@@silvesterojanji2007Uislam ndio dini ya haki inayofuata maamrisho ya Mungu ajabu ww hujawahi tawadha tangu uzaliwe Wala kusujudia mungu Sababu hamfuati maneno ya YESU nyinyi ni wanafiki.. MATHAYO 15:7 na YOHANA 13:8 hvi haya maneno wayajua ww je nani hufuata...msujudie bwana mungu wako umuabudu yeye peke yake lkn wakristo huimba eti YESU ndiye anastahili kuabudiwa huo ni ukafiri.. Mungu anasema yeye nu Bwana mwenye wivu...na kila kitu ni chake yeye LUKA 4:8.Someni wacheni ujinga viti vimejaa makanisani wakati YESU alivitupa na akasema mm nyumba yangu itaitwa nyumba ya ibada lkn nyinyi mmeifanya kuwa ya wanyang'anyi... mpaka leo viti bado viko Kanisani kishe useme wafuata YESU bure kabisa enda msikitini kama utaona waislam hukaa kwenye viti... YESU alikua muislam.
Nyinyi ndugu zangu katika imani msiwajibu hawa viumbe bado sana kielimu yesu ni muislam wao sijui wanamfuata nani ikiwa yesu alikuwa anatawadha na ana vua viatu wakati wa kufanya ibada wao wana vaa na wanaingia na viatu
sio uislamu upuuzi ww ndo mpuuzi upo kwenye usingizi yesu katumwa kwa wana wa izlaeli makabima 12 ndani ya hayo makabila kabila lako nipo zinduka we huyo ndacha mjanja wa maneno
Jamaa kaleta unafiki na akaitwa mnafiki kisha wakabisha.. Mwishoe mnafiki kadhibitisha unafiki wake peupe.. Ndacha mkenya mwenzagu wacha kujiaibisha ndiyo maana Mwenye Enzi Mungu kasema ulimi utakiri na ulimi wako wakiri.. Soma ilivyo andikwa na kisha soma umalizie sentensi au aya hadi mwisho... Ndiyo maana wakristo wazidi kuwa Waislamu wakijisomea wenyewe.. Islam remains the Number one growing Religion in the World kama wabisha fanya Google ikusaidie
No ndacha nows the truth Jesus is truth way and life,no one can go to the father without Jesus,this words u can't find to muhamadi,ndacha does not hate Islam,or Muslim no,I thank God because ndacha nows well qurani and the bible,and the bible is greate than quran even u ukno that,be blest my brother come to Jesus he will save u,don't die before u except Jesus now u will be very happy during judgement day
@@JohnOuya-w7j to Quick to judge... Read the history of Christianity and how it come to be from well documented historical documents Do the same with Isla.. since following something blindly and you can do your own Research is Not that clever
Huyu ndacha ni tahira ,na ana jitahid kumpotowa dini ya kiislam,lakini huwezi dini ya kiislam ni ya haki na hawezi, kama una lipwa katabiri kani sani,maana una wapa wakiristo kuwa na uhakika wa dini ya kiislam,ni ya uhakika hata muka fanya nani 😂😂😂😂😂😂😂
Mashekhe wamebabaika jinsi yesu anavyo inuliwa,ujanja wa waislamu na kukatakata maandiko leo inafichuliwa kumekucha yesu ndie njia sahihi ya kwenda kwa mungu
Wajua ndacha mi uwa nakuona unapoteza muda..ssa ukisema wakufuatwa ni yesu cio muhammad..swali langu ni je! Huyu yesu mwamfuata kwa ibada zake na kila kitu ama munamfuata kwa kumuimbia tu..inafaa ndacha ukimfuata yesu afanye ibada kama alivyo fanya yesu uwe muislamu kama yesu
@@zuenahassan8882 wewe mnansingizia YESU HAJAWAHI KUWA MUISLSM. NI MUYAHUDI .YOHANA 4:18- 21 ANASEMA WOKOVU WATOKA KWA WAYAHUDI.haya najua hiyo hutaipenda. Uislamu imeanza MWAKA 622 Karne ya Saba. YESU kesha paaa.....Hata waarabu wa kale walikuwa wanaenda kuabudu...uyahudini. matendo 2: 5-10. Na waarabu walikutanika siku ya pentecost...
@@charokazungu1655 wakristo mkifa ndio mtajionea upotovu wenu saii mmekuwa kama vipifu ssa mkisema yesu ndio ananjia ya uzima kwaio c mungu mwenye njia ya uzima yesu ndio kila kitu kwenu cndio
Shallom, shallom kwa Kila Dini na kabila zote; Katika Ahadi zangu na kazi zote kwenye utawala wa Imani, Sioni sababu ya kulumbana; Mungu Alijitukuza kabla ya" - na bahada ya", Leo - Jana - dahima, *Soma 1) mwanzo 1-1-2.....", 2)Wafilipi 4-9; Ayubu 5-6. Bila Dini au nabii, Mungu Alikuwepo.
