Mpina Aunguruma Baada ya Kusimamishwa Bunge, Asema Yupo Imara. Aahidi Kwenda Mahakamni Kudai Haki

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024
  • Mbunge wa Kisesa kupitia CCM, Luhanga Mpina amezungumza kwa mara ya kwanza tangu asimamishwe kuhudhuria vikao 15 vya Bunge hadi Novemba 2024.
    Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari Juni 29, 2024, Mpina amesema kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kamati ya Bunge haikumtendea haki katika sakata lilopelekea adhabu ya kusimamishwa Bungeni.
    Mpina ameeleza kuwa atampeka pia Mahakamani Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kwa madai ya kuvunja Sheria katika kutoa vibali vya kuagiza sukari nje ya nchi.
    Katika hatua nyingine ameeleza kuwa, kitendo cha kusimamishwa ubunge hakijamvunja moyo na kusisitiza kuwa lazima mapambano yaendelee.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

КОМЕНТАРІ • 156

  • @hadijatwahadossa
    @hadijatwahadossa Місяць тому +8

    Hongera sana mpina, wananchi tupo na wewe. Adui zako wote Mungu atawaondoa....endelea

    • @HASSANSACHU-zu1gv
      @HASSANSACHU-zu1gv Місяць тому

      😢

    • @TuntufyeBrayson
      @TuntufyeBrayson 24 дні тому

      Adui wa mpina ANATAKIWA kuwa adui wetu kwasababu adui wa rafiki ako ni adui yako

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 15 днів тому

      Maneno yakomupina yangekuwa Natijakama ungeongea kubadrisha katibampya pamoja nasheriambovu lakini kwavile watzwenginivilaza hawaelewi kinachoendelea

  • @user-cd9re4wt2b
    @user-cd9re4wt2b Місяць тому +3

    Mh Mpina uko vizuri sana tunakuunga mkono hatutakubali ufukuzwe ccm wengi wapigaji sana

  • @NoahPhilbeth
    @NoahPhilbeth Місяць тому +1

    Jipe moyo utashinda kaka yetu mpendwa Kila anaefanya kilicho chema Mungu yupo nae mda wote wala usikatee tamaa tunakupenda Kwa kazi zako nzuri

  • @mlulomugema3025
    @mlulomugema3025 Місяць тому +2

    Mpina ni mbunge wa Jimbo langu la kisesa kwa kweli wananchi wa Jimbo la kisesa tumeonewa sana kwa kutuondolea mwakilishi wetu bungeni kwa kipondi hicho mungu ni mwema atakulinda utarudi bungeni kutuwakilisha wanakisesa kisesa oyeeeeeeees,mpina safiiiii

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 26 днів тому

    Hongera tena niliona wabunge wote wa CCM
    Walifurahia kusimamisha kwako, mpaka wabunge wengine waliongeza siku za kufungiwa kwako tena kwa makofi.

  • @emmanuelpeter9744
    @emmanuelpeter9744 Місяць тому +4

    Stay strong 💪 MPINA, we are with you and keep living the truth ✌️

  • @michaelmtale-fi9ze
    @michaelmtale-fi9ze Місяць тому +3

    Nakukubali sana mpina unaupiga mwingi km maguguli unaitetea nchi

  • @LeahKazeni
    @LeahKazeni Місяць тому +2

    Ukoo vzr sana Mungu akutunze

  • @MatelephoneMatelephonee
    @MatelephoneMatelephonee 22 дні тому

    Blessed

  • @barakavalencendola1117
    @barakavalencendola1117 21 день тому

    Daa nimekubali sana mheshimiwa

  • @vicentLusana
    @vicentLusana Місяць тому

    Hongera Sana mhe tuko pamoja

  • @user-rn1en4tq5z
    @user-rn1en4tq5z Місяць тому +1

    ISHA ALLAH MUNGU YUPAMOJA NAWE HII NDIO DUNIA KUNA WATU WANAJIANGALIA WAO VYOTE TUTAACHA APAHAPA

  • @claudshuya3243
    @claudshuya3243 Місяць тому +1

    Pole sana tuko pamoja

  • @ajmalhassan8848
    @ajmalhassan8848 Місяць тому +1

    Allah atakusimamia kaka

  • @fauluonlinetv
    @fauluonlinetv Місяць тому +2

    Duuuuh hatar sana Spika badala awe refa anakuwa wa upande flan

  • @LesiJama
    @LesiJama Місяць тому

    Pamoja sanaa kamanda

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 Місяць тому +5

    Toa namba tukutumie Hera walizokuta wanainchi tunakuelewa

  • @chrispinechristian238
    @chrispinechristian238 Місяць тому

    Uko sawa kabisa mweshimiwa

  • @HenryKasaje-on4xq
    @HenryKasaje-on4xq Місяць тому

    Hongera sana mpina kwakutetea wananchi wako niviongoz wache kama wewe

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd 18 днів тому

    Yaani mimi sijakubaliana yaani watanzania tuharibikiwe kwa sababu ya hiyo wanasema heshima ya bunge sisi wanainchi ndio tuliowapa heshima

