Huyu refa wakimataifa kweli.. Waarabu timu nzima walikuwa wagonjwa wanaanguka kila baada ya dkk chache Sasa refa anapoongeza dkk anavyojisikia anakosea wapi.. Hili ni fundisho na ni nzuri Sana waarabu wabadilike
Kweli tuache ushabiki usiofaa, refa yupo vizuri waarabu walipoteza muda mwingi Sana kujidondosha pia huo muda uliozidi watabumbue wamezicheza wote, hata wao wangefunga ingekuwa goli
@@ABUUSHURAIM hakuna sababu za kutukana.. Kwanza tambua kuwa mchezo wa soka unangozwa na kanuni na taratibu... Kanuni ya muda wanyongeza imempa refa wa ndani kuendelea kuchezesha mechi hata kama dakika za nyongeza kuisha, mfano kama dakika 7 zimeongezwa na refa wa mezani na dani ya hizo dakika kukatokea matukio ya kupoteza muda muda wa kuisha mechi hautakuwa zile dakika 7 mechi inaweza kwenda hadi dakika ya 10. Refa wa ndani anayechezesha mechi kapewa ruhusa kufanya hivyo ili kuondokana na timu kufanya makusudi kupoteza muda, hivyo baada ya dakika za nyongeza kuisha kama kulikuwa na matukio ya kupoteza muda refa atafidia muda uliopotea. Kwa mfano refa wa mezani kaongeza dakika 7 halafu mara baada ya dakika kuanza kuhesabika golikipa akaumia ikailazimu timu kumtibu uwanjani kumbuka kipa anatibiwa pale pale uwanjani... baada ya kupata nafuu anainuka kuendelea na mpira ila sasa ametumia muda wote wa nyongeza yaani dakika saba zote yuko anapatiwa matibabu... ikitokea hivi hatuweze sema refa maliza mpiira hapana. atakachokofanya refa atafidia muda uliopotea.... TUACHE MIHEMUKO ISIYO NA TIJA INAYOPELEKEA KUTUKANA. TUANGALIE MPIRA HUKU TUKIZIFAHAMU SHERIA AU KANUNI ZINAZOONGOZA MECHI...
@@EliaMkumbo-wn7bm simba ndiyo timu pekee Africa ambayo mashabiki wake Wana tuzo toka caf... Wanatujua ustaarabu wetu... Caf washajua shida ilipoanzia.. Na Congo Jana ilikuwaje nasikia watu wamechezea kichapo?
Refa kazingua katika Dk zilizoongezwa hakuna hata Dk 1 au sekunde iliyopotea kwa kujiangusha Sasa iweje azidishe mpaka Dk 8:48 sababu ni Nini ? Ni sahihi refa kupigwa kawabeba sana simba . Simba bhana mmebebwa nyinyi viti mrushe nyinyi huu ni ujinga mkubwa sana simba inastahili adhabu kali sana ya ndani na nje na wasiruhusiwe kutumia huu uwanja waende bunju wakan'gowe visiki mbwa awa wametia haibu taifa. Yanga imefungwa watu wameridhika wameondoka simba hii ni kawaida Yao hii ni mara ya 2 Sasa
Jamani mm ni yanga damu damu,hapa tuelimike hizi dakika zinaongezwa kwa timu moja?hizi ni dk za timu zote kwann wao wasifunge tungelaum kama angewapa Simba penati ya bule
Wapo sahihi sana mpila.wa afrika ukiwa mnyonge kila siku utafanyiwa haya mechi ijayo refa hata fanya mambo kama haya unadhan atakanyaga kwao refa kama huyu hakuna.muda wafidia ktk dk zanyongeza ndio maana zikaongezwa saba😂😂
Basi tufanye ivi lichukue ili goli ulihamishie kwenye timu yako ya uto kwasbb uto Ana goli moja mechi 3.....kwahio ukiongeza na hili yatakua mawili😂....... Jitahidi ukijibu usitukane.... Vumilia😂@@sarahsaimon4095
MIMI KWA MACHO YANGU NAONA WANAO NG'OA VITI NI MASHABIKI WA SIMBA WENYEWE NA SIO WAARABU,JAPO MUARABU KAKOSA NIZAMU YA KIMCHEZO KAMA ANAHISI KUNA MAAMUZI YASIO YA HAKI WANGEPELEKE MALALAMIKO YAO CUF
Ifike wakati watanzania tuamke tuache unyonge wa kishamba,mimi ni yanga lakini haiwezekani mtu apige watu kwenye ardhi yetu tena anatamba,huo ni ufala na usenge sio nidhamu ya michezo.