Mungu Aku Hifadi Mikononi Mwake Salama Hadui Ajapo Kutafuta Asiku Pate Ndacha Wewe Ni Chuvi Tena Ni Barua Ya Waisilam. Waisilam Wana Fanya Comedy Ndio Maaana Hawasikilizi Wana Kufanyia Makelele Na Kuku Sema Vibaya Badala Ya Kufata Hoja.
Naomba Leo tena nijaribu kurudia maneno ya hizo haya kwa ufupi tuzitafakari pamoja kama zinatusaidia kuamini kweli qur'an ni kitabu cha Mungu. Haya ya 97 inasema hivi; "sema, aliyekuwa ni adui wa Gibril basi huyo ndiye aliyeitelemsha qur'an moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu inayobainisha uongofu kwa wenye kumcha Mungu. 98 inendelea kusema; "adui wa Gibril, na adui wa Michael na malaika wote, na mwenyezi Mungu, na hakika Mwenyezi Mungu ni adui wa makafiri. Sasa waislam tafadhali achana na matusi njooni muzifafanue hizi haya.
Hujaelew aya inavo manish ndo maan unapat tabu aya inamtak Muhammad aseme kwa alie kuwa adui wa gbril ambaye anamfany gbril adui yak bc ajue huyo gbril ndo alie iteremsha qur an sio adui wa gbril ndo kaiteremsh qur an na anaye jifanya adui wa gbril na adui wa mitume na adui wa mikail na adui wa Mwenyezi Mungu bc mwenyezmung niadui wa makafir kwa maan ukijifany adui wa gbril na adui wa mikail na mitume bc mwenyezmung pia ww ni adui yak
U have to knows that. the Quran was revealed as spoken word, from All-might God, through Hollyangel Gabriel to prophet Muhammad Peace up on him,, then Mohammed he say to his peoples as command from his Lord,
Kinyogoli, lssa atakapokuja atakuwa kama kadhi ila Yesu atakapokuja atauhukumu ulimwengu kwa uadilifu. Sasa Fanya utafiti ili ujue je ni kweli Yesu ndiye Issa.
Ivi Wakristo ambao kabila zao ni Wanyamwezi,Wajaluo,Wakikuyu,Wazaramo wakisoma andiko Yesu katumwa kwa kabila 12 za Israeli peke yao,hua wanajiskiaje,hawana wasi wasi? Yani bibilia kila ikikaa inataja kabila za Israeli
Yesu ndie njia iliyo sahihi,muhamadi jia yake sio sahihi ni mpinga kristo nimuongo anae acha kristo na kuingia Islam hajielewi amechanganyikiwa nisawa na mujinga,
Ndhaca anafundisha ukweli, tatizo la wa islamu, wa nanganganania wislamu, kwa kupenda mafundisho ya huo wislamu wa kuakubalia fulaha ya kuoa wake wengi, hiyo ndio sababu yagupigania wislamu, capili ni kusaidizana na mashetani kwakipato ca maisha ya duniani ni hiyo tu yani ukweli hawana, uongo tu na kutumia ujanja wa kujibu wasico uulizwa , kwasababu wanajua aya nyingi za bibliya wa nazisoma kwa kuzitumia vibaya ili wapoteze watu, Lakini ukiwa makini bila ushabiki unaona uongo wawo.
Ustaadhi bakonzi unayo maswali mazuri saana, ambayo yakijibiwa na pastor Ndacha huwa majibu yake yanaufukia uislamu kisawasawa. Ni majibu sahihi kabisa yanayosomwa kutoka katika biblia na ikibidi katika korani hongera ustaadhi bakonzi. Shida ninayoiona kwa wauliza maswali ni kwamba pale wanapojibiwa huwa hawatulii kuyasikiliza majibu na ndio sababu wakirudi jukwaani utawasikia wanayarudia maswali yaleyale ambayo tayari yamesha jibiwa. Wanafanana sana na wale wanafunzi wa shule ya msingi madarasa ya chini tena ni yale yenye wanafunzi 150 mpaka 200
Kichwa Cha UA-cam hiii kina mushkeli. Ndacha amejibu swali kikamilifu...ila... Waislamu hawajakubaliana kwani wanauliza maswali ambayo tayari majibu wameyaoanga kulingana na KITABU chao wanachoamini kuwa ndiyo Cha kweli. Hivyo kama unalazimisha ajibu ulivyopanga...muulizaji. Na hiyo siyo NJIA Bora ya kujifunza.,.ila kutakuwa ni ubishi tu. YESU katika MATHAYO 28:18--19. Ni Kwa ulimwengu wote....
Issa bi marimau kwenye sahii bukhar akija atakuwa na cheo cha unabii na sio kadhi sjui acheni uwongo mashekh na msome vitabu,alafu kingine issa bi mariamu awezi kuja maana ashafariki yule issa bi mariamu wa israel awezi kuja yule kafa kwa mwijibu wa qur ani atayekuja atatokana na umati muhammad
Ndacha hawezi kushindwa kabisa.eaislam uongo umewakolea sasa munatapatapa. MANENO ya mtumishi Ndacha ni kiboko yanawavhoma kweli kweli. Hata kujipinga ni bure ndani mwenu munajua ukweli ni kupitia kwa aliye Kweli na Uzima..YESU KRISTO.
Yaani kwa Yesu Kuna majembe TU Waislam wote mnajua kilichotangulia kati ya Biblia na Koloani Biblia imetangulia Karne kadhaa baadaye ndipo Koloani ikapatikana ndyo maana vilivyovingi vya kwenye Koloani wamevikopi kwenye Biblia.Ndiyo maana Yesu mwenyewe kwenye Koloani ametajwa mara nyingi kuliko Mhamadi wakati kwenye Koloani tulitegemea habari ya mjini awe Mhamadi lkn siyo jamani waislam mbona mnapotea kilaisi hivyo.
Kinyogoli ww unadaganya waislamu , shetani nimufuasi wawaislamu vipi wakati yeye Muhammad alimusilimisha akawa mwislamu? Mmemukana ndungu yenu shetani? Mkimkana mumemkana hata utume wa mtume wenu Muhammad . Wawislamu hamna kitu cakusema mbele ya wakristo wakati hamja coma moto vitabu vyenu. Vitabu vyenu, ni ushetani mutupu.
Ndacha unakoti maandiko ambayo unafahamu fika kuwa si ya biblia halisi Bali ni jitihada ya waandishi.Hayo c maneno ya Mungu Wala maandishi ya asili asili hayajulikani kabisa mbona mda wote mnatumia tafsiri tu Tena iliyotokana na lugha ya kiingereza Wala c ya kiharamaiki lugha halisi iliyofundishia bwana Yesu
Sasa tuna compared aje mtu amekufa Ako kaburini na mweye ai Ako kwa mungu mpaka Leo Tena anakuja ,Mohamed ni marehemu unalingisha na yesu imagine Ako hai mpaka saa ii
Ndacha mbali sana namsomaji wako yaani kukubali ukweli nivigumu pengineko ulikuw umejalibu kuwambia hao wa islam wakuje kwa Yesu bado mda upo wasione haya
Mimi nilikua mwislam lakini kwa Tabia za Mohamad kuoa watoto wadogo nakuchinja watu wasio kubali uislam pamoja na Majini niliamua kuokoka mpaka leo siitwi mussa naitwa Daniel
Ndacha kawavuluga sana mashekhe wakaanza kupiga kerere bila kuheshimu utaratibu wa mdahalo. Aisee kuliko kufuga majini nibora niende baa nikalewe kuliko kufuata Mafundisho ya uganga wa kienyeji nakumfuata Mtume ambaye Anasubiri Hukumu.
Tunajua Yesu alifanywa Lana nahio ni biblia inasema ivyo sasa kufanywa siokuwa Yesu ni lana biblia twaijua na lugha ya Kiswahili twaijua Ndacha anawafundisha mpaka kiswahili
Nilikuwa mkristo leo ndio nimeamin sikufanya kosa kutoka huko,Ahsant Mungu kunileta katika Uisilam 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Yaani umeruka mkojo ukaingia kwenye mavi so yesu atakuukumu saidi mohammed.
Mashaallah mungu akuongoze kw sababu huyo ndacha anaruka anachoulizwa anasema vingine
Honger Hussein mashaallah
@@silvesterojanji2007Uislam ndio dini ya haki inayofuata maamrisho ya Mungu ajabu ww hujawahi tawadha tangu uzaliwe Wala kusujudia mungu Sababu hamfuati maneno ya YESU nyinyi ni wanafiki.. MATHAYO 15:7 na YOHANA 13:8 hvi haya maneno wayajua ww je nani hufuata...msujudie bwana mungu wako umuabudu yeye peke yake lkn wakristo huimba eti YESU ndiye anastahili kuabudiwa huo ni ukafiri.. Mungu anasema yeye nu Bwana mwenye wivu...na kila kitu ni chake yeye LUKA 4:8.Someni wacheni ujinga viti vimejaa makanisani wakati YESU alivitupa na akasema mm nyumba yangu itaitwa nyumba ya ibada lkn nyinyi mmeifanya kuwa ya wanyang'anyi... mpaka leo viti bado viko Kanisani kishe useme wafuata YESU bure kabisa enda msikitini kama utaona waislam hukaa kwenye viti... YESU alikua muislam.
