SIRI NZITO: CHANZO CHA VITA ISRAEL NA PALESTINA/ MCH. HANANJA AVUNJA UKIMYA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 жов 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Exclusive #MchHananja

КОМЕНТАРІ • 139

  • @rosechuwa9493
    @rosechuwa9493 9 місяців тому +13

    Kwa lugha ya kimjinimjini pastor hananja tungemwita jembe la kutema point. God be with you pastor

  • @charlesmoseslyimo8923
    @charlesmoseslyimo8923 9 місяців тому +1

    HONGERA sana dada Shangwe. Wewe ni mwanamke wa DHAHABU wa mfano. Asante sana kwa taaluma hii na hakika itatusaidia sana katika kutambua na kuilea vizuri jamii yetu. Nimekukubali mnooo

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 9 місяців тому +10

    Safi sana mutumishi wa Bwana, nakumbuka ulivyo tuhubiriya hapa IOWA STATE USA 🇺🇸,

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 9 місяців тому +13

    Dawa natamani Kila mtuu asikie atajifunza kitu kikubwa sana duniani Kuna mambo mengi sana mungu atulindee jamani

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 9 місяців тому +5

    Mmefanya kosa kuchanganya mahojiano ya Pastor Hananja na Huyo mama mwandishi mwenye changamoto na hali ya mwanawe. Watu wanamuona pastor tu huyo mama mada yake imemezwa ni umaarufu wa Pastor. Ingekua vizuri mngezigawa ama mkate kipande cha mama mkiweke kivyake.

  • @kasanzumasunga1898
    @kasanzumasunga1898 9 місяців тому

    Nimependa mahojiano ya Eng. Shangwe. Kazi nzuri Sana, watu wamshike mkono huyu Mwanamke Wa Shoka

  • @ASALABOY
    @ASALABOY 9 місяців тому +9

    Jaman uyu baba namuomba musimalize mapema aya maujiano

  • @AlieMdogo-oi6il
    @AlieMdogo-oi6il 9 місяців тому +2

    Mungu akulinde mchungaj

  • @letemelekimboipoi6773
    @letemelekimboipoi6773 9 місяців тому +1

    Kazi nzuri sanaa wana wa Mungu❤

  • @faridaltamimi7454
    @faridaltamimi7454 9 місяців тому +3

    huyu mchungaji ni genious

  • @haidarsalum9228
    @haidarsalum9228 8 місяців тому +1

    Mbn ipo nje na tittle.m

  • @albertlucaskoisha7353
    @albertlucaskoisha7353 6 місяців тому

    Kweli kabisa uchungu unatafuta faraja

  • @georgiabuchukundi5146
    @georgiabuchukundi5146 9 місяців тому

    Hongera sana binti yangu kwa hatua hiyo❤❤

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 9 місяців тому +1

    Nice

  • @user-qf2mg1bu4u
    @user-qf2mg1bu4u 9 місяців тому +4

    Yani huwa sichoki kumsikliza hananja😂😂

  • @jumakhaji1620
    @jumakhaji1620 9 місяців тому +7

    Ebwana nimesikiliza interview yote nimeiyelewa 😂 Mungu hakupe Maisha Marefu ☝️✌🤣

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 9 місяців тому +3

    Ubinafsi na kutokuona thamani ya mwenzako,ni kukosa utu kwa tamaa ya mali na madaraka ambavyo (Rumi1:24-26) kila mja atakufa na kuyaacha wala hataondoka navyo!!?

  • @hamidafundi-pw1gw
    @hamidafundi-pw1gw 9 місяців тому +5

    Unyenyekevu haupo tena kwetu wanadamu, tumegubikwa na kiburi. Kiburi ni hali ya kutokuwa tayari kusikiliza na kutumikia watu. Kiburi ni sababu kubwa ya vita vyote vinavyoendelea duniani.

  • @ekiliangoliga644
    @ekiliangoliga644 9 місяців тому

    Uko vizuri

  • @boobohhh3029
    @boobohhh3029 9 місяців тому

    Kweli bab ni kweli kbs

  • @RaymondCharlesSaliboko-to6vx
    @RaymondCharlesSaliboko-to6vx 9 місяців тому +2

    ❤❤❤❤

  • @ASALABOY
    @ASALABOY 9 місяців тому +8

    Napenda sana mádini yake

  • @rehemakatana7029
    @rehemakatana7029 8 місяців тому

    Ukisoma kitabu Cha Ezekiel 39:1- 29 inaelezea kuhusu hii vita so ni maandiko yanatimia.

  • @pastorkapelawakapela4078
    @pastorkapelawakapela4078 9 місяців тому +2

    Paja wangu huyo bado tena tungali tuna mwitaji huku

  • @user-sn4dl4qb3g
    @user-sn4dl4qb3g 9 місяців тому

    Amen baba unasema kweli kila mtu anaakili yake

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 9 місяців тому

    Sikujua kwamba ulikua columbus ohio karibu yangu kabisa 1h away from mahali nilipo

  • @alhadajjmohammedsmith9042
    @alhadajjmohammedsmith9042 9 місяців тому +1

    Kwanini Msitie Fursa ya Kuulizwa Maswali huko Kanisani?! Na sio kuja Kuoiga Porojo Mitandaoni.

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru 9 місяців тому +1

      Acha wivu mwanadamu amepewa kumiliki na kutumia vitu vyote Mungu alivyoviweka ili mradi vimpe sifa heshima na utukufu mbona wewe umetumia mitandao ukasoma ukasikiliza halafu uka comment

    • @herbertnzowa8657
      @herbertnzowa8657 9 місяців тому

      ​@@Kwelihukuwekahuru 😂😂😂😂😂 eti wivu 🙌🙌🙌

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 9 місяців тому

    Ukitaka kujua chanzo vita mtafu askofu Aulelian Ngonyani. Utanishukuru.

  • @theophilluskahigwa8128
    @theophilluskahigwa8128 9 місяців тому +1

    Yaani nigependekeza asaidiwe apate PHD ya Socialogy, km ipo. Asaidiwe, atengeneze maandiko apate PHd yake.

    • @agnesmasenya2280
      @agnesmasenya2280 9 місяців тому

      Aliowatuma mungu hawakusoma na walisoma tuliona wananyenyekea hawakujikweza so PhD sio muhimu

  • @henrymwalugala3619
    @henrymwalugala3619 9 місяців тому +4

    sawa

  • @johansvensson2079
    @johansvensson2079 8 місяців тому

    ❤❤❤

  • @khamisjohn7639
    @khamisjohn7639 9 місяців тому +2

    Hongera sana Pastor

  • @MusaYauto-ck9nn
    @MusaYauto-ck9nn 9 місяців тому

    Ok nawatakia mwisho mwema

  • @user-df5nv2iz9w
    @user-df5nv2iz9w 9 місяців тому +3

    Nabii Branham anasema hivi, ukitak kujua muda angalia saa yako. Lakini ukitaka kujua ni kitu Gani Mungu anataka kufanya angalia Mashariki ya katib(Israel)

    • @woah.africa99
      @woah.africa99 9 місяців тому +1

      Ww ibrahim ni muislam mashariki ya kati yy aliwakuta watu alipo toka mashariki ya kati hapo palestina na ukae ujue ibrahim na mitume wote ni waislam wa mmungu mmoja na yy aliamrishwa ahame aende jangwani ndipo alipo ijenga kibla cha waislam huko kua taifa na masejed al agsa ni wa mmungu nido mana ukaitwa masjed

    • @woah.africa99
      @woah.africa99 9 місяців тому +1

      Wale waerel walimkufuru mmungu na kua mana bee kwanza aliwapenda na mmungu mmoja na mitume wake ni hao ibrahim alipo toka irag aliwakuta palestina kuna watu dio jangwa kama kule saudia alipo enda kujenga algabah palikua hamna mtu lakini hapo Palestine alununua ardhi na yy msikiti wake uko al khalili hapo Palestinian ukingia usali rakaa mbili na isaac na sara hakuna makanisa na istoshe al agsa msikiti ulio saliva na mitume hata na bee isa pia but sio kanisa ila kuna ukristo bada ya na bee isa na hao pia waesrael wanawanyayasa hao waesrael karne zoote walipotea waje juzi waseme wao ni waesrael wako uchi wanawake Beach wanaogelea hao ni wamesha changing dam na wazingu ndio marecani wako nao wakiua sawa ila wao wakiuliwa inakua ni magaidi hiyo sio haki wamepewa ardhi ila wanawanyayasa wenyeji na makazi yao na watoto kuliwa kufungwa kupigwa maisha yao yako chini yao mmungu amewalani hata mawe yatawashuhudia kua wako huku muwaue wakijificha esrael ni ya wazungu kuibia warabu makao ya wamerecani kila ugaidi hapo ndio wanapanga

    • @naahnicky4682
      @naahnicky4682 9 місяців тому

      ​@@woah.africa99acha ujinga wa kujifariji

  • @stanleykalugendo2995
    @stanleykalugendo2995 9 місяців тому +1

    Wakati mwingine ni ngumu kutambua hali ya mtoto mwenye usonji; wa kwetu ana miaka kama 26 au alikuwa mtukutu sana utotoni, tulipata shida ya kwenda naye kwa gharama kubwa ya maisha ila kidogo kwa mtu asiye jua hawezi mtambua hadi aelezwe, anaendelea vizuri na maisha kwani kesi yake sonehow iko miled!?!

  • @lucasprochesi
    @lucasprochesi 8 місяців тому

    Kwakweli mimi sijui mchungaji Hananja umesoma kiasi gani baba lkn hekima imekujaa japo hekima haitokani na elimu ya kidunia .. Mungu akubariki sana

  • @aisharamdan8358
    @aisharamdan8358 9 місяців тому +1

    Unamaneno mazuri

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 9 місяців тому +1

    Nakuelewaga sana Mchungaji

  • @salummohd4300
    @salummohd4300 9 місяців тому

    Ebhana eee

  • @agnesmasenya2280
    @agnesmasenya2280 9 місяців тому

    Chanzo cha mto nile ni tz kagera sisi ni kusudi

  • @erickkyojo1725
    @erickkyojo1725 9 місяців тому

    mbona kichwa cha habari ni tofauti kabisa na yaliyomo?

  • @user-wp8uc3bd2g
    @user-wp8uc3bd2g 9 місяців тому

    Haya

  • @user-xh6mt8xj9d
    @user-xh6mt8xj9d 9 місяців тому +5

    Wakristo hawajielewi wengi wao ni kusikiliza historian kupitia wachungaji nasio kujifunza kwa kusoma wenyewe hii ni hatari Sana maisha ya kuburutwa watu wapate kujaza matumbo yao kupitia vinywa vyao.ole wenu namshukuru Allah kwa kuniumba na kuzaliwa ktk Mila ya Ibrahim Alaihi Salam Radhia. Llahi Anhu

    • @amosiabdulallh7965
      @amosiabdulallh7965 9 місяців тому

      Wao anakubar kutukana Dini waislamu Ng,oo waislamu wanajua ukweli wote

    • @simonnjovu586
      @simonnjovu586 9 місяців тому +1

      Sasa unasoma kilichoandikwa na nani kama siyo historian? Kwani nyie mnasoma au mnasomewa?

    • @adamgwasa2397
      @adamgwasa2397 9 місяців тому

      Ubinafsi

    • @faithmapondo7370
      @faithmapondo7370 9 місяців тому

      Nyiny mnajielewa

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 9 місяців тому +4

      Wewe mwiisilamu muuabudu shetani unajifanya una akili kumbe uko gizani uisilam ni dini ya mashetani elewa hivyo

  • @malyondanga4635
    @malyondanga4635 9 місяців тому

    Hananjanoma

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 9 місяців тому

    Rich bilionea giant wa maandiko matakatifu

  • @MusaYauto-ck9nn
    @MusaYauto-ck9nn 9 місяців тому

    A

  • @user-sn3gh7bg9y
    @user-sn3gh7bg9y 9 місяців тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂

  • @MusaYauto-ck9nn
    @MusaYauto-ck9nn 9 місяців тому

    Upo siku mtaujua ukwel lakin wakat huo mtakuwa Hamna msaada ni wakat gan huo,wakutoka roho

  • @user-pz5xr7tm1t
    @user-pz5xr7tm1t 9 місяців тому

    Huelewi wewe

  • @dicksonshenkalwa5470
    @dicksonshenkalwa5470 9 місяців тому

    Mimi nataka Raisi Samia ayasikie haya na ajitafakari kwa anayowatendea wamasai. Si haki kwa hayo anayoyatenda. Nani anaweza kuishi na Simba? Huo si utalii wa kutosha? Jitafakari Samia.

    • @user-fg1gg3ec2o
      @user-fg1gg3ec2o 9 місяців тому

      Eti wakirsto hawaelewi maandiko nyie mnaoelewa maandiko mbana mnajilipua namabomu alafu mnadai eti ndo binguni mj kwa mj

    • @dicksonshenkalwa5470
      @dicksonshenkalwa5470 9 місяців тому

      @@user-fg1gg3ec2o ungekuwa na akili ungeweka jina lako lionekane wazi anayeongea ni nani. Inawezekana ni shetani anayerespond ili kugobganisha watu. Asante kwa maneno yako kama wewe ni binadamu. Lakini kama ni shetani ukafie mbali.

    • @user-fg1gg3ec2o
      @user-fg1gg3ec2o 9 місяців тому

      Jina langu wewe inakuhusunini au unataka ukatambikie

    • @dicksonshenkalwa5470
      @dicksonshenkalwa5470 9 місяців тому

      @@user-fg1gg3ec2o sina akili za uwehu kama zako. Kama wewe wafanya hivyo endelea hiyo ni kwa faida yako uijuayo mwenyewe. UBARIKIWE kwa akili hizo

    • @user-fg1gg3ec2o
      @user-fg1gg3ec2o 9 місяців тому

      Amina barikiwa na wew

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 9 місяців тому +8

    Muongo ww eti wanamuabudu mmungu wale mafreemason hawamjui mungu mishoga tu hiyo injili ilishukia marecani injili wameibadilisha mmefata utamaduni wa kizungu hakuna dini

    • @sammy-b6281
      @sammy-b6281 9 місяців тому

      Weusi wenye imani ya usilam
      Wamejazwa ugaidi .Afu ndio
      Africa wanao tuzaraulisha duniani
      Maana weusi wakikisto wanajuwa
      Dini zimeletwa tu,isipokua waheslam wao wamejisahau yaani
      Mpka mmekua nachuki😂 zisizo sababu.wa kristo tuwachekaga weslam tu😂 .hao wa harabu ndio
      Walikua natuuza utumwani ,wazungu hivyo hivyo
      Waharabu ndio mashoga number 1 duniani,afu😂freemasonry aiabaguwi dini

    • @mwamakaassely2260
      @mwamakaassely2260 9 місяців тому +2

      Hujaelewa rudia kusikiliza

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 9 місяців тому +5

      Hayo maelezo umeyatoa wapi? Hio injili ikivadilishwa ulikuwepo? Na kama imebadilishwa ni andiko gani linasema imebadilishwa???? Tumia akili usibebe kichwa kama fuvu.

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 9 місяців тому +6

      Na ujue muafrica Muislamu anafata tamaduni za Kiarabu, muafrica Mkristo anafuata tamaduni za Kizungu so wewe jione unaakili ikiwa huwezi kuishi bila kuchagua maisha ya Mzungu au mwarabu.

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru 9 місяців тому +1

      Tayari imejotokeza usiyeelewa amesema kwao ndiyo ni ndiyo hapana hapana hakuna unafiki kwamba watakatifu wapo na waovu wapo sasa ulitaka aseme uongo Mungu akubariki Mchungaji hata huyu najua umemwelewa ni uhuru wake kukataa au kukubali

  • @mussakunenga8866
    @mussakunenga8866 9 місяців тому

    Nice