MWANA FA NI MKALI KULIKO NGWEAR/ PROFESSOR JAY ANAUMWA/ SUGU HAWEZI KUFANYA - JAY MOE
Вставка
- Опубліковано 26 вер 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Nipo Tunduma heshima kwako kaka mkubwa jmo❤❤❤❤❤
msela so mchafu,msela ni msafi, msela msaka not,anaenda na wakati ....mo..🙏🤝
#MOETECHNIC NAMKUBALI SANA NIMWANDISHI MZURI SANA... ANAJUA SANA MPAKA KUONGEA NAMPENDA NIKIMTAZAMA NAMUONA KAKA BINAMU #JUMA... #VIVAMOE
RETURN OF THE SUPERMAN
Nampenda bro very unique aisee ......
Bro keep it ❤🎉
Jaymoe msanii mkali amekuwa na consinstency kali sana
Alikiba moe kazi jay moe crown ana kitu na anasaut ya mamlaka sanaaa
anamisimamo sana bro na ana mpunga wamana sana toka kitambo.
MO the BEST RAPPER OF ALL TIME! ✅
Piyia kwangu pia please
We bishoo tu 😂😂😂
Moe yupo mbele sana
I like it..Moe the is the best rapper.
kuna mtu anaitwa chid benz
Natamani sana kiba amuibe huyu jamaa
Jaman mm naomba namba za jay mo
GOOD JOB BROTHER
Naomba namba zake jaman
Mo ni hatarii
Skills zao tofauti
Mobenga
J mo unasema hujawahi kujisifu kwenye nyimbo zako wakat kuna nyimbo yako moja ulijisifu uliposema makonda ni washikaj nilianza na kibanda sikuanza na gari,hapo ulijisifufu kuwa unamiliki nyumba
Kwahyo uliumia?😅😅😂
Kwaiyo ulitaka akutaje 😂😂😂😂😂😂😂
sasa huyu nyumba ni maisha yao,wamekuwa na nyumba za biashara miaka mingi,na mpaka sasa yeye mwenyewe anadeal na hizo biashara za nyumba,real estates,ni mambo ambayo yapo,ila hapo alisema tuu kuwa mbwembwe za kuonyesha magari sio vitu vyake.
Mo technique
🎉🎉
The got
Huyu jamaa anajua mpaka anafanya zambi
Dhambi sio zambi