KIKWETE “NILIFOKEWA NA NYERERE SIKU YA KWANZA NAINGIA IKULU DSM”

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 147

  • @kamishina7853
    @kamishina7853 Рік тому +13

    Alikufokea tu kumbe!! Ningekuwa mimi Nyerere na vibao ungepata

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura3645 Рік тому +2

    We ndo unatuharibia Tanzania yetu. Na kwa unafiki unajichekeshachekesha utadhani mtu mwema sana.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Рік тому +11

    Mzee Kikwete unatufuraisha sana unavyosimulia na kucheka Upuuzi wa Kawawa,.Safi sana na ongera kwa kujenga Kikwete Hall👍👍👍👍❤❤

  • @barakawiseman5073
    @barakawiseman5073 Рік тому +13

    tulio soma UDZM tujuane

  • @kherihightechllc113
    @kherihightechllc113 6 місяців тому +1

    Mwambiye usemeukweli ? Alikuwa anataka Rais kabla mwinyi 👈🏾 JK mtu watamaa sana ndiyo nchi imefika pabaya 😮JK mnafiki sana sana ni chawa chawa 👈🏾

  • @sharoonrumisha9440
    @sharoonrumisha9440 Рік тому +9

    Jakaya. Ulimaliza. Tanzania uliuza maliza watanzania sasa uko na samiya naendelea kuuza bandari zetu utakufa utapatana na mungu

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 29 днів тому

    Unatamani.familia yako.yote ishike serikali.Na.kwa.as mtoto wako.waziri.raja tupu.Halafu watoto wa. Kawaida wajiajiri.Huna.tofauti na Makamba

  • @SaidihusseinAthumani-dy9kw
    @SaidihusseinAthumani-dy9kw Рік тому +3

    raisi mwenye historia alisi ulitabiriwa kuwa rais mapema ww ulikua chaguo la wote

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Рік тому +3

    Hongera DR KIKWETE mungu akupe umri mrefu Taifa bado tunakutegemea
    Kwa ushauri wako mzuri Hawa wanao tukana wanasahau umewalea wasamehe mungu anasema salehe 7x 70

  • @emmanuelmambarera141
    @emmanuelmambarera141 Рік тому +8

    Uongozi huanzia mbali jamani , hongera Sana Mzee kikwete

  • @lodrickmwambene133
    @lodrickmwambene133 6 місяців тому +1

    Mimi nashidwa kuelewa wanaomtukana huyu mzee hakuna aliyekatazwa kugombea na haki ya kila mtanzania aliye na sifa mzee kikwete natamani nikuone

  • @ahmedkagambo4964
    @ahmedkagambo4964 Рік тому +3

    Ni kweli Baba wa Taifa alikutayali mapema kuwa Rais nakumbuka miaka ya 70 alikushika mkono na kutamka kuwa hawa ndio watakuwa Marais wetu hapo baadaye

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk Рік тому +4

    Nyerere alikuwa kichwa sana.

  • @EdwinKaywanga-ww7jr
    @EdwinKaywanga-ww7jr 11 місяців тому +2

    Baba wa Taifa nkiongozi wa mfano wa kuigwa mwenya aono ya mbali❤❤

  • @experymassawe3521
    @experymassawe3521 Місяць тому

    Kipindi icho kulikua hamna Toyota ist dk

  • @jamillamarealle1574
    @jamillamarealle1574 Рік тому +2

    Congratulations mwaka 74 ulikuwa University.

  • @joventjohansenmushwaimi1988
    @joventjohansenmushwaimi1988 Рік тому +1

    Mmeaona hekima za Mwalimu hakuweza kuhangaika na mavazi maana ni vitu vya kupitaaa na si suala la serikali hilo

  • @kingzanika860
    @kingzanika860 Місяць тому

    Mtumishi ya wauwaji uyu ki kwete

  • @abdumpunda4026
    @abdumpunda4026 Рік тому +2

    Daudi? Angalalia lugha unayoitumia my brother.

  • @richard2218188
    @richard2218188 5 місяців тому

    Huyo legend aliyeandika "Upuuzi wa Kawawa" ajitokeze tumpe maua yake 🤣🤣🤣🤣

  • @victormzuguno65
    @victormzuguno65 23 дні тому

    Mzee wa aina yake. Kiongozi mvumilivu sana na mwenye staha sana. Asante sana Kwa uzoefu na HEKIMA Yako.

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 29 днів тому

    We.ndo chanzo cha kuharibu Tanzania.kwa kutokulinda maliasili za nchi na matumizi mabaya.

  • @IsmailAmisi
    @IsmailAmisi Рік тому +2

    Live from United kingdom 🇬🇧🇬🇧 Asante Sana ndugu mtangazaji

  • @GastoneGeorge-bj2fp
    @GastoneGeorge-bj2fp 29 днів тому

    Nimefurahi kusikia historia yetu Baba Kikwete Rais Mstaafu ktk utumishi wa Taifa Letu

  • @mosesgasana4102
    @mosesgasana4102 7 місяців тому

    Le Prezidaa Kikwete raha sana kumsikiliza.Na vile ana sense of humour basi burudani tupu.Mtu wa furaha sana. Ana kicheko chenye power ya kumfanya msikilizaji kupona maradhi na kuwa fit

  • @HajiChalazo
    @HajiChalazo Рік тому

    Ipo siku mtoto wake atamuuua mke wake !!!!! Yaaaani agent wa USA, France, Japan, develic traditions, with cheap corruption and family, fame

  • @ruwaichimeela2459
    @ruwaichimeela2459 Рік тому

    Mhe. Rais Mstaaf Jakaya Kikwete , ni msimuliaji mzuri wa hadhithi!
    Tunakushuru Bw. Ayo kutuletea Mhe.

  • @veronikamabula7101
    @veronikamabula7101 Рік тому +1

    Alijuwa utakuja tunyanyasa

  • @emanuelelias4695
    @emanuelelias4695 Рік тому +1

    Huna jipya ww ndio nanga ya taifa hili fisadi mkuu mpola haki na utu wa watu huo ndio ukweli Yani uwepo wako ww ktk taifa hili ni mkosi mkubwa

    • @JaylanMuyinga
      @JaylanMuyinga Рік тому

      Una mawazo mgando weye kijana

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 Рік тому

      ​@@JaylanMuyingaWe ndo mpumbavu. Hujui kwamba Kikwete ndo shetani mkubwa wa Tanzania?

    • @emanuelelias4695
      @emanuelelias4695 Рік тому

      @@JaylanMuyinga Siku ukiacha umbumbu utagundua kuwa huyu mzee ni tatizo kwa taifa letu

    • @JaylanMuyinga
      @JaylanMuyinga Рік тому

      @@gosbertrwezahura3645 Nashkur kwa matusi yako utajibiwa na alokuumba.

    • @JaylanMuyinga
      @JaylanMuyinga Рік тому

      @@gosbertrwezahura3645 maana matusi yako kwenye media yanadhihirisha ukubwa wa elimu ulonayo

  • @br.samwelmparange4986
    @br.samwelmparange4986 Рік тому +2

    Matusi Daud hayajengi ndugu yangu

    • @gabrielmdem4271
      @gabrielmdem4271 Рік тому

      Wajuzee washenzi hao matusi Yann?sijui wamekunywaa banana amaaaaaaa

  • @kingzanika860
    @kingzanika860 Місяць тому

    Raising jiya Sana mwenye alijishaganya na familiya ya wauwaji hutu hajakuwa naakili ya kimtu kwa maisha yake yote .

  • @InviolataLuena-f2j
    @InviolataLuena-f2j 7 місяців тому +2

    Charming

  • @lukehaprimary2574
    @lukehaprimary2574 7 місяців тому

    Mzee yakupasa umshukulu mungu sanaaa alikujaalien kukupa kipawa kikubwa sana alikuuandaa mapema ujekua kiongozi mkuu wakitaifa

  • @KhalfanKilatungwa
    @KhalfanKilatungwa Місяць тому

    Kwel kila mta ana history za kimaisha❤

  • @rashiditembo1574
    @rashiditembo1574 Рік тому +1

    Asante mzee kikwete, Hakika ninyi mliandaliwa na hayo ndio matunda ya chama chetu,huo ndio uzalendo ulio tulea sisi, Asante mkuu.Tunahitaji sana uzalendo huo,(umepotelea wapi) sijui kama kizazi chetu tutakivusha salama(mungu tusaidie)