Utopolo Hoi ukisema ukisema tumebebwa hujui kuangalia mpira kama unabisha kaangalie fc bravos na cs Constantine mechi ya Jana waliongezwa dakika ngap na walipitiliza dakika ngap
Mbona refa Hana kosa lolote angalia mechi ya bravo na Constantine wameongeza dakika 4 Ila mechi imeisha dakika ya 98 hii hata ulaya ipo kwa wanaongalia mpira dakika Ni za wote
Inaumiza sana dah mpira ni mchezo wa ngumi jmn jmn Sasa hivi kweli ni kwetu wanafanya hivi je huko kwao itakuaje si watatulipua Hawa watu,jmn Rais wetu tusaidie Kwa hili 😂😂😂😂😂
Walipokua wanajidondosha walitegemea nini? Hata dakika 7 waliemdelea kujiangusha kipa wao alipoteza mda refa anahaki ya kufidia mfano mechi ya leo bravo na Constantine refa aliweka dakika za nyongeza 4 lkn alimaliza mchezo kwa kuongeza dakika3 kamaliza dakika 97 ni kawada hao wamepagawa wakijua washatolewa mechitatu zote wamefungwa. Hata hivo hio dakika moja iliomgezwa walicheza wote wachezaji 22. Caf inatakiwa iwaadhibu
Cc watanzania tumeletegea ilikua tuwafanyie kitu kibaya miaka 5 tucheze bila kuingia mashabik lkn tushaweka heshima,watu 10 wafanya ujinga nikuwavamia halaf wakaenda zao wakajua km ubabe na cc tunaweza
@@halimamwingu4478 marefa wanafuata sheria na kanuni za mchezo... Football ni dkk 90 na inapotokea hazikutimia kwa matukio yaliyojitokeza mwamuzi atajiongezea mpaka 90 zitimie... Sasa wachezaji wa cs sfaxien wote walikuwa wagonjwa... Kila dkk chache machela uwanjani je ni dkk ngapi ukichangia na golikipa wao kajidondosha mara ngapi? Refa kakosea nini?
Mnajua shida yetu watanzania kwenye mpira wetu umejaa chuki sana Sasa mtu anatamka neno kua refa kapenderea wakati kira timi ilikua moja moja kwaiyo izo nyongeza mbona nikwafaida yawote
Simba nitimu kubwa kushimda nika waida lakin kiingilio cha mshabiki kisisababishe kualibu miundombini ya uwanja inabidi CF na selikali ya jamuuli ya muungano wa Tanzania walitazame hili la uwalibif
Huyu refa wakimataifa kweli..
