Asalam alaykum mm nimeona nakojoa chooni lkn niliingia mm mwanzo lkn ikisha wakaja watu wengi huo chooni akiwemo mwanangu Wa kiume ameingia ananitizama
A/alykum warahmatullah wabarakatu samahani maalim mm ninasuala halimo ktk mada ya mkojo, mm nimeota tumebeba ujauzito mimi na dada yangu wakwanza kuzaliwa napia hapohapo tukawa tunashuhuli shuhuli ambayo tumevaasare pia je hii inamaanisha nini? Naomba ufafanuzi inshaallah
Asalam Aleikum doctor Mimi mara mbili nimeota naingia chooni kukojoa lakini kila nikiingia chooni Choo kinakuwa kimejaa na ndani ya shimo la Choo kama vile yanachemka kama chemichemi ya maji.. Ni nn maana yake
inshaallaah utapata kheri rizki na baraka huko baadae, ila itategemea mara nyingi ukiona kinyesi nini kinakuwa kwani kwenye hii ndoto kuna mambo ya kiasili kwa mtu wengine hupata hayo wengine hunuksika
Assalamualaikum, mm nimeota nakojoa kwenye kopo mahali ninapo fanyia kazi kisha boss akanipata akanichekelea akiniuliza unafanya nn Ila sijakatiza nikamaliza.nini maana yake?🙏
A.alaykum shekhe mm niko safar nimeota nakojoa chooni apa apa ndni nikakojoa mpka jikamlza nkkmbka kmbe mlango haukujifunga lkn sikuonekna chooni nlipomlza ntka nje boss wngu nae akapta akaenda chumbni kwke nni maana yke hii ndoto nnaiyta sai mchna
Mimi nimeota nakojolewa miguu na tulikua watu watatu naye alikuwa amevaa kawaida tu nakila nikijalibu kukwepa ananifata mwanaume ambae si mme wangu mala nikimwambia we shetani anaonyesha tabasamu na kunisogelaa
maana yake ni mipango butu ya pesa piya mipango ambayo haitoleta manufaa au inajulisha kushindwa kwako katka kupata pato jiombee sana dua na utake msaada kwa masheikh wakuombee dua inshaallaah mambo yako yatabadilika
Sheh samahani naomba tafsiri ya kuota mbalawezi ,nimeota Niko sehemu nanunua mboga gafla nataka kuondoka nikaona mbalawezi ilio jaa ilikua nichana lkn sehemuilipo ilembalawezi kunakiza km usiku nalina mwanga mkali lakini mbona mm nilishtuka na nikakaa mkwenye mbechi na baada yamuda nikaamka na kuendelea kutembeatu
kama haumjui basi huyo mtu ni ww na kama awamjua tafsiri ni jkwake huyo mtu sasa basi ndoto inasema utapata mafanikio pamoja na yote hayo unayoyapitia lakini jiombee kwani upo katika hali mbaya
AsalamAlykum shekhe mim nikilala kila siku jini linakuja,lakini huwa nasoma dua nikilala..nakuwa napigananalo kichwa kinanizunguuka kila muda naona linanijia usiku kila saa nashtuka silali.
Nmeota nakojoa sehem siijui tena ndani kumepangwa mbao mim nikakojoa hko kalibu na paa la hicho chumba na mkojo ukaja mdomoni afu mkojo unachuluzika adi chini ya mbao kabsa tafsiri yake nini ustadhi?
Aslam alekum nimeota namwagiwa mkojo kuanzia kichwan na mwili mzima naomba unieleweshe shekhe
A/aleykum sheikh mm niliota nakojoa sehemu kisha nikashtuka nikaona nimekojoa kweli kitandani hii ni maana gani,nisaidie...
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh?
Nimeota nakojoa Kizingitini nikatawaza Kwa kuchota maji Kwa mkono bila ya kopo.
Hii inamaana Gani ustadh?
utatumia pesa kwaajili ya ndoa au mwenza wako ikiwa ni mwana ndoa. kama sivyo basi ndoto inakuonya uache tabia za uasi kwani unafanya uzinifu.