    • @TPW_FLUXY
      @TPW_FLUXY 6 місяців тому +1

      Akusaidie kukivusha kwani yeye Mungu muuwaji aligukuzwa na nyerere alijua mwixi hugo kabaki ana danganya watu

  • @alenaudax8485
    @alenaudax8485 6 місяців тому

    Nyerere aliona mbali sana ndo maana alimfokea. R. I. P Nyerere

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 Рік тому +3

    Jizi

  • @shukranikayange2275
    @shukranikayange2275 Рік тому +1

    Safi nakukubari kikwete👍

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Рік тому +2

    Sasa hivi hakuna hata anaekutaka wewe ndiyo unaemrimoti mama kuuza bandari zetu za bara kwa manufaa yako hutakiwi kabisa hata ukifa leo watu watapiga vigelegele

  • @victorronald1449
    @victorronald1449 Місяць тому

    Wahuni sio watu

  • @StevenAsunga
    @StevenAsunga 6 місяців тому

    Rais wetu hazeeki dah❤

  • @DeogratiusMwanicheta
    @DeogratiusMwanicheta 7 місяців тому

    Ngoja niaangalie mlizotumaga

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Рік тому

    Usituchanganye sasa hiv wewe ndiyo unaemrimoti mama mpaka anauza bandari zetu watanzania wanskuchukia sanaaaa njoo usikie mitaani kila sekta wizi mtupu

  • @sharifuhusseinally542
    @sharifuhusseinally542 Рік тому +1

    Muheshimiwa unach

  • @allankiluvia4860
    @allankiluvia4860 Рік тому +4

    Eti upuuzi wa Kawawa..ikawa nongwa.

  • @salehehemedi8267
    @salehehemedi8267 9 місяців тому +3

    Historian nzuri sana mheshimiwa kikwete

  • @gatimarwa7525
    @gatimarwa7525 9 місяців тому

    Kumbe Muhimbli ilikuwa tawi la UDSM

  • @allankiluvia4860
    @allankiluvia4860 Рік тому

    Eti upuuzi wa Kawawa..ikawa nongwa.

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML Рік тому +1

    Jambazi lililotuminyima maendeleo tz na kujikusanyia pesa zote katika uongoz wake na bado hakupendezewa na maendeleo aliyokuwa anatuletea magufuli na akaona ana aibishwa na kuamua kumuondoa magufuli kwahiyo huyu mzee siyo mtu mzur kbs ana roho ya kipeke yake kbs lkn mwisho wa siku kila mtu ataingia tu kaburini

  • @jamesmalegi5682
    @jamesmalegi5682 6 місяців тому

    UDSM

  • @juliusdidose100
    @juliusdidose100 6 місяців тому

    Mzee Punch

  • @PhilibetLadislaus
    @PhilibetLadislaus 7 місяців тому

    Unapotezea

  • @GeorgeBenard-ue2gh
    @GeorgeBenard-ue2gh Рік тому +2

    Baba wa Taifa aliona mengi, inawezekana kuna mambo mlichanganya, ila nimependa adithi yako MUNGU Akubarik

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 Рік тому +7

    kwanza nyerere alikataa usipewe urais alijua wewe ni kibaraka wa wazungu na hufai kua kiongoz wa inchi ila kwa uchawi wa mtwara ukafanya kila uchawi upate inchi ili uile inchi nakweli mmeila sana inchi ya tanzania wewe na family yako nadhani nyerere angekua hai msingekula inchi hivi na ingekua iko mbali sana tanzania fisad mkubwa wewe unauwa wenzio ili ubaki kulainchi na wazungu wako ipo siku yeni insha allah

    • @saidindaro5858
      @saidindaro5858 Рік тому +2

      Hao wasiokuwa vibaraka mbona wanatupeleka upande upande kama kama ngadu

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Рік тому +1

      @@saidindaro5858 ukiwa na akili timamu utajua ninacho kisema kama umejaza mavi kichwani kwako basi endelea kuenda upande upande huenda we ni mwizi ama fisad ama muuza unga ndio maana unaenda upande upande

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Рік тому +1

      ​@@aishaalbalushaishabalush8291 INGE NA ANGE NA ISINGE HAISAIDII KITU FANYA KAZI MVIVU WEWE.

