mtu wa Mungu Mimi hizi 20 zote ninazo kabisaa nitakutafuta ila sijui unapatikana wapi .ila nampenda sana Yesu nilibatizwa 2006 na nabii Geor Davie na nilikuwa mwanamaombi ktk watu 5 kuombea ministry na kumuombea nabii lakini nilipata matatizo nikaondoka ila nipo nasali ktk kanisa la kiroho lakin ninakiu yakujenga ministry ili nimtumikie Mungu ila Leo umenipa ujasiri zaidi nimempanga kwenda Kwa nabii pia maana tangu niondoke sijawahi Rudi huko.mungu akutunze
ndoodo pia kushidia watu pia wantonto pia Kashi ya. Mungu kanisani watwumishi wamungu naota nikipuruka juu yahanga namuntinto watogo emeni the jasas nemu 🙏
Mimi mara mingi hupenda kuomba sana,Kila mara nikipatana na changa moto hua natumia neno Kwa Imani nitashinda,Kuna wakati hua naonyeshwa mambo Kwa ndoto na baadaye nakuja kuziona adharani.. please naomba uniombee tu kama Mungu ameniitan ameniita
Asante. mimi huwa roho inanitangulia kuwa hiki kitu au mtu ni mbaya na napata ni kweli .tena juzi nikaota kaburi jipya la mwanamume nisiyemjua kuamkia kesho nikapata ni kweli hadi mitandaoni na kuna zingine kama kuokota kuni mm na mamangu na mimi kukwama na nikweli kabisaa lakini Mungu ananisaidia hata kama bado,,,na napenda kuwa peke yangu,kusema ukweli,upendo na nasukumwa kumutumikia Mungu pia na maombi ila mimi ni muoga.
Nakushukuru sana mtumishi wa Mungu Kwa kunifungua Akili. Nilikua nahisi tu ila sikua na hakika kilichomo ndani yangu.Mungu akubariki. Ntakutafuta Nina jumbe/na maonyo mengi sana juu ya Taifa na watu hata makanisa. Barikiwa.
Na Mimi nasikiaga Sana watu wanachowaza Ila naogopa kusema pia nasikiaga sauti ya mung ikinisemesha pia naupendo na nachukia dhambi pia ukwel ninaoujua si rahix mtumish kunipotosha pia napendag kujtenga na nishawahi kukaa peke yangu kama mwaka nikiomba peke Yang Ila nilivojichangany kuomba na wezangu roho ya kuomba ikapungua pia nishawahi kufunga siku tatu kavu
Kwa kweli ninazo hizo dalili zaidi ya 15 nifanye nini na naupenda unabii .asante sana. Ingalau niko ktk hofu kipindi hiki lakini umeziondoa mungu ashukuriwe na ubarikiwe
Nakumbuka nkiwa na mimba ya mtoto wangu 2021 my sister alikua ameoleka mwanaume fulani akamdanganya nikamwambia usioleke kwa uyo mwanaume baki kwa mzee yako maanake mtasumbuana hakunisikiza baada ya miaka miwili kujifungua aliniambia my sister kweli uliniambia still io ndoa ako tu but aina amani ni maombi tu
Usichoke kufanya haya unayoyafanya mtumishi kwa kuwa ni kwa njia hii wengi wetu tumepata kujielewa kwa kuwa yote hayo uliyoyasema kwa mfano ni ya kwangu ila huwa naogopa nikijiuliza ikiwa kama kwa kweli mungu ameniita nimtimikie kwa njia hii?Kwa kuwa tumekua katikati ya watumishi na wengine huwa hawatuambii,,,,🙏🙏
Yani Mimi Toka niko mdogo nikisema kitu Huwa kinatokea halafu napenda sana kukaa pekeyangu Huwa najiulizaga Mimi mwenyewe moyoni mwangu sipati jibu mana sinaga rafiki
Uwezo wng wa kunusa upo juu sana,naweza kusikia harufu nzuri au mbaya hata kama IPO mkoa mwingine, pia naweza Kupambanua sauti Kwa kiwango Cha juu sana, mtu akiongea hata Neno zuri, Lkn kama Nia yake ni mbaya, Huwa namchukia tu,pia naweza kuona Vitu ktk sura za Watu, hii ni ajabu
Mimi najisikia kuomba tu ila kunawakat ata nikitaka kuomba mdomo unakua mzito, pia ninajikuta nimeongea kitu kina kua kweli, mpaka najisikia vibaya kwann nimeongea, pia naweza ona mtu nika mwambia jambo likawa kwel mfano nika mtania ila nikwel na laaibu, kuna wakati staki niongee ila najikuta nimeongea , kingine naweza kukaa zangu tu nikajikuta kausingiz flan dk chache mno nikaona jambo kama naota ila huo usingiz niwatofaut nakitandan naona mpaka naogopa, ila nikiona kinakua kweli kabisa, kingine saut nasikia napata taarifa ndani yangu mabishano saut mbil nisha uliza sana natatizo gan, nishaombewa hakiachi,
Hii mafunzo yote nimeishika na hii mabo yote Niko nayo .kunjikaisha peke yangu ni sana mtumishi na pia kukasirika sana Kwa neno la mungu likiharibiwa maono ndoto ninazo na kulia sana kwa kazi ya Mungu.lakini sijaelewe nimejua Leo ni unabii
Ktk vitu 20 ulivovitaja na kuvitafsiri mimi vingi ninavyo nivichocheeje maana kutokana na maisha ninayoyapitia najikuta nimekata tamaa na ninakuwa kam nazira kwakuwa ninatendwa na wale ambao sikutegemea kuwa wangenifanyia hivo hivyo ninapoteza mambo fulani kiroho
Nimewai kuota ninatembea na mchungaji juu ya maji na nilishawai kuota mtu simuoni sura ananiambia nitoe pepo akaniita Simon petro ma alikuwa amejifunga kiuno chake kwa kitu kama kamba
Apostle mungu akubariki sababu viote uliviosema hakika nimimi niko ivio
Amen amen na ukionda uko kwa nyumba ndani na uko ije Ya nyumba hiyo inajekwa na mafundi
nashukuru sana Mungu kukutumikia ili nijue napotelea wapi sijui nifanye aje !!ili nitumikie hii kipower😢😢nmekaa tu bure dunian ambapo kazi ya Mungu inaningoja😢😢
Asante sana mtumizi wa Mungu kwa mafunzo
Mimi huwa nachukia sana dhambi, napenda kukaa peke angu kutafakari juu ya neno la Mungu, muotaji wa ndoto zinazotokea baada ya siku chache baadae ,naamini katika kuwezekana,kuthibitisha vitu kwa nguvu, naamini katika kuwezekana na nyingine nyingi tu ulizozitaja .
Mungu anitie nguvu mimi ni nabii wake .
Mungu asante kwa ajili yako mtumishi naomba kufundishwa zaidi
AMEN 🙏🙏🙏
Barikiwa sana mutumishi wa mungu Mimi ni barikiwa sanaaaana nimejijua kweli unatumiwa na mungu wa kweli kabiza mutumishi wa mungu barikiwa sanaaaana
Barikiwa mtumishi
Mara nikiombea watwu wangojua nikitembea Mari akunaanga nyumba waramiti niiji kaafu kapisa pastor mungu akupariki sana the jasas nemu ♥️🙏
Glory be to Jesus Christ amen 🙏🙏🙏
Asante sanaaa Mtumishi wa Mungu kwa kunifunulia haya yote.
Mimi sikuwa ninajua kwamba nina sifa za Kinabii.
Lakini kiukweli ni kwamba haya yote uliyoyasema ninayo kabisa kwa asilimia zote, na ndivyo ninavyo ishi katika maisha yangu yote.
Sasa nina muomba Mungu, anisaidie ni yaishi maisha ya Kinabii ili Mungu azidi kunitumia katika maisha yangu na kwa ajili ya watu wengine hapa Duniani tuki mngojea Yesu kurudi kwa mara ya pili, kutuchukua kwenda Mbinguni katika maisha yetu ya umilele.
Mungu wetu akubariki sana
Nimeguswa mnoo.