  • @mondayfadhili-li5qm
    @mondayfadhili-li5qm Місяць тому

    Hongera sana mh.mpina kweli wewe niMwana TANU halisi,kwani Viongozi wa TANU walikuwa kama wewe Wana TANU Walijali sana Masilahi ya Wananchi kwanza.Umewataja Bw.Yesu Mtume Mohamadi SAW umemsahau MAGUFULI Nae pia ni wakujifunza kwake.Pambana tupo pamoja ktk Kweli.Mungu akujaze NGUVU_:Amin

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Місяць тому

      Acha kumuweka Magofuli na mitume Ya Allah hivi uyo Magofuli ww alikupa nn

  • @EnjoyKato
    @EnjoyKato 26 днів тому

    Pore sana mh penye ukweli uongo hujitenga usikate tamaaa endeleaaaa

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 Місяць тому +1

    Wapiga kura kwa Mpiga hingereni sana kutuletea kijana huyu.Sasa wale wa Bashe na spika na wale wote waliyomsulubu kijana huyu watanzania tunawaangalia

  • @SelemanMhana-ol7tk
    @SelemanMhana-ol7tk Місяць тому +1

    Jamani nisaidieni mimi sina cha kufanya juu ya Mh.Mpina lakini nisaidieni ni namna gani 2025 nikampigie kura halafu nirudi jimboni kwangu

  • @yahyadenny4368
    @yahyadenny4368 Місяць тому +1

    Bashe hahusiki na tuhuma ya sukari,anayepaswa kuwajibishwa ni aliyekuwa waziri wa biashara na viwanda .

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 15 днів тому

    Kutabiri kwa lemA kumetimia tayari, SASA ngoja tuone watakavyozidi kutafunana eemungu tusaidiye utujariye umakini ktk nchihii

  • @AthumanMatitu
    @AthumanMatitu Місяць тому

    Pambana upo pamoja na mungu

  • @israelzakayo5179
    @israelzakayo5179 Місяць тому

    Mwachie mungu ndie mueza yote. Ataingilia kati mungu.

  • @leahkathure5759
    @leahkathure5759 25 днів тому

    Simama na aki mtu mungu atakubariki wengi wako pale juu ya tumbo zhao

  • @user-cr1ft3xe4h
    @user-cr1ft3xe4h Місяць тому

    Nimekupenda bule kwa Hilo mpina

  • @ramadhan122
    @ramadhan122 11 днів тому

    Mpina umekosea sana hiya sio samaria uliyo pima kwa yule aliyo pima samaria kwa rula

  • @iddyamana545
    @iddyamana545 Місяць тому

    Pamoja sanaaa nakukubaliiii

  • @mwajumaadam6068
    @mwajumaadam6068 Місяць тому +1

    Mimi nasema hii nchi itapigwa mnada kama ndugai alivyosema maana wezi ni wengi sana huko serekalini

    • @AmiriAmiri-x2z
      @AmiriAmiri-x2z Місяць тому

      hujakosea inch itapigwa mnada viongoz wakubwa wamekuwa maharani wa inch.ndio maana luhaga mpina kafanyiwa zengwe.