Waarabu timu nzima walikuwa wagonjwa wanaanguka kila baada ya dkk chache Sasa refa anapoongeza dkk anavyojisikia anakosea wapi.. Hili ni fundisho na ni nzuri Sana waarabu wabadilike
Oyooo❤
Kwel kabisa umeongea point
Wakati wanaanguka ndo maana zikaongezwa dk 7 sasa hizi 9-10 zimetoka wapi au bahasha zitawatokea puani niko paleee
Hizo 7 pia wameanduka ndo maana ukaisha dakika 8 sema jengine 😂kwani unakereka ukiwa wap@@EliaMkumbo-wn7bm
Ujui boli Kanye ulale😢
Ndoo basii tenaaa simbaa washaondokaa na pointss😂😂😂🎉
موعدنا في تونس
@@salumsuleiman1484 🤣🤣🤣
Mangota 1:00
Simba
Kweli tuache ushabiki usiofaa, refa yupo vizuri waarabu walipoteza muda mwingi Sana kujidondosha pia huo muda uliozidi watabumbue wamezicheza wote, hata wao wangefunga ingekuwa goli
@@DicksonMakundi-zs1yw mbwa Koko wew dakika 9 aibu hamuoni
😂😂😂😂 tunachojua tumeshinda Yani hata zingekuwa kumi muhimu pointi tatu@@ABUUSHURAIM
@@ABUUSHURAIM hakuna sababu za kutukana.. Kwanza tambua kuwa mchezo wa soka unangozwa na kanuni na taratibu... Kanuni ya muda wanyongeza imempa refa wa ndani kuendelea kuchezesha mechi hata kama dakika za nyongeza kuisha, mfano kama dakika 7 zimeongezwa na refa wa mezani na dani ya hizo dakika kukatokea matukio ya kupoteza muda muda wa kuisha mechi hautakuwa zile dakika 7 mechi inaweza kwenda hadi dakika ya 10. Refa wa ndani anayechezesha mechi kapewa ruhusa kufanya hivyo ili kuondokana na timu kufanya makusudi kupoteza muda, hivyo baada ya dakika za nyongeza kuisha kama kulikuwa na matukio ya kupoteza muda refa atafidia muda uliopotea. Kwa mfano refa wa mezani kaongeza dakika 7 halafu mara baada ya dakika kuanza kuhesabika golikipa akaumia ikailazimu timu kumtibu uwanjani kumbuka kipa anatibiwa pale pale uwanjani... baada ya kupata nafuu anainuka kuendelea na mpira ila sasa ametumia muda wote wa nyongeza yaani dakika saba zote yuko anapatiwa matibabu... ikitokea hivi hatuweze sema refa maliza mpiira hapana. atakachokofanya refa atafidia muda uliopotea.... TUACHE MIHEMUKO ISIYO NA TIJA INAYOPELEKEA KUTUKANA. TUANGALIE MPIRA HUKU TUKIZIFAHAMU SHERIA AU KANUNI ZINAZOONGOZA MECHI...
Mwenye wivu
Kuna watu wanacheza dkk103
SIMBA BABA LAO LEFA ALIKUA SAHIHI 🎉🎉🎉🎉🎉
Kwani hizo Dk za nyongeza walicheza Simba tu au na waarabu walicheza? Kama walicheza hapo fujo za nn sasa?
Ndo nashangaa
Acheni kujitoa ufahamu mnashangaa nn Sasa
Hivi mnaelewa mnacho sema haya tender kwa beki wenu alitakiwa apewe nyekundu ikawaje
Kama vipi tukienda kwao na wao walipize tucheze dk 120
@@nicholousmtemi3902vya kushangaa😂
Awa watu wametuzarau sana yani nchi yetu tunafanyiwa aya, ivi uko Dr kuna wanaume kweli 🤔 miujiza ifanyike uwanja wa mkapa uamie tarime😮
Kweli huu ni upumbavu mkubwa sana watu wako ishirini au serasini yaani hao walikuwa hawatoki uwanjani dah
Mnafungiwa maisha
@@EliaMkumbo-wn7bm simba ndiyo timu pekee Africa ambayo mashabiki wake Wana tuzo toka caf... Wanatujua ustaarabu wetu... Caf washajua shida ilipoanzia..
Na Congo Jana ilikuwaje nasikia watu wamechezea kichapo?
@rexgodwill7353 kwahiy caf wanawajua kwa kung'oa viti
We ni msenge sana kazi kubebwa mbwa nyie pia kama sio kipofu waliovunja viti ninani kama sio Simba kenge nyie subirini lungu mkome
Hwa warabu wamezoea vita kila mara hawajui Tanzania ni nchi ya amani😂😂😂😂
Kawaida timu ikielemewa au ikicheza kuzuwia ukiongeza dakika nyingi utakuwa unaiumiza timu inayojihami.
Kuondoka dondoka kwao ndiyo kumefanya zifike dakika nane na point
Safi sana ,marefa lazima mjifunze ...
Refa kazingua katika Dk zilizoongezwa hakuna hata Dk 1 au sekunde iliyopotea kwa kujiangusha Sasa iweje azidishe mpaka Dk 8:48 sababu ni Nini ? Ni sahihi refa kupigwa kawabeba sana simba .