Amen
Asante mtumishi dalili nyingi zimenigusa, mimi nampenda MUNGU sana na naichukia dhambi,nikiota kitu huwa kinatokea vile vile, huwa nina roho ya hisia mtu anaweza kuwa ananishirikisha changamoto anayopitia basi hunijia hisia naanza kumtamkia kinachomsumbua ni nini na nampa solution yake kwa kumwombea na kumpa neno la Mungu na kinaenda kutokea vilevile, Na kweli huwa ninaroho y kutonyamazia kitu kikinijia ktk hisia huwa najikaza nisiseme lkn kuna roho inanipush niseme na nikisema bdae kinathibitika kuwa Mungu alikuwa n kusudi jema kuniambia nikiseme bila kuogopa japo kinaweza kutafsirika vibaya lkn bdae sifa zinarudi kwangu, Napenda uwepo wa MUNGU, na ninapenda kubeba shida y mtu ktk kumwombea nitahakikisha namfatilia mpaka majibu yatokee, Pia huwa naweza pata hisia kichwani km mtu ananielekeza na nikiongea kinatokea vile vile hd najiogopa, Pia huwa natamkiwa kuwa mimi ni mtumishi ila cjajijua au cjapata pa kutumika kulingana na kipawa changu, mamaangu Ananiitaga nabii. MUNGU anisaidie
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu, katika hizo ishara ulizotaja mimi ambazo ninazo ni kuota ndoto ,kupata ujumbe frani kabra haujatokea iwe ni mzuri au mbaya, kuumia ninapoona mtu anapitia shida na Mungu yupo,kuwa muwazi sana kwa mtu au watu kwa jambo ambalo naona halitosis sawa,napenda kuombea watu na nione matokeo ya kuomba kwangu uponyaji nk ,na huwa inatokea,kumtamkia mtu neno na ikawa kweli na mengine mengi uliyotaja kuna baadhi ya watu huniita nabii
Sharom mtumishi wa Mungu,mm ninazo zote isipokuwa ya utambuzu ndiyo cna
YESU KRISTO akutumie Kwa jina la YESU KRISTO AMEN
Napenda kutapiri mtoto aliye dumboni Kama ni .mufulana na akisaliwa anakuasichana
Mutumishi wa mungu ubarikiwe kabisa,miye najisikia kukua Na furah maneno aya unatoka kuyasema inanifanya nijijuwe kama mie niko nani,lakini ndani ya moyo wangu nakuaka na woga,ila nasemaka ndani ya moyo mie niko mutumishi wa mungu kupitia byenye na kuaka naona ao byenye napitiaka,tatizo yangu yenye nakuaka nayo nakuaka nasema tamutumikiaje mungu,maisha ya mwili aina bien ,ila tangu nilianza kukufata nilikamata atuwa kusema kama mie uyu mwaka wa 2024 tajikaza kwenda kuma ibada,kuma fundisho,nifundishwe mbele juu maneno na matendo ivaye mwili nione kile mungu alitia ndani yangu,sijui ni seme nini kwa kweli na shukuru tu kwa yote.
