🔴

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 жов 2024
  • 🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE
    Mashaa Allah DR. SULE akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Airtel Money +255782466586
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/Dars...
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    UA-cam @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    UA-cam @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv

КОМЕНТАРІ • 48

  • @hasinaalrahbi6681
    @hasinaalrahbi6681 4 місяці тому +1

    Jamani mungu ana njaa anatafuta matunda hiyo kali na kuyafata kumbe hakuna matunda.Huyo ni mungu kweli

  • @AristoteAmanimila-lv3ry
    @AristoteAmanimila-lv3ry 4 місяці тому +1

    Ndacha god bless you forever, weye ni kiboko

  • @Fedrick-jb8xb
    @Fedrick-jb8xb 3 місяці тому +1

    Ndacha mungu akubariki

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 4 місяці тому +2

    Namkubali Ndacha ni kiboko ya waislamu Mungu akulinde Ndacha uendelee kutupa elimu zaidi na kuwaelimisha waislamu

    • @MjunguJames-li6tz
      @MjunguJames-li6tz 4 місяці тому +1

      Acha ujinga ww unapotea

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 4 місяці тому

      @@MjunguJames-li6tz wewe ndio mjinga unaemuamini allah jiwe la makka ndio mungu wako tena unaamini allah asiye sikia lugha zingine anaskia kiarabu uislamu umeanzishwa na warabu ni dini inayo wahusu warabu ndomana nyie wajinga wajinga wengine ili muwe waislam ni lazima msomee lugha ya kiarabu kama sio u mamuma ninini

    • @zahraabdul9652
      @zahraabdul9652 4 місяці тому +1

      Acheni ujinga mlijichanganya Isa mwenyewe ni mwislamu mkubali mkatae pamoja na mamake Hadi na kuvaa sio uchi wakienda kanisani ALLAHU AKBAR.

    • @zahraabdul9652
      @zahraabdul9652 4 місяці тому +1

      ​@@ramadhanmahongole9293kumbuka waarabu nao waenda madrasa kujifunza vile vile sisi twaenda madrasa sio sisi tuh waarabu pia lazima waende shuleni hayo yalio Kuwa kwenye kitabu kitukufu Qur'an hayafanani na lugha waarabu wanaongea ijapo Kuwa moja moja tuh sipo enda kusoma na kiujua pia wawezi soma . (Eleweni basi na Mungu awafunguwe mpate shahada inshallah 🤲) Siku ya mwisho ni siku nzito sana 😢😢😢.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 4 місяці тому

      @@zahraabdul9652we nguruwe acha ujinga uislamu umeletwa na mhammad acheni kudanganywa na kuwa mamuma nyie manguruwe wa kiarabu

  • @jasonplayz4394
    @jasonplayz4394 3 місяці тому +1

    Uyu baba wamtama amekubali kuwa Mungu atabaki kuwa mungu tu

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 4 місяці тому +1

    Jaman mbona mnahangaika sana waislam Yesu anajiita yeye mtu sababu amevaa ubinadamu

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 4 місяці тому +2

    Ee Mungu muumba mbigu na ardhi ufananishwi na ulinganishwi na yeyote wala lolote wape maarifa ndugu zetu wapate ufahamu wasije wakapigwa na butwaa kuona siku isa ( yesu mwana wa Mariam)anarudi anarejea kitu cha kwanza ataswalisha watu msikitini hamna mahali paliandikwa ataenda kanisani na kuhubiri muwe tiati kwa hilo 😅 allahu Akbar Mungu hana mtoto hana mwanamke na wala sio mwanadamu .😢

  • @Fedrick-jb8xb
    @Fedrick-jb8xb 3 місяці тому +1

    Ndacha ni mwalimu wa kimataifa

  • @CHARLESMUGENDI-vn3gh
    @CHARLESMUGENDI-vn3gh 4 місяці тому +2

    Ndacha uko sawa

  • @karanjawanyoike7188
    @karanjawanyoike7188 3 місяці тому

    Basi kama neno lilikuwa tamko la mungu lilipofanyika kuwa mwili lilikua nani

  • @eliasmajambomwinyihaji1335
    @eliasmajambomwinyihaji1335 4 місяці тому +6

    Kusema ukweli bila kuficha sikizeni tu huu mdahalo ila ki uhalisia ikiwa yesu (isa)ni mungu je musa na daudi waitwe Nani ?ikiwa yesu ni mungu aliumba vipi Dunia wakati wa kuumbwa Dunia alikua hata hajulikani,kama yesu ni mungu asingezaliwa mamake Mariam (marry) je angelikua Dunia hayo ni maswali jiulizen wacheni kujifanya ,ikiwa yesu ni mungu musa na daudi walipataje vitabu na wakati huo yesu (issa)alikua hajazaliwa ?yesu (issa) ni mtume wa 28 na dini ilishaanzaga kutangazwa kitambo enzi za adamu na Hawa .yesu (issa) Kama ni mungu aliumbaje Pepo ?alimtegeza mda Gani adamu wakati yeye hayuko Dunian ?ikiwa ibilisi (shetan /jini mkubwa )ambae alikua kabla ya yesu (issa)je yesu alimkuza au kumlea vipi kipindi icho ibilisi ni mdogo Sana na Tena yesu (issa) hajulikani ,kwel yesu ni mungu kivipi akuwe na kitabu atangaze dini ?maswali hayo jiulize kisha sitaki jibu Baki nalo rohoni mwako.ukisema yesu ni mjumbe hapo Niko pamoja na wewe

    • @zahraabdul9652
      @zahraabdul9652 4 місяці тому

      Mashallah jazakum lakheri 🤝 Hawa watu ndugu zetu wajielewi mwanzo bible yenyewe huwa zifanani wakiwa kanisa moja huyu asome mwingine asome ni very different lakini wajielewi tuwaombee Allah mwenyewe anajuwa ni kwa nini haya yote yapo .(Allahu Akbar)😢😢

    • @dennisezakiel3380
      @dennisezakiel3380 4 місяці тому

      Ukisoma lugha ya kiingereza Yesu anaitwa princes,Uungu wa Yesu kama hamna roho wa Mungu hamuweze kuelewa

    • @umdtv2749
      @umdtv2749 4 місяці тому

      @@zahraabdul9652 kasome quran 2:97

    • @umdtv2749
      @umdtv2749 4 місяці тому

      @@dennisezakiel3380 kasome quran 2:97

    • @mystfog8769
      @mystfog8769 2 місяці тому

      Ubishi ni upumbavu....sasa kama mtu anasimama upande wa kuume wa Mungu na ndo atakae kujah siku ya mwisho...kwann umwamin mwahad alie binadamu anasubir kukufuliwa pia

  • @NsubiRaphael
    @NsubiRaphael Місяць тому

    Wapinga kristo ohawawezi kumshinda kristo moyoni wanajua kuwa yesu ndiye bwana

  • @NsubiRaphael
    @NsubiRaphael Місяць тому

    Sasa nyinyi mnabishana miujiza aliyo fantastic yesu mbona ni mingi kamfufua laparotomy mbona yako mengi

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 4 місяці тому

    Eleweni kuwa kuna watu walipinga kuwa haman mungu baada ya hawa mitume woote Mungu akajidhihirisha kuwaonyesha kuwa Mungu yupo na wanastahili kujuwa hilo ujionwa yesu Mungu alitaka hao makafiri waone miujiza zake kuwa anaeza fanya lolote mtoto bila baba kulala na mama akazaliwa ndio maana mkaona isa ni yesu Asitahfirullah atusamehe Allah subhana wataala.😢😢 Eleweni basi .( Waislamu takbirii..)

    • @umdtv2749
      @umdtv2749 4 місяці тому

      kasome quran 2:97

  • @NoahMwankenja-ft4ql
    @NoahMwankenja-ft4ql 4 місяці тому +2

    Ndacha kwenye ubora wake....

  • @abdillahabdalla
    @abdillahabdalla Місяць тому

    ikiwa yesu kazaliwa na akawa mungu basi wengine wanakuja😂

  • @haussenimussa
    @haussenimussa 29 днів тому

    Sure wape v2

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 4 місяці тому +2

    Wakristo na maandiko ya kiujanja ujanja tu yani hakuna hoja yenye mashiko

    • @richardchimba3800
      @richardchimba3800 4 місяці тому

      Eti hakuna hoja yenye mashiko 😀Sule kachindwa kwa wazi kabisa

  • @andrenzaniye2858
    @andrenzaniye2858 2 місяці тому

    John 10:30.

  • @BarakaAkech-r9q
    @BarakaAkech-r9q 4 місяці тому +1

    Huyo sule ni muuni hatowi jibu sahii

  • @jacoblenginai1132
    @jacoblenginai1132 4 місяці тому

    Walimu wa mudahalo sauti yao ikonchini sana

  • @Sharrif456
    @Sharrif456 4 місяці тому +1

    Uyu pastor anawapoteza wengi sana alafu mi hushangaaa kwani kua mkristo ni kupungukiwa kwa akili??? Dacha maneno meeengi jibu hoja acha porojo

    • @richardchimba3800
      @richardchimba3800 4 місяці тому

      Sule ameshindwa na hakuna aliyevunja hoja za Ndacha

    • @umdtv2749
      @umdtv2749 4 місяці тому

      Kasome quran 2:97

  • @sultanalnaamani2156
    @sultanalnaamani2156 2 місяці тому

    Acheni kubabaisha jibuni kikweli

  • @ShabaniMtonga
    @ShabaniMtonga 4 місяці тому +1

    Nadacha kachukue udhu

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 4 місяці тому +2

    WAISLAMU KUANZIA SASA MMEELIMIKA MNAIAMINI BIBLIA

  • @Sharrif456
    @Sharrif456 4 місяці тому +1

    Sule ndo kiboko ya dacha 😂😂😂😂 amebaki ku haha hana hoja kabisaaaaa

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 4 місяці тому

      Sule hawezi mdahalo akipanda kwenye stage anaanza kutoa mawaidha kama yuko msikitini badala ya kujibu hoja kwa maandiko analeta vihoja

  • @ZainabuMsigwa
    @ZainabuMsigwa 4 місяці тому

    Acha kupotesa watu. hujui mandiko

  • @jeanninemunezero6469
    @jeanninemunezero6469 4 місяці тому

    Kama ndacha anapoteza watu waislam warisha potea zamani nikilioyo