Simba bhana mmebebwa nyinyi viti mrushe nyinyi huu ni ujinga mkubwa sana simba inastahili adhabu kali sana ya ndani na nje na wasiruhusiwe kutumia huu uwanja waende bunju wakan'gowe visiki mbwa awa wametia haibu taifa.
Yanga imefungwa watu wameridhika wameondoka simba hii ni kawaida Yao hii ni mara ya 2 Sasa
Inaonekana ww unafirwa
Hivi jamani right kama simba angefungwa hawa warabaga wangefanya fujo au wangechekelea
DK WALIZITUMIA WOTE KO HAMNA TATZO
Refa wa Leo makoro mlazeni hoteli ya nyota 5🎉na Mauwa juu😂😂huyu ni Familia kabisaaaa
Afu walinzi wa Tanzania mbona kama wanyonge
Simba kwa nn mnapenda kuvunja viti
RUNGU LA CAF LINAKUJA!!!!! Waarabu kwa vurugu ni kama chakula, wanapenda shari tu
Mashabiki wa simba nao wameng'oa viti
Jamani mm ni yanga damu damu,hapa tuelimike hizi dakika zinaongezwa kwa timu moja?hizi ni dk za timu zote kwann wao wasifunge tungelaum kama angewapa Simba penati ya bule
Sasa huko kwao mkienda mtaekewa ..mkieafunga kimbieni..shauri yenu
😂😂😂
Simba nitim yauhuniuhuni tu hamna kitu kushinda mpaka vurugu
Wapo sahihi sana mpila.wa afrika ukiwa mnyonge kila siku utafanyiwa haya mechi ijayo refa hata fanya mambo kama haya unadhan atakanyaga kwao refa kama huyu hakuna.muda wafidia ktk dk zanyongeza ndio maana zikaongezwa saba😂😂
Wewe jama hujui wewe refar yupo sahihi kabisa wewe umeona Hawa waarabu alivyokuwa wakipoteza muda? Hivyo umewagharimu, sijui kama unajua hilo
Kweli kabsa refa hana makosa hapo
Ila mbwa sijui huwa wanajikta nani wapo kwenye nchi yetu afu wanajikta shenziii
Suala hili linaniudhi sana yani wanajionaga wao ni bora zaidi kuliko sisi......mimi sina fagio wananijua ninaokutana nao 😢
Shida sio wao shida ni refa kuwa mwana familia
@@OmarSeafood Sasa wao walifungwa miguu? Si na wao wangehangaika wapate ushindi?
HAO WAARABU WATAKUWA MAFALA KAMA SIMBA WATAENDA KULE MA WASIWAPE KICHAPO NAWAO😂😂😂😂
Kwer nmeamini simba ndio wafanya vurugu
Nimeona asikali nae anapigwa mchezaji kweli Tanzania nabwege sana tutatuwa mpaka kidole Cha mkundu alafu usemi kitu duuu
Simba ni timu kubwa bhana kushinda ni jambo la kawaida na refa alikuwa sahihi amefidia mda uliopotea manake ushindi wa mnyama ni halali kabisa
Acha uongo kabisa, hili sio goli halali pia akuna mda uliopotezwa refa akawa family che malon alitakiwa kadi nyekundu. Pia mda uliisha kabisa. Uwezi tafutiwa goli ivyo
Basi tufanye ivi lichukue ili goli ulihamishie kwenye timu yako ya uto kwasbb uto Ana goli moja mechi 3.....kwahio ukiongeza na hili yatakua mawili😂....... Jitahidi ukijibu usitukane.... Vumilia😂@@sarahsaimon4095
Mnateseka sana duuu
Kati ya yanga na simba nani alinusulika kuahibika kutafutiwa sare au kushinda.@@sarahsaimon4095
Wewe kweli KUMA ya nyuma. Game iliyofuata kati ya Barvos na Costantine zimeongezwa 4 golinla 3 limefungwa dakika ya 96. @@sarahsaimon4095
Milard ayo repoeter anazingua timu ya CS ndo timu gan na hakuna refa wa timu pinzani refa ni wa wote
sisi wabongo ni waoga sana ,ila kupigana wenyewe kwa wenyewe simba na yanga tunaweza ao waarab wawili 2 hatuwawezi
MIMI KWA MACHO YANGU NAONA WANAO NG'OA VITI NI MASHABIKI WA SIMBA WENYEWE NA SIO WAARABU,JAPO MUARABU KAKOSA NIZAMU YA KIMCHEZO KAMA ANAHISI KUNA MAAMUZI YASIO YA HAKI WANGEPELEKE MALALAMIKO YAO CUF
Hawa jamaa kwako tutaishije wanalunyasi😂😂
Simba mashabiki ndio waliong'oa viti
Rungu la CAF linaweza kuwa baya sana kwa michezo ya Simba. Uwezekano wa kucheza bila mashabiki upo wazi.
I second you
sasa hapa simba inamakosa gan?kwan wachezaji wa simba ndio walioazisha Purukushan?
Mashabiki kwa nn wangoe viti
@@NasmaKhatibu-s4n mashabiki wa Simba wameng'oa viti na kuwapiga navyo wageni
Simba kosa Lao kung'oa viti
Simba oyeeee
Yaaani mnapigwa wakati mpo kwenuu ,makolo kwelii nyie,
Unapigwaje kwako
Ifike wakati watanzania tuamke tuache unyonge wa kishamba,mimi ni yanga lakini haiwezekani mtu apige watu kwenye ardhi yetu tena anatamba,huo ni ufala na usenge sio nidhamu ya michezo.
Utopolo Hoi ukisema ukisema tumebebwa hujui kuangalia mpira kama unabisha kaangalie fc bravos na cs Constantine mechi ya Jana waliongezwa dakika ngap na walipitiliza dakika ngap
CAF ivunjwe tu, lianzishwe shirikisho jipya, mashindsno yamejaa juu mpaka Chini, dhuruma za marefa wa hivyo zimepitiliza kila mechi.
Kweli kabisa
Nani kadhulumiwa!?
Point za Darasa la saba hizo... anzisha shirikisho lako basi
Mbona refa Hana kosa lolote angalia mechi ya bravo na Constantine wameongeza dakika 4 Ila mechi imeisha dakika ya 98 hii hata ulaya ipo kwa wanaongalia mpira dakika Ni za wote
Wee hujui kitu, walipoteza mda sana, Simba tukawaambia haijaisha mpaka iishe
Inaumiza sana dah mpira ni mchezo wa ngumi jmn jmn Sasa hivi kweli ni kwetu wanafanya hivi je huko kwao itakuaje si watatulipua Hawa watu,jmn Rais wetu tusaidie Kwa hili 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 wanatembeaga na mabomu
Makolo wazee wa gusa achia jidondoshe tupate penalty nyie mnaishia robo tu. Alichokiandaa RS Berkane na Zamalek sizani kama mtapona😅😅😅😂😂😂
Tushachukua point na goli zetu kelele za nn tena
Angalieni hao ni waarabu wanang,oa viti tuseme ukweli, jukwaa upande mkubwa hivo si watanzania mashabiki wa simba hao
Walipokua wanajidondosha walitegemea nini? Hata dakika 7 waliemdelea kujiangusha kipa wao alipoteza mda refa anahaki ya kufidia mfano mechi ya leo bravo na Constantine refa aliweka dakika za nyongeza 4 lkn alimaliza mchezo kwa kuongeza dakika3 kamaliza dakika 97 ni kawada hao wamepagawa wakijua washatolewa mechitatu zote wamefungwa. Hata hivo hio dakika moja iliomgezwa walicheza wote wachezaji 22. Caf inatakiwa iwaadhibu
Musitudanganye bwana hamuna lolote refa kakusaidieni muda ilikuwa tayar
Mcheza kwao hutunzw ukwel nikwamba tim zatanzania msim huu tanzania hatna tim za ushindan
Polisi wana kazi gani ,intelegensia mwisho chadema na uchaguzi?
Mi si shabiki wa mpira na sina timu ila leo rafa kaupiga mwingi kabahash ka simba kanamuuumbua lile si goli lipo nje ya muda
Waambie siku nyingine waende na mda wasiwe wanajivuta goli limefungwa kwenye 8:24 hivyo nikawaida refa kufidia mda uliopoteza
kumbe refa alitaka kupigwa na hamsemi et alitaka
Simba utoto wakungoa viti mtaachalini
Yaani waarabu niwatu wa ovyo sana ulemda walikua Wana anguka kama hawajala Wana mwaka walikua refa ni Baba Yao'hawajielewi hao kabi
Tp mazembe wajiandae kwa kweli wakileta usenge tuy 😂😂😂😂
Safi sana waarabu, refa anastahik kupgwa
We mtazania au muarabu .yanga wamepigwa congo umesikia
@@kelvinmsyani3913 🤣🤣.. Wanaacha yao macho kodo kwa simba
Sasa mashabiki wa Simba wnaharibuntena miundombinu ya uwanja wetu daah😢
Kuna muarabuuu mmoja ameruka teke kama damme😂😂😂😂😂
Watuache nasimba yetu
tanzania upore umezidi hadi tumetowamo ujinga kwao unaweza kufanya haya
@@daudiwamara3787 Libya Aishi alipigwa kibao na askali wao sisi askali wetu wanawabembeleza 😅
Cs faxen ni timu ya hovyo
Cc watanzania tumeletegea ilikua tuwafanyie kitu kibaya miaka 5 tucheze bila kuingia mashabik lkn tushaweka heshima,watu 10 wafanya ujinga nikuwavamia halaf wakaenda zao wakajua km ubabe na cc tunaweza
Pumbavu sana kwani hiyo dakika 1ilozidi si tumecheza wote au. wao walifungwa.miguu??
Hapo sasa😂😂😂😂
Ukibebwa jishikilie nasi tujifunze kwa wenzetu sio zambi kuiga ya mo.
Huo ndio usajili ndani na nje ya uwanja
Simba
😂😂😂😂😂 nimecheka kama mazur 😂😂😂
ubaya ubwela mmebebwa daah😂😂
@@minyomasonge1687 etiii uliona khanga au shuka ikimfungaaa MTU mgongoni au
Lini umeanza kufuatilia mpira ndugu?
@@controlTheoryChamps Achana naye huyoooo hajui mpiraaa huyoooooo
Sasa hawa waarabu? wanatupiga nyumbani kwetu kweli? 😂😂😂😂 hawajipendi?
Refa yenyewe mikono yake kama ilikua imevunjika leo mnataka kumvunja kiuno sa itakuaje 😅
😂😂😂😂😂😂😂
Simba huwa haipig mtu na chup inapig mtu na Bao😂😂😂😂
Piya kitu kingine zile dakika za nyongeza hata wao walitakiwa wazitumiye vizuri waweze kupata matokeo ni kwa fayda ya wote
Naic unamavi kichwan mpila unamda maaalum
Waarabu na wa kenya kutwa wao wanaabudu ngumi tu😂😂
Mashabiki acheni Tanzania tuendeleze AMANI yetu. Wageni wataogopa kujia. Hasara iliyotokea mtalipa? Aibu.
Mama tazama pesa za wavuja jasho wa taifa hili pa kuzipeleka awa wauni waachie na uhuni wao Kuna sehemu nyingi watanzania wanaitaji msaada wako
Wanjani hakukuwepo askar police mbn mechi za ligi huwa wanakuja na bunduki? Au ndio mtanzania Tu ndio anastahiki kupigw vigongo
Aibu Sana simba kwakununua marefa warabu wapo sawa
We ropoka utafungwa uliona wakitoa kenge ww
@EsterMjema-n8c hasira za nini mambo hadharani mbeleko ya refa kma mim kenge wew mbwa
Marefa wajifunze waache mazoea. Yote hayo yametokea kwa ajili yake
@@halimamwingu4478 marefa wanafuata sheria na kanuni za mchezo... Football ni dkk 90 na inapotokea hazikutimia kwa matukio yaliyojitokeza mwamuzi atajiongezea mpaka 90 zitimie... Sasa wachezaji wa cs sfaxien wote walikuwa wagonjwa... Kila dkk chache machela uwanjani je ni dkk ngapi ukichangia na golikipa wao kajidondosha mara ngapi? Refa kakosea nini?
Unajua Sheria ww kichwa
@@chusseboywcb2808 tufundishe mjuzi wa sheria tuelewe sisi tusiojua
😊😊kunamateke kwawatabu
Kawaida ua mechi za ndondo kuna vituko vingi sana ona leo ni vituko uswahilini duuuuu
Kk naomb nikupe kazi unipositie nkuombaaaa
Ningekuwa hapo arafu mwarabu anarusha ngumi ndo munge cheki
😂😂😂😂😂😂😂pumzi ya moto ikikwingia lazima uchanganyikiwe
Eti punzi ya moto hebu ninyamaze mie
@fettiemaganza1484 poleeeee
@@fettiemaganza1484 tenaaaa utulize kwato hizo ukalale maana unaumia
Mbeleko fc wang'oa viti
@@EliaMkumbo-wn7bm pole kwa makasiriko best
Mashabiki wasimba msije kanyaga kwa warabu mkirudi hai basi mnamungu
😂😂😂
Warabu ndio maana wanafungiwa kira mara mana wanacheza namatokeo mfukoni wakati timu zao zakawaida zikiwa ugenini
Mnajua shida yetu watanzania kwenye mpira wetu umejaa chuki sana Sasa mtu anatamka neno kua refa kapenderea wakati kira timi ilikua moja moja kwaiyo izo nyongeza mbona nikwafaida yawote
Chamsingi hapa wapigwe faini ya faida
Hizi mechi mzilete chuga wadudu tuna jeshi letu 🪓
Ni beto za shingo tu😅
mapangaleeeeeeeeeeeeee🤣🤣
Nyie wasenge mbona dangote aliwavuruga nyote et wadudu
Hii inatakiwa kwa marefa wa ndani🤣🤣🤣
Yani huyu refa Hana makosa kabisa walitaka kumpigia bure
Huyu refa tangu kipnd cha kwanza nilimwambia jama yangu nilokua naangalia nae mpira kua Mo dewj yupo mjini hamna refa hapa 😅
HATA MIMI NILIMWAMBIA MWENZANGU MBONA REFA KAMA KICHOMI?SIMUELEWI
Ongera Tanzania kwaumoja
Olewenu mwende kwao waarabu ndo mtakoma
Yanga mashangaz fc mkawasindikize mabwana zenu airport😂
MALAYA UPO MAWINDONI😂😂😂
Simba nitimu kubwa kushimda nika waida lakin kiingilio cha mshabiki kisisababishe kualibu miundombini ya uwanja inabidi CF na selikali ya jamuuli ya muungano wa Tanzania walitazame hili la uwalibif
Ni dakika 6 ziliongezwa, goli lilifungwa dkk ya 8
@@RamadhanMbwana-o1j Ziliongezwa dakika 7 changamka boya wewe
@MonicaCasperCasperMonica vipi umeolewa, natafuta mke...
@RamadhanMbwana-o1j Nmeolewa na SIMBA😜
@@MonicaCasperCasperMonica achana nae, mi niko tayari kubadilisha upepo kama Manara...😀
Mwafulika kaz
Nasisi wanasimbaaaaaa
Kwenye zile dakika 7 hakuna mda ulio potea wala mchezaj alie jilaza kwahyo hakukua na sababu ya kuptliza had 8
Shilikisho niligi yawatoza ushuru ndio maana Ina vurugu
Dah uwanja wetu serekali yetu yatumia na bilioni ya pesa kuitengeneza wao wana haribu watakavyo. Roho yauma kinoma
Waleteni huku Mara uwanja wa biashara united tuwafundishe namna mtu mpumbavu anaviopigika, na kudai maji ya moto
@@KalebChacha-q2r mngefanya nin wachumba tu hata nyie
Arusha waje
SENGE LINGINE KUTOKA MARA
Watani ngumi hamjui mnajuwà visu na mapanga tu
namshangaa huyu mchezaji anakimbilia kutafuta vurugu na washabiki nilichopenda wachezaji kama vile hawajui kinachoendelea uwanjani
Uhakika Simba moto wa kuotea mbali