Hongera DR KIKWETE mungu akupe umri mrefu Taifa bado tunakutegemea Kwa ushauri wako mzuri Hawa wanao tukana wanasahau umewalea wasamehe mungu anasema salehe 7x 70
Le Prezidaa Kikwete raha sana kumsikiliza.Na vile ana sense of humour basi burudani tupu.Mtu wa furaha sana. Ana kicheko chenye power ya kumfanya msikilizaji kupona maradhi na kuwa fit
Asante mzee kikwete, Hakika ninyi mliandaliwa na hayo ndio matunda ya chama chetu,huo ndio uzalendo ulio tulea sisi, Asante mkuu.Tunahitaji sana uzalendo huo,(umepotelea wapi) sijui kama kizazi chetu tutakivusha salama(mungu tusaidie)
Sasa hivi hakuna hata anaekutaka wewe ndiyo unaemrimoti mama kuuza bandari zetu za bara kwa manufaa yako hutakiwi kabisa hata ukifa leo watu watapiga vigelegele
Usituchanganye sasa hiv wewe ndiyo unaemrimoti mama mpaka anauza bandari zetu watanzania wanskuchukia sanaaaa njoo usikie mitaani kila sekta wizi mtupu
Jambazi lililotuminyima maendeleo tz na kujikusanyia pesa zote katika uongoz wake na bado hakupendezewa na maendeleo aliyokuwa anatuletea magufuli na akaona ana aibishwa na kuamua kumuondoa magufuli kwahiyo huyu mzee siyo mtu mzur kbs ana roho ya kipeke yake kbs lkn mwisho wa siku kila mtu ataingia tu kaburini
kwanza nyerere alikataa usipewe urais alijua wewe ni kibaraka wa wazungu na hufai kua kiongoz wa inchi ila kwa uchawi wa mtwara ukafanya kila uchawi upate inchi ili uile inchi nakweli mmeila sana inchi ya tanzania wewe na family yako nadhani nyerere angekua hai msingekula inchi hivi na ingekua iko mbali sana tanzania fisad mkubwa wewe unauwa wenzio ili ubaki kulainchi na wazungu wako ipo siku yeni insha allah
@@saidindaro5858 ukiwa na akili timamu utajua ninacho kisema kama umejaza mavi kichwani kwako basi endelea kuenda upande upande huenda we ni mwizi ama fisad ama muuza unga ndio maana unaenda upande upande
@@salimmalaka256 unaumwa ukimwi nifanye kazi marangapi ama unavoniona humu umenipa wewe cm na wi_fi ? mjinga nini fanya kazi wewe usie na kazi unaetumia vi bundle
@@birianination7097Anajichekeshachekesha kama mwanamke. Huyu jamaa huwa sina uhakika kama ana akili timamu. Huwa anajifanya mtu mzuri wakati hayuko hivo.
Alikwamisha mchakato wa katiba na kupoteza pesa nyingi katika mchakato huo na kuukwamisha ,,,,ni chanzo kikubwa cha mauwaji kipindi cha uchaguzi kwa upande wa Zanzibar na alikwamisha ushindi wa maalim seif pale aliposhinda uchaguzi
Nampenda huyu mzee very social mcheshi mtu wa kutoa ushauri ukikanae unaskia furaha kwa zile story zake nzuri zakufurahisha na kukujenga mungu akupe afya na furaha mzee wetu
Ikulu (kutoka neno la Kinyamwezi; kwa Kiingereza: State House) ya nchi ya Tanzania ilijengwa na Wajerumani mwaka 1891 kwa namna ya kipekee na gavana wa Kihuni Chakosi Dikwe na kutumika kama ngome ya gavana. Nyie waislam kila kitu mnahusisha na dini yenu au waarabu. Smh
@@Burner_Acc hizi nazalia za uwongo kabisaaa ila ukiangalia moyoni mwako unabaki na ukweli ila kinacho kusumbua ukafili uliyo nao Kwahyo ENDELEA kubisha
Wewe katka comment nyingi ni matusi na uahasama ukisoma na sio mgeni lughayako Daud chafu sana kila mahali hata mtu akitafuta kilakwenye comment hakosi maneno machafu sana. Utakufa yatabaki yakikuhukumu hayo. Yataishimuda mrefu kuliko wewe
Jambazi mkubwa huyo na muuaji wa jpm. Nyerere kipindi cha mwinyi kumaliza muda wake NEC ilivyopiga kura Kikwete alishinda kura Nyerere Mzee mwenye haiba na Maono akasimama akasema wewe Kikwete haujakomaa na haujawiva kuwa Rais haufai Mkapa ndio anayestahili siyo wewe labda mimi Nyerere nife. Kwa hiyo maneno yanaishi sana leo mnaona
Alikufokea tu kumbe!! Ningekuwa mimi Nyerere na vibao ungepata
😂😂😂😂😂
We ndo unatuharibia Tanzania yetu. Na kwa unafiki unajichekeshachekesha utadhani mtu mwema sana.
