HILI APA SWALI LA DK SULE LILILOZUA GUMZO KWA PASTA NDACHA KUSHINDWA KUJIBU.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 гру 2023
  • Kwa mahitaji ya Qaswida Mpya, Tenzi, Mawaidha, Nasheed, na matukio mbali mbali ya kijamii, usisahau ku SUBSCRIBE, LIKE, COMEENT, SHARE ili uwe wa mwanzo kupata matukio hayo kila yanapotoka kwa wakati sahihi.
    Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana nasi kupitia simu No.
    Whatsapp. +255772285543
    Call. +255772285543
    ASANTENI NA KARIBUNI.

КОМЕНТАРІ • 808

  • @user-ru4wm6bc4l
    @user-ru4wm6bc4l 5 місяців тому +32

    Ndacha Mungu akulinde akuongezee maisha marefu unajua sana

  • @user-gp7sd9kg4t
    @user-gp7sd9kg4t 5 місяців тому +18

    Congratulations ndacha mashaalah Mungu kakujalia wewe akueke miaka mingi urndelee kufunza wengi

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly7437 3 місяці тому +14

    Mtumishi wa Mungu Ndacha.Mungu Akutunze na akupe Afya njema.

    • @desirendikuriyo7557
      @desirendikuriyo7557 2 місяці тому +1

      Anae juu huu mchungaji aniunganishe nimpe hâta kidogo jamani

    • @IbrahimIbrahimramadhani
      @IbrahimIbrahimramadhani 2 місяці тому +1

      Allah wafahamishe wote wahaziri wadini ufaham mzur..

    • @husna1892
      @husna1892 Місяць тому

      1:03 ​@@desirendikuriyo7557

  • @user-ny1ut7zy3m
    @user-ny1ut7zy3m 5 місяців тому +10

    Kunawatu wariebarikiaw ndacha mungu akubarikik❤❤❤❤❤

  • @shyneafya2468
    @shyneafya2468 3 місяці тому +6

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Ndacha MUNGU akupe umri mrefu

  • @user-vb4ek9jd7x
    @user-vb4ek9jd7x 3 місяці тому +31

    Yesu ndiye njia ya pekee ya kwenda mbinguni

    • @whitetigerprincy5882
      @whitetigerprincy5882 3 місяці тому +2

      Waislam ni wapinga kristo 😢😢😢😢😢

    • @lulkul7784
      @lulkul7784 2 місяці тому

      Yesu c mungu yesu ni mtume wa mwenyezi Mungu njia ya pekee ni njia ya Allah subhanallahu wataalaa......na njia ya haki ni usilamu

    • @muhamedbashir2661
      @muhamedbashir2661 2 місяці тому

      Baba soma yohana yesu alikuwa maskini ndo maana kashindwa kuhiji

    • @lucasmisati6086
      @lucasmisati6086 Місяць тому

      Amina

    • @maulidsuleh4924
      @maulidsuleh4924 Місяць тому

      Jasho linamtoka pastor

  • @donatienbest6043
    @donatienbest6043 5 місяців тому +47

    Ata nibaki pekeyangu nitabaki kuhamini yesu Christ nibwana namokozi wamaisha yangu amen

    • @ihuriroGroup
      @ihuriroGroup 4 місяці тому +2

      Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen

    • @IsnailMudi
      @IsnailMudi 4 місяці тому +1

      Mbona bado nimasikini kama kakuokolea maisha yako

    • @jamesnjoroge8627
      @jamesnjoroge8627 3 місяці тому

      Ameeeeeeeeeeeeeen

    • @user-it8pu9od2w
      @user-it8pu9od2w 3 місяці тому

      WW una akiri

    • @user-pf3gm9sy7k
      @user-pf3gm9sy7k 3 місяці тому

      هل تؤمن بأن لديك اب ثاني فإذا قلت لا، كذلك نحن الإسلام لا نؤمن إلا بالله وحده والمسيح عيسى لبن مريم ليس إلا رسول الله وخلقه الله من طين كمثل ادم عليه السلام

  • @evarlneambiyo881
    @evarlneambiyo881 3 місяці тому +7

    Ndacha Mungu akuinuwa sana tena sana ❤❤❤❤❤

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 5 місяців тому +51

    Bwana YESU krisito asifiwe Sana damu ya Yesu inanena mema

    • @Ciciczi
      @Ciciczi 3 місяці тому +5

      Huyu ndacha mpaka kiama hawezi kujibu maswali

  • @NiyonkuruVianey-pl9jn
    @NiyonkuruVianey-pl9jn 3 місяці тому +10

    Yesu ni mwokozi wangu tena nikiongozi wangu nampenda sana

    • @RinoMajembe
      @RinoMajembe 2 місяці тому

      Mbona yesu ajaoa wewe unampenda atakuganyia nn

    • @NiyonkuruVianey-pl9jn
      @NiyonkuruVianey-pl9jn 2 місяці тому

      @@RinoMajembe ndio hajaoa kwa sababu sio kitu kilikuwa kinamuletaga hapa kwa dunia

  • @Jin-fl1hq
    @Jin-fl1hq 2 місяці тому +8

    Mungu awe nawe daima mchungaji mkristo

  • @gediontumaini1285
    @gediontumaini1285 5 місяців тому +21

    Ndacha Mungu akuongezee hekima zaindi kwa Jina la Yesu.

    • @OmyGizo
      @OmyGizo 3 місяці тому

      Csasa ivi mna silkilizaa au unajbu swali la kitabuvinginau mmekwama

  • @user-iq1pl8nw2y
    @user-iq1pl8nw2y 3 місяці тому +3

    Sifa nautukufu zamwenyezi mungu ziwe pamoja Nawe mtumishi wamungu yesu Cristo akupe nguvu pasta

  • @user-nt6ug7nb1e
    @user-nt6ug7nb1e 6 місяців тому +24

    Docta Allah akupe umri mrefu ili uelimishe watu dini Ya Mungu.

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 6 місяців тому +25

    Ndacha Mungu kakupa hiyo kazi kwa makusudi,mtumikie yeye

  • @islamninja8306
    @islamninja8306 6 місяців тому +14

    Ndacha anakwepa ukweli hali ya kua unajua sababu ya maslahi ya kidunia, Mwenyezi Mungu atuongoze tusiwe ni wenye kupotea 🤲

  • @MURHATIKIGUMI
    @MURHATIKIGUMI 17 днів тому +1

    uislamu raha Allah awabariki mitume n manabii wake wote n wajumbe waliokuja baada yao mashekhe woteee dunian wazid kuwatoa watu ktk giza n kuwaleta ktk nuru ya ALLAHU

  • @davidnyerere2016
    @davidnyerere2016 Місяць тому +6

    Mwenyezi mungu alitoa mwanawe msalabani kwa watu wenye dini tofauti

  • @user-ws6kn8tp3x
    @user-ws6kn8tp3x 5 місяців тому +6

    Ndacha you are a blessing to christians

  • @kabarezephanie3573
    @kabarezephanie3573 3 місяці тому +6

    Ndacha wewe nimwalimu kbsa ❤❤❤

  • @NeemaMashiku
    @NeemaMashiku 3 місяці тому +3

    Hakuna Dini kama uko safi ndani ya moyo wako, mujueni mungu kwa kufaata sheria zake ... Sio kutambiana Dini..Ndacha hongera, majibu yako, kumbuka hata yesu alijaribiwa na shetani but nae yesu hakujibu tofauti na bible

  • @egidideule7285
    @egidideule7285 5 місяців тому +5

    Mim nafurahi sana kweli zinapo Julikana kama hivi neno linaongea Bwana Yesu asifiwe

  • @sumenokisupai8171
    @sumenokisupai8171 Місяць тому +2

    Munjungaji mkrsito hongera sana mungu akubariki sana

  • @EllenStephano-pg9hj
    @EllenStephano-pg9hj 3 місяці тому +4

    Safi sana ndacha mungu akulinde

  • @MarysianaMalekanana
    @MarysianaMalekanana 3 місяці тому +4

    Ndacha mungu aendelee kukutumia

  • @user-ez2ef6ip2f
    @user-ez2ef6ip2f 2 місяці тому +8

    Tazama Ndacha anavyo jibu swala. Yaan unaona kabisaa huyu Kuna roho mtakatifu anamuongiza kujibu maswala yoyote alafu watuu wako wengii anao wajibuu mungu akubalikii
    Waislam mpka wa elewe ni kazi kwanza Wana vurugu maana jibu likitika wanataka kulipinga wakati ukweli tazameni wenyewe mnaona hapoo hao ni walimu wakubwa wa dini katika mdaahalo wanachokifanyaa 😢😢😢