Hujanijibu maana yake Bado sijafaham ustadh
Labda huko kutumia pesa Kwa ndoa,ila Kwa uzinifu Sina Allah azidi kunilinda inshaallah,,,sawa shukraan Kwa kunijibu jazakallah khayra
Asalam khaleykum sheke mm nimeota umenibana mkojo nikatoka naenda chooni najikuta nipo kwenye hedhi alafu imenitoka nyingi sana nikashituka niliposhituka kuamka nikakuta nimejikojolea kweli hii inamaana gani shekhe
Wa, salaam warahmatullaahi wabarakaatuh
The great mind Sheikh
Asalam alaykum shekh samahan mim nmeota nakojolewa na mtu ambaye namjua maana ake nini
Asalam alaykum mm nmeota natembea na watoto wangu wawili wakiume alafu hao watoto wakakojoa njiani mikojo mingi
Asalam alaykum mm nimeona nakojoa chooni lkn niliingia mm mwanzo lkn ikisha wakaja watu wengi huo chooni akiwemo mwanangu Wa kiume ameingia ananitizama
Asalama alaykum shekh samahan majibu ya mtu anayeota anakojolewa na mtu kwenye mwili tunayapata wap? Maana bado tafsiri yake hujatupa
A.alkm sheikh ,mimi nimeolewa but simkojozi lakini najikuta nakojwa ndotoni kiasi
Kukojowa kiasi kitandani nikashituka ndio nikamalizia haja chooni je vp
0656606014
Mm nimeota nimeota nakojoa kwenye mifuko halafu natoka nne kwenda kumwaga halafu nashindwa kubeba naburuza
Minimeota mkojo umenibana Sana nikakojoa kumbe nimekojoa kweli na siyo Mara moja nimechoka nisaidiwe
Tje great mind Sheikh
Mimi nimeota nataka kukojoa Kila choo nibayoungia Ina shida nimezunguka Kwa muda mrefu na Hadi nashtuka nmekosa pa kukojoa
A/alykum warahmatullah wabarakatu samahani maalim mm ninasuala halimo ktk mada ya mkojo, mm nimeota tumebeba ujauzito mimi na dada yangu wakwanza kuzaliwa napia hapohapo tukawa tunashuhuli shuhuli ambayo tumevaasare pia je hii inamaanisha nini? Naomba ufafanuzi inshaallah
Mm nimeota nimemuona mume wngu anakojoa mkojo mwngi nimekinga chupa imejaa na Bado anaendelea kukojoa nn maana yke
Kuota unakojoanje na unakojolea gauni
Asalam Aleikum doctor Mimi mara mbili nimeota naingia chooni kukojoa lakini kila nikiingia chooni Choo kinakuwa kimejaa na ndani ya shimo la Choo kama vile yanachemka kama chemichemi ya maji.. Ni nn maana yake
inshaallaah utapata kheri rizki na baraka huko baadae, ila itategemea mara nyingi ukiona kinyesi nini kinakuwa kwani kwenye hii ndoto kuna mambo ya kiasili kwa mtu wengine hupata hayo wengine hunuksika
@@MTAVASSYTv Asante sana
Asalam aleikum,niliota mtoto anakojoa na kujisaidia haja kubwa maana yake nini 14:39
Assalamualaikum, mm nimeota nakojoa kwenye kopo mahali ninapo fanyia kazi kisha boss akanipata akanichekelea akiniuliza unafanya nn Ila sijakatiza nikamaliza.nini maana yake?🙏
Assalaam aleykum, naomba unijuze tiba yakukojoa naukaukuta mkojo kweli
Nimeota nakojowa juu yamlima
Matumizi ya halali ya pesa
Mm nimeota nakojoa chooni lakini chooni kule Kuna viloba vya mkaa vimebana kule chooni kwaiyo nilikua nakojoa kwa shida
Ninamimba ya miez miwil naota sana nipo kjijin na mama na dada zang hii inamaana gan maana mm nipo mjin
A.alaykum shekhe mm niko safar nimeota nakojoa chooni apa apa ndni nikakojoa mpka jikamlza nkkmbka kmbe mlango haukujifunga lkn sikuonekna chooni nlipomlza ntka nje boss wngu nae akapta akaenda chumbni kwke nni maana yke hii ndoto nnaiyta sai mchna
Mm nimeota nakuvywa mkojo wangu nn maana yake
Mimi nimeota nakojoa mkojo mbele ya kiwanja halafu unatililika kwenye maji halafu ukakwama kalibu
Mimi nimeota nakojowa kwenye muto na maji yameja sana ela mikojo yenyewe nimigi sana elinitoka
Mtu unaota unakojoa kitandani naunakuta umekojoa kweli inakuaje
Shaitwaan qnakuchezea
Mimi nimeota nakojoa na mkojo unatoka na wadudu weupe maana yake nini shekh wangu
Mimi nimeota nakojolewa miguu na tulikua watu watatu naye alikuwa amevaa kawaida tu nakila nikijalibu kukwepa ananifata mwanaume ambae si mme wangu mala nikimwambia we shetani anaonyesha tabasamu na kunisogelaa
Sheikh mimi nimeota nakojoa pembeni ya barabara tena mjini nini maana yake😞
Allah taala ajaalie upate hio rizki na akufungulie zaidi lakini kama ilikuwa bara bara iliyopinda basi ni pesa utaitumia kwenye kutatua tushida
Ukiota unakojoa mbele ya biashara yko
