Kila kitu Kiko sawa ktk maandiko ya BIBLIA ,tatizo la kwanza ,kutokuokoka( kuzaliwa mara ya pili),jambo la pili BIBLIA (Neno ni Roho),waabuduo ni ktk Roho na kweli,huwezi kuelewa ni budi ujazwe Roho, kuyajua mambo ya Roho yatafasiriwa Kwa jinsi ya roho na mtu wa rohoni hutambua yote Wala yeye hatambuliwi,tangu midahalo hayupo anayetubu ila kufanya mioyo kuwa migumu,hatima ya mdahalo (lnjili ihubiriwe) mtaona matokeo .Amen
Unapotosha watu wewe. Kitabu cha zaburi 90 kinazumgumzia kipindi cha nyakati cha mwisho. Na kila binadamu atarudi mavumbini ndipo atafufuliwa kwa ajili ya uzima wa milele. Hiyo miaka elfu Moja nakuomba u some kitabu cha ufunuo wa yohana inazungumzia nini. Acha kupitisha watu wewe
Ndacha kaelewa maandishi ya kibibilia na koroani vizuri sana. Kwa hivyo yeye kajua ukweli na kweli mtupu na ndio uo anatuambia. Mungu na asidi kumbariki.
Dr seule ni misongo anapo sema mungu alisema n'a haruni kwamba apige fimbo yake mavumbi iwe chawa. Mungu hakusema n'a yesu aumbe Nadège hâta kama aliiumba kwa izini ya mungu.
mimi napenda sana njinsi tunavyopendana dini zote iziii mbili,,, eee mwenyezi mungu tusaidie upendo kudumu milele na milele Amina,,,, hii aman ni nzuri sanaaa ndungubzanguni
Basi ata yesu wa tongaren anajiita yesu mm naona akiwa sahihi isiwe tu ni muzungu pekee ndio yesu yesu wa tongaren Uko sahihi baki kua yesu wala usiogope
Mungu kavaa mwili akatoka kwenye uchi wa kiumbe alichoumba mwenyewe..Mariam mwanamke bora asee. Mungu huyu anayegeuka geuka huyuuu mutamuabudu nyinyi kwakweli
Ni kweli yesu sio mungu maan tukisema yesu ni mungu je mungu watamusemaje jameni watu waache kupotokwa yesu sio mungu na atakuja kua mungu ata iweje yeue atabaki tu kua muzungu au yeye abaki kua muisiraeli
Na ndio maan nchi nyingi sinawaabudu wazungu sababu wanasema yesu ndio mungu wakati yesu ni muzungu tu tumuabuduni mungu bana tuwacheni kuwaabudu wazungu maan wazungu ni binadamu Kama ss
Na ndio maan nchi nyingi sinawaabudu wazungu sababu wanasema yesu ndio mungu wakati yesu ni muzungu tu tumuabuduni mungu bana tuwacheni kuwaabudu wazungu maan wazungu ni binadamu Kama as
Ndacha uyo asikuumize kichwa nenda naakilizake mwambie hata alipo fufuka aienda kuandaa makao mbinguni mana mwanadamu anafufuka siku tatu nakukaa mbinguni milele yote
Kwa YESU kuna shuhuda mbili [ushuhuda wa mbinguni, Baba Neno na Roho (YESU huyo mmoja hao wa 3,wanashuhudia Uungu wake) , ushuhuda wa duniani,Roho damu na maji (hayo matatu pia yanashuhudia Utu wake)1yoh5:6-9 {Yote ni ndani ya YESU MUNGU mukubwa Tito 2:13
Kwa kweli Sule haelewi ndo maana ni bure kumpa ukweli.maana Mungu alivaa mwili na akawa mtuu.kama fimbo imegeuza chawa iyo sio kuumba.maana ata wachawi sasa wana umba.Duhh Sule kuwa muelewa usirudiliyi mambo na umepewa jibu
Ndacha ana maslahi mapana sana na Ukristo hatokuja kuslimu kamwe, kuslimu kwake kutauangusha pakubwa sana Ukristo. Ndiomaana anacheza na vipengele vya ujanja ujanja kuuweka Ukristo kwenye ramani. Lakini moyoni mwake anaujua ukweli
we mtu kazaliwa na mwanamke kama mm na wewe half unamwita mungu et kwa sababu ya miujiza na hyo miujiza wa kuifanya ni mungu Sasa uungu wa yesu unatoka wp
Ndacha ubarikiwe kwa kusema kwe waislam wamezidiwa tena kwa kiwango kikubwa sana, injili na isonge mbele
May the Lord Jesus Christ bless you more evangelist Ndacha Francis. you're a warrior of Christ 2024.
Ndacha kaeleza vzr bila xhida lkn nyinyi waislamu hamuelewi
Nguruwe anaongea aliyesema wamasai si watanzania Leo raisi mwenyewe amekuona nguruwe
Ndugu Waislam, someni Biblia kwa kujua Mungu, sio kumpinga Yeye!
Yesu sio mungu
Yesu ni nabii jamani!!!
Mungu hatoki njia za mkojo
@@abuuhassani497😂😂
Hoja toa@@sinyooo6583
Spiritual matters don't ask Muslims. Ask them juu ya ndevu
Wewe nyoa ndevu upake make up😂
Waislamu sijui huelewaje maandiko
Yani kazaliwa na mama yake halafu nimwite mungu haingii akilini hata. Mtoto mchanga naungana na waislam
Ndacha mungu akubariki
nabii yesu toshekeni na hayo mumuani mungu wapekee
😂😂🤣🤣🤣 sule acha hizo Yesu kristo atakuja kuhukumu walio hai na waliokufa atakuja na kila jicho litamuona,
Daah m naona waisilamu kuna kitu wanakikosa kwenye maisha ya KIROHO. Yani wapo mwilini sana
Hawana roho wa Mungu ila Yesu atakuja ipo siku sule atashangaa sana
mimi ni muisilamu swari ndogo
Yesu kafa amamungu
au. kafa mutu
Jibu kwa Roho soma 1timoteo 6.16 AllAH hawezi kufa mupe eshima naumuogope
Huu ndiyo ukweli
🎉1@@dennisezakiel3380
@tubanemwili ndio hufa sio roho.na alifanyika mwili kw io ajili ya kuufisha .francine
Kila kitu Kiko sawa ktk maandiko ya BIBLIA ,tatizo la kwanza ,kutokuokoka( kuzaliwa mara ya pili),jambo la pili BIBLIA (Neno ni Roho),waabuduo ni ktk Roho na kweli,huwezi kuelewa ni budi ujazwe Roho, kuyajua mambo ya Roho yatafasiriwa Kwa jinsi ya roho na mtu wa rohoni hutambua yote Wala yeye hatambuliwi,tangu midahalo hayupo anayetubu ila kufanya mioyo kuwa migumu,hatima ya mdahalo (lnjili ihubiriwe) mtaona matokeo .Amen
Kuwafanya Waislam wamuamini Yesu kuwa ni Mungu ni ngumu saan.. Maana ata Wakristo wenyewe kumjua Yesu kwa ufunuo kuwa yeye ni nan bado hamna..!
Hata kama wewe ni uislamu Ukikutana na mchawi au uchawi sema KWA JINA LA YESU. Ndipo utajua Yesu ni Kristo na Yesu ni nani. Acha hizi mizaha.
Injili ya mwalimu Ndacha ni ushuhuda mukubwa,wale watakao potea ni kwa kutaka kwao wenyewe
😂 alaf kina sumba ulang bad wanasem yes mung. 😅
Na kweli n mungu
Before Abraham was I'm MAANA YAKE "Kabla ya ibrahimu kulikuwako na mungu" maana I'm lilikua ni jina la mungu. Mbona wakristo mnadanganyana sana
Unapotosha watu wewe. Kitabu cha zaburi 90 kinazumgumzia kipindi cha nyakati cha mwisho. Na kila binadamu atarudi mavumbini ndipo atafufuliwa kwa ajili ya uzima wa milele. Hiyo miaka elfu Moja nakuomba u some kitabu cha ufunuo wa yohana inazungumzia nini. Acha kupitisha watu wewe
Ndacha is too dangerous,awo wa lslam hawawezi kukuelewa.,mpaka wawe na D mbili.
Dr sule umempiga jamaa KO😂😂 ukiangalia video mpaka mwisho utaelewa nasema nini🙌🏽
Ndacha hawazi toa jibu hapo atazunguka kama feni bovuu 😂😂😂
Nakuombea sana mwl.Ndacha.
Mungu akutunze sana.
Ndacha kaelewa maandishi ya kibibilia na koroani vizuri sana. Kwa hivyo yeye kajua ukweli na kweli mtupu na ndio uo anatuambia. Mungu na asidi kumbariki.
Eti takibiriiiiii😂 alaaaaahuuu akubaluuuu😂
Dr seule ni misongo anapo sema mungu alisema n'a haruni kwamba apige fimbo yake mavumbi iwe chawa. Mungu hakusema n'a yesu aumbe Nadège hâta kama aliiumba kwa izini ya mungu.
Waislamu hawawezi kumjua mungu.. Wao wajua kuswali na kubishana kimwili.. Na huyo sule Hana lolote anadanganywa na wenzake hapo mezani
mimi napenda sana njinsi tunavyopendana dini zote iziii mbili,,, eee mwenyezi mungu tusaidie upendo kudumu milele na milele Amina,,,, hii aman ni nzuri sanaaa ndungubzanguni
Basi ata yesu wa tongaren anajiita yesu mm naona akiwa sahihi isiwe tu ni muzungu pekee ndio yesu yesu wa tongaren Uko sahihi baki kua yesu wala usiogope
Yaani watu wamekua wakimudhaliti mungu lakin wacheni kumusadhaliti mungu jie musie jua munako elekea
Waislamu hawana jipya.ila wanageuza maandiko.sikilizeni kwa makini nyi wajinga
Tatizo waslamu awana roho ntakatifu ndoma wanachindwa kwelewa.
Nawaambien sule hakuna cha maana alichosema.ila mnaharibiwa ufahamu bure ,,poleni sana jamani duh
Mungu kavaa mwili akatoka kwenye uchi wa kiumbe alichoumba mwenyewe..Mariam mwanamke bora asee. Mungu huyu anayegeuka geuka huyuuu mutamuabudu nyinyi kwakweli
Kwa maandiko yesu ni Mungu kwa akili za waislamu ni mtume hilo halina shida
Waisilam nimacomedi hawajuwi wanacokifanya
Fantastic Dr sule Allah akulipe mema (Duniani na Akhera)
Itakuaje uyo yesu awe yeye ndie asifiwe badala ya mungu jameni waafirica na ndio maan wazungu wanawaona waafirica ni waajabu
Itakuaje uyo yesu awe yeye ndie asifiwe badala ya mungu jameni waafirica na ndio maan wazungu wanawaona waafirica ni waajabu
mm ni mkristu lkn mujibu wa bibilia yesu si mungu nmeshika bibilia apa ndacha unababaisha maneno hyu sule ni mwalimu
Wewe ni mnafiki
@@benjaminwekesawamalwa2854 endelea kuwa na dogma za mababa wa kanisa soma bibilia
SULEMSHINDI ACHENI KUWADANGANYA WATU NYIE KINA NDACHA
Hamtaelewana mpaka kiama nyie
Ni kweli yesu sio mungu maan tukisema yesu ni mungu je mungu watamusemaje jameni watu waache kupotokwa yesu sio mungu na atakuja kua mungu ata iweje yeue atabaki tu kua muzungu au yeye abaki kua muisiraeli
Ndacha wenu siku hizi alikubali katika huu mjadali, anaamani sasa kuna Mungu na Kuna Yesu. Siku hizi hataki habari za utatu tena
Na ndio maan nchi nyingi sinawaabudu wazungu sababu wanasema yesu ndio mungu wakati yesu ni muzungu tu tumuabuduni mungu bana tuwacheni kuwaabudu wazungu maan wazungu ni binadamu Kama ss
Duh sitaki kumsikiliza sule.acha utani wako.wa kiaina
PIYA ALLAH AKUONGEZE ELIMU AMBAYO UTAITUMIA KWA AAJILI YA KUPELEKA UISLAM MBELE
PIYA ALLAH AKUONGEZE ELIMU AMBAYO UTAITUMIA KWA AAJILI YA KUPELEKA UISLAM MBELE
Ndacha anakipaji nyie waislam hammuezi
Na ndio maan nchi nyingi sinawaabudu wazungu sababu wanasema yesu ndio mungu wakati yesu ni muzungu tu tumuabuduni mungu bana tuwacheni kuwaabudu wazungu maan wazungu ni binadamu Kama as
Mm langu ni mbna wote hahaha fanya kama walivyo ahidi nilitegemea mmoja asilimu ama aokoke nyinyi walimu bwana accent kutoa ahadi za uongo bwana
Uyu sule anajibu vitu kulingana na hakili yake c kuligana na vitambu
Ndacha uyo asikuumize kichwa nenda naakilizake mwambie hata alipo fufuka aienda kuandaa makao mbinguni mana mwanadamu anafufuka siku tatu nakukaa mbinguni milele yote
mm hapa nauliza ikawezekana Jesu akaje na Muhammad akaje utafuata nani
Ndacha muogope mola wako aliekuumba
Nime silimuuu bhana cristo munatuzonga
Kupiga fimbo haikuwa kuhuba ilikuwa ishara
Ndacha kichwa kibovu hana alijualo jt moja
Dr Sule ameshindwa na mada, mada ni ngumu kwake,anajirudia kila apandapo jukwaani,aachwe aende aisomee kwanza halafu akirudi ni upatizo tu.
Waislam someni aya na kuelewa muktadha wa aya
Waislamu ukiwaamba shetani ana faida watakubali
Hiyo ilikuwa miujiza ya MUNGU tofautisha miujiza na kuumba
Kwa YESU kuna shuhuda mbili [ushuhuda wa mbinguni, Baba Neno na Roho (YESU huyo mmoja hao wa 3,wanashuhudia Uungu wake) , ushuhuda wa duniani,Roho damu na maji (hayo matatu pia yanashuhudia Utu wake)1yoh5:6-9 {Yote ni ndani ya YESU MUNGU mukubwa Tito 2:13
Uyo sule anajizima tu data anajua anacho kifanya
Ongera sana kwa mudaholo huyo.
Samshanini wahadhiri katika midahalo .
Kwanza ndacha hajuwi kiswahili .pili anazungusha maada .Hana Majibu ya kielimu.
Ufunuo 1:8 huyo ni yesu mwenyewe ndiyo anasema
Dr. Sule mpe elimu ndacha uyo
Huyu sule siyo dr hajuwi bitabu kbs
Hana hoja ht moja kazi kupiga kelele t bas
uyo Sulle hamna kitu kabisa,anang,ang,nia Yesu kimuwili hamjui Yesu kiroho.
Kwa kweli Sule haelewi ndo maana ni bure kumpa ukweli.maana Mungu alivaa mwili na akawa mtuu.kama fimbo imegeuza chawa iyo sio kuumba.maana ata wachawi sasa wana umba.Duhh Sule kuwa muelewa usirudiliyi mambo na umepewa jibu
Sio upendeleo ila Ndacha nikuelewa unasema kweli ya Mungu
Sule ameshindwa kwenye hii debate
Ndacha anaongeza maneno yake yeye,sule anacheza na mahandiko ndio utifauti mnao uwona hapo
Hawa waislamu hawana content 😂
Na Ina mana kwa ulimwengu wa ki dini pia Kuna siasa😂😂😂
Sasa muhamad arifanya miugiza gani?
😂😂😂😂😂😂
NDACHA AMEUMBUKA SANA
Ndacha Mungu akubariki sana
Sele alisha le wa Ila anapigamanga
Yaan tes kasema mm ni wa mwanzo na ni wa mwisho nacha kauunganisha kwamba yeye mungu duu inawezekana alimaanisha mtume wa mwanzo na wa mwisho
Ndacha ana maslahi mapana sana na Ukristo hatokuja kuslimu kamwe, kuslimu kwake kutauangusha pakubwa sana Ukristo. Ndiomaana anacheza na vipengele vya ujanja ujanja kuuweka Ukristo kwenye ramani. Lakini moyoni mwake anaujua ukweli
Aache njia ya kwelii aende kwenye majinii😂😂
Ndacha ni mwalimu mzuri sana
Hakuna uhusiano wowote baina ya Muislamu na Majini,mwenye anasema Majini ni kwa ajili yake mwenyewe na maslahi yake ya kidunia, soma Quran 6:128
😢
MAKAFIRI KWISHA HABARI YAO
Ndasha unatisha aposafi
Bwana yesu.asifiwe
Huyo NENO AMBAE ALIKUWA MUNGU AMBAE ALIFANYIKAA MWILI NI NANII??
Vp nyie waislam?
Ndacha amewakanda wafuga majini kwelikweli
Salut nchungaji
Verya fantastic debate!!!!
Ndasha Ubalikiwe🎉🎉🎉🎉❤
Dr sile na ndschs
Ndacha mungu akubaliki sana
Uislam Raha sana
Mwislamu hawezi kukuelewa labda mungu mwenyewe aingilie kati
Dr Sule Mungu akupe maisha marefu tena mazuri na akupe mwisho mwema 🤲
Kwa ufasaha waislamu tunasoma elimu kwa wakristo ndio maana kubwa, Ndacha Ni mwalimu
Ndacha wow barikiwa
Cha ajabu ukimuuliza ndacha Kuna mungu ni wangapi atasema ni mmoja
N mungu mmoja mwenye nafs 3 baba ,mwana na roho mtakatifu
Hii ngoma ya Imani nikumuachia mungu ndio atupe uongofu
hakuna kumuachia mungu sikliza hoja za msingi inamana wewe huelewi we silimu tu ndugu usiufanye moyo mgumu
we mtu kazaliwa na mwanamke kama mm na wewe half unamwita mungu et kwa sababu ya miujiza na hyo miujiza wa kuifanya ni mungu Sasa uungu wa yesu unatoka wp
mungu ashatupa miongozo ya vitabu ni akili yko tu Sasa
Ndachaa😂😂 hogereaah