FRIDAY NIGHT LIVE - Fid Q na Godzilla wadai Wasanii wengi wa Hip Hop 'wanajitenga'
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- Rapa Fid Q na Godzilla kwenye #FNL wameweka wazi kuwa wasanii wengi wa hip hop hawakai karibu na Wasanii wa hip Hop kitu kinacho sababisha muziki huo kukosa ushindani mkubwa kwenye game la muziki.
"Ata nikifa leo destination heaven" .... R I P King zilla keep it up fid q..
hip hop is still alive man
godizilla got swagger but fid q he is the true hip hop legendary
hip hop was good before and it is still rocking
🎵🎵🎶🎶🎤😙😙😘😘😍😍
Zilla na Fid Q, ni wasanii wasiochuja katika tasnia ya musiki wa kufoka Bongo. Mko juu sana kwa kweli. Jina la Bongo mmelinyanyua sana. Big up kwenu. Achieni remix ya pamoja itakuwa poa sana.
Hip pop bongo bila ngosha the done haiwezekani nashukulu mungu kwamba mtu mzima kapata mrithi Godzilla tangu afaric mangwer u guys Fid, Godzilla ur awesome
zilla well done but fanya mazoez brother umenenepa Sana, Daaaaaaah big up ma bro
oyaaaa FD na zila mmeza nn midomon mwenu big up sana kaz nzuri
zilaa ume rap ki consious sana big up
Best rappers alive
zillar we noma kwa swagga hizo daah tisha xana. mmeua xana big up
freestyle ya fid q iko deep sana
it was very great
aiseee ...naipenda xaaan hip hop ever
Faridi Kubanda ww ni baba yao, Mungu akuongoze uibue vipaji vipya kama ww. umeibeba hip-hop kaka. ROCK CITY JUUUUUU
Hata nikifa Leo destination heaven
Tony Dinho 😢😢
Kuna jealous na kamati za roho mbaya hata nikifa Leo destination heaven
fid Q we ni mzee wa wa Hip Hop forever brother,
maana hauna majivuna hata nukta moja
🤣🤣😂😂wazeee mmeuwaaa nimependa apo sannnaaa
Wote nawakubali
Siri zipo wazi. nani kauza Info
Siri iko wazi Nani kauza Infor????
aloo fresh inahaki kubwa ya kufanyiwa remix kama ya mchiz wangu ya n2n soljour
Big up #Fid Q the baddest.
R i p 😩😢😭😭 king zila
Good show
Daaah Fid q Noma Sana yaani unaeza ukakanae Akakuchana kwa mistari konde na usijijue Kama umechanwa wewe na Kuna mda inatokea unajua kua hii ni Diss Ila Unaamua kukausha Sababu kilicho ni kweli
hatari sana hawa ma brother yaan wanajua kurapu mpaka mziki unaonekana mtamu
Zilla huwa nakukubali sana unanata na beat kama mbele vile dah! wewe jamaa bongo bahati mbaya tu
Mwandu Mazao Idrossa RIP jembe
True
Leo wamekutana wana HIP HOP ni ku enjoy tuuu
King zilla ngoshaaaa (fredstarch5)
Killing
one of the best show in FNL ... "sasa hivi napiga mitindo huru"
R.I.P Long live HIP HOP,
daaaah zillah baba freestly imekufa sasa rip
fid q bado special xana
Zila. .....mi sikusifii ila music ni swaga''''''''''''the SaMe...#dondoka mzeee
Hahahahahahaa fid zilla noma sanaaa
Hata Mimi naweka x😅😅😅
Mmm fidq have got you well with zee zee, yeah it was good, why that for me, most of people are still claimed that, the freestyle is was for the rate mangwea only isn't it? Actually yes but didn't you hear fidq, and what about godzila, fidq today at least you showed them how freestyle
kama yupo tu daaaah RIP zila
Namcheck Ngosha anavyoutaman huo mdundo wa X amini pangefuka mosh Mkubwa Farid angekua ndan ya X belive me.
Tumaini uko sawa kabisa aiseee..
kati ya interviews nilizomuona Fid q ame smile na a little laugh 8:33
R. I. P 😭 kingzilla
fid q babaaaaake
nakubali
fid + zeez ☠
Mko poa sanaaaaa
Kweli game mmeiweza rip king zilla
Zilla uko na master was hip hop
Rest in peace
ziraaaaaaaaa
zizi
So good fid zila
M.A,P ZILLA BOY RIP
Dah 😭😭😭zilla!!R.l.P umeenda na kipaji chako
Ngosha the done
Oyooooooooooo
Farid heshima kwako..
#GoDzILLa
Mmeumiza sana
baba nyie ndo hip hop mesiah
umetisha fid
zilla mwache fid
daaaaaah 🙏 🪦
Zilla naona yuko ress sana isije ikawa uteja
Leonelly Kweka Hata mimi cjamuelewa kweli inaweza kuwa mambo yananiiii....
4ril
X
hiphop👈✌
zila vingereza vingi iyo vp
R.I.P king zilla daima utakumbukwa
Fid Q noma
#GaDzilla & #Fid_q homa ya town
Hii nyimbo inaitwaje
zila pombe Kali nn mbona shavu dodo
Zilla umamuton uzid
zilla
Thank You Guys Nimeenjoy Show Kiukweli.
dah ni hatariiiii
Zila balaaaa
r.I.p bro Zilla
Zilla kama teja eeh?nauliza2 wadau
Sipati picha angekuwepo
Utamkuta fid club anamlinda bouncer 🤣rest and peace Bro
Mmetsha sn wazee
#RIP King Zilla
RIP zilla
Zilla balaa mkali sna
Zilla zilla zilla nenda bana
nouma show yaki baba
Godzilla hatari ile mbaya
Zilla alikuwa anajua htr but r i p
RIP zizi
Kingzilla
Hv hii ngoma inaitwaje jaman ya Godzilla
Godzilla x
sema mwanza mwanza
Oyaa king zilla ni mtu mbaya mnajua
hawq jamaa ni shida
Zilla uko vizuri ila kwa Wakazi ukasome bro
Thomas Kihaga zila MTU mbaya ww,,swaga bovu anajitunisha tu
Thomas Kihaga wakaz han free style anakariri zilla anakupa kile kinatoka mdmon na akil kwa muda huu
duuh kama 50 cent
machozi
2±2" 4 lkin 2-2" 0 haaaaaa
fid q bado special xana
Tumaini uko sawa kabisa aiseee..
zilla
Hii nyimbo inaitwaje
inaitwa X
fid q bado special xana
fid q bado special xana