THE CLASSIC MKANDAMIZAJI PT 1:KUJA MJINI NA NDOTO ZA KUA RAPPER/BYSER ALINIPA HASIRA/NILIFELI
Вставка
- Опубліковано 22 гру 2023
- Masanja Mkandamizaji ni muigizaji na mchekeshaji mwenye mafanikio makubwa,alikuja mjini akiwa na ndoto za kua rapper mkubwa na kufanikiwa,lakini safari yake ilikua na mambo mengi na mwishoe kuwa muigizaji,nni kilitokea?hii ndio hadithi yake
Arudi tena jamani he is so amaizing💥💥💥💥
Leo mmenifurisha mnoooo,,,mapicha picha hakuna kabisa
Dah! Ila Masanja eti pigo la mwisho la Getril dah nmecheka sana😅😅😅
Masanja nakupa big up sana unaongea kweli wa maisha yako toka
hii interview nzuri jamani....watu wako jamaica 😀😀😀😀😀😀 nimependa jamaa anaongea yeye yani hii sasa ndio interview..mwamba tangia kakaribishwa anafunguka mpaka mwisho yani iko bieeeee
Kumbe Jabil ndoulinibania BSS 2005 Bilcanas
2008 alikuwa tayari star na ze comedy ilikuepo tayari unaongelea 2003 huko
Atakuua huyo na mikono yake huyoo 😂😂😂
Noma sana 😅
Sound mbov
Masanja kanichekesha sn, Yani kipindi kimekuwa kifupi, umenikumbusha dar West tabata,
Mwendelezo plz
Kuvichaka
Mpo kwenye pipa au drum
😅
Amazing sana ila please Kuvi boresha sound system please 🙏
Ok ndugu japo naona iko fresh lakini tutafanyia kazi maoni ndugu
@@KuviFacts ndio ifanyie kazi maana inasound kama umerecord sauti Ina noise halafu uichuje kwa kutumia Adobe Audition Sasa Kuna namna itasound kama Ivo Sasa Kaka lkn bonge la kipindi Mzee keep it up Bro.❤
Cyo 2008 kala katoka bss ya Kwanza ilikuwa 2006 kwo itakuwa nyuma ya mwaka huo
Daah! Mbona fupi sana pia nilitaka kujua ile ngoma ya nakataa Ugali kwanini hakutoa video,pia kuna ile nyingine inaitwa Wadogo zangu aliwashirikisha Joti na Mpoki
Hii ni part 1 part 2 ishapanda itafutee
Masanja umetisha
Rudi tena
✊🏿👮🏿♂️
Arudi tena jamani he is so amaizing💥💥💥💥