Umefuata njia sahihi na hutojutia maisha yako yote
Ndachaa Hana hojaa atumia ujajaa tu ashaiona kweli atasilimu kwauwezoo wakea mungu
Ww mwenyewe muhamad huwez elewa
Acha uvivu wakusikiliza
Sikiliza vizuri acha kiburi
Dini ya haki mbele ya m/mungu ni uislamu
Dini ya shetani mbere ya mwenyezi Mungu ni wislamu, inampinga kristo.
Haya ni maneno ya maiti Muhammad,sio maneno ya mungu
Namshukur allahh kuzaliwa muisilam allhamndulillahh
😂😂😂😂
Masha allah kua kutoka ukristo kuongia wislamu
Nimechagua njia sahihi saana alhamdullah
Ndacha nakihutumia sana Allah akuongoze na wafuasi wako uache kuwadanganya yesu aleta uzima hiyo ni shiriki kubwa naniwacha Mungu matusi yanini hekima
فَهَلْ يَنتَظِرُونَ إِلَّا مِثْلَ أَيَّامِ ٱلَّذِينَ خَلَوْا۟ مِن قَبْلِهِمْ ۚ قُلْ فَٱنتَظِرُوٓا۟ إِنِّى مَعَكُم مِّنَ ٱلْمُنتَظِرِينَ ١٠٢
@@hassanmuktaar1198 siku HIZI kiarabu siyo Dili... kiswahili ni lulu njema.usitumie lugha isiyo fahamiwa na wengi ni uoga wa kizamani.
@@hassanmuktaar1198 waarabu walitaka kueneza kiarabu Kwa mbeleko ya dini....kwani Mungu akihubiriwa Kwa kiswahili hataeleweka????
Uyu ndacha aereweki mala yesu mungu mala mtoto uyu kwar mfata mkate
❤ndacha shikamoo ukweli umenibariki ukristo stok kabisa yaan uislamu niupuzi kweli
Hujaelewa ww2
@delickmarco... umeamua ni matusi sio.. ?
Nyinyi ndugu zangu katika imani msiwajibu hawa viumbe bado sana kielimu yesu ni muislam wao sijui wanamfuata nani ikiwa yesu alikuwa anatawadha na ana vua viatu wakati wa kufanya ibada wao wana vaa na wanaingia na viatu
sio uislamu upuuzi ww ndo mpuuzi upo kwenye usingizi yesu katumwa kwa wana wa izlaeli makabima 12 ndani ya hayo makabila kabila lako nipo zinduka we huyo ndacha mjanja wa maneno
Jamaa kaleta unafiki na akaitwa mnafiki kisha wakabisha.. Mwishoe mnafiki kadhibitisha unafiki wake peupe.. Ndacha mkenya mwenzagu wacha kujiaibisha ndiyo maana Mwenye Enzi Mungu kasema ulimi utakiri na ulimi wako wakiri.. Soma ilivyo andikwa na kisha soma umalizie sentensi au aya hadi mwisho... Ndiyo maana wakristo wazidi kuwa Waislamu wakijisomea wenyewe.. Islam remains the Number one growing Religion in the World kama wabisha fanya Google ikusaidie
Ndacha mmoja ni sawa na waislamu 25
umelogwa ww
Mungu awaguze wasilam watafakali ukuu wa mungu na yesu wabatizwe Ili wapate uzima wa milele
Uzima upi hakuna mkisto ambae atakufa ndio apate uzima wa milele
Wakristo jitambuen na muache kuendeshwa na mtu na kuabudu mtu
pole sana kwa kuto ona ukweli upo wapi
Mungu azindi kukupea nguvu mwalimu
Ndacha mwalimu
mwalimu wa bipofu wa kufikili
Ukiwa kwa yesu uko salama
Ngoja ufe ndo utajua kua upo salama au vipi
Ndacha ulaniwe na Mungu kwa hicho kiburi cha kutukana mtume Muhammad s.AW.
