mbele ya Rais samia Mwabukusi ashindwa kuvumilia juu ya watuhumiwa "huyu ni mchawi hatumtaki,

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • #chadema #lissu #samia #mbowe #ccm #tanzania #uchaguzichadema #uchaguzi2025 #drslaa #chademaleo

КОМЕНТАРІ • 35

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 6 днів тому +10

    Huyu mwamba siku chache za nyuma alikuwa wapi mimi binasi namkubali mwabukusi uko vizuri sana hongera zako❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏👏👏👏👏😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @HamzaOthaman
    @HamzaOthaman 5 днів тому +6

    Asante wakili wetu❤

  • @ikupamwaisoba2068
    @ikupamwaisoba2068 5 днів тому +1

    Mungu uliye hai mlinde huyu kijana mfunike kwa damu ya Yesu awe salama kwa ajili ya kujenga Nchi❤

  • @HamzaOthaman
    @HamzaOthaman 5 днів тому +2

    Upo nzuri kka ❤

  • @WillfredyMollel
    @WillfredyMollel 6 днів тому +5

    Hongera mawakili kazeni buti

  • @norbertmbena5896
    @norbertmbena5896 5 днів тому +1

    Tunahitaji akina MWABUKUSI WENGI
    nchi ipone
    Mungu akutetee

  • @yahsavechassala1037
    @yahsavechassala1037 6 днів тому +2

    muheshimiwa kwenye vifurushi kuna dhuluma sana Tanzania Selikali iingilie kati kama hawana maslahi ndani yake Tutaona mabadiliko makubwa

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg 3 дні тому

    Kwer❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @NungulaRais
    @NungulaRais 5 днів тому +1

    Saf sana kiongoz

  • @TheodoraAnatory
    @TheodoraAnatory 6 днів тому +4

    Muulize Muheshimiwa, kwanini watu wanawekwa sero kabla ya kuhukumiwa, alafu baadaye inaonekana hana kosa. Kwanini asilipwe fidia ya muda aliokaa ili kukomesha jambo hili.

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 6 днів тому +3

    Asante mwambukusi upo vizuri

  • @eatlawe
    @eatlawe 5 днів тому +2

    Rais wa Tanganyika huyo akitetea haki ya Wataganyika!

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc 5 днів тому +2

    Hawa wapo wachache sana Akina Lssu na Akina mwabukisi

  • @bayyohunki5640
    @bayyohunki5640 6 днів тому +3

    🙏👍

  • @mangobase
    @mangobase 5 днів тому +1

    Huyu ni akili siyo Lisu... 😂

    • @breymbasa3451
      @breymbasa3451 5 днів тому

      Lisu unamuonaje wewe yule ni msomi pia sheria imelala pale jiulize kuna kiongozi Tanzania kashawahi kukamatwa na kupewa mikesi ya ajabu ajabu kama lisu? hujiulizi kwanini wanachemka kumfunga ama Kumtoza Faini kubwa Lile ni jitu shauri yako ohooo

  • @TheodoraAnatory
    @TheodoraAnatory 6 днів тому +1

    tcra kazi yake ni kukata mawasiliano endapo anayeongea hamsifu rais

  • @MirajiOmary-jm7wc
    @MirajiOmary-jm7wc 6 днів тому +2

    nimekusikiliza kwa umakini kwakwel unaongea point tupu

  • @DANIELMANGALA-d8e
    @DANIELMANGALA-d8e 5 днів тому

    Kumpata mwengine kam huy
    kwakweli tanzn itafanan km
    Y m.g shida ni moja watazn n
    wawog San kuongeya ukweli
    inakuwag inamishindak sn

  • @GabrielKirango
    @GabrielKirango 5 днів тому

    Kiongozi wa jumuiya ya mafarisayo mnaelewa anachomwambia KAISARI kwa maoni yangu.Ameacha ya msingi analitafutia tumbo lisilo na shukurani.Zaidi litautia utu wako Aibu.Eti wasomi.

  • @YueniWilingtonnsyukwe
    @YueniWilingtonnsyukwe 6 днів тому +1

    Fanyeni mnavyoona inatakiwa.
    Sisi sio wasomi

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 5 днів тому

    Wanafanya makosa nduo wanaekwa sero

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 5 днів тому +1

    YUKO SAHIHI HOTUBA YAKE HUYU ANGEENDANA NA MAGUFULI.

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 5 днів тому

    Mmeanza kumpamba Mwambukusi kwa lipi anavimba kichwa kupenda sifa hana chochote.Huyo ni mdogo tu Serikalini

    • @breymbasa3451
      @breymbasa3451 5 днів тому

      serikali ninini? nguruwe wewe

    • @UpendoNgailo-f9t
      @UpendoNgailo-f9t 5 днів тому +1

      Oooh inaoneka wew unanufaika na mambo ya hovyoo ndani ya serilikali

    • @wiliamkatala
      @wiliamkatala 4 дні тому

      Nini maana ya serikali? Ukipata jb ndo urudi hapa.

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 5 днів тому

    Unamkubali kwani kibwa kipi alicho ongea ambacho hakija ongelewa kabla.wewe ni mshabiki tu wa huyo mwambukusi

    • @chrisshonga
      @chrisshonga 5 днів тому

      Sasa kichwa chako unaweza kufananisha na kichwa cha Mwabukusi?

    • @maziku330
      @maziku330 5 днів тому

      ​@@chrisshongawe shoga acha makasriko

    • @maziku330
      @maziku330 5 днів тому

      Kaongea tu alchoelekezwa kuongea mbele ya mkuu sjaona ka kapiga kweny mshono kama kichwa cha habar kilvyoandkwa

    • @chrisshonga
      @chrisshonga 5 днів тому

      ​@@maziku330Sio makasiriko mpendwa ila ukweli wa maisha ni kwamba mnyonge waweza kumnyonga ila haki yake sio vibaya vile vile kumpa

  • @MirajiOmary-jm7wc
    @MirajiOmary-jm7wc 6 днів тому +3

    nimekusikiliza kwa umakini kwakwel unaongea point tupu