Umesema na mimi kabisa yaani mimi ni nabii MKE Asante kwa kunifunilia siri hii ya kujua kipawa cha kinabii ameno
Asante hizizote na sikiakama nyingine katiya azo zinani fikia ila sijifahamu kwani sijajua namuna ya kizitumikisha alafu sijui ni fanye Nini mimi Nina majukumu inayo husiana na mamboya kiroho ila naishiakwanjia Yani hazitimiye wazi asante kua kio kwangu je nifanye Nini
+255768275795 nitumie sms Whatsapp nkushauli Cha kufanya
Yesu ni bwana mwanangu ana zote ishirini haswa ya maombi nakutabiri na ana miaka 16 ninahitaji sana mungu amtunze awe mtumishi wakumtumikia cku zote za maisha yake
Mungu amuinue zaidi Kwa jina la YESU KRISTO
Amina mtumishi
Shalom mtumishi nisaidie tafadhali natamani kujua haya mtoto wangu anaona vision yakuonyeshwa vitu Tena katikati ya bahari juu ya mwamba anafanta maombi samaki na viumbe was baharini wakimzunguka bilakumzuru na anaonyeshwa mistari ya biblia kwenye hayo maono kaona waraka Kwa waebrania sura ya tatu mstari 1 Hadi SITA lakini kwenye ndoto isaya 60 :1 na hagai 1
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU kwa ufafanuzi mzuri nimejielewa sana 🙏🙏
Sharon Sharon miminiriota usingizini nikamuona mtu amevaakanzu nyeupe ndefu harafu anandevundefu nyeupe kama Sufi irayuko navitotoviwiri navyo vimevaanguo nyeupe anavirushia sarafu vinashindwakudabasivinachekavinacheza hahukunayuremtu mbereyakekunabarabar inamwanga mkari wakierekea huko sijajuwa. Maanayake emen🙏🙏
Ubarikiwe sana mtumishi uzidi kutufindisha na kutufinua! Mimi mtumishi hapo nimeona vingi sana kwangu zaidi ya 10 Apostle,nahitaji kujifunza mengi sana kutoka kwako ili niweze kujipata Apostle naanza kugundua kitu...!
+255768275795 nitafute mtu wa MUNGU
Mimi,napenda kuomba na kumtaja Mungu sana,ninapenda kusaidia sana,nina huruma nyingi hata hua nateseka kwa moyo ninapoona shida za wenzangu,ikuna kipindi naeza ombea mtu na akapona,lolote litakalo tokea hata kama ni kesho nitaota,hofu kipindi chengine,sipendi ogomvi,nina hasira sana ila ni mwepesi wakusamehe,hata adui yangu niko tayar kumsaidia,nafikiria sana nikifa nitakwenda ishi vipi huko,Hakika Mungu tuongoze kwenye mema
MUNGU akubariki SANA
@@shiningstarheavenlyembassy amiin
@@shiningstarheavenlyembassy pia wewe nawe Mungu akubariki kwa lolote utakalo fanya akutangulie na akuongoze
Mimi napenda nitabiliwe,arafu iyo yakitizama mtu unaona ugonjwa wake iyo ninayo sanaa,kingine ndoto zangu naotaga mtu ana niambia kitu "uyo mtu simuoni nasikia sauti tu"lazima icho kitu kitokee❤
Anza KUMTUMIKIA MUNGU
Amen ata mm uwa najihisi niko na unabii lkn sijui venye nitaanza shida yangu ni maneno mengi alafu venye napitia maisha ngumu ndio maani uwa narudi nyuma
Mutumishi wa mungu barikiwa kabisaa
Asante, asante asante
Nini nifanye napoona hali kama hiyo
❤
Nimepata majibu,barikiwa mtumishi wa Mungu
Namshukuru sana pastor maana nimejifaamu Sasa.
Amina mtumishi ubarikiwe Sana, mi karibia sifa zote ninazo ila huwa najiuliza Sana nifanyeje sasa na Nani wa kunisaidia ili nifikie kusudi la mungu
Mungu akubariki sana, naziona nyingi kwangu, hofu ndio kikwazo kikubwa Kwa upande wangu, nahofu km nitakosea, kudanganya watu, nifanye Nini ?
Fear not my friend in Jesus Christ Amen 🙏🙏🙏
Mtumishi yote uliyoyaelezea ni yakwangu utadhani unanujua asante sana stay blessed ❤
Ubarikiwe sana Aposlte Mm zote ninazo
Oooo Asante Mungu wangu.......mie naona ninazo zote.isipokua Ile ya kuota.Mungu wangu na Yesu wangu.......nimeogopa sanaaa ...dumisha kilichomo ndani yangu na ninakipokea.ninaitika kama samwel.nena bwana mtumishi wako anasikiaaaa.ninavyo viashilia karibu vyoteeeee!!!!!!