  • @Sebastian-l9n
    @Sebastian-l9n Місяць тому

    Mr mpina nakukubali tutetee watanzania tutajupa nini watanzania hongera san

  • @esronyuba2575
    @esronyuba2575 Місяць тому

    Mungu akulinde kiongozi ukweli utabaki kuwa kweli

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe Місяць тому +1

    Mi niko Dsm ila naomba uzima 2025 niende jimboni kwa Mpina nikampigie kura arudi

  • @VolvoMwamakula-ci2we
    @VolvoMwamakula-ci2we Місяць тому

    Umeonewa sn bro pole sn

  • @barakavalencendola1117
    @barakavalencendola1117 21 день тому

    Mzalendo sana huyu jamaa

  • @Samweli-zt4yl
    @Samweli-zt4yl 16 днів тому

    Serikali yetu imezoeawizi

  • @ChristantusNyambo
    @ChristantusNyambo Місяць тому

    Hatari sana

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Місяць тому

    Mpina uko sawa wapeleke mahakamani kaka

  • @briankatani6770
    @briankatani6770 Місяць тому

    Mzee pole sana

  • @TumainiMashamba
    @TumainiMashamba Місяць тому

    Mm sikusapoti hata kidogo uliumiza sana wavuvi

  • @gkanyanda1173
    @gkanyanda1173 Місяць тому

    Wamekuonea!!...lazima uwahoji ili wajibu..hawana hoja wamekuonea

  • @EmanuelyMaiko-cd8vm
    @EmanuelyMaiko-cd8vm Місяць тому +1

    Makufuri mpya

  • @AbdullatifMbago-cn3pc
    @AbdullatifMbago-cn3pc Місяць тому +2

    Kuna siku mheshimiwa bwege alisema ipo siku bunge litakuwa halina upinzani Mtasokolana wenyewe kwa wenyewe

    • @user-bi7gk7im4f
      @user-bi7gk7im4f Місяць тому

      Aisee bwege aliona mbali sana,Sasa wanasokorana wenyewe

  • @ShijaMayunga
    @ShijaMayunga Місяць тому

    Jembe kabisa hili

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd Місяць тому

    Kama jambo hilo ni la haku Kwa watanzania basi Mungu hatasimama

  • @user-ov1ew4jf7j
    @user-ov1ew4jf7j 18 днів тому

    Wa unge wote wange kua kama mpina kwkwel taifa lisinge kua Lina ibiwa asilimali za taifa

  • @rahma6189
    @rahma6189 Місяць тому

    Mungu atakutetea

  • @christophermahava3826
    @christophermahava3826 Місяць тому

    Ok

  • @dismasmasaga.3581
    @dismasmasaga.3581 Місяць тому

    Fact sana

  • @HamisiSheka-lr4vh
    @HamisiSheka-lr4vh Місяць тому

    Mpina mungu yupo

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 26 днів тому

    Mpina tuko pamoja nawe na ulionewa sana huyu mama ni mchawa wa serikali hasa mama yake, Mwigulu kwa hii Tulia yeye yupo kwa ajili ya mafisadi.

  • @NicksonAlphacapitalGroup
    @NicksonAlphacapitalGroup Місяць тому

    Tatzo Spika hatuna...

  • @OmaryHussen-td4ok
    @OmaryHussen-td4ok Місяць тому

    Spika hatuna

  • @mwajabuYusuph
    @mwajabuYusuph Місяць тому

    Aiseeee ni aibu 😢😢😢😢😢

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Місяць тому

    Mpina Bima ya Afya kama alivyoshauri Mh Shabby Moro shaurini

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 Місяць тому

    Wanyooshe wezi haooo

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Місяць тому

    Mpina hii awamu ya sita ni ufisadi tu,hata useme nini, mafisadi ndiyo wanalindwa, RIP JPM

  • @ChristinaThomas-y8m
    @ChristinaThomas-y8m Місяць тому

    Magufuli alikuwa imala sana naalikutana navikwazo vingi sana, na mpina nimtu nanusu, sikizote maadui hua hawapendi kuona mtu anafanikiwa na anafanyakazi ipasavyo ,

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Місяць тому

    Nyinyi ccm wajanja tu hamna lolote😊

  • @user-kq5si5pv9n
    @user-kq5si5pv9n Місяць тому +1

    Ukienda mahakamani japo nihaki yako nahuko watakushinda kuna mikono yao

  • @Ufalme_Wenye_Nguve
    @Ufalme_Wenye_Nguve Місяць тому

    Una hoja za Msingi za kuliokoa Taifa,,,, ila tunasikitika Bunge letu limekuwa la ndio mzee.

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu Місяць тому

    Mpina uko viziri, ndiomaana ulipendwa na Magufuli

  • @eliaskitundu7377
    @eliaskitundu7377 Місяць тому

    Pole Mzee tutakuwa pamoja

  • @hashakishabani4896
    @hashakishabani4896 Місяць тому

    Kaka mpina naimani allah ashindwi na chochote atakusimamia.tunaumia sana watanzania ila allah atatenda kazi yake kwa hao wanaojiona tanzania ni yao.

  • @SebastianModesti-y7r
    @SebastianModesti-y7r Місяць тому

    Mpina endelea kupambana tunakuunga mkono MUNGU naakupiganiye sana

  • @BunzariSisa-bi8jl
    @BunzariSisa-bi8jl Місяць тому

    Yani inauma sana kufukuza mbunge

  • @mashakaamosgabinza3893
    @mashakaamosgabinza3893 Місяць тому

    Spika hana shida ni Wa mbunge wezako

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o Місяць тому

    Hata samia hana lolote atawafukuza hata watu wakigoma ulizeni watu wakia na ngororo mungu wangu

  • @knight6757
    @knight6757 Місяць тому +2

    🤔

  • @lekishonmolele1859
    @lekishonmolele1859 Місяць тому

    Pole sana mtumishi wetu lakini wachana na hao machawa choo chadema ndio tuwasumbue kwasababu ww unaweza kutetea wanyonge

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 Місяць тому

    Tulia alikua kipind cha magufur na dhan tulia yule ame ondoka na magufur sasa ukiwa na pesa uko na haki zote😢😢

  • @OmaryHussen-td4ok
    @OmaryHussen-td4ok Місяць тому

    Yani huyo spika anatuboa wananchi, kwa hiyo anataka tuwakilishwe na ndugu zake, huyo spika andoke au ajuzulu.

  • @user-oe3pq1sg6q
    @user-oe3pq1sg6q Місяць тому

    Huyo ni mzalendo wa nchi hii.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Місяць тому

    Kiongozi asiyekubali kukosolewa hastahili kuwa kiongozi soma katiba ya ccm kuna siri nyuma ya pazia

  • @WinfordMosha-x7y
    @WinfordMosha-x7y Місяць тому

    Waburuze mahakani hats mm nitachangia Mia yangu mafisadi wakubwa

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 Місяць тому

    Mm ni chadema damu lkn watu kama mpina wanaotetea nchi nawakubali sana kama magufuli alivyokua hataki kuwapa wazungu ama waraabu kupewa mali zetu na wakati cc tupo hoi

  • @user-cd9re4wt2b
    @user-cd9re4wt2b Місяць тому

    Wabunge wa CCM hawatusaidii kuttetea wanted matumbo yao

  • @OmariMbwana-o8k
    @OmariMbwana-o8k Місяць тому

    Mpina pambana kk ukweli hua hautakiwi na wengene maana utawahalibiakuala

  • @AbasiMadege-ot2of
    @AbasiMadege-ot2of Місяць тому

    Mungu mkubwa ipo siku yataisha tuwe na subra tu

  • @barushegpsonlinetv4711
    @barushegpsonlinetv4711 Місяць тому

    Hapa ukitumia tafakari ya kina kuna kitu kinagundulika ambacho kimekuwa kikitokea kila inapokalibia mwaka wa uchaguzi.
    KITU AU SIRI HII ITAONEKANA MUDA MFUPI UJAO.

  • @DouglasChuwa-ec7mv
    @DouglasChuwa-ec7mv Місяць тому

    Mpina kumbuka kwenye msafala wa mamba hata kenge wp

  • @user-sf9jc5zq7k
    @user-sf9jc5zq7k Місяць тому

    Mpina taja nambayako tukutumie pesa blaza kwa kututetea watanzania wengi apo mabogas

  • @NicholausManyama
    @NicholausManyama Місяць тому

    Hao ndivyo walivyo wanasimamia matumbo yao

  • @YOHANAMADATI
    @YOHANAMADATI 25 днів тому

    Ummmm

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 Місяць тому

    Hivi inawezekana kupiga Kura jingine? Mm Niko tayari kwenda Kisesa nikampigie Kura ,nipe jibu

  • @MichaelPeter-gh9yv
    @MichaelPeter-gh9yv Місяць тому

    Nenda chadema

  • @user-ex9gt9np8i
    @user-ex9gt9np8i Місяць тому

    Tunaomba namba yako tukutumie hela ya maji mungu akupiganie

  • @user-ez7lk3it5s
    @user-ez7lk3it5s Місяць тому

    Wewe.nimzarendo.wakweri.sikuzote.kizuri.hakidum.simama.kirajambo.rina.mwanzo.namwisho.simama.namungu.ipo.siku.ukweri.utajurikana.tu.make.wewe.nimtetezi.wawabyonge.kama.arivyo.kuwa.makufuri.tuna.wategemea.sana.tena.sana.

  • @user-ux3xu9gs8d
    @user-ux3xu9gs8d Місяць тому

    Tunaitaji chama bora ili kuokoa viongozi wazalendo jamani chama kianzishwe sidhani vyama vilivyopo kama vina weza vika tufikisha watanzania tubadike

  • