Barikiwa sana ndacha yesu kristo azidi kukutumia roho mtakatifu maana yesu kristo ni ngome imara isiyoweza kuvamiwa na jeshi lolote, mungu ni mkubwa ndacha kusimama na hao waislaam ukiwa wewe peke yako
Hypocrisy at its best. Kuanzia masomo ya kulinganisha hivi vitabu, kikashifu na kulaani na hatari zaidi ni juu ya pesa. Pesa,pesa pesa. Nawaonya Kwa Hilo. Maswali mengine yanadhuhirisha kwamba hawa watu nyinyi mnatumia akili zenu kuchanganua mambo mambo yaliyofichika ya mungu na yanayojitokeza Tu kiroho. Mfano; mbona yesu sijui hakurudisha punda? Ni wapi yesu akasema biblia ni kitabu cha mungu. Kwanza yesu na mungu ni mungu mmoja. Hakuna yesu tofauti na mungu akiwa kivyake maana this super natural beings , part of the spirit of the super natural being ndiyo ilikua Kwa yesu. Hilo hamlitambui ni kurushiano maneno ya akili ndogo Sana za binadamu. Na kudhibitisha hili, mungu Hadi, ndiyo maana yesu Halifax kifo cha binadamu, Mohamed alikufa akaoza vile binadamu huoza, yesu not that he wasn't able to defend himself from people crucifying him no. He came down for the purpose of teaching human beings the right way, not how powerful he was, if the old testament prophets were able to perform extra ordinary miracles by powers of God, don't you think he was able of doing anything to that mutitude ndipo wengine husema yesu atakuja sijui akufe hivo mohammed ndiye njia. Jamani mbona mnadanganywa jinsi Eve alidanganywa na the wickedly wise devil 👿. Tafakari mambo mengine si kuziba masikio na nta
Ww unafurahia kuzaliwa uislam,mbingu utaiskia tu,siku atakapokuja YESU katika utukufu wake,na wa MUNGU wa mbinguni mtalia na kusaga meno,nakuhakikishia usipokiri YESU,na kumwamini mbinguni hutaingia kamwe
Nimekuskiliza vzr amazinge ila nilicho gundua kwko ujui kufafanua maandiko vzr una kurupuka tu cha msingi rudi kwa Yesu bdo ana kupenda coz yye ndye njia na uzima iendayo mbinginu.
Hakika huyu Mtu anaitwa Ndacha ni mpotoshaji dhahir. anasoma aya nusu na kutoa tafsiri zakwake za uongo kabisa. Asipo badilika anachomwa vibaya sana jahanam. hio aya ya 63;1 anajua fika anaisema kiuongo
Wa Cristo heri ni kwenu...wa Islam okokeni muwe wa Cristo Jameni ,sababu waalimu wenu wiko nawa danganya n'a mwisho ni moto....jina la yesu li barikiwe. From Rdcongo. Mambasa
Kabla hajaja au kuzaliwa tarehe 25 mwezi wa 12 je waliokuepo mwanzo terehe 24 mwezi wa 12 au siku za nyuma yake walikombolewa na nani???, kueni na akili wakiriato mucwe mazumbukuku
Eti kaja kukomboa amkomboe nan, acha kudanganya hapa hamuwez kuwadanganya wenye akili zao hapa,yy mwenyew anatka kukombolewa na aliye muumba naye ni Allah . Nyiny semeni mtakavyo sema yesu ni mtume huo ndo ukwel,anaefuatwa ni Allah ndie aliyeumba dunia huwez kufuatwa ww na huo uongo unatueleza
Serikali kama serikali,ipige marufuku mijadala kama hii,,kila mwenye imani yake,aifuate sehemu husika,,,kama msikitini,au kanisani kwa imani yake,,,kwa nchi yetu yenye Kama Tanzania, tuheshimiane kwenye sana sana kwenye maeneo ya ibada,,Leo serikali ianaruhusu mabishano kama haya ya kudhalikisha manabii was MUNGU,,"na wkt huo lugha za maudhi zinatumika,kwa nini serikali inayaruhusu haya? Hakuna dini inayoweza kufuta nyingine isiwepo,"wote tumezaliwa,tumezikuta dini,"hatuna budi kuziheshimu,"ukweli anaujua MUNGU,,,hawa wenye mijadala hii,waende kwenye maeneo,kwa imani zao,"binafsi,sidhani kama amani ni ya kutosha sana Serikali,hili liko kwenu Ndugu zangu, Muogopeni MUNGU
Allah anasem ومن يبتغ غير إسلام الدين فلن يكبل منه وهو في الآخرة من الخاسرين maan yk yoyote atakae fuat dini asio kua uislam mto huyo ataingia motoni wallah uislam Raha San ❤
All Muslims and most Christians acknowledge that they believe in the same god even though their understandings differ. Arabic-speaking Christians call God Allah, and Gideon bibles, quoting John 3:16 in different languages, assert that Allah sent his son into the world.
Pingeni tu ila mkifa ukweli mtaukuta huko mbinguni ni heri Mungemwanimi Bwana Yesu awaokoe Biblia imiesheheni kila idara ina pumzi ya Mungu hata ukiipnga unajisumbua bure
Huezi mlinganisha ndacha na hao mashekhe sijui mavitu gani,,ndacha amesoma hadi quran na anaielewa na ndio maana anaipinga koz sio kitabu cha kweli bali mazinge ni porojo tu na ubishi wa msikitini tena hawaelewi ata hio quran yao
Wallahi haya mambwembwe ya Mazinge nayapenda sana, hivi ndo inavyotakiwa Muislam katika Mashindano, vita au Midahalo ya dini baina ya uislam na dini yoyote lazima uoneshe mbwembwe/ujidai kuisimamia dini usiwe laini laini au mwepesi
Mashallha!,Allha awafanyie wepesi katika Mambo yenu Amin!!🤲🤲
Allah bless you all teacher of Islam to spread the right path to Allah and all Muslim to spread Islam
Barikiwa sana ndacha yesu kristo azidi kukutumia roho mtakatifu maana yesu kristo ni ngome imara isiyoweza kuvamiwa na jeshi lolote, mungu ni mkubwa ndacha kusimama na hao waislaam ukiwa wewe peke yako
Kinyogoli Allah akupe umri mrefu wenye kheri
Uko vizuri sana mtumishi Ndacha, may God bless you!
Yesu kristo ndie njia ya kweri na uzima❤ 🎉
Aqqqqq
Ameen
Mashallah mashek wetu mungu awabarik na awape umri mrefu AMiin
mashaalllh mashekh zetu niraha sana kuzaliwa katik uislam
Assalam aleykum.big up muslim brother's keep it up.mashallah.