Wewe nyamba
shee tumsamee bure hajuwi asemalo ALLAH bado hajampa taufiki kk
It' seems that Ndacha u got self hates against Islam and Muslims,,
No ndacha nows the truth Jesus is truth way and life,no one can go to the father without Jesus,this words u can't find to muhamadi,ndacha does not hate Islam,or Muslim no,I thank God because ndacha nows well qurani and the bible,and the bible is greate than quran even u ukno that,be blest my brother come to Jesus he will save u,don't die before u except Jesus now u will be very happy during judgement day
@@JohnOuya-w7j to Quick to judge... Read the history of Christianity and how it come to be from well documented historical documents Do the same with Isla.. since following something blindly and you can do your own Research is Not that clever
@@JohnOuya-w7j u have to knows that Mr Ndacha he doesn't knows Qur'an he knows translate,to knows Qur'an u need to go Madrasa or Muslims school,,
Ndacha Bwana Yesu akibalik
Muhammad ni mganga wa kienyeji
Alimtibu babaako
Huyu ndacha ni tahira ,na ana jitahid kumpotowa dini ya kiislam,lakini huwezi dini ya kiislam ni ya haki na hawezi, kama una lipwa katabiri kani sani,maana una wapa wakiristo kuwa na uhakika wa dini ya kiislam,ni ya uhakika hata muka fanya nani 😂😂😂😂😂😂😂
@@sheikhaswalehsalim3392 amewakamata pabaya safari hii....mlimwita wenyewe. Hamkujua...?? Na bado!!!!
Uislam sio dini kabisaa
Dini kiislamu ni dini ya Majini mtu mwenye akili huwezi kuwa Muislam
@@erickmsigala138wewe kama una akili basi tuambie Dini ni nini na Jini ni nini ?
Ndacha hawezi xshi dwa hona Labda Ni hona hoja dhaifu, Ndacha Ni mtaalamu wà vitabu,
Pastor Ndacha mfu on mungu akuonekanie kila mahali uendapo
Mashekhe wamebabaika jinsi yesu anavyo inuliwa,ujanja wa waislamu na kukatakata maandiko leo inafichuliwa kumekucha yesu ndie njia sahihi ya kwenda kwa mungu
We umesikiliza kweli au ulikuwa unamsikiliza ndacha pekee akeee
Im the Way, the truth and the life no one came to the father except through me, Maneno ya JESUS ,
What about those who were in this world before him
Bibilia nzina hakuna andiko linalo sema ukiristo ni dini ya m/mungu
Na korohoni mzima hakuna andiko lolote Mungu alimchagua Mohamad kuwa mtume wake
Wajua ndacha mi uwa nakuona unapoteza muda..ssa ukisema wakufuatwa ni yesu cio muhammad..swali langu ni je! Huyu yesu mwamfuata kwa ibada zake na kila kitu ama munamfuata kwa kumuimbia tu..inafaa ndacha ukimfuata yesu afanye ibada kama alivyo fanya yesu uwe muislamu kama yesu
anhaa mbn nyinyi hamuoe binti wamiaka 7 kama muhamadi??
😂 wewe hauna ufahamu wowote kuhusu Yesu. Badilika umfuate Yesu, yeye tu ndie njia pekee ya kwenda peponi.
@@zuenahassan8882 wewe mnansingizia YESU HAJAWAHI KUWA MUISLSM. NI MUYAHUDI .YOHANA 4:18- 21 ANASEMA WOKOVU WATOKA KWA WAYAHUDI.haya najua hiyo hutaipenda. Uislamu imeanza MWAKA 622 Karne ya Saba. YESU kesha paaa.....Hata waarabu wa kale walikuwa wanaenda kuabudu...uyahudini. matendo 2: 5-10. Na waarabu walikutanika siku ya pentecost...
Yesu na uislam niwapi nawapi😂😂😂
@@charokazungu1655 wakristo mkifa ndio mtajionea upotovu wenu saii mmekuwa kama vipifu ssa mkisema yesu ndio ananjia ya uzima kwaio c mungu mwenye njia ya uzima yesu ndio kila kitu kwenu cndio
Shallom, shallom kwa Kila Dini na kabila zote;
Katika Ahadi zangu na kazi zote kwenye utawala wa Imani,
Sioni sababu ya kulumbana;
Mungu Alijitukuza kabla ya" - na bahada ya", Leo - Jana - dahima,
*Soma
1) mwanzo 1-1-2.....",
2)Wafilipi 4-9;
Ayubu 5-6.
Bila Dini au nabii, Mungu Alikuwepo.
Mungu Aku Hifadi Mikononi Mwake Salama Hadui Ajapo Kutafuta Asiku Pate Ndacha Wewe Ni Chuvi Tena Ni Barua Ya Waisilam. Waisilam Wana Fanya Comedy Ndio Maaana Hawasikilizi Wana Kufanyia Makelele Na Kuku Sema Vibaya Badala Ya Kufata Hoja.
pole sana kwa giza ulonalo
Sisi tulio ndani ya yesu tuko salama ,nawewe mwislamu njoo kwa yesu ili uwe salama,uwe mmoja wawale alio pawa yesu,
Yesu pekee
Ndacha mungo kweli ila kinyogoli kiboko hata ndacha anamtambua
Waislamu hawana lolote Ukristo ndiyo Dini
Jesus is the way, truth and life
Nilikuwa uisilam na shukuru Yesu kwa kuniokowa. Muhammad hajui kusima wala kuandika atafundisha nini? Leo nimejua zaidi kuwa sija potea
Wahadhiri wa kiislamu wakilemewa na mada wanageuka mara wanakuwa wachekeshaji ili kuwapoza waumini wao wanaowasikiliza
huyu mpeni 3yrs later atakua mwislam tu. kisha hizi maudhui zinaitaji subra wallahyi mmananikera sema basi tu.