Mzee Kikwete unatufuraisha sana unavyosimulia na kucheka Upuuzi wa Kawawa,.Safi sana na ongera kwa kujenga Kikwete Hall👍👍👍👍❤❤
tulio soma UDZM tujuane
UDSM
Mwambiye usemeukweli ? Alikuwa anataka Rais kabla mwinyi 👈🏾 JK mtu watamaa sana ndiyo nchi imefika pabaya 😮JK mnafiki sana sana ni chawa chawa 👈🏾
Jakaya. Ulimaliza. Tanzania uliuza maliza watanzania sasa uko na samiya naendelea kuuza bandari zetu utakufa utapatana na mungu
Endelea kukunja ngumi kwakuwa huna akili "pipoos"
@@walidmgonja3644unaelewa kweli au unajibu tu
Unatamani.familia yako.yote ishike serikali.Na.kwa.as mtoto wako.waziri.raja tupu.Halafu watoto wa. Kawaida wajiajiri.Huna.tofauti na Makamba
raisi mwenye historia alisi ulitabiriwa kuwa rais mapema ww ulikua chaguo la wote
Hongera DR KIKWETE mungu akupe umri mrefu Taifa bado tunakutegemea
Kwa ushauri wako mzuri Hawa wanao tukana wanasahau umewalea wasamehe mungu anasema salehe 7x 70
Uongozi huanzia mbali jamani , hongera Sana Mzee kikwete
Mimi nashidwa kuelewa wanaomtukana huyu mzee hakuna aliyekatazwa kugombea na haki ya kila mtanzania aliye na sifa mzee kikwete natamani nikuone
Ni kweli Baba wa Taifa alikutayali mapema kuwa Rais nakumbuka miaka ya 70 alikushika mkono na kutamka kuwa hawa ndio watakuwa Marais wetu hapo baadaye
Nyerere alikuwa kichwa sana.
Baba wa Taifa nkiongozi wa mfano wa kuigwa mwenya aono ya mbali❤❤
Kipindi icho kulikua hamna Toyota ist dk
Congratulations mwaka 74 ulikuwa University.
Mmeaona hekima za Mwalimu hakuweza kuhangaika na mavazi maana ni vitu vya kupitaaa na si suala la serikali hilo
Mtumishi ya wauwaji uyu ki kwete
Daudi? Angalalia lugha unayoitumia my brother.
Huyo legend aliyeandika "Upuuzi wa Kawawa" ajitokeze tumpe maua yake 🤣🤣🤣🤣
Mzee wa aina yake. Kiongozi mvumilivu sana na mwenye staha sana. Asante sana Kwa uzoefu na HEKIMA Yako.
We.ndo chanzo cha kuharibu Tanzania.kwa kutokulinda maliasili za nchi na matumizi mabaya.
Live from United kingdom 🇬🇧🇬🇧 Asante Sana ndugu mtangazaji
Nimefurahi kusikia historia yetu Baba Kikwete Rais Mstaafu ktk utumishi wa Taifa Letu
Le Prezidaa Kikwete raha sana kumsikiliza.Na vile ana sense of humour basi burudani tupu.Mtu wa furaha sana. Ana kicheko chenye power ya kumfanya msikilizaji kupona maradhi na kuwa fit
Ipo siku mtoto wake atamuuua mke wake !!!!! Yaaaani agent wa USA, France, Japan, develic traditions, with cheap corruption and family, fame
Mhe. Rais Mstaaf Jakaya Kikwete , ni msimuliaji mzuri wa hadhithi!
Tunakushuru Bw. Ayo kutuletea Mhe.
Alijuwa utakuja tunyanyasa
Huna jipya ww ndio nanga ya taifa hili fisadi mkuu mpola haki na utu wa watu huo ndio ukweli Yani uwepo wako ww ktk taifa hili ni mkosi mkubwa
Una mawazo mgando weye kijana
@@JaylanMuyingaWe ndo mpumbavu. Hujui kwamba Kikwete ndo shetani mkubwa wa Tanzania?
@@JaylanMuyinga Siku ukiacha umbumbu utagundua kuwa huyu mzee ni tatizo kwa taifa letu
@@gosbertrwezahura3645 Nashkur kwa matusi yako utajibiwa na alokuumba.