Walaikm Salam warahmatullah wabarakat
Hypocrisy at its best. Kuanzia masomo ya kulinganisha hivi vitabu, kikashifu na kulaani na hatari zaidi ni juu ya pesa. Pesa,pesa pesa. Nawaonya Kwa Hilo. Maswali mengine yanadhuhirisha kwamba hawa watu nyinyi mnatumia akili zenu kuchanganua mambo mambo yaliyofichika ya mungu na yanayojitokeza Tu kiroho. Mfano; mbona yesu sijui hakurudisha punda? Ni wapi yesu akasema biblia ni kitabu cha mungu. Kwanza yesu na mungu ni mungu mmoja. Hakuna yesu tofauti na mungu akiwa kivyake maana this super natural beings , part of the spirit of the super natural being ndiyo ilikua Kwa yesu. Hilo hamlitambui ni kurushiano maneno ya akili ndogo Sana za binadamu. Na kudhibitisha hili, mungu Hadi, ndiyo maana yesu Halifax kifo cha binadamu, Mohamed alikufa akaoza vile binadamu huoza, yesu not that he wasn't able to defend himself from people crucifying him no. He came down for the purpose of teaching human beings the right way, not how powerful he was, if the old testament prophets were able to perform extra ordinary miracles by powers of God, don't you think he was able of doing anything to that mutitude ndipo wengine husema yesu atakuja sijui akufe hivo mohammed ndiye njia. Jamani mbona mnadanganywa jinsi Eve alidanganywa na the wickedly wise devil 👿. Tafakari mambo mengine si kuziba masikio na nta
Ndacha MUNGU na akupiganie na akubariki Sana tuwabatize hao🔨⛏️⛏️⛏️🔨🔨🔨🔨
Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yang hapo kama hsutojli
Mim ustadh natak wallah lakin ni mefiny sikuon mahal na enda
@@AAA-zu1vy Ingia katika UA-cam halafau nisachi kwa Jina hili Muhammad kipanga tv utayapata masomo yetu ya Quran
Allah akubaarik
Yesu ni mwamba milele daima
Kwani kunamuisiramu arie kataa kama isa sio mtume
Mwl NDACHA UKO safi Sana MUNGU Yuko upande wako
Ndacha uko vizuri saaana!
Majibu unayasikiliza lakini
Uko vzr Sana mwalimu ndacha
Hahaha ALHAMDULILLAH nimezaliwa muisilamu
ALHAMDULILLAH
Namshukuru mungu kuzaliwa muisirau
Ww unafurahia kuzaliwa uislam,mbingu utaiskia tu,siku atakapokuja YESU katika utukufu wake,na wa MUNGU wa mbinguni mtalia na kusaga meno,nakuhakikishia usipokiri YESU,na kumwamini mbinguni hutaingia kamwe
@@kawtharalbarwani1337 mohammed alikuwa muuaji hatari sana!
@@massiasinkala3478 mohammed alikuwa muuaji hatari sana!
Mazinge hatawahi kuuliza swali la upanga tena, hahahaaaa. Ameshangaaaaa
Yaani mpaka ataenda kaburini bila kuuliza hilo swali
@@adammasunga5363 woooiii
Ebu sikirizeni mbaka mwixho
Absolutely true
Mashallah,,mwenyezi Mungu awazidishie
Mwenyekiti umefanya vizuri kuzuia lugha ya maudhi
mashaallah sheikh wetu muko vizuri mungu awape umri mrefu
mungu haiandikwi kwahelufi ngogo Mungu umeonae
@@davidkifalu6812 zzzzzZZzZZzZzzZZzZXX
Mashallaa
@@rashidimohamedmkwizu1245 mohammed alikuwa muuaji hatari sana!
@@davidkifalu6812 ngogo maana yake ni nini?
Masha-allah mungu awajaalie umri mrefu wenye manufaa mashekhe wetu
Nimekuskiliza vzr amazinge ila nilicho gundua kwko ujui kufafanua maandiko vzr una kurupuka tu cha msingi rudi kwa Yesu bdo ana kupenda coz yye ndye njia na uzima iendayo mbinginu.
Wewe mwenyewe kuandika hujui
Nbi o
Y hTouch and hold a clip to pin it. Unpinned clips will be deleted after 1 hour.
Maa Shaa Allah, Allah Awabariki Ma Sheikh Awape Umri Muzidi Kuelimisha.
Allahummah Aaamin 🤲
Swahiba kumbe huku pia hua wapatikana
Unakula vitu tu huku 😂😂😂😂😂😂😂
@@alidingongo443 🤣🤣🤣🤣🤣 Jamani Wewe.
Mashallah mashekhe wetu Allah Yu pamoja nanyi
Mashaallah Islam is the best
Allah akuifadhini nyote mko sahihi mashekhe zetu nawapendeni ajili ya Allah
Hakika huyu Mtu anaitwa Ndacha ni mpotoshaji dhahir. anasoma aya nusu na kutoa tafsiri zakwake za uongo kabisa. Asipo badilika anachomwa vibaya sana jahanam. hio aya ya 63;1 anajua fika anaisema kiuongo
Hapo ni roho mtakatifu lazima utibiwe wakristo utumia roho mtakatifu ndio kiongozi wao thanks pastor Ndacha
Mashaallah Ustadh Mazinge
Jazakallah Khair
Mazinge akishindwa mada anajigeuza kichekesho
Mazinge umepoteza wengi lakini malipo yakungoja
SOMA VIZURI BIBLIA YAKO VIZURI ACHA KUJIBABAISHIA
@@aminland876 mohammed alikuwa muuaji hatari sana!
Mohamed alikua muuaji
Mohamed mjomba ako huyo ndoalikua muuaji ila mtume wetu ni Muhammad (s. a. w)sio muuaji ww unahiari yako kumfuata yesu au Allah
ww mazinge anatoa ushahidi kutoka kwa bibilia yenu hiyo ni nini??
Mashallah kinyogoli na mazinge Allah awahifadhi ameen inshallah
Nzuri sana hi video, mungu awasaidie kufundishini watu si kwa ubaya, wala msigombane. elimishane jamii wamjue mungu
Wa Cristo heri ni kwenu...wa Islam okokeni muwe wa Cristo Jameni ,sababu waalimu wenu wiko nawa danganya n'a mwisho ni moto....jina la yesu li barikiwe.
From Rdcongo. Mambasa
Nakukubar sana ndacha buruza hao mashekh mpaka waseme Bwana YESU asifuwe
Ndacha ni mwanaume amemunyoosha Mazinge,alitaka kutumia ujanja kashindwa.
Kashindwa na wapi?
Neno La Mungu haliitaji uwe proffesor ...
Ubarikiwe Ndacha🔥
Maashallah nakupenda mazinge kwa ajil ya Allah
Manshaallah sheikh mazinge nakupenda Sana kwa ajili ya mungu
Mashaallah Sheikh Mazinge Mungu akujaalie Rahma
Kifo cha yesu Mazinge ilikuwa n mpango wa mungu na msije mkapoteze watu kama ukipoteza watu jua mto wa jeanum uko
Punda wa kuazima 🤣🤣🤣🤣... Hakuazima, alisema Bwana anamtaka punda
NDASHA JAMANI HE IS ON FIRE
Ndacha kazi unayo roho wa MUNGU akutunze popote pale unyayo wako utakapokanyaga maana si kazi ndogo
Sheikh wetu Allah akulipe kwa kulingania dini ya Allah
Muhammad na Allah wataingiza nyayo zao motoni.
Pastor uko vizuri
Mungu akupe nguvu na afya shekh mazinge.
Kwel inafunsh cn mbarikiwe
Jamani tusomeni maandiko sana. tutadanganywa sana na mpaka tutachanganyikiwe lakini ukweli uko palepale tu Yesu kaja kwa ukombozi wa mwanadam
Kabla hajaja au kuzaliwa tarehe 25 mwezi wa 12 je waliokuepo mwanzo terehe 24 mwezi wa 12 au siku za nyuma yake walikombolewa na nani???, kueni na akili wakiriato mucwe mazumbukuku
Eti kaja kukomboa amkomboe nan, acha kudanganya hapa hamuwez kuwadanganya wenye akili zao hapa,yy mwenyew anatka kukombolewa na aliye muumba naye ni Allah . Nyiny semeni mtakavyo sema yesu ni mtume huo ndo ukwel,anaefuatwa ni Allah ndie aliyeumba dunia huwez kufuatwa ww na huo uongo unatueleza
Serikali kama serikali,ipige marufuku mijadala kama hii,,kila mwenye imani yake,aifuate sehemu husika,,,kama msikitini,au kanisani kwa imani yake,,,kwa nchi yetu yenye
Kama Tanzania, tuheshimiane kwenye sana sana kwenye maeneo ya ibada,,Leo serikali ianaruhusu mabishano kama haya ya kudhalikisha manabii was MUNGU,,"na wkt huo lugha za maudhi zinatumika,kwa nini serikali inayaruhusu haya?