MUNGU atakusaidia na CHUKUA HATUA ya Imani! Kwa jina la YESU KRISTO
@@shiningstarheavenlyembassy Aminaaaaaaa Mungu nisaidieee
Asante sana mtu wa Mungu Mimi hizi 20 zote ninazo kabisaa nitakutafuta ila sijui unapatikana wapi .ila nampenda sana Yesu nilibatizwa 2006 na nabii Geor Davie na nilikuwa mwanamaombi ktk watu 5 kuombea ministry na kumuombea nabii lakini nilipata matatizo nikaondoka ila nipo nasali ktk kanisa la kiroho lakin ninakiu yakujenga ministry ili nimtumikie Mungu ila Leo umenipa ujasiri zaidi nimempanga kwenda Kwa nabii pia maana tangu niondoke sijawahi Rudi huko.mungu akutunze
Mungu akubariki SANA na akuongezee Baraka tele
ndoodo pia kushidia watu pia wantonto pia Kashi ya. Mungu kanisani watwumishi wamungu naota nikipuruka juu yahanga namuntinto watogo emeni the jasas nemu 🙏
Ubarikiwe sana mtu wa mungu
Mimi mara mingi hupenda kuomba sana,Kila mara nikipatana na changa moto hua natumia neno Kwa Imani nitashinda,Kuna wakati hua naonyeshwa mambo Kwa ndoto na baadaye nakuja kuziona adharani.. please naomba uniombee tu kama Mungu ameniitan ameniita
Thax man of God for the revelation
Asante sana Mtumishi wa Mungu Kuna kitu kikubwa nimejifunza hapa leo
MUNGU azidi kukufungua na KUKUPA hekima KUBWA Kwa jina la YESU KRISTO AMEN 🙏🙏🙏
Asante. mimi huwa roho inanitangulia kuwa hiki kitu au mtu ni mbaya na napata ni kweli .tena juzi nikaota kaburi jipya la mwanamume nisiyemjua kuamkia kesho nikapata ni kweli hadi mitandaoni na kuna zingine kama kuokota kuni mm na mamangu na mimi kukwama na nikweli kabisaa lakini Mungu ananisaidia hata kama bado,,,na napenda kuwa peke yangu,kusema ukweli,upendo na nasukumwa kumutumikia Mungu pia na maombi ila mimi ni muoga.
USIOGOPE! WOGA ni mlango WA SHETANI kukutesa
Hongera sana mtumishi wa mungu, na Mimi Niko hivo hivo naomba msaada wako
Zidi kusoma BIBLIA, mtumie ROHO MTAKATIFU na aza hapo ulipo kutumika
Ameeeeen 🙏🙌🙏🙏
Ubarikiwe mwalimu nakupata sana
Barikiwe Sana mtumish Wa mungu
Nishawai kuota nimeokota biblia kipindi cha Masika mashambani sjawaii tambua ndoto hii
Ameeeeen
Amina
Nakushukuru sana mtumishi wa Mungu Kwa kunifungua Akili. Nilikua nahisi tu ila sikua na hakika kilichomo ndani yangu.Mungu akubariki. Ntakutafuta Nina jumbe/na maonyo mengi sana juu ya Taifa na watu hata makanisa. Barikiwa.
MUNGU akubariki SANA
Asante mtumishi tangu nimeanza kukufuatilia nimepata baraka na mwanga flani dhidi ya ndoto na tabia zangu, Mungu azidi kukubariki
wow nimebarikiwa sana pastor nashukuru.
Na Mimi nasikiaga Sana watu wanachowaza Ila naogopa kusema pia nasikiaga sauti ya mung ikinisemesha pia naupendo na nachukia dhambi pia ukwel ninaoujua si rahix mtumish kunipotosha pia napendag kujtenga na nishawahi kukaa peke yangu kama mwaka nikiomba peke Yang Ila nilivojichangany kuomba na wezangu roho ya kuomba ikapungua pia nishawahi kufunga siku tatu kavu
Aamin mchungaji nahisi hata mimi ninachembe chembe za unabii.
Hapo kwa ishara ya 5 ❤️❤️ni ukweli yaani ninajua kabsa Huyu mtu Anafikiria hivi na ndo hivo inakuwa ukweli ❤🙏🙏🙏Mungu nifungue Macho
Kuna vitabu vya kinabii na na ma ya kufanya! +255768275795
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
All of things it's me , thank God for this gift 🙏
Kwa kweli ninazo hizo dalili zaidi ya 15 nifanye nini na naupenda unabii .asante sana. Ingalau niko ktk hofu kipindi hiki lakini umeziondoa mungu ashukuriwe na ubarikiwe
Nichukue hatua gani mtumishi kipawa hiki kiinuke sana.
