#LIVE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 57

  • @KangazohMaster
    @KangazohMaster 3 місяці тому +2

    Ndacha hongera sana unamjibu sawasawa na anavyouliza kabisa tatizo n sule anarudia swali lilojibiwa

  • @weezybwoy-rb5xl
    @weezybwoy-rb5xl 3 місяці тому +4

    Mungu akubaliki Dr Sule

  • @ZayyanaBamuni
    @ZayyanaBamuni 3 місяці тому +5

    Mashallah Dr.Sule unawnyoosha kwa hoja sio ushabiki km walivo wao

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 3 місяці тому +2

      Kwahiyo na ww ni mfuga majini kama yeye?

  • @AnithaMuvurwaneza
    @AnithaMuvurwaneza 3 місяці тому

    Doc sule Kubali Kristo unajuwa ukweli achana na dini Ya uwongo Bwana Yesu Anakuitaji karibu sana

  • @hurrychris2647
    @hurrychris2647 3 місяці тому

    Ndacha is blessed ❤ may God give you more strength

  • @user-ek7bx6sk6f
    @user-ek7bx6sk6f 3 місяці тому

    Umeeleweka sulle kwenye kbs kwenye maandiko Alhamdulillah

  • @MchengaMwahui
    @MchengaMwahui 3 місяці тому +3

    Dr mwambie tu ndacha asilimu Anache kuhangaika na ukweli uko wazi.

  • @nuhukenny7183
    @nuhukenny7183 3 місяці тому

    Dr Sule, asanti sana. Kumfundisha Ndaca

  • @kamalmukaddam1521
    @kamalmukaddam1521 3 місяці тому +1

    Mashaalah

  • @BahoAsuman
    @BahoAsuman 3 місяці тому +2

    Ndacha ubarikiwe unabishana najini

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 3 місяці тому +3

    uyo mwalimu ndacha mbishi uyo..

    • @Sharrif456
      @Sharrif456 3 місяці тому +1

      Ka ahidiwa pesa na prado ndo maana ana kufuru hadharani

  • @DishaniDisha-zm2gm
    @DishaniDisha-zm2gm 3 місяці тому +1

    Kazinzuri sana

  • @FatimeOmari
    @FatimeOmari 3 місяці тому +1

    Ndacha zake fujo tuu hanyooshi majibu km Sule

  • @martinjoseph-fc7ze
    @martinjoseph-fc7ze 3 місяці тому

    Ndacha katumwa na wazungu kupotosha jamii

  • @nomar3708
    @nomar3708 3 місяці тому +1

    Ndacha upuuzi mtupu. Anajua vizuri Biblia imebadilishwa na kuna contradictions humo lakini anashikilia tu

  • @ShenyMosses
    @ShenyMosses 3 місяці тому +1

    Hii inaitwa midahalo ya kielimu ya Sule ni dokta, mwana history na pia ni mwana sayansi

  • @MpangileMzee
    @MpangileMzee 3 місяці тому +2

    Dr sule umemnyoosha ndacha

  • @FrancoisNyandwi1
    @FrancoisNyandwi1 3 місяці тому

    Ndacha anaua kwakweli

  • @everlynewanyama
    @everlynewanyama 4 години тому

    Hawa waislamu jamani wanakera kweli 😂😂😂😂

  • @HERIURIO
    @HERIURIO 3 місяці тому +1

    Haka kajamaa kalichovaa suti nyeusi hakana hoja ujanja ujanja tu hana aya analeta ujanja unambiwa toa aya wap yesu alikufa huna aya .mohamad rasul

    • @emanuelgidienju8974
      @emanuelgidienju8974 3 місяці тому

      Huna akili kumbe.Hujasikia mpaka saiv 😂😂😂😂😂

  • @NeemaJoel-r6r
    @NeemaJoel-r6r 3 місяці тому +1

    Shida hunaga hoja ukizidiwa unaanza kucheka

  • @jpmanotaofficial639
    @jpmanotaofficial639 3 місяці тому +1

    Sule mjuwaji sana na hajuwi kitu anazani ni majini😂

    • @rajuxcharity
      @rajuxcharity 3 місяці тому

      Acha ushabik mandazi fata mandiko

  • @markodaniel2662
    @markodaniel2662 3 місяці тому +1

    Sulle wewe huna elimu kabisa, ila umefaulu mitiani.