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Рік тому

      @@salimmalaka256 unaumwa ukimwi nifanye kazi marangapi ama unavoniona humu umenipa wewe cm na wi_fi ? mjinga nini fanya kazi wewe usie na kazi unaetumia vi bundle

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Рік тому

      @@aishaalbalushaishabalush8291 M'BULUSHI WA KWA MPALANGE FANYA KAZI INGE NA NINGE HAISAIDII KITU

  • @OkoleNyamboba
    @OkoleNyamboba Рік тому

    Vipi kuhusu gas

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Рік тому

    Hainishtui

  • @BoniphaceAntony-s4x
    @BoniphaceAntony-s4x Рік тому +3

    Naomba kuonana na raise wangu mstaafu na mkuu was chuo changu

  • @okashhabib6944
    @okashhabib6944 Рік тому

    😅😅

  • @AdamMtore-rv9jh
    @AdamMtore-rv9jh 11 місяців тому

    W²²

  • @yussufhassan5582
    @yussufhassan5582 Рік тому

    0

  • @HajiChalazo
    @HajiChalazo Рік тому

    Good support of Guys LBQT

  • @edwinmbunda6709
    @edwinmbunda6709 7 місяців тому

    Angewalamba bakora

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 Рік тому

    😊😊❤

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk 8 місяців тому

    Nyerere was genius

  • @bensonmgaya5693
    @bensonmgaya5693 Рік тому +5

    Anachekaga peke yake ase yaani 😡

    • @birianination7097
      @birianination7097 Рік тому

      Shida nini

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 Рік тому

      ​@@birianination7097Anajichekeshachekesha kama mwanamke. Huyu jamaa huwa sina uhakika kama ana akili timamu. Huwa anajifanya mtu mzuri wakati hayuko hivo.

  • @husseinallysuleiman4657
    @husseinallysuleiman4657 Рік тому +2

    Nakukubali sana mzee wa msoga

  • @kianda973
    @kianda973 Рік тому

    Mhh

  • @yussuph-lx7cu
    @yussuph-lx7cu Рік тому +1

    Alikwamisha mchakato wa katiba na kupoteza pesa nyingi katika mchakato huo na kuukwamisha ,,,,ni chanzo kikubwa cha mauwaji kipindi cha uchaguzi kwa upande wa Zanzibar na alikwamisha ushindi wa maalim seif pale aliposhinda uchaguzi

    • @MarkPeter-e8c
      @MarkPeter-e8c Рік тому

      inaumaga hii issue kikwete alitupa jpm akatuumizaa sana Wana cdm

    • @msabahaali758
      @msabahaali758 Рік тому

      huyu msanii alitupokonya haki yetu Zanzibar kwa kufuta uchaguzi

    • @epifaniamilinga2848
      @epifaniamilinga2848 29 днів тому

      Katiba walikwamisha.wapinzani.Chanzo serikali tatu.Kikwete asingeruhusu serikali.tatu.Hiyo ni Sera ya.CCM kuwa na serikali moja.

  • @malelamalela1362
    @malelamalela1362 Рік тому

    Okay

  • @juliusjohn9453
    @juliusjohn9453 Рік тому

    Punch

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Рік тому

    Nampenda huyu mzee very social mcheshi mtu wa kutoa ushauri ukikanae unaskia furaha kwa zile story zake nzuri zakufurahisha na kukujenga mungu akupe afya na furaha mzee wetu

  • @heronimomsefya3190
    @heronimomsefya3190 Рік тому +3

    Asante .

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Рік тому +3

    Huyu jamaa mawaziri wake watufilisi watanzania, RIP JPM

    • @issaabdi9129
      @issaabdi9129 Рік тому +2

      Hauna adabu ww mpe heshima yake. The best president Tanzania aliepita. Nimtulivu na msikilizaji kwa maoni ya watu.

    • @birianination7097
      @birianination7097 Рік тому +1

      JPM alimtoa Prof Asad kisa aligundua uwizi wa 1.5 trillion pia akafukuza wanafunzi wa chuo cha UDSM walio post picha za ufaa katika mabweni yake mapya

    • @sundaymsuya1433
      @sundaymsuya1433 Рік тому

      ​@@issaabdi9129yan huyu mzee ulikuwa unamuona mzuri sio raisi anakuremba uku anakumaliza sio ndiomaana ulikuwa unamuona mzuri sio

    • @timboxlee919
      @timboxlee919 Рік тому

      ​@@issaabdi9129heshima Gani kwa fisadi papa Kama huyu,nchi imekuwa ya kifisadi tu,hana point anayoongea huyu jamaa

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 Рік тому +2

    Ikuru ulikua msikiti huo na ulijengwa na warabu

    • @Burner_Acc
      @Burner_Acc Рік тому +4

      Ikulu (kutoka neno la Kinyamwezi; kwa Kiingereza: State House) ya nchi ya Tanzania ilijengwa na Wajerumani mwaka 1891 kwa namna ya kipekee na gavana wa Kihuni Chakosi Dikwe na kutumika kama ngome ya gavana.
      Nyie waislam kila kitu mnahusisha na dini yenu au waarabu. Smh

    • @barakaayubu6126
      @barakaayubu6126 Рік тому

      Una uhakika Sana na unachoongea?? Una ushahidi?? Tafadhali Kaa kimya.

    • @barakaayubu6126
      @barakaayubu6126 Рік тому

      Una uhakika Sana na unachoongea?? Una ushahidi? Tafadhali Kaa kimya..!!

    • @hamidudigogo5863
      @hamidudigogo5863 Рік тому +1

      @@barakaayubu6126 shida ukafili unao kusumbu hakuna kingine Kwahyo ENDELEA kubisha

    • @hamidudigogo5863
      @hamidudigogo5863 Рік тому +1

      @@Burner_Acc hizi nazalia za uwongo kabisaaa ila ukiangalia moyoni mwako unabaki na ukweli ila kinacho kusumbua ukafili uliyo nao Kwahyo ENDELEA kubisha

  • @editorfrank7471
    @editorfrank7471 Рік тому +1

    hivi kwanini kikwete akiongea lazima ajikune kichwa

  • @HhBbh-tn5uh
    @HhBbh-tn5uh Рік тому +1

    Sikweli😂😂

  • @DAUDISINJENI
    @DAUDISINJENI Рік тому +2

    Huyu kikwete ni mkundu wa nyani,msiwe mnamwonesha..kumanina zenu mnae mwonesha.

    • @daudmwaipasi5672
      @daudmwaipasi5672 Рік тому +1

      Amekukosea nn bhna wajina, mbona umetumia lugha ngumu Sana mzee

    • @birianination7097
      @birianination7097 Рік тому +1

      Jifunze kustaarabika.

    • @kabaranamaganga6646
      @kabaranamaganga6646 Рік тому +2

      Tafadhali uwe na adabu Mzee Kikwete kiongozi wetu mstaafu jifunze kuheshimu wakubwa na kuweka mihemko mbali.

    • @canoksancomprehensivelearn7182
      @canoksancomprehensivelearn7182 Рік тому

      Wewe katka comment nyingi ni matusi na uahasama ukisoma na sio mgeni lughayako Daud chafu sana kila mahali hata mtu akitafuta kilakwenye comment hakosi maneno machafu sana. Utakufa yatabaki yakikuhukumu hayo. Yataishimuda mrefu kuliko wewe

    • @AwadhiKanyawana-ve2cp
      @AwadhiKanyawana-ve2cp 7 місяців тому

      Huna adabu huyo ni Baba WA watanzania wte

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe Рік тому +8

    Kweli wazee ni hazina, hizi story ziwekwe vitabu. Mzee Kikwete aweke haya kwenye vitabu. Thats we keep these memories alive

    • @victormtani7170
      @victormtani7170 Рік тому +1

      Jambazi mkubwa huyo na muuaji wa jpm. Nyerere kipindi cha mwinyi kumaliza muda wake NEC ilivyopiga kura Kikwete alishinda kura Nyerere Mzee mwenye haiba na Maono akasimama akasema wewe Kikwete haujakomaa na haujawiva kuwa Rais haufai Mkapa ndio anayestahili siyo wewe labda mimi Nyerere nife. Kwa hiyo maneno yanaishi sana leo mnaona

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 Рік тому

      ​@@victormtani7170Kabisaaaaaaa. Huyu Kikwete ni mshenzi mkubwa.

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Місяць тому

      ​@@gosbertrwezahura3645Mama yako ni mshenzi zaidi