@@gosbertrwezahura3645 maana matusi yako kwenye media yanadhihirisha ukubwa wa elimu ulonayo
Matusi Daud hayajengi ndugu yangu
Wajuzee washenzi hao matusi Yann?sijui wamekunywaa banana amaaaaaaa
Raising jiya Sana mwenye alijishaganya na familiya ya wauwaji hutu hajakuwa naakili ya kimtu kwa maisha yake yote .
Charming
Mzee yakupasa umshukulu mungu sanaaa alikujaalien kukupa kipawa kikubwa sana alikuuandaa mapema ujekua kiongozi mkuu wakitaifa
Kwel kila mta ana history za kimaisha❤
Asante mzee kikwete, Hakika ninyi mliandaliwa na hayo ndio matunda ya chama chetu,huo ndio uzalendo ulio tulea sisi, Asante mkuu.Tunahitaji sana uzalendo huo,(umepotelea wapi) sijui kama kizazi chetu tutakivusha salama(mungu tusaidie)
Akusaidie kukivusha kwani yeye Mungu muuwaji aligukuzwa na nyerere alijua mwixi hugo kabaki ana danganya watu
Nyerere aliona mbali sana ndo maana alimfokea. R. I. P Nyerere
Jizi
Safi nakukubari kikwete👍
Sasa hivi hakuna hata anaekutaka wewe ndiyo unaemrimoti mama kuuza bandari zetu za bara kwa manufaa yako hutakiwi kabisa hata ukifa leo watu watapiga vigelegele
Wahuni sio watu
Rais wetu hazeeki dah❤
Ngoja niaangalie mlizotumaga
Usituchanganye sasa hiv wewe ndiyo unaemrimoti mama mpaka anauza bandari zetu watanzania wanskuchukia sanaaaa njoo usikie mitaani kila sekta wizi mtupu
😊
Muheshimiwa unach
Eti upuuzi wa Kawawa..ikawa nongwa.
Historian nzuri sana mheshimiwa kikwete
Kumbe Muhimbli ilikuwa tawi la UDSM
Bado ni tawi la udsm
Eti upuuzi wa Kawawa..ikawa nongwa.
Jambazi lililotuminyima maendeleo tz na kujikusanyia pesa zote katika uongoz wake na bado hakupendezewa na maendeleo aliyokuwa anatuletea magufuli na akaona ana aibishwa na kuamua kumuondoa magufuli kwahiyo huyu mzee siyo mtu mzur kbs ana roho ya kipeke yake kbs lkn mwisho wa siku kila mtu ataingia tu kaburini
UDSM
Mzee Punch
Unapotezea
Baba wa Taifa aliona mengi, inawezekana kuna mambo mlichanganya, ila nimependa adithi yako MUNGU Akubarik
kwanza nyerere alikataa usipewe urais alijua wewe ni kibaraka wa wazungu na hufai kua kiongoz wa inchi ila kwa uchawi wa mtwara ukafanya kila uchawi upate inchi ili uile inchi nakweli mmeila sana inchi ya tanzania wewe na family yako nadhani nyerere angekua hai msingekula inchi hivi na ingekua iko mbali sana tanzania fisad mkubwa wewe unauwa wenzio ili ubaki kulainchi na wazungu wako ipo siku yeni insha allah
Hao wasiokuwa vibaraka mbona wanatupeleka upande upande kama kama ngadu
@@saidindaro5858 ukiwa na akili timamu utajua ninacho kisema kama umejaza mavi kichwani kwako basi endelea kuenda upande upande huenda we ni mwizi ama fisad ama muuza unga ndio maana unaenda upande upande
@@aishaalbalushaishabalush8291 INGE NA ANGE NA ISINGE HAISAIDII KITU FANYA KAZI MVIVU WEWE.
@@salimmalaka256 unaumwa ukimwi nifanye kazi marangapi ama unavoniona humu umenipa wewe cm na wi_fi ? mjinga nini fanya kazi wewe usie na kazi unaetumia vi bundle
@@aishaalbalushaishabalush8291 M'BULUSHI WA KWA MPALANGE FANYA KAZI INGE NA NINGE HAISAIDII KITU
Vipi kuhusu gas
Hainishtui
Naomba kuonana na raise wangu mstaafu na mkuu was chuo changu
😅😅
W²²
0
Good support of Guys LBQT
Angewalamba bakora
😊😊❤
Nyerere was genius
Anachekaga peke yake ase yaani 😡
Shida nini
@@birianination7097Anajichekeshachekesha kama mwanamke. Huyu jamaa huwa sina uhakika kama ana akili timamu. Huwa anajifanya mtu mzuri wakati hayuko hivo.