Ndacha yuko juuu hata mohamed anajua yesu atakuja kuhukumu ulimwengu
Safari hii ndacha amekiri yesu sio Mungu bali ni Nabii siku zinakuja atajua Muhammad kaja kuwaongoa wakristo wapagani waislaam
Ndacha safisana kwakutowa maandiko sahihi kwahao wanafunzi mana muhamadi hajuwi kusoma Wala kuandika weunazani hao wafasiwake watakuwaje ndiomana hawaelewi endelea ndacha kuwafundisha hao wanafunzi ambao Bado wanabisha wasicho kijuwa
Kua muislam ni hakika umeamua kuingia motoni mzima mzima
tuwe wenye kusoma na wenye kuelewa vizur
Yesu akulinde mtumishi
Mimi siku zote huwa nawauliza swali moja waislamu, hakuna hata mwislam mmoja amewahi kunijibu. Huwa nataka ufafanuzi wa Sura 2 na haya ya 97 na 98.
Hawawezi jibu hata siku moja
Naomba Leo tena nijaribu kurudia maneno ya hizo haya kwa ufupi tuzitafakari pamoja kama zinatusaidia kuamini kweli qur'an ni kitabu cha Mungu. Haya ya 97 inasema hivi; "sema, aliyekuwa ni adui wa Gibril basi huyo ndiye aliyeitelemsha qur'an moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu inayobainisha uongofu kwa wenye kumcha Mungu.
98 inendelea kusema; "adui wa Gibril, na adui wa Michael na malaika wote, na mwenyezi Mungu, na hakika Mwenyezi Mungu ni adui wa makafiri.
Sasa waislam tafadhali achana na matusi njooni muzifafanue hizi haya.
Hujaelew aya inavo manish ndo maan unapat tabu aya inamtak Muhammad aseme kwa alie kuwa adui wa gbril ambaye anamfany gbril adui yak bc ajue huyo gbril ndo alie iteremsha qur an sio adui wa gbril ndo kaiteremsh qur an na anaye jifanya adui wa gbril na adui wa mitume na adui wa mikail na adui wa Mwenyezi Mungu bc mwenyezmung niadui wa makafir kwa maan ukijifany adui wa gbril na adui wa mikail na mitume bc mwenyezmung pia ww ni adui yak
What's does it say. ?
U have to knows that. the Quran was revealed as spoken word, from All-might God, through Hollyangel Gabriel to prophet Muhammad Peace up on him,, then Mohammed he say to his peoples as command from his Lord,
Ndacha anapiga mtama maandishi sana
Kinyogoli, lssa atakapokuja atakuwa kama kadhi ila Yesu atakapokuja atauhukumu ulimwengu kwa uadilifu. Sasa Fanya utafiti ili ujue je ni kweli Yesu ndiye Issa.
Ukweli ustadhi ameshindwa tuwe wazi follow the whole debate utajua Kuna majanga kwa muhamad
Kweli wana wa Israel wamelaaniwa kasababu wamekua wauwaji wakubwa duniani ivi sasa
Ivi Wakristo ambao kabila zao ni Wanyamwezi,Wajaluo,Wakikuyu,Wazaramo wakisoma andiko Yesu katumwa kwa kabila 12 za Israeli peke yao,hua wanajiskiaje,hawana wasi wasi? Yani bibilia kila ikikaa inataja kabila za Israeli
Nimecheka sana kuwaona WA Tanzania wanajisingizia ni waisraeli😂😂
Ndacha mungu akutie nguvu upambane na hawa waislamu wapinga kiristo
Yesu ndie njia iliyo sahihi,muhamadi jia yake sio sahihi ni mpinga kristo nimuongo anae acha kristo na kuingia Islam hajielewi amechanganyikiwa nisawa na mujinga,
Waislam wabatizwe, wale wafuasi wa Yesu ni watoto, walio kataa Yesu ni ma umbwa, hi ni hatari
Ndhaca anafundisha ukweli, tatizo la wa islamu, wa nanganganania wislamu, kwa kupenda mafundisho ya huo wislamu wa kuakubalia fulaha ya kuoa wake wengi, hiyo ndio sababu yagupigania wislamu, capili ni kusaidizana na mashetani kwakipato ca maisha ya duniani ni hiyo tu yani ukweli hawana, uongo tu na kutumia ujanja wa kujibu wasico uulizwa , kwasababu wanajua aya nyingi za bibliya wa nazisoma kwa kuzitumia vibaya ili wapoteze watu, Lakini ukiwa makini bila ushabiki unaona uongo wawo.