Asalaam alykum Shekh, mm nimeota sinia tau za bati zina kutu nini maana yake
maana yake ni mipango butu ya pesa piya mipango ambayo haitoleta manufaa au inajulisha kushindwa kwako katka kupata pato jiombee sana dua na utake msaada kwa masheikh wakuombee dua inshaallaah mambo yako yatabadilika
nimelifafanua mbele hapo inshaallaah
Nashukuru shekh wangu
@@MTAVASSYTv sasa shekhe mbona ya mtu kukojolewa ujasema jamani nitafsirie hapa hapa basi nimeota nimekojolewa na mtoto wa kiume usoni🤣🤣🤣
Nimeota nakojowa chumbani chini
Mm niliota naludiana Na mpenzi wangu je she MAana yake nn please
Sheh samahani naomba tafsiri ya kuota mbalawezi ,nimeota Niko sehemu nanunua mboga gafla nataka kuondoka nikaona mbalawezi ilio jaa ilikua nichana lkn sehemuilipo ilembalawezi kunakiza km usiku nalina mwanga mkali lakini mbona mm nilishtuka na nikakaa mkwenye mbechi na baada yamuda nikaamka na kuendelea kutembeatu
Mimi nimeota nakojoa ndani chini lkn
Shehe nimeota nakojoa stend nikiwa nasubil kaka zangu wanipe nyama walikua wanakata buchan lakn watu hawwna habar namm hawajaniona aloniona nimmama mojatu anauza duka
kuota unakojoa mkojo mwingi kwenye choo ambacho hukijui na ni kichafu halafu pembeni kuna mwanamke anakuangalia
Mm nimeota mwenzangu anakojoa chini lkn namm mkojo wake ukanimwagikia mkonon kwangu wa kulia, nn maana yke shekh
Mie nimeota nimebeba ndoo ya mkojo inamaanisha nini
😂😂😂😂
Mm nimeota nakuvywa mkojo wako Nini maana yake
Asallam allaykum warahmatullah wabarakatu
Wa,salaamu warahmatullahi wabarakaatuh, khabari yako
@@MTAVASSYTv Aleykum salam shekh
Kuota umebanwa na mkojo unatafuta mahala pa kukojelea inamaana gani shekhe
Mimi nimeota mtu amelewa amejikojolea na nywele zake nindefu pia anamkimbilia mpenzi wake aliefariki
kama haumjui basi huyo mtu ni ww na kama awamjua tafsiri ni jkwake huyo mtu sasa basi ndoto inasema utapata mafanikio pamoja na yote hayo unayoyapitia lakini jiombee kwani upo katika hali
mbaya
Nini maana ya ndoto umakojoa kitandani lla mkojo sio mwingi
Shekhe mm niliota mbibi kaja ndani kwangu anaomba msaada nimsaidie badae akawa anatokwa na mkojo na damu vimechanganyika
Na mwanamke kukojoa mbele ya mwanaume tena na mkono akaukojolea nn maana yake shekh
Kuota unawa usoni mikojo ya mke wake maana yake
Mm nimeota tuko watu nne bafuni watoto 2 na wakubwa 2
jinsia gani
Kujikojolea mkononi mbele ya mwanaume usiyemjua
Je mtu akiota yuakojoa chooni na akiamka akipata ame kijia kitandani
Je afanyeje ili iishe iyo hali??
Nina moto mkubwa anaota anakojoa skies amelala he dawa take ni nini
AsalamAlykum shekhe mim nikilala kila siku jini linakuja,lakini huwa nasoma dua nikilala..nakuwa napigananalo kichwa kinanizunguuka kila muda naona linanijia usiku kila saa nashtuka silali.
Nimeota mtoto ananikojolea, ila nikawa naziba kitu mkojo usinipate nn maana yake!?
Nyumbani kwangu kunamigomba ya ndizi sasa naota ndoto imetoa ndizi nini mahana yake.
Mimi niliota nimeona mkojo mwingi sn unatililika
hiyo ni pesa ya halali maashaallaah
umeitumia utaitumia au utaipata inshaallaah
Ndoto kukojowa kwenye ndoto,unaamka unakuta mchana,nini maana yake?
Ukiota ukikunya mkojo
Mimi nikiota nakojoa pembeni yamfeleji nanikachota maji nikanawa
pesa,matumizi ya pesa ya halali inshaallaah
au atakunufaisha mtu
Kuota mtoto anakojowa mana yake nn
me nimeota nakojoa na nimestuka asubuh nimekojoa kwel kwenye godoro nn maana yake
Nmeota nakojoa sehem siijui tena ndani kumepangwa mbao mim nikakojoa hko kalibu na paa la hicho chumba na mkojo ukaja mdomoni afu mkojo unachuluzika adi chini ya mbao kabsa tafsiri yake nini ustadhi?
Ass, alaikum shekh mm nimeota Kuna mtu wa kike mtu mzima anakojoa pahala penjewe ni chuon kwa mwalim wangu wa madrasa
Mtu wa kike tafsiri yake nini
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh? nimeota nakojoa Kizingitini nikatawaza Kwa kuchota maji Kwa mkono bila ya kopo.
Nini maana yake ustadh?😢
Je ukiota unakojoa kitandani na kukojoa kweli kitandani nini tafsiri yake
Mm niliota nakojow kinyesi😐
Mambo yako yataharibika automatically au yataenda hovyo hivyo mshike Mungu
@@MTAVASSYTv Ya Rabiii!😣