Nakukubali sana mzee wa msoga
Mhh
Alikwamisha mchakato wa katiba na kupoteza pesa nyingi katika mchakato huo na kuukwamisha ,,,,ni chanzo kikubwa cha mauwaji kipindi cha uchaguzi kwa upande wa Zanzibar na alikwamisha ushindi wa maalim seif pale aliposhinda uchaguzi
inaumaga hii issue kikwete alitupa jpm akatuumizaa sana Wana cdm
huyu msanii alitupokonya haki yetu Zanzibar kwa kufuta uchaguzi
Katiba walikwamisha.wapinzani.Chanzo serikali tatu.Kikwete asingeruhusu serikali.tatu.Hiyo ni Sera ya.CCM kuwa na serikali moja.
Okay
Punch
Nampenda huyu mzee very social mcheshi mtu wa kutoa ushauri ukikanae unaskia furaha kwa zile story zake nzuri zakufurahisha na kukujenga mungu akupe afya na furaha mzee wetu
Asante .
Huyu jamaa mawaziri wake watufilisi watanzania, RIP JPM
Hauna adabu ww mpe heshima yake. The best president Tanzania aliepita. Nimtulivu na msikilizaji kwa maoni ya watu.
JPM alimtoa Prof Asad kisa aligundua uwizi wa 1.5 trillion pia akafukuza wanafunzi wa chuo cha UDSM walio post picha za ufaa katika mabweni yake mapya
@@issaabdi9129yan huyu mzee ulikuwa unamuona mzuri sio raisi anakuremba uku anakumaliza sio ndiomaana ulikuwa unamuona mzuri sio
@@issaabdi9129heshima Gani kwa fisadi papa Kama huyu,nchi imekuwa ya kifisadi tu,hana point anayoongea huyu jamaa
Ikuru ulikua msikiti huo na ulijengwa na warabu
Ikulu (kutoka neno la Kinyamwezi; kwa Kiingereza: State House) ya nchi ya Tanzania ilijengwa na Wajerumani mwaka 1891 kwa namna ya kipekee na gavana wa Kihuni Chakosi Dikwe na kutumika kama ngome ya gavana.
Nyie waislam kila kitu mnahusisha na dini yenu au waarabu. Smh
Una uhakika Sana na unachoongea?? Una ushahidi?? Tafadhali Kaa kimya.
Una uhakika Sana na unachoongea?? Una ushahidi? Tafadhali Kaa kimya..!!
@@barakaayubu6126 shida ukafili unao kusumbu hakuna kingine Kwahyo ENDELEA kubisha
@@Burner_Acc hizi nazalia za uwongo kabisaaa ila ukiangalia moyoni mwako unabaki na ukweli ila kinacho kusumbua ukafili uliyo nao Kwahyo ENDELEA kubisha
hivi kwanini kikwete akiongea lazima ajikune kichwa
Muulize mwenyewe
YANI WASWAHILI HIVI MTU AKIJIKUNA KICHWA MNATAKA KUJUWA KWA NINI KAJIKUNA???? 😂😂😂😂
Akili nying
Akikosea anajiumbua
Ni unafiki
Sikweli😂😂
Safi' sAna"
Huyu kikwete ni mkundu wa nyani,msiwe mnamwonesha..kumanina zenu mnae mwonesha.
Amekukosea nn bhna wajina, mbona umetumia lugha ngumu Sana mzee
Jifunze kustaarabika.
Tafadhali uwe na adabu Mzee Kikwete kiongozi wetu mstaafu jifunze kuheshimu wakubwa na kuweka mihemko mbali.
Wewe katka comment nyingi ni matusi na uahasama ukisoma na sio mgeni lughayako Daud chafu sana kila mahali hata mtu akitafuta kilakwenye comment hakosi maneno machafu sana. Utakufa yatabaki yakikuhukumu hayo. Yataishimuda mrefu kuliko wewe
Huna adabu huyo ni Baba WA watanzania wte
Kweli wazee ni hazina, hizi story ziwekwe vitabu. Mzee Kikwete aweke haya kwenye vitabu. Thats we keep these memories alive
Jambazi mkubwa huyo na muuaji wa jpm. Nyerere kipindi cha mwinyi kumaliza muda wake NEC ilivyopiga kura Kikwete alishinda kura Nyerere Mzee mwenye haiba na Maono akasimama akasema wewe Kikwete haujakomaa na haujawiva kuwa Rais haufai Mkapa ndio anayestahili siyo wewe labda mimi Nyerere nife. Kwa hiyo maneno yanaishi sana leo mnaona
@@victormtani7170Kabisaaaaaaa. Huyu Kikwete ni mshenzi mkubwa.
@@gosbertrwezahura3645Mama yako ni mshenzi zaidi