Nakumbuka nkiwa na mimba ya mtoto wangu 2021 my sister alikua ameoleka mwanaume fulani akamdanganya nikamwambia usioleke kwa uyo mwanaume baki kwa mzee yako maanake mtasumbuana hakunisikiza baada ya miaka miwili kujifungua aliniambia my sister kweli uliniambia still io ndoa ako tu but aina amani ni maombi tu
Amina🙏💪
Mungu akubariki sana
Mtumishi 🙏Nko na hiyo roho kitu inachotaka kutokea na limetokea nakuwa na ile roho inaniskuma kuomba
Mungu ni mwema
Asante sana mtumishi wa mungu ubarikiwe sana na mungu aendelee kukuinua zaidi ili uweze kusaidia wana wa mungu
Amen 🙏🙏🙏 God bless YOU
Usichoke kufanya haya unayoyafanya mtumishi kwa kuwa ni kwa njia hii wengi wetu tumepata kujielewa kwa kuwa yote hayo uliyoyasema kwa mfano ni ya kwangu ila huwa naogopa nikijiuliza ikiwa kama kwa kweli mungu ameniita nimtimikie kwa njia hii?Kwa kuwa tumekua katikati ya watumishi na wengine huwa hawatuambii,,,,🙏🙏
Naomba no yako mtu wa Mungu
0768275795
Amina Mtumishi wa Mungu, mimi nina kipawa hicho ila nina vita vikali sana
Ni kawaida kwani Kila penye MAONO ni LAZIMA pawepo muuaji
Endelea kupambana
Nashukuru kwa ujumbe mzuri❤❤
Christina samweli asante Kwa kunijilisha izi hishara ninazo
Nashukulu kwaahana Mimi nikoivyo asante
Yaani Kila Wakati napenda kukaa peke yangu Ili kuongea na MUNGU,pia namchukia Dhambi sana
Mtumishi nimesikiliza Sijui Kwanini nimelia 😭😭
Shalom Mtumishi wa Mungu. Mimi ninazo hizo ishara, namshukuru Mungu ninatumika kuwaombea wenye shida mbali mbali
MUNGU akubariki SANA Amen 🙏🙏🙏
Ameen
Yani Mimi Toka niko mdogo nikisema kitu Huwa kinatokea halafu napenda sana kukaa pekeyangu Huwa najiulizaga Mimi mwenyewe moyoni mwangu sipati jibu mana sinaga rafiki
Barikiwa sana pastor,,
Uwezo wng wa kunusa upo juu sana,naweza kusikia harufu nzuri au mbaya hata kama IPO mkoa mwingine, pia naweza Kupambanua sauti Kwa kiwango Cha juu sana, mtu akiongea hata Neno zuri, Lkn kama Nia yake ni mbaya, Huwa namchukia tu,pia naweza kuona Vitu ktk sura za Watu, hii ni ajabu
❤❤asante ubarikiwe
Nikweli kuna wakati nakua nanguvu alafu wakatimwingine nakua na ofu ninapo taja jina la yesu ofu inaisha.
Nisaidie nifanyeje Ili kulifanyia kaz ufalme wa mbinguni ume karibia amina
Zidi kuomba, KUFUNGA na kujitakada
Amina
Amina
😊
Ubarikiwe Mtumishi wa Bwana.Naomba unifundishe nifanye nini ili hii karama iweze kudhihirika.