Hakuna dini inayoweza kufuta nyingine isiwepo,"wote tumezaliwa,tumezikuta dini,"hatuna budi kuziheshimu,"ukweli anaujua MUNGU,,,hawa wenye mijadala hii,waende kwenye maeneo,kwa imani zao,"binafsi,sidhani kama amani ni ya kutosha sana
Serikali,hili liko kwenu
Ndugu zangu,
Muogopeni MUNGU
Wewe baba usifikiri quruani inazungunza kama wewe lugha ya ALLAH neno moja ina maana nyingi
Muhammad ni uchawi na alipanda huyo mnyama alipanda kichawi
Ww ndio mchawi Muhammad wetu msafi sana hana dhambi.msenge ww mtoto wa plastic.
Mazinge ni professor.ndacha huna hoja
Wacha ushambiki
Jesus himself prophecised the coming of Muhammad (saw)
👏👏👏
Kwa Mara ya pili nashuhudia Mazinge AKIBURUZWA NA HUYU MUHUBIRI NDASHA
*YESU JUUUUUUUU*
Yesu ndio njia ya kweenda mbinguni
Mwenyezimungu wasamehe ao wakristo hawajui wanalo litenda amin
Waislam ni wasema kwel na watabak kuwa. wasem kweli tu
Kama kuna watu nawapenda nimahadhil mashaallah Allah awajaliy
😂😂😂😂😂😂mchungaji nomaaaaaaa kawapiga panapouma
😃😄na penda group ya mazinge mashaallah mngu awazidishiye
Umeon kis wa kristo wa liangalia ustadh manzing aki changish elif kum😂😂😂😂
Mazinge' hana hoja'' mambo ya kirohoo'unajibu kimwil'''
Mhadhara wautaratibu ndacha haiwezi,matusi na kejeli pamoja na istihizai
Allah anasem ومن يبتغ غير إسلام الدين فلن يكبل منه وهو في الآخرة من الخاسرين maan yk yoyote atakae fuat dini asio kua uislam mto huyo ataingia motoni wallah uislam Raha San ❤
Mazinge mnasoma vifungu nusunusu lakini pia biblia sio kitabu cha hadithi ili kuelewa inahitaji kufunuliwa na Roho mtakatifu ....
Joseph hata ndacha ana ufahamu mhache wa Quran na pia quran sio Kama gazeti, tatizo anatafsiri Kwa kichwa chake
Kiswahili ngumu sana kwa wakristo..we need an English muhadhara please.
God of wonders🙏🙏🙏pasta ndacha blessed
Dacha umetosha. Wafunze waislamu kwamba wamepotea kabisa.
Jazzakallahu khairan
Waisilamu wote wamepotea
Bibilia Ina pumzi ya uhai wa Mungu. Twende binguni turudi duniani yesu ni mwana wa Mungu.
Nani kakudanganya yesu ni mwana wa mungu...Mungu hajazaa wala hajazaliwa
@@salimuwaya7600 mohammed alikuwa muuaji hatari sana!
Waislam ni makafili kweli mumpigwaaaaaaa kbx
Islam is a true religion!
I agree for u
Weka hoja ndugu
Acheni kupamba kama muhamadi haponyi mtaponwa na nani .wakati hammuamini mponyaji
Pole sana Mungu akusaidie
Asante mungu mm nimwisilam
Mwenyekiti yuko fare sana nmempenda
YESU NI MWAMBA ❤
All Muslims and most Christians acknowledge that they believe in the same god even though their understandings differ. Arabic-speaking Christians call God Allah, and Gideon bibles, quoting John 3:16 in different languages, assert that Allah sent his son into the world.
Ndacha alishindwa Kenya na Anuari kakimbilia tz😂😂😂
Swali la kijinga kbx
Haha mazinge amejibiwa hadi katamani ardhi ipasuke imzikee.. Ukristo ni haki
Pingeni tu ila mkifa ukweli mtaukuta huko mbinguni ni heri Mungemwanimi Bwana Yesu awaokoe Biblia imiesheheni kila idara ina pumzi ya Mungu hata ukiipnga unajisumbua bure
Kwani kunamaaana ganii mana Mimi kuelewa nimeelewa ilaa waisikamu niwabishi sana kwaiyoo wasitupotezee mudaa
yesu ni jibu la ulimwengu
Uongo
Baba wanyooshee hao waislam
Halleluya,,ndacha u aeleweka sema wana giza jingi ndio wanatakasika taratibu
Mazinge hana uprofesa wowote bali ni propaganda tu, ndacha anaeleweka sana tu...wajinga pekeyao ndio hawataki kukubali ukweli, wanazidi kupotea
Huezi mlinganisha ndacha na hao mashekhe sijui mavitu gani,,ndacha amesoma hadi quran na anaielewa na ndio maana anaipinga koz sio kitabu cha kweli bali mazinge ni porojo tu na ubishi wa msikitini tena hawaelewi ata hio quran yao
Wallahi haya mambwembwe ya Mazinge nayapenda sana, hivi ndo inavyotakiwa Muislam katika Mashindano, vita au Midahalo ya dini baina ya uislam na dini yoyote lazima uoneshe mbwembwe/ujidai kuisimamia dini usiwe laini laini au mwepesi
Huyu mchungaji anatisha
Ila aseme ukweli wa maandiko akisema uongo, haina maana ya midahalo
Huyo mazinge wenu anawapotosha ni mnafiki hatari mtaingia motoni woote.
Mkund kweli ww
Asante mazinge
Courage NDACHA♥️
MAZINGE ACHA NAHAU TUPE NENO LA KWENYE VITABU!!
Mwalimu ndacha wape elimu ya mungu tanzania kweli kimeeleweka waislamu mfuate yesu
Ww hujielewi na huelewi kua unakoelekea siko kabisaa
@@nassorhaji2637 mohammed alikuwa muuaji hatari sana!
@@noahwamalwa4385taja watu alioua heheheheheh ama kwly machizi wako wengi hata bible hamsomi😂😂😂
Mwenzangu Yesu hakusema atarudisha punda, Alisema Atakaye wauliza mwambieni BWANA ANA HAJA NAYE.
Ndacha kazi nzuri
Ndacha ww ni mwl kweli kweli
Hahahaha gonga hao Islamic maan YESU ni mwamba
Baki na yesu wako
@@yassinm69 na Tutabaki na yeye milele na milele
ua-cam.com/channels/W6v0MWHzBggd2npKtwOgOQ.html. Msikilizeni bishop ngonyani mtajifunza kitu amenyooka kama rula hapindishi vitu
Ndacha hana lolote ni mda tu anapoteza. Hongera sana kwa ma sheikh wetu ,sheikh mazinge na sheikh kinyongoli ALLAH azidi kuwahifadhi wahadhiri wetu
Hawana hata nauli Iman dhaifu ombeni Kila kitu mtapewa
Mhh mkubalini yesu
Kutoka USA hakumufanyi ajue we mfundishe tu maneno ya Allah
MUNGU awafungue ufahamu mumjue YESU
Sheikh mazinge upo sahai sana.ila napenda Tanzania saana muko na hamani ya dini mwenyezi mungu awazidishie amani.
Wape wembe baba
Jazzak Allahu khairan tunakupenda saana ma Shekh wetu Allah awazidishiye umwri wazidi kuwapa vidonge
Mungu awalipe hery mashehe zetu dunian na ahera,by rehema mohamed
ndacha profecer nakupenda waislamu kubalini
Mazinge yupo kidunia zaidi hajui kutafakari
Mtume alipanda mnyama gani? Hili jibu halijatoka