Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Ndacha hongera sana unamjibu sawasawa na anavyouliza kabisa tatizo n sule anarudia swali lilojibiwa
Mungu akubaliki Dr Sule
Mashallah Dr.Sule unawnyoosha kwa hoja sio ushabiki km walivo wao
Kwahiyo na ww ni mfuga majini kama yeye?
Doc sule Kubali Kristo unajuwa ukweli achana na dini Ya uwongo Bwana Yesu Anakuitaji karibu sana
Ndacha is blessed ❤ may God give you more strength
Umeeleweka sulle kwenye kbs kwenye maandiko Alhamdulillah
Dr mwambie tu ndacha asilimu Anache kuhangaika na ukweli uko wazi.
Dr Sule, asanti sana. Kumfundisha Ndaca
Amefundisha Nini acha ushabiki huyu kalenewa😂😂
Mashaalah
Ndacha ubarikiwe unabishana najini
uyo mwalimu ndacha mbishi uyo..
Ka ahidiwa pesa na prado ndo maana ana kufuru hadharani
Kazinzuri sana
Ndacha zake fujo tuu hanyooshi majibu km Sule
Ndacha katumwa na wazungu kupotosha jamii
Ndacha upuuzi mtupu. Anajua vizuri Biblia imebadilishwa na kuna contradictions humo lakini anashikilia tu
Hii inaitwa midahalo ya kielimu ya Sule ni dokta, mwana history na pia ni mwana sayansi
Dr sule umemnyoosha ndacha
Ndacha anaua kwakweli
Hawa waislamu jamani wanakera kweli 😂😂😂😂
Haka kajamaa kalichovaa suti nyeusi hakana hoja ujanja ujanja tu hana aya analeta ujanja unambiwa toa aya wap yesu alikufa huna aya .mohamad rasul
Huna akili kumbe.Hujasikia mpaka saiv 😂😂😂😂😂
Shida hunaga hoja ukizidiwa unaanza kucheka
Sule mjuwaji sana na hajuwi kitu anazani ni majini😂
Acha ushabik mandazi fata mandiko
Sulle wewe huna elimu kabisa, ila umefaulu mitiani.
Wewe sule anaelimu sanatu
Waislam wanafikiria yesu ni binadamu..hapanaa yesu sio binadamu
Wasema Yesu C Binaadam Kwan Yesu n Kondoo Ama ?
@@MrVicRamSeen ni mwana wa mungu
Yesu C mwana wa Mungu wala c Mungu yesu n mtoto wa Maryam
@@MrVicRamSeen kwa mujibu wa quran yako..lakini biblia inasema yesu ni mwana wa mungu
Hiyo ni imani potof Wanapewa Wasiojielewa ebu fikiria Ivikwel Mungu anaweza Kumuingilia kimapenzi mjawake amakatia mimba ?
Ndacha hatoi majibu sahihi,ila Sule ananyoosha na hatoki kwenye mada
Ndacha
Jibu hoja uliyoipewa Acha kutumia mda mwingi sule
Kichachosikitisha wakristo wanashabikia kma mpira wa yanga na simba ata wakifungwa kilasiku anasema mm sihami nitabaki umoumo
Ndacha anaishia kulalamika tu ata siku ya kiama watalalamika mpaka watakapoingia MOTONI
Labda Kama kiama anarudi Mohamed Ila Kama ni Yesu wewe ndo utalalamika 😂😂😂
Paka na fanya to😂😂😂😂
Sule hauna lolote
Sasa atajibu maswali wakati hayajui mtu huyo huyo atibu watu huyo huyo ajue biblia
Hadi wewe baba yako kakuza unekua unajua kafanya kazi ngapi? Kwani kua na ujuzi zaidi nikosa?
Hata yesu alikua fundi selemani na katangaza dini!
Hii kazi kikristo tunaita kueneza injili duniani na ni kazi tuliotumwa wakristo wote duniani,yaani kwa maana nyingine kwetu sisi ni kazi maasusi kabisa!
Habari njema itahubiliwa mpaka miisho ya nchi kisha yule Mwana wa Adamu atakuja tokea mawinguni akiwa na malaika na wale wazee 24 kwa utukufu mkuu
HAYA MAMBO YA KIZAMAN YASHAPITWA NA WAKATI . NI BORA UNGEKAA NA KUKEMEA MAMBO MACHAFU YAFANYIKAYO ULIMWENGU HUU RIBA KAMALI UCHAWI MAJINI
Elimu haina uzamani ndugu,acha tunaofaidika kwa kujifunza tuendeleee kujifunza mambo mazuri ya Mungu
Ndacha hongera sana unamjibu sawasawa na anavyouliza kabisa tatizo n sule anarudia swali lilojibiwa
Mungu akubaliki Dr Sule
Mashallah Dr.Sule unawnyoosha kwa hoja sio ushabiki km walivo wao
Kwahiyo na ww ni mfuga majini kama yeye?