Tuna vitabu na mafunzo maalumu nitafute Whatsapp + 255768275795
Safi😂😂@@shiningstarheavenlyembassy
Mimi najisikia kuomba tu ila kunawakat ata nikitaka kuomba mdomo unakua mzito, pia ninajikuta nimeongea kitu kina kua kweli, mpaka najisikia vibaya kwann nimeongea, pia naweza ona mtu nika mwambia jambo likawa kwel mfano nika mtania ila nikwel na laaibu, kuna wakati staki niongee ila najikuta nimeongea , kingine naweza kukaa zangu tu nikajikuta kausingiz flan dk chache mno nikaona jambo kama naota ila huo usingiz niwatofaut nakitandan naona mpaka naogopa, ila nikiona kinakua kweli kabisa, kingine saut nasikia napata taarifa ndani yangu mabishano saut mbil nisha uliza sana natatizo gan, nishaombewa hakiachi,
Hii mafunzo yote nimeishika na hii mabo yote Niko nayo .kunjikaisha peke yangu ni sana mtumishi na pia kukasirika sana Kwa neno la mungu likiharibiwa maono ndoto ninazo na kulia sana kwa kazi ya Mungu.lakini sijaelewe nimejua Leo ni unabii
Usikate TAMAA, unaweza kuwa CHOCHOTE DUNIANI KIRAHISI MNO-Kwa jina la YESU KRISTO AMEN 🙏🙏🙏
Shalomu mtumishi Mara nyingi nikiota ndoto lazima itimie sijajua Nina kipawa gani
🎉
Bwana asifiwe Mtumishi wa MUNGU ALIE HAI mimi nimesikiliza yote ulio sema ninayo ila huwa sielewi kuwa mimi ni nani
Ishara nyingi ulizotaja me ninazo na baadhi ya watumishi wamenambia ninaupako wa kinabii ila sijui nianzie wapi
Mimi nimepata 11,jee mpakwa mafuta wa Mungu nifanye nini ilikipawa hiko kifanye kazi
MUNGU akubariki
Ktk vitu 20 ulivovitaja na kuvitafsiri mimi vingi ninavyo nivichocheeje maana kutokana na maisha ninayoyapitia najikuta nimekata tamaa na ninakuwa kam nazira kwakuwa ninatendwa na wale ambao sikutegemea kuwa wangenifanyia hivo hivyo ninapoteza mambo fulani kiroho
Amen God bless you
MMMMM. MHUU YOTE 20 ULIYOYASEMA NINAYO NI HATARI MNOO UMEMIGUSAA MTUMISHI WA MUNGU
Na ninaota sana niko na asha watu na nilisha ota nipo kwenye kanisa la wachungaji
Jameni Mimi Niko na hiyo roho apostle ila TU zojaombea itimie zote ishara pamoja na kuombea watu Mimi umia kabisa nikiona wagonjwa nadai hizo vipawa
Napenda vitu mingi sana hapo definitely mimi ni nambii..how to activate nataka kumfanyia mungu kazi kabisa
Anzia pale ulipo
Karibu vipengele vyote hunitukia sasa hiyo ni kumaani niko na roho ya kinabii
Mtumishi mm nikilala hasa mchana naota kila kitu kinachoendelea ktk vyote vinavyoendelea.pia naweza kujua kitu kilicho ndani yake nguvu inayomdrive.
Du!jaman mm hayoyote yanatokea nikisema inakuwa napia niliota naongea na ndege na waelewa wanacho ongea napia niliwahi kuota ninaonyeshwa watu wanateswa na wachawi nami nilisimama miguu yangu ikawa haikanyagi chin nikaita moto namoto ukatokea ukawaunguza wale wachawi wakawa majivu na watu wakawa huru wakawa wanashangilia jamani sijui hata lakufanya
MIMI NI NABIII HAKIKA NYINGI MNOOO KARIBU ZOTE NINAZO
Nikisema kitu lazima kitokee na mara nyingine huwa naogopa kusema. Na nikiota ndoto utokeakwa kweli
Jesus Christ is lord
👏
Nimewai kuota ninatembea na mchungaji juu ya maji na nilishawai kuota mtu simuoni sura ananiambia nitoe pepo akaniita Simon petro ma alikuwa amejifunga kiuno chake kwa kitu kama kamba
Kipawa Cha uponyaji na UTUMISHI WA MUNGU. Anza kusoma zaidi
Anza
Hizo ndio huwa zinanitokea mara Kwa mara
Mimi nimtu wakuota. Kila.wakati naonyeswa vitu vitakavyo.tokea.badaye