SERIKALI ihusike ufidiaji wa gharama za viti vilivyong'olewa Kwa vurugu za mashabiki sfaxien na si Kwa timu ya Simba maana haijahusika na vurugu hizo. Asante mama maana umeona Hali halisi iliyokuwa.
Unajuwa kuna watu wameshazoea kubebwa nandiomaana hawawezi kupongeza kwahiki kilichofanywa nawenzao kwani tunawaona wenzetu zinaongezwa dkk2 nazinachezwa dkk 6hiyo hutokana na refa kufidia muda unaopotea ndani dkk za nyongeza hivyo hakukuwa natatizo kwa mechi yajuzi ya simba
Na kwenye mechi ya Cs Constantine na bravo zilipo ongezwa dk 3, mbona hamsemi?Refa anaakili zake timamu mpaka anaongeza aliona kitu hakukurupuka acha wivu
SERIKALI ihusike ufidiaji wa gharama za viti vilivyong'olewa Kwa vurugu za mashabiki sfaxien na si Kwa timu ya Simba maana haijahusika na vurugu hizo. Asante mama maana umeona Hali halisi iliyokuwa.
Hawa simba ubaya ubwela ni hatari simba nguvu moja. Asante mama Samia kutupatia sapoti😊😊😊😊😊 nimefurai ushind
Nimefurahi ❤
Tanzania hongera sana
🦁🦁🦁
✈✈✈
Nimefurai sana
❤❤❤❤❤❤❤❤❤inafrahisha
Sana
Nimefurahi
Hongeren sana wanasimbaa ,hao jamaa wapewe fain walipe viti haraka
This is not fair ......
Let CAF takes action 😢😢😢
Nimefulahi sana kushida
Niaibu sana
Tumefurahi sana
Nimefurahi sana Simba oyeeee
Simba wako vzuri isack kasheku from geita
Congratulations simba sports club
Good
Thanks
Simba nguvu moja
Simba waadhibiwe Kwa kulipia kilekilichotokea uwanjan Kwan waondowaliong'oa vitivingi.
mimi kamamimi sijaona sababu yakuanzisha vulugu baada yamechi kuisha kiufupi lefanae hakuwanamakosa kuongeza dkika nathani watazamaji wote tuliona muda walokuwa wanapoteza baada yakuwafunga simba nakawaida yawaarabu kamatunavyo wajuwa mimi kamamimi namshukulu sanalefalii ametenda haki kama ipasavyo nawachezajiwetu wamejitahidi sana hadikuiweka tanzaniayetu kwenyeflaha naamani
Nimefurahi mno Simbaaaaa!😊
Huyu ndie kiongozi tumefurahi sana Simba kushinda Kuna viongozi wanawaogopa warabu
Ongera.sana.umewakilisha.vzr.simba.oyeeeeee
Simba nguvu moja
Sisi tunasema mama anaupiga mwingi hakika mama nimwanamichezo tusaidie kupigwa kisa tumewafunga wanatun.gorea naviti mama simamia hilo
Mam tunakupenda xan maan aukwam
Sijafuri
tunafuraya,yasimba
Nimefurahi sana kupata point 3 ayo mengine tuwaachie serikali
Kweri sio vizuli kutupiga wakati tumewafunga
Nimefulay sana smba naipenda sana
Simba wapewe mauayao.
Unajuwa kuna watu wameshazoea kubebwa nandiomaana hawawezi kupongeza kwahiki kilichofanywa nawenzao kwani tunawaona wenzetu zinaongezwa dkk2 nazinachezwa dkk 6hiyo hutokana na refa kufidia muda unaopotea ndani dkk za nyongeza hivyo hakukuwa natatizo kwa mechi yajuzi ya simba
Musamigongo nimefurahi simbakushinda
Ubaya ubwela
Ndo Rais kasema nini sasa?
Komaaa
Hao ni mashabiki wa yanga walivaa sure za wapinzani
Kubebwa ndo kunasababisha mambo kama hayo maana mwamuzi alizidisha dakika badala ya kumaliza mchezo kwa muda maalum
Na kwenye mechi ya Cs Constantine na bravo zilipo ongezwa dk 3, mbona hamsemi?Refa anaakili zake timamu mpaka anaongeza aliona kitu hakukurupuka acha wivu
Mbona tarehe 18 dk 4 ziliisha na goli likafungwa hamsemi! Achane ubunafsi na refa ana dk zake jamani
Nabado kipigo kinaederea watakubsri tu
Atujamaliza tutakwenda kwa tahadhari munguatatujaalia tutarudi na pointi 3
Nimeona raha sana
Nikwann wataftiwe matokeo kwa kuzidisha mdatajwa
Hujui Sheria za mpiraa, kasomekwanza ndipo uweumachangia hojaaa!
Sheria nipale muda ukiongezwa mgeni hatakiwi kucheza acheze mwenyeji tu
😂😂
😅😅😅
Ni furaha babkubwa
Wap
Simba wapigwe faini kubwa ili waache hizo tabia za kijinga
Mh
Ujinga tu tanzania hakuna mpira bali ujinga tu dakika saba hadi tisa mmh