Doc sule Kubali Kristo unajuwa ukweli achana na dini Ya uwongo Bwana Yesu Anakuitaji karibu sana
Ndacha is blessed ❤ may God give you more strength
Umeeleweka sulle kwenye kbs kwenye maandiko Alhamdulillah
Dr mwambie tu ndacha asilimu Anache kuhangaika na ukweli uko wazi.
Dr Sule, asanti sana. Kumfundisha Ndaca
Amefundisha Nini acha ushabiki huyu kalenewa😂😂
Mashaalah
Ndacha ubarikiwe unabishana najini
uyo mwalimu ndacha mbishi uyo..
Ka ahidiwa pesa na prado ndo maana ana kufuru hadharani
Kazinzuri sana
Ndacha zake fujo tuu hanyooshi majibu km Sule
Ndacha katumwa na wazungu kupotosha jamii
Ndacha upuuzi mtupu. Anajua vizuri Biblia imebadilishwa na kuna contradictions humo lakini anashikilia tu
Hii inaitwa midahalo ya kielimu ya Sule ni dokta, mwana history na pia ni mwana sayansi
Dr sule umemnyoosha ndacha
Ndacha anaua kwakweli
Hawa waislamu jamani wanakera kweli 😂😂😂😂
Haka kajamaa kalichovaa suti nyeusi hakana hoja ujanja ujanja tu hana aya analeta ujanja unambiwa toa aya wap yesu alikufa huna aya .mohamad rasul
Huna akili kumbe.Hujasikia mpaka saiv 😂😂😂😂😂
Shida hunaga hoja ukizidiwa unaanza kucheka
Sule mjuwaji sana na hajuwi kitu anazani ni majini😂
Acha ushabik mandazi fata mandiko
Sulle wewe huna elimu kabisa, ila umefaulu mitiani.
Wewe sule anaelimu sanatu
Waislam wanafikiria yesu ni binadamu..hapanaa yesu sio binadamu
Wasema Yesu C Binaadam Kwan Yesu n Kondoo Ama ?
@@MrVicRamSeen ni mwana wa mungu
Yesu C mwana wa Mungu wala c Mungu yesu n mtoto wa Maryam
@@MrVicRamSeen kwa mujibu wa quran yako..lakini biblia inasema yesu ni mwana wa mungu
Hiyo ni imani potof Wanapewa Wasiojielewa ebu fikiria Ivikwel Mungu anaweza Kumuingilia kimapenzi mjawake amakatia mimba ?
Ndacha hatoi majibu sahihi,ila Sule ananyoosha na hatoki kwenye mada
Ndacha
Jibu hoja uliyoipewa Acha kutumia mda mwingi sule
Kichachosikitisha wakristo wanashabikia kma mpira wa yanga na simba ata wakifungwa kilasiku anasema mm sihami nitabaki umoumo
Ndacha anaishia kulalamika tu ata siku ya kiama watalalamika mpaka watakapoingia MOTONI
Labda Kama kiama anarudi Mohamed Ila Kama ni Yesu wewe ndo utalalamika 😂😂😂
Paka na fanya to😂😂😂😂
Sule hauna lolote
Sasa atajibu maswali wakati hayajui mtu huyo huyo atibu watu huyo huyo ajue biblia
Hadi wewe baba yako kakuza unekua unajua kafanya kazi ngapi? Kwani kua na ujuzi zaidi nikosa?
Hata yesu alikua fundi selemani na katangaza dini!
Hii kazi kikristo tunaita kueneza injili duniani na ni kazi tuliotumwa wakristo wote duniani,yaani kwa maana nyingine kwetu sisi ni kazi maasusi kabisa!
Habari njema itahubiliwa mpaka miisho ya nchi kisha yule Mwana wa Adamu atakuja tokea mawinguni akiwa na malaika na wale wazee 24 kwa utukufu mkuu
HAYA MAMBO YA KIZAMAN YASHAPITWA NA WAKATI . NI BORA UNGEKAA NA KUKEMEA MAMBO MACHAFU YAFANYIKAYO ULIMWENGU HUU RIBA KAMALI UCHAWI MAJINI
Elimu haina uzamani ndugu,acha tunaofaidika kwa kujifunza tuendeleee kujifunza mambo mazuri ya Mungu
Ndacha hongera sana unamjibu sawasawa na anavyouliza kabisa tatizo n sule anarudia swali lilojibiwa
Ndacha hongera sana unamjibu sawasawa na anavyouliza kabisa tatizo n sule anarudia swali lilojibiwa