Ustaadhi bakonzi unayo maswali mazuri saana, ambayo yakijibiwa na pastor Ndacha huwa majibu yake yanaufukia uislamu kisawasawa. Ni majibu sahihi kabisa yanayosomwa kutoka katika biblia na ikibidi katika korani hongera ustaadhi bakonzi. Shida ninayoiona kwa wauliza maswali ni kwamba pale wanapojibiwa huwa hawatulii kuyasikiliza majibu na ndio sababu wakirudi jukwaani utawasikia wanayarudia maswali yaleyale ambayo tayari yamesha jibiwa. Wanafanana sana na wale wanafunzi wa shule ya msingi madarasa ya chini tena ni yale yenye wanafunzi 150 mpaka 200
Ndacha.nimfuasi.wa.shetwani.hata.nasaba.ya.yesu.huijui
Kichwa Cha UA-cam hiii kina mushkeli. Ndacha amejibu swali kikamilifu...ila... Waislamu hawajakubaliana kwani wanauliza maswali ambayo tayari majibu wameyaoanga kulingana na KITABU chao wanachoamini kuwa ndiyo Cha kweli. Hivyo kama unalazimisha ajibu ulivyopanga...muulizaji. Na hiyo siyo NJIA Bora ya kujifunza.,.ila kutakuwa ni ubishi tu. YESU katika MATHAYO 28:18--19. Ni Kwa ulimwengu wote....
Issa bi marimau kwenye sahii bukhar akija atakuwa na cheo cha unabii na sio kadhi sjui acheni uwongo mashekh na msome vitabu,alafu kingine issa bi mariamu awezi kuja maana ashafariki yule issa bi mariamu wa israel awezi kuja yule kafa kwa mwijibu wa qur ani atayekuja atatokana na umati muhammad
@@moodyhassany8928 Umati utakao ambatana Muhammad ni Majini yaliyo mpa utume huko pangoni
Hongeraa ndacha Mungu akubarki
Ndacha umeeleweka kabisa
Ila waislam wanadanganywa sana
Mnodanganywa nyinyi msojielewa ,ht Bibilia inasema Islamu ndo Dini ya Haki mbele ya Allah
Ndacha hawezi kushindwa kabisa.eaislam uongo umewakolea sasa munatapatapa. MANENO ya mtumishi Ndacha ni kiboko yanawavhoma kweli kweli. Hata kujipinga ni bure ndani mwenu munajua ukweli ni kupitia kwa aliye Kweli na Uzima..YESU KRISTO.
Yani Yesu kristo mwataka kulinganisha na marehemu Mohamed, mtu yuko kaburini,na mwingine yuko mbinguni,loo sisemi kitu
Hawa ndacha achana nao,mtaonekana wote wajinga, nyinyi sehemu kibao hamjafika,pale Yesu alipomfukuza shetani mbona hamsemi
Dini ni uislamu tu.
Ukweli unabakia
Yaani kwa Yesu Kuna majembe TU Waislam wote mnajua kilichotangulia kati ya Biblia na Koloani Biblia imetangulia Karne kadhaa baadaye ndipo Koloani ikapatikana ndyo maana vilivyovingi vya kwenye Koloani wamevikopi kwenye Biblia.Ndiyo maana Yesu mwenyewe kwenye Koloani ametajwa mara nyingi kuliko Mhamadi wakati kwenye Koloani tulitegemea habari ya mjini awe Mhamadi lkn siyo jamani waislam mbona mnapotea kilaisi hivyo.
@@NicodemBarantanda-ud7qy Holo safari hii kawadhibitii...wanahaha.... Na badooo
@@NicodemBarantanda-ud7qy wanamkaumu Hadi mwenyekiti wao wa kiislamu. Eti hajui kuendesha midahaloo...nani ...aliwachagulia???
Refa umlete mwenyewe Tena umpige kijembe....Jamani!!!!
Nyinyi waislam tupeni fact ya kumfuata mo'd,msianze kuhukumu hamna kweli
Waheslamu muhashe ushabiki hokokeni tu muwe wa Christo Mtumishi Mungu azidi kukulinda sikuzote kwa jina la yesu Christo
Lakini ni nini inakuaga kwa akili zawa islam?? Yani kuelewa vitu ndogondogo kwao ni kazi ngumu...nilikua mmoja wao lakini nikapoea Yesu Christo
Ndacha anaacha andiko
Arudie asome wapilipi 3:2 vizuri
Ndacha ni mnafiki tu haelewi chochote
Nyinyi wenyewe si mmesema yesu hata kuja kuhukumu sasa mambo kuua nguruwe,kufunja misalaba nyie elim ya biblia hamna
Huyu ndacha ni mgonjwa wa kufahamu bibilia haelewi nawaomba waislamu msiharibu mdawenu kufanya mdahalo wowote na ndacha
Hakuna mijitu mimbumbu kama miislamu
Mambo ya ki mwili na ki roho ni vitu viwili tofauti wacha ni cheke mm🤣🤣🤣
Harris Karen Jackson Thomas Lopez Charles
Ndacha bingwa wa kuruka aya ili kupotosha ukweli ukitaka kunishika inakubidi usome aya wewe mwenyewe
Yesu ndo njia kweli na. Uzima.
Kinyogoli ww unadaganya waislamu , shetani nimufuasi wawaislamu vipi wakati yeye Muhammad alimusilimisha akawa mwislamu? Mmemukana ndungu yenu shetani? Mkimkana mumemkana hata utume wa mtume wenu Muhammad . Wawislamu hamna kitu cakusema mbele ya wakristo wakati hamja coma moto vitabu vyenu. Vitabu vyenu, ni ushetani mutupu.
Muna msifu muogo wakiristo wa pumbavu TU
Ndacha unakoti maandiko ambayo unafahamu fika kuwa si ya biblia halisi Bali ni jitihada ya waandishi.Hayo c maneno ya Mungu Wala maandishi ya asili asili hayajulikani kabisa mbona mda wote mnatumia tafsiri tu Tena iliyotokana na lugha ya kiingereza Wala c ya kiharamaiki lugha halisi iliyofundishia bwana Yesu
😂 waislam wameshindwa kabisa ktetea uislam. Yohana 14:6.
du I'm ukrixto hata kwa era polen in maksfili😊
Nlidhani kua mwislamu lakini sikua na ufahamu kuna majini
Ndugu zangu waislamu msipanic kama amekosea kusoma kitabu mletee ukweli acha upumbavu Kinyogol soma maandiko hujuwi lolote
Ndacha MUNGU akulinde KWa ukweli huu. Yesu ana mamlaka popote
Sasa tuna compared aje mtu amekufa Ako kaburini na mweye ai Ako kwa mungu mpaka Leo Tena anakuja ,Mohamed ni marehemu unalingisha na yesu imagine Ako hai mpaka saa ii
Ndacha no atari
Nliposikia amri kumi za Mohamed nlichukia uislamu kapsa
Ndacha.wewe.jahilia.acha.kuchafua..utukufu .wa mwenyezimungu.wewe.ni.utabaki.kuwa.kibalaka.cha.wazungu
Yan Hapa Kwa elimu aliyotupa Ndacha hata mm Natosha kuwajibu headline ya Uongo kutafuta views 😂😂😂
Ndacha mbali sana namsomaji wako yaani kukubali ukweli nivigumu pengineko ulikuw umejalibu kuwambia hao wa islam wakuje kwa Yesu bado mda upo wasione haya
Mimi nilikua mwislam lakini kwa
Tabia za Mohamad kuoa watoto wadogo nakuchinja watu wasio kubali uislam pamoja na Majini niliamua kuokoka mpaka leo siitwi mussa naitwa Daniel
We ni muongo ni kafiri tokea mwanzo
@@mozesdaniel7484 hapo umesahau alimsilimishaa hadi shetani mwenyewe
Ndacha kawavuluga sana mashekhe wakaanza kupiga kerere bila kuheshimu utaratibu wa mdahalo.
Aisee kuliko kufuga majini nibora niende baa nikalewe kuliko kufuata Mafundisho ya uganga wa kienyeji nakumfuata Mtume ambaye Anasubiri Hukumu.
Ungeiita dust badala Daniel uko kwa Giza bro hujielewi?
@@mozesdaniel7484prophet Muhammad kiboko yenu ngojeni kiama mtajuwa hujuwi
Ivi uyu Kafir ndacha mbn haeleweki kwahy Leo yesu sio Mungu!??
Ndacha fundisha wairam wamjue yesu
He do Wrong translations this kafiri kubwa
Tunajua Yesu alifanywa Lana nahio ni biblia inasema ivyo sasa kufanywa siokuwa Yesu ni lana biblia twaijua na lugha ya Kiswahili twaijua Ndacha anawafundisha mpaka kiswahili
Umeeleweka
Yesu ndie usima wakweli
ndacha mmoja waislamu wengi lakini anawazidi Kwa hoja Kristu ni tumaini letu wote.