    • @sportstoall9394
      @sportstoall9394 Місяць тому +1

      Ndacha hajibu swali directly kiufupi alichohitaji sule hapo naona Kaama vile kwenye Quran Allah subhana wataala ameidhinisha kua Quran ni kitabu chake na hata Mtume as well ameliongea hilo, Sasa nadhan sule alitaka Ndacha ajibu kua Bwana yesu kristo wap amesema kua Biblia ni kitabu cha mungu? Kiufupi hakuna mahali Yesu aliposema hivyo bali Biblia ni kama ndacha alivyosema ni mchanganyiko wa vitabu, Ila kwa maarifa yangu naona watu wa hekima wa enzi hizo ndio walifanya zoez la kuunda kitabu hicho Yani kukusanya mafundisho muhimu ndani ya kitu kimoja kimoja ndio ikatoka Biblia inamaana kipindi Yesu kristo yupo huo mkusanyiko wa vitabu(Bible) haukua una exist bali pale yesu kristo alipoondoka watu wenye hekima wa enzi na wenye kuamini ndio walio fanya shughuli hiyo, na ndio maana tunaona tuna agano jipya na la kale hili jipya ni marekebisho ya la kale, Kwa kuongozea Quran tukuf ilishushwa na alishushiwa Mtume Mohammed S.A.W na Mungu baba mlezi kupitia malaika wake Jibreal(Gabriel) wakat wa ramadhan pia hio hio Quran ni muendelezo na mkusanyiko wa vitabu vilivyo pita kama vile Injil, Zaburi, Taurat nk. Kwa Imani ya Islamic inasema Yesu kristo ambae ni Nabii Issa alahi Salam alikua na Injil ndio kitabu chake kwa wakati alio hudumia. Kiufupi haya mambo ya dini ukileta udini sana basi huwezi pata jibu kamili na huzua mzozo sana ambao haujawahi kuisha na wakati mwengine unaleta chuki sana kwenye jamii yetu, Binafsi Mimi Nina maswali ambayo hakuna sheikh Wala mchungaji yotote ameweza ni jibu maana ikumbukwe kua nyuma ya hizi dini Kuna Siri kubwa sana. Tuendelee kumuabudu Mungu baba yetu mlezi maana ya dunia ya sasa yanafurahisha.

  • @pauluyagirwe6189
    @pauluyagirwe6189 5 місяців тому +5

    Ubarikiwe sana Mch Ndacha

  • @JoyceMonewa
    @JoyceMonewa 5 днів тому

    Bwana yesu akubaliki sana wakatea wasikubali yesu ni Bwana na Bwana ndiye mungu❤

  • @barakafondo8090
    @barakafondo8090 5 місяців тому +5

    Waslaimu kwisha , Ndacha be blessed

  • @JeanbaptisteMwenyemali
    @JeanbaptisteMwenyemali 2 місяці тому +2

    Kiukweli nimechanganyikiwa jibu yenu nyinyi wote ni kwamba .
    Kwaimani yangu Mungu na dini yangu wako Rohoni mwangu .
    Imaniangu ndo kilakitu

  • @kassimmwandoro4092
    @kassimmwandoro4092 3 місяці тому +1

    DR Sule mungu akupe afya na hekima zaidi na kuraani haijabakisha kitu ila ni ubishi tu kwa wasio na elimu.

