FID Q - DIAMOND UMEISHIWA SIKU HIZI / SIO KAMA KIBA
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interviews kutoka kwa masta unaowakubali.
Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp, Facebook au Twitter.
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea www.lilOmmy.com
Ngosha the swagga don....Talented uyu jamaa anabakia kuwa legend wa hiphop tanzania....Show iko hot sana #theplaylist ndani ya #timesfm ma men duh #lilommy love u brother be blessed
big up bro Fid Q kama unamkubaree Fid Q gonga like twende pamoja
ngosha de father of HIP HOP 🎶bongo...l do appreciates your work ov art..stay blessed more en more
OMG! FID Q! That's my man, yaani huu ndo unaitwa wosia! Wakongwe wa Bongo Flava ambao wakifungua mdomo, #IListen
Just missed Lady Jay Dee, Ferouz, Matonya, Prof Jay, TID, AY...them days!
*#AWellSpokenArtist*
Namkubali sana mzee baba . Big up nawe lil omy
well..Fid I think our music is growing up...and we it ll'never drop...I think time is factor and we gonna reach to higher level
Fid Q Namkubal Xana Napokuja Kumalizia Na Ngoma Yake Ya Bongo HipHop Aixee Aendelee Kuwepo Muda Mefu BLESS FID Q
ua-cam.com/video/Wby9ncZ7oX8/v-deo.html gusa link kuona diamond kavunjiwa gari subscribe channel yake mpya
lakin mond alikataa kufanya na Karol..your the icon to rise our music
Daaaaa tumezaliwa sawa na fid QTeam 13/08 daaaaa nafurah sana hii show ilinipita daaaaa
Happy Big day fid Q. .bonge la interview lilommy
Happy birthday Ngosha...watu wanaoni inspire...uko kwa hio list mzee baba..
Blessed mingi kwako bro Fareed 🙏🙏💯
Big ngosha naikubali sana ngoma yako ya ILEWE MITAA
Ngooooooosha the Don.
Fresh sana lil ommy nahapa Rwanda tunakupenda naitwa innocent
Huyu mtu safi sana since day 1on the game Happy Birthday massive
Great Ngosha umetisha mzeiya....
FAQ og
Mr Pure Hip Hop nakukubaleee bro endelea kukaza shabiki zako tupo tunakusurppot
👑 of Hip-hop
much respect
Mwambie Fid ...Cloud ya nje ya town sio ya kiwack...ila watu wanakuwa wanamzuka wa kumshangaa msanii wanaompenda na huwa hawaamini kama kweli yule wanaomsikiaga ndio yupo live before them...ni mapenzi tu.
Fid q wewe ni noma sana brooo@abdul_fast.pilot2019 like hapo
Dah nilikua nimemis sana mastory yako mkbwa
Lil Ommy uko vzr bro maana unakuga na Feed back ya msaa heshima kwako KAKA
Nakupata @therealfidq
fresh rmx imekuhalibiakwel pole ilitakiwa ujue hilo kabla king anapendwa mashabikiwake wasingekuacha salama yule wanamwita kipenz chawatu pole bro
Ommy unapenda sana kutia jina la diamond ama kiba kwenye caption zako
Bro farid i like the way you reason
Nakubari mzazi fidq amanikwako braza
god blesss fid q
The Real Fid.
Big up yaself Mr Kubanda
Nakubaree boy fdq we ni kioo
Nakukubali sana Bro *Fareed*
nice bro lilommy
Nakukubali mpaka kufa ndio maana kila nyimbo yako haikosekani kwenye phone yng
Nakuelew xsan fid Q we sio wa kisport sport kweny Kaz yk
Yeah man!! Kitabu usichokielewa hukuandikiwa we we!! Good Fid
😆😆😆 dat true boy👉👉
HBD Fid Q
Pamoja sana mzazi
hayakuhusu kama raha p##nakuja zaidi ya sister p,fid q hajachuja wala kuvuja vizur tukimwita mwanza, mwanza
Ngosha ze sawaga done
woraaa!!!woraaa!!!!.gooda mazee.
Nakuelewa sana fid
Uko juu kaka
Ngosha the swagger Don!
Speaking truth
Lil Ommy hio simu yako ni gani?
Happy bday big bro @fidQ
ua-cam.com/video/Wby9ncZ7oX8/v-deo.html gusa link kuona diamond kavunjiwa gari subscribe channel yake mpya
Happy bday legendary
Pamoja sana
safi sana by dash combo
Nakubar sana ommy mzee mzee pafande fran tumekuma makpu toking
fid q mtu mbaya nakukubari sana
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🌟✊🏼
NGOSHAA...!!!! 🙌
nakukubali ngosha
Fid q big up.
Fidq ni power
Respect
Unajua nn Ommy fid q mwisho kabisa
Fid q akili unayo 🤘👌
Safi sana kaka farid
omy kenzo tz tupendane
Bigup
Guud
Kama unamkubali Fd Q gonga like Twende sawa
Imefunguliwa Akron it’s called I PROMISE
Kuna ukweli kwenye hii dunia unachokipenda kinakutokea kwa namna Fulani. Fid Q nilimpenda sana sana sana na nimekuwa nikiimba nyimbo zake nyingi sana, kilichotokea mtoto wangu wa kwanza akazaliwa August 13/ 2016. Ilikuwa siku ya ijumamosi
August 13/.... The same
Nakubali mziki wa unaishi
Jinsii alivyo ichambua kiberitii maaan thats concious for alife time hatariii sanaaaa
OK sawa fDQ
Dah! ukikaa kumskiliza ngosha ni darasa la maisha tosha haihtaj shule
TANZANIA one for hip hop
Ngosha #thedon
Fid we noma
Nakupnda sana brother faridi
san
"mpaka sasa hv fid q umesoma vitabu vngap" ubongo wako ni library tosha!!!!
Fid 😂😂😂 uyu jamaa ikiwa anaongea uwa anavitu vingi sana unajifunza 🙌
From +254 who is watching
Ngosha ni noma
Genius
safi sanaa fid
I like that,Ngosha
ua-cam.com/video/Wby9ncZ7oX8/v-deo.html gusa link kuona diamond kavunjiwa gari subscribe channel yake mpya
Nakukubal sana fid
ya kizazi sana kama k +254kenya tunakubali
Umenifanyaa niplay huu wimbo wa juhud za wasiojiwezaaa mara mbili aseee mana nimiongon mwa nyimbo zangu bora za hip pop
noma fdq
Good
mwalimu wa hiphop bongo
Genius ngosha
Nampenda Diamond kwasabab nimegundua watu wanamchukia bila sababu mfano ni huyu Fid Q kataka collabo Mond kakubali kaimba nae katukanwa na mashabiki lakin kumchukia Mond mpaka kwenda kumuimba sasa Diamond kahusikaje hapo au Kiba kaingiaje hapo? Diamond Mungu atakutetea kwasabab moja tu hizi chuki zinampa sababu ya kukulinda hatakuacha
Huyu jamaa Fid Q ni noma
Tatizo wabongo tuna roho mbaya...mtu mwenye access ya kutoka hataki kumpa connection mwenzie anaona atafunikwa au anataka awe yeye tu anaeng'ara ili tz nzima tumsifu yeye
ua-cam.com/video/Wby9ncZ7oX8/v-deo.html gusa link kuona diamond kavunjiwa gari subscribe channel yake mpya
Ngoxha noma ww, tena noma!
Dah yani nimechelewa kicheki hii interview kiukweli nakukubli sna fid q tena kikubwa zaidi najivunia zaidi kuzaliwa mwaka 1 na ww ngosha kiukweli ww ni zaidi ya msanii maana maneno yko ni zaidi somo mwenye akili ndy anayaelewa maneno yko
unapiga shoo mpitimbi hukoo, my former school!!
Ommy Mbona fid haujamhost the way ulifanya kwa Nikki on his birthday??
Grace Ligunda huwa hapokei zawadi kwenye brithday yake.
LilOmmyTV nmekukubali pamja sana tambwe
@@LilOmmyTV xawa ommy
Qonk mast kizaz mzee baba
Stuff