big brain fareed wee jamaa ungepewa udaktari tu -jamaa wa msasa show kubwa sana chief pls tuongeze jamaa wengi zaid tuendelee kula shule,,,,,,,,,am looking foward kuona investrs wengi zaid kweny show yako
Nilichogundua wamiriki wa media wamegundua kua Kuna weakness kwenye upande wa habari kwa hio wamekuja na vitu mhimu saana I hop kama tutaendelea hivi vile vitangazaji vyenye maswali ya kijinga hongereni wakuu nimeenjoy saana uwepo wa fid
sio mbaya kutumia lugha ngeni kwenye mahojiano ya kipindi lakini je kunaulazima ? wa kufanya hivyo ? sijawai kumuona oprah akifanya mahojiano na mtu alafu wakawa wanatumia lugha ambayo sio yao yaani katikati ya maongezi wakaongea ki frech au ki italian sasa njoo afrika, chagueni lugha moja ya kumuoni msani aidha ongeeni kingereza au kiswahili , ndiomana tunaonekana waafrika hatujitambui kwa mambo kama hayo.
its my first time naangalia kipindi and nimekipenda sana but I would like kumshauri interviewer asubiri msanii amalize kujibu swahili kisha abandike swali lengine. but all in all I like it
Mafanikio hayaji kwa kukata taama yenyewe yanawafata wanao jituma sio kusukumwa na njaa ukijituma naneema imekalibia ote waio give Up mapena wangekaza wangeifikia kwenye mistari hizo zinafanya nijitume fd q kwangu ni namba1🙏🙏🙏🙏
Nangoja part 2 ianze na majibu kutoka kwa fid maana jibu lako linalenga kilicho kwenye mzunguko sokoni ila yeye anaepaswa ajekuelezea kama inaingiza sokoni bidhaa haipo na huo wakati ipo inayo trend sokoni
Ww mzaliwa wa 2004 kelele mingii 2000 jambo kubwa kama bank halijaenea kote watu wanalipwa mkononi ije iwe hiyo CD!? biti kipindi hiyo inawekwa mic unatengeneza biti via mic kama anataka sound ya kikombe anatonga kikombe kwenye mic ili arecord akachanganye huko
💚💚💚🎬 safi sana . Msasani, kwangu mimi unanikumbusha Mchonga nyerere kama sio Mikocheni hahaa.. 📽 naachia video ya kuikaribisha 2024 kwa wimbo Ma Mtoni.. by King Bidder from his own youtube ya king bidder.💚🤳 Album ina itwa Power Of Writing. Karibuni
Man alone can transform his thoughts into physical reality. man alone can dream and make his dreams come true 🔥muda wowote Fid anapoongea lazima uondoke ukiwa positive interview ya kibabe sana nimekubali 🔥
big brain fareed wee jamaa ungepewa udaktari tu -jamaa wa msasa show kubwa sana chief pls tuongeze jamaa wengi zaid tuendelee kula shule,,,,,,,,,am looking foward kuona investrs wengi zaid kweny show yako
Masikio yana enjoy then ubongo unakula kitu adim bila kelele za sound zao zile za nyuma....
Nilichogundua wamiriki wa media wamegundua kua Kuna weakness kwenye upande wa habari kwa hio wamekuja na vitu mhimu saana I hop kama tutaendelea hivi vile vitangazaji vyenye maswali ya kijinga hongereni wakuu nimeenjoy saana uwepo wa fid
Fid q anajua sana
Rock City Icon.
Powerful sana
Dope PODCAST 🔥🙌🐐
We need these kind of intellectual feeding. Ikiwapendeza tupatieni DIZASTA VINA
Sawa brother.. Tutalishughulikia
Thats my goat
Dizasta vina ,we need him
Fid Q always delivers Us from evil. Huyu jamaa anaakili nyingi sana. The true GOAT.
MAFANIKIO NDO UTAJIRI WENYEWE HUO,,,UTAJIRI UKIKUFUATA HUWEZI KUUKWEPA,,UTATEMBEA NAO TU
98 kakutana na mtt wa dandu after 10yrs wakakutana 2000 mbona katipiga...?
Kama umeikubali hii interview gonga like yako hapa
Badala ya kuLike video, unataka tuLike comment???
Kali
Mnaojiita mbuzi hii interview ni funzo kwenu. Akili nyingi sana Fareed you are a true meaning of G.O.A.T
Tunaitaji CheusiDawa aandike kitabu tena cha KISWAHILI RAHISI ILI TUJIFINZE NA KWENYE ICO KITABU ATUTAFSIRIYE NYIMBO KAZAA KAMA MAFAANIKIYO.
The world 🌍.....fid q,..... usisahau kusubscribe......bro kubanda kiberiti ni ya moto sana kichwani mwangu
The Truest master of his own craft 🔥🔥
Mimi Nakumbuka na niliumia sana ile mkali wa Reymz baada ya Afande sele ulikuwa ni wewe mzee mlikuwa top ten daaah
Interview ya fid huwa inanipa mzuka no jamaa anayejua kujibu kisanaa
Nafikiri tunahitaji kitabu kuhusu maisha yako broo fid
Fanya utusogezee Nikki mbishi apo
Wajameni iko kitabu cha kutochukulia vitu personal kinaitwaje😊😊😊
Kijitabu kidogo tu cha kuitwa "THE FOUR AGREEMENTS" by Don Miguel ila kina madini sana aisee
Woah! thanks for sharing 💪🏾🔥
I like the show. Nimeokota machache ya muhimu katika mengi
sio mbaya kutumia lugha ngeni kwenye mahojiano ya kipindi lakini je kunaulazima ? wa kufanya hivyo ? sijawai kumuona oprah akifanya mahojiano na mtu alafu wakawa wanatumia lugha ambayo sio yao yaani katikati ya maongezi wakaongea ki frech au ki italian sasa njoo afrika, chagueni lugha moja ya kumuoni msani aidha ongeeni kingereza au kiswahili , ndiomana tunaonekana waafrika hatujitambui kwa mambo kama hayo.
Hujaelewa lengo, nakwasababu mlango umeufunga basi hutaelewa lengo.
Asante kwa maoni yako. Endelea kufuatilia MSASA, yajayo yanafurahisha.
as the time moves evil/darkness/wrongs gets weak to its opposite and not otherwise. righteous its the right move. and that definition of GOD.! 💯💫🧠🙏
Interview nzuri sana ya watu wenye akili sana watangazaji wengine wajifunze kuuliza maswali kwa huyu mwamba sio maswali ya ajabu na kero
NGOSHA
Bro interview nyingi but sama shirt colour kila interview
Yes sir
Are the one we met on MUHAS & UNICEF Symposium on. Social behavior change
Yes sir😉
Kazi nzuri bro
Mpangilio wa studio
Light
Sound
Na vitu vingine
I'm your new fan
fid q ndio alitufundisha kua USTAA hauji Bila Skendo,
its my first time naangalia kipindi and nimekipenda sana but I would like kumshauri interviewer asubiri msanii amalize kujibu swahili kisha abandike swali lengine. but all in all I like it
Fid ni genius akijibu swal analielezea kiundani sana mtangazaji anakua kama ameona kamaliza ndo mana unakuta wanalandana
Asante for the feedback. Zinatujenga. Tutalifanyia kazi hilo💪🏽
mtangazaji💥
Fid may I have your t shirt
Ukenda mbio mda mtapishana mafanikio huja kwa kile unachofanya% dah mstari huu ndo chanzo cha kufanikiwa mm nauzingatia sana ndo maana sifeli%
this podcast is awesome ila i suggest the "fill-a-words" could be minimized by simple edits I mean by Mhhhs and Ahhhas
Interviewer amepoa sana. He lacks reaction and follow-up questions. Fid a great story teller as always.
Thank you for the feedback. Tutaifanyia kazi💪
dah binadam wabaya sana bora waseme unaringa, hasa hawa wa kukutana nao ukubwani
Mafanikio hayaji kwa kukata taama yenyewe yanawafata wanao jituma sio kusukumwa na njaa ukijituma naneema imekalibia ote waio give Up mapena wangekaza wangeifikia kwenye mistari hizo zinafanya nijitume fd q kwangu ni namba1🙏🙏🙏🙏
💯💯💯💯
Big deal
Kama umeskia (T.I amemuiga Flow) Fid. Grab ur Skunk please😊
Fid dandala da MUNGU akupe maisha marefu bro
Tunamtaka jay moe pia nae anayo yakisema music scientists
Kwel kabisa anajua vingi mo
FidQ ni shule,ni lecturer kwa wasanii wanaojitambua,
Oy jitaidi kwenye kipindi vyako uwongee kiswahili usichanganye kama nikingereza iwe fulu kingereza kama ni kiswahili iwe kiswahili ita kusaidia
Interview inanipa somo bongo la interview
Ongezeni mda pleas show ni nzur saana ❤❤❤
Oyaa chimbo jipya hili hapa sasa wanangu
🥂😎 karibu
You are a real brother. Long live Fidq
Fid Q
Fid huwa anajua kujielezea sana
Nimeipenda interview broo utulivu wa maswali skills ya kujua vitu nimeipenda
safi sana
Smart sana broooo #king
Kipindi kizuri sana. Can't wait for season two
Profess wa chuo kikuu Cha ghetto
Profess wa chuo kikuu Cha ghetto
Nangoja part 2 ianze na majibu kutoka kwa fid maana jibu lako linalenga kilicho kwenye mzunguko sokoni ila yeye anaepaswa ajekuelezea kama inaingiza sokoni bidhaa haipo na huo wakati ipo inayo trend sokoni
Umetisha sana ngosha hauna mpinzan
Very Very Very Nice Interview.... Fid Q the G.O.A.T
Glad you enjoyed it! 💪🏾🔥
Bonge Moja la interview la kufungia mwaka
Broo wa msasa unajuaa kuuliza maswali vzr shout out 2 u
Powerful sana... nimewakubal ote
Kazi nzuri
nikisikia mwanza namsikia fidq kikubwa tunahitaji kitabu
Hii ni zaid ya interview nimemeza madini mengi Sana
This man ni shule @Don Miguel 🔥🔥
Channel Iko sawa sana kwasababu mtangazaji Yuko vizuri, itafika mbali hii
Mzee pindi limenyooka sana
Ngosha the masterpiece❤
Wewe mwongo fid q wakati anatoka miaka ya 2000 tayari cd zilikuepo labda uniambie miaka ya 90 plus cd zipo tangu 1995
Ina depend huenda zilikuwepo lakini nchi zilizoendelea ndo zilikuwepo but nchi km tz hazikuepo
Kabla ya CD, kulikua na Tepu/ kanda/ kaseti zinaitwa Chrome yaani ( Chrome tapes ) ndio zilikua zinatumika miaka ya 90
We nae unareta mambo ya ubishan tena si uchaw sasa huo
Mwaka 2000 wenyew computer zilikua zinauzwa tofauti na cd rom, unanunua computer na unaenda kununua cd rom na card yake.
Ww mzaliwa wa 2004 kelele mingii 2000 jambo kubwa kama bank halijaenea kote watu wanalipwa mkononi
ije iwe hiyo CD!? biti kipindi hiyo inawekwa mic unatengeneza biti via mic kama anataka sound ya kikombe anatonga kikombe kwenye mic ili arecord akachanganye huko
Kiberiti,siiitaj marafiki ,kwani hii intervw ina second 😂😂,tunahitj zaid kujua mengi
Samaya x ananiita fiq the future
Mtam Sana farid
Nime ipenda ita nijenga kiakili.
Ndio vile vitu mi hupenda. Hii nimei verify 👍
Bless
💚💚💚🎬 safi sana . Msasani, kwangu mimi unanikumbusha Mchonga nyerere kama sio Mikocheni hahaa.. 📽 naachia video ya kuikaribisha 2024 kwa wimbo Ma Mtoni.. by King Bidder from his own youtube ya king bidder.💚🤳 Album ina itwa Power Of Writing. Karibuni
Mzee mbuzi
Hapo mwisho hapo kuna madini sana, Soko, kuuza.
Kila kitu on point…big up ✌🏽
shule
Saa 1 kama dk1 haichoshi wala haiboi, faridi ni darasa tosha.
Inamaana Kiswahili hakina maneno yakutoka mnajifanya kuchangamya Vingereza kama wakenya😂
Acheni ushamba
Hahaha. Sawa mkuu
Mecca flash 🎧
Fid amenifunza kitu leo
Kwanini parakata tumba 😂😂😂
Kkutafuta kitu positive kwenye negatively
Bonge la Interview points tupu
mwambie mbuzi atupe kitabuuuu
Madini q no 1
ebana shoo kali
Mtangazaj uwezo wako bado
Jifunze to interview
Thank you for the feedback. Tutaifanyia kazi 💪🏾
Kipindi kipo fresh lakini inatakiwa iwe na party 2 hii msasa ya Fid Q
Interview nzuri sana ila vingereza vingi mno
Vipungue kiasi sio
The best interview
Erewa neno! kuvuta vuta😂
The real Mbuzi....Home boy Fid Q...I appreciate so much on what your doing brother
Man alone can transform his thoughts into physical reality. man alone can dream and make his dreams come true 🔥muda wowote Fid anapoongea lazima uondoke ukiwa positive interview ya kibabe sana nimekubali 🔥
🔥Asante sana, the man is a living legend.
Nakubalii🔥
Ngosha the don
👑 King Fid 🙌