  • @sheyosquad5755
    @sheyosquad5755 3 місяці тому

    Waislam wanafikiria yesu ni binadamu..hapanaa yesu sio binadamu

    • @MrVicRamSeen
      @MrVicRamSeen 3 місяці тому

      Wasema Yesu C Binaadam Kwan Yesu n Kondoo Ama ?

    • @sheyosquad5755
      @sheyosquad5755 3 місяці тому

      @@MrVicRamSeen ni mwana wa mungu

    • @MrVicRamSeen
      @MrVicRamSeen 3 місяці тому

      Yesu C mwana wa Mungu wala c Mungu yesu n mtoto wa Maryam

    • @sheyosquad5755
      @sheyosquad5755 3 місяці тому

      @@MrVicRamSeen kwa mujibu wa quran yako..lakini biblia inasema yesu ni mwana wa mungu

    • @MrVicRamSeen
      @MrVicRamSeen 3 місяці тому

      Hiyo ni imani potof Wanapewa Wasiojielewa ebu fikiria Ivikwel Mungu anaweza Kumuingilia kimapenzi mjawake amakatia mimba ?

  • @FatimeOmari
    @FatimeOmari 3 місяці тому

    Ndacha hatoi majibu sahihi,ila Sule ananyoosha na hatoki kwenye mada

  • @MichaelMurithi-sz1kd
    @MichaelMurithi-sz1kd 3 місяці тому

    Ndacha

  • @KangazohMaster
    @KangazohMaster 3 місяці тому

    Jibu hoja uliyoipewa Acha kutumia mda mwingi sule

  • @yohana1242
    @yohana1242 3 місяці тому

    Kichachosikitisha wakristo wanashabikia kma mpira wa yanga na simba ata wakifungwa kilasiku anasema mm sihami nitabaki umoumo

  • @ShenyMosses
    @ShenyMosses 3 місяці тому

    Ndacha anaishia kulalamika tu ata siku ya kiama watalalamika mpaka watakapoingia MOTONI

    • @emanuelgidienju8974
      @emanuelgidienju8974 3 місяці тому

      Labda Kama kiama anarudi Mohamed Ila Kama ni Yesu wewe ndo utalalamika 😂😂😂

  • @AdemAli-d3y
    @AdemAli-d3y 3 місяці тому

    Paka na fanya to😂😂😂😂

  • @neilmutunga8857
    @neilmutunga8857 3 місяці тому

    Sule hauna lolote

  • @NeemaJoel-r6r
    @NeemaJoel-r6r 3 місяці тому

    Sasa atajibu maswali wakati hayajui mtu huyo huyo atibu watu huyo huyo ajue biblia

    • @rajuxcharity
      @rajuxcharity 3 місяці тому

      Hadi wewe baba yako kakuza unekua unajua kafanya kazi ngapi? Kwani kua na ujuzi zaidi nikosa?

    • @rajuxcharity
      @rajuxcharity 3 місяці тому

      Hata yesu alikua fundi selemani na katangaza dini!

  • @georgengoma7226
    @georgengoma7226 3 місяці тому +1

    Hii kazi kikristo tunaita kueneza injili duniani na ni kazi tuliotumwa wakristo wote duniani,yaani kwa maana nyingine kwetu sisi ni kazi maasusi kabisa!

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 3 місяці тому

    Habari njema itahubiliwa mpaka miisho ya nchi kisha yule Mwana wa Adamu atakuja tokea mawinguni akiwa na malaika na wale wazee 24 kwa utukufu mkuu

  • @AndryMfuko
    @AndryMfuko 3 місяці тому

    HAYA MAMBO YA KIZAMAN YASHAPITWA NA WAKATI . NI BORA UNGEKAA NA KUKEMEA MAMBO MACHAFU YAFANYIKAYO ULIMWENGU HUU RIBA KAMALI UCHAWI MAJINI

    • @Dominant97
      @Dominant97 3 місяці тому +1

      Elimu haina uzamani ndugu,acha tunaofaidika kwa kujifunza tuendeleee kujifunza mambo mazuri ya Mungu

  • @KangazohMaster
    @KangazohMaster 3 місяці тому +1

    Ndacha hongera sana unamjibu sawasawa na anavyouliza kabisa tatizo n sule anarudia swali lilojibiwa

  • @KangazohMaster
    @KangazohMaster 3 місяці тому

    Ndacha hongera sana unamjibu sawasawa na anavyouliza kabisa tatizo n sule anarudia swali lilojibiwa