  • @user-sh9mn1ir5q
    @user-sh9mn1ir5q 5 місяців тому +3

    Pastor Ndacha Mungu akulinde wapukutishe waislamu kwa maandiko

  • @geofreykosgei202
    @geofreykosgei202 4 місяці тому +2

    Nafurahia mafundisho,i learned and i grew up knowing that the Bible was written by inspired men of God

  • @user-os5yq3pg2e
    @user-os5yq3pg2e 4 місяці тому +2

    Ndacha uko sawa big up mwalim , wacharase🎉

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k 6 місяців тому +10

    Shekhe nakupenda kwaajili ya Allha yan Allha awajalie afya njema

  • @francessimilanzi4545
    @francessimilanzi4545 5 місяців тому +5

    Mungu akubariki paster ndacha

  • @aminanekesa3718
    @aminanekesa3718 2 місяці тому +1

    Mdahalo wa Elimu jamani😂d'alibi za Ndacha ziinaonekana kama hana éliminer ya kutosha Allah Akulinde Sheih Dr sule❤

  • @threebrothers..
    @threebrothers.. 3 місяці тому +6

    Endeleeni kutukuza maiti, Muhammad

  • @wideman8362
    @wideman8362 6 місяців тому +10

    Kiukweli namkubali dr suley ila ndacha hana mpinzani hapo

  • @ZakariaAlly-vq2rd
    @ZakariaAlly-vq2rd 5 місяців тому +9

    Doctor sule Allah akubarik ukupenguvu uweze kuwabana wabaya wadini akuingize peponi

  • @GeasiMkobani
    @GeasiMkobani 10 днів тому

    Ahsanteni kwa mdahalo mzuri,hakika tunaelimika. Ukristo ni dini imara.

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 6 місяців тому +11

    Mashaallah dk swule

  • @LovelyAntenna-eq9fv
    @LovelyAntenna-eq9fv 5 місяців тому +4

    Nakupenda xana ndaacha mjasiri❤

  • @ProsperKilenga
    @ProsperKilenga 4 дні тому

    ❤❤ ndacha wetu wewe noma sana baba waeleweshe

  • @mambilemembe8892
    @mambilemembe8892 2 місяці тому +7

    🎉❤❤❤ndacha nimekukubali,yesu ni bwana

    • @adnanel-islam3291
      @adnanel-islam3291 2 місяці тому

      Hamna dini nyie anachukua aya azitakazo kwenye kitabu hicho nyengine anazikataa Hamna dini wakristo mnayumbishwa tu

    • @CatherineGodfrey-dx2uo
      @CatherineGodfrey-dx2uo 2 місяці тому

      Okay honger very now god

  • @JoaomarcelinoRumba-io8wk
    @JoaomarcelinoRumba-io8wk 2 місяці тому

    Mtumishi WA mungu mungu akulinde na azidi kukubaliki bwana yesu asifiwe Milele Im from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @charleskamau645
    @charleskamau645 2 місяці тому +2

    Waislamu wa huko Kenya mkitaka kujua neno la Mungu na mambo ya Holy Spirit of God mtafute mtu kutoka church of God wale tunavaa nguo ndefu kama ninyi lakini hatuvai kofia kama vile mnafanya. Yule muislamu ataenda huko atafundishwa ukweli wote na vile Mungu hutaka watu wake wakae wakijitaarisha kwa kurudi kwa Yesu mara ya pili kuchukuwa walio wake. Waislamu wote hawajaokoka pamoja na wale wanajiita wakristo na hawajaokoka wote wataenda motoni milele na milele.

  • @charleskamau645
    @charleskamau645 2 місяці тому +3

    Mimi wakati nilikuwa Kenya tuliongea na Muislam mmoja huko Muranga na wakati tuliachana aliniambia neno langu kuhusu Mungu ni nzuri na angetaka siku fulani niende kwake tuongee na akaniambia mahali tutakurana. Nilifurahi sana na nikaambia Mungu anipe neno lile nitaenda kumwambia huyo muislamu. Nilipofika nyumbani kwangu nikaomba na nikalala lakini kwenye vision nikasikia sauti ya Mungu ikiniambia nisiende kwa huyo muislam sababu ana jama ya kuniua. Kwa hivyo sikwenda kwake. Pia Mungu aliniambia Allah ( mungu wa waislamu ni sanamu yani an idol god who cannot talk or hear and thats why they fight for him to the point of even killing somebody who opposes their god. For me nobody told me that Allah is an idol god but God himself spoke to me that day. Its a day l will never forget.

    • @lizzymwangi9940
      @lizzymwangi9940 11 днів тому

      Yeah it truth 👏 I beside you
      🙏Our God is Faithful
      Elijah tyme wth wanabii mlima kalimeli Dio hawa xaxa Waislamu

  • @user-ty8ci5oi9m
    @user-ty8ci5oi9m 3 місяці тому +2

    Kwani wa Isilamu mtaendelea lini kujiweka vitambaa kwa macho wacha nikwambie ukifuatilia bibilia ukaona agano lakale na agano lipya kama Yesu agekataa kukuja kuwaokoa musingeishi vizurii maana zamani ukifanya dhambii ulikua ukiwuliwa na Mungu au uwekwe msalabani. Na kila mtu wa kawaida alikua hana Uezo wakumuongelesha Mungu. Lakini kwa sasa juu ya JESUS unaishi na sio waminifu wako nyie wa ililamu nawapia hukuna kufika Mbinguni Bira gupitia Yesu Kristo labda ukitubu.🙏🙏

  • @JofreyAbdala
    @JofreyAbdala 3 місяці тому +1

    Jaman hzo nkama vta kilaamt aamin kiviake me nampenda yesu aamina mtumishi yesu kasema wawili au watatu na yeye atakuwepo

  • @Official_Sunday_Mjeda
    @Official_Sunday_Mjeda 2 місяці тому +1

    Jamn ulizi wa binadam kwny mamb ya mungu yajay yanafuraisha kweli kweli

  • @MichaelNyobange-ss5pp
    @MichaelNyobange-ss5pp 4 місяці тому +5

    Pastor Ndache you are a true pastor

  • @jamuhurialiwazir4685
    @jamuhurialiwazir4685 6 місяців тому +7

    Yaa Alha
    Msirimishe ndacha
    ii ni Atari sana .

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 6 місяців тому

      Aameen, but hadi Allaah amuongoze, sababu ndacha hajali kuenda motoni kwasababu ukweli wote ndacha anaujua, ya kwamba uislamu ndio dini ya hakki, na kama sio ya ukweli ndacha atoe aya yake

    • @richardchimba3800
      @richardchimba3800 27 днів тому

      Kwa sababu ana washinda 😂

  • @user-cq5pt8zy7t
    @user-cq5pt8zy7t 5 місяців тому +27

    Bibilia ni mkusanyiko wa vitabu hapo Ndacha nakubaliana na wewe🙏🙏

  • @PriscillaThadeo
    @PriscillaThadeo 3 місяці тому +4

    Yesu ni Bwana na mwokozi wa maisha yangu EFATHA

  • @lulkul7784
    @lulkul7784 2 місяці тому +3

    Dr sulle 🔥mungu akulinde sheikh masha allah

  • @rizikikasangandjo6018
    @rizikikasangandjo6018 2 місяці тому +1

    Ubarikiwe pasteur ndasha.

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 3 місяці тому +2

    Huyu jamaa Mbona kanyosha jibu fresh tu

  • @RinoMajembe
    @RinoMajembe 2 місяці тому

    Dr. Sule hao unawaweza mungu akulinde shekhe wangu

  • @mjombawallace4966
    @mjombawallace4966 22 дні тому

    Ndacha mungu akupe uhai mzuri naulinzi baba 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @BaloziWacobra
    @BaloziWacobra 14 днів тому

    Mungu akubariki sana mchungaji wetu tena akupe akiri sana

  • @whitetigerprincy5882
    @whitetigerprincy5882 3 місяці тому +10

    Ndacha nakupenda saana hadi kifo kunichukue

    • @AdeshMoha-ir4be
      @AdeshMoha-ir4be 2 місяці тому

      Kuele ama pasta wanawadanganya anaulizwa swali anaruka swali kwani hamna maskio ama😮😅 namuoni ama

    • @whitetigerprincy5882
      @whitetigerprincy5882 Місяць тому

      ​@@AdeshMoha-ir4beSoma bibilia

  • @jacksonmwamkinga8729
    @jacksonmwamkinga8729 4 місяці тому +2

    Pastor upo vizuri sana

  • @dominickyalo5517
    @dominickyalo5517 3 місяці тому +2

    Ndacha Mungu akuzidishie hekima

  • @daniellourencojaime
    @daniellourencojaime 4 місяці тому +2

    BWANA YESU KRISTO ATUKUZWE,ATA MUKAFANHAJE AMUWEZI KUPOTOSHA YESU KRISTO.MIMI BADO NIPO KWA YESU KRISTO MILELE,ATA IWEJE.🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @abasingaruka1872
    @abasingaruka1872 5 місяців тому +20

    Mimi ni mwislamu, Nakubali majibu ya ndacha, Sule acha uoga kuleta ukorofi

    • @allyhamad9665
      @allyhamad9665 4 місяці тому +2

      Wewe ni muislam kweli au unataka kuuchafua tu uislam

    • @farhiaabdii8279
      @farhiaabdii8279 3 місяці тому

      😂😂😂

    • @ismailkhamis-ks8gp
      @ismailkhamis-ks8gp 3 місяці тому +1

      Ww si mwislamu ni mnafiki tu

    • @whitetigerprincy5882
      @whitetigerprincy5882 3 місяці тому

      ​@@farhiaabdii8279hipo siku utajua yesu ndio njia maanake Sasa hupo kwenye giza

    • @allyhamad9665
      @allyhamad9665 2 місяці тому

      Halaf usituone sisi waislam watoto eenh

  • @JosephNyabero
    @JosephNyabero 5 місяців тому +2

    Amen,mukusanyiko wa vitabu.

  • @CatherineGodfrey-dx2uo
    @CatherineGodfrey-dx2uo 2 місяці тому +2

    Amen god teaher work sewing

  • @mohamedmohamud9691
    @mohamedmohamud9691 4 місяці тому +5

    Huyu ndacha badala ya kujibu maswali moja kwa moja anajifanya mjanja kwa kuleta topic tofauti ili kuchanganya watu. Hana mwelekeo hutu ndacha mnao wasikiliza bali ni mbishi anae piga ma kelele ili kuichanganya na kupotosha fikra za watu. Hii ni Aibu kubwa mno.

    • @SuleshKE
      @SuleshKE Місяць тому +1

      Wewe unamwelekeo jibu

  • @RogerJulius-le3xs
    @RogerJulius-le3xs Місяць тому

    Hawakuwezi hao mungu akutie nguvu kamand ipo siku na sisi tunapigania din yetu tupo pamoja

  • @MichaelNyobange-ss5pp
    @MichaelNyobange-ss5pp 4 місяці тому +7

    I love pastor Ndache you are a true pastor of God

    • @hafidhmohd8696
      @hafidhmohd8696 4 місяці тому

      mwambie ajibu swali sio kutofautisha baina ya sule na wanavuoni
      swali andiko la kusema bibliya ni kitabu chake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @BonnyKandada
    @BonnyKandada Місяць тому

    Ubarikiwe sana kabisa mtumishi wa Mungu

  • @mathewhabyarimana
    @mathewhabyarimana 2 місяці тому +1

    Ubarikiwe Mwalimu Ndacha

  • @petermwelesa1749
    @petermwelesa1749 3 місяці тому +2

    Amen kwa mwalimu wa bibilia

  • @deogratiusarkadmrosso3924
    @deogratiusarkadmrosso3924 4 місяці тому +8

    Mungu akubarik ndacha

  • @apostlepeter2411
    @apostlepeter2411 Місяць тому

    Ameeeen Yesu wetu asifiwe walimu nguvu za Yesu ziwe nanyi

  • @user-su5jq6zl4o
    @user-su5jq6zl4o 5 місяців тому +1

    Sheik dr sule mungu akupe maisha malefu

  • @user-lq6fd4tv4m
    @user-lq6fd4tv4m 3 місяці тому +2

    Nakubali ukristo

  • @JoyceMonewa
    @JoyceMonewa 5 днів тому

    Bwana yesu akulinde na kukupigania

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 Місяць тому

    Ndacha elimu ndogo, doctor Sulley uko juu sn MashALLAHu

  • @kalangwapaschal7718
    @kalangwapaschal7718 11 днів тому

    Mnajisumbua bure na kupotoaha wenzenu na huku mnajua ukweli kuwa Yesu ni Mungu.kumbukeni ipo siku mtasimama mbele zake kutoa hesabu.YESU Ni MUNGU mkuuuuuuu

  • @princejsong73170
    @princejsong73170 4 місяці тому +2

    God bless you pst Ndacha.
    Although the venue was biased, you always beat the odds

    • @AdeshMoha-ir4be
      @AdeshMoha-ir4be 2 місяці тому

      Ni pastor wakuru karuka kuliko wajibu swali anaitwa pasta ndacha endelea tu kuwadanganya wapange mzuri panga wao mzuri😂😂😅😅

  • @user-nz2sk8tk1o
    @user-nz2sk8tk1o 3 місяці тому +1

    Amina amina umenena baba yesu akuongeze

  • @nicholasonsomuoyaro9549
    @nicholasonsomuoyaro9549 3 місяці тому +1

    Kutamka si hoja! KAZI aliyoifanya Yesu yadhihirisha Biblia ni neno la Mungu.

  • @cyrusgathogo5639
    @cyrusgathogo5639 5 місяців тому +4

    Wazee kumi kapewa elimu na mwanaume mmoja kwa Jina Ndacha 😂😂

  • @BerylNancy
    @BerylNancy 3 дні тому

    Waislamu mko na kazi kweli

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 5 місяців тому +1

    Mashaallah mashaallah Allah akbar Allah akbar ndacha jubu swali acha kukwepa

  • @ShabanKiringi
    @ShabanKiringi Місяць тому +1

    Congratulations Ndacha

  • @user-ln5lt4pl7m
    @user-ln5lt4pl7m 3 місяці тому

    Nashukuru Mwenyezi Mungu kwaku nitowa kwenye ukritu nakuni fanya Muisilamu

  • @PurityJohn-if4ei
    @PurityJohn-if4ei 14 днів тому

    Lakin maandiko yanasema wazi maana hakuna kubishana na neno la Mungu❤ love you Jesus yohana 1

  • @smartlifefun
    @smartlifefun 6 місяців тому +5

    If this is a doctor in tz am afraid😢😢 l mean he doesn't comprehend and connect the dots😂😂

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 5 місяців тому +1

    ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉 Ubarikiwe mchungaji

  • @chachawambura4030
    @chachawambura4030 6 місяців тому +6

    NDACHA ni mashine bana😂😂

    • @manlematz821
      @manlematz821 2 місяці тому

      Ndacha hana kitu kabisa anajibu nje ya swal

  • @siryahesabu3710
    @siryahesabu3710 Місяць тому

    Huu mdahalo nuliusikiliza hadi mwisho, waislamu walishundwa wa wakristo

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 6 місяців тому +7

    namuona mazinge Allah awafurahishe nyote

    • @ritchiemuta1092
      @ritchiemuta1092 3 місяці тому

      Ni komedi huyu jamaa huwa ajibi swali gumu bali kuleta vichekesho

  • @user-dr4oh5xk1j
    @user-dr4oh5xk1j 6 місяців тому +6

    Ndacha acha Kona Kona jibu swali

  • @UddymanThegreat
    @UddymanThegreat 3 місяці тому +5

    Namshukuru allah kwakunipa dini ya haki islam ndio dini yangu

    • @DrUno-kp8go
      @DrUno-kp8go 3 місяці тому

      😂😂😂

    • @lulkul7784
      @lulkul7784 2 місяці тому

      Alhamduliliah proud to be a Muslim ❤

    • @Raymtumishi
      @Raymtumishi 2 місяці тому

      Mjinga wee mbinguni hatuend kwa dini

  • @Kanyabobothefirstborn
    @Kanyabobothefirstborn 4 місяці тому +1

    You good to go pastor ndacha may God bless you tell them the truth

  • @RamaKahindi-vw4oz
    @RamaKahindi-vw4oz 6 місяців тому +7

    Mm sio msomi vile lakini ndacha anajibu swali ambalo hajaulizwa anaenda inje ya swali kabisa

  • @nahashongichine4877
    @nahashongichine4877 5 місяців тому +8

    I love how people in the great nation of Tanzania co-relate together, both Muslims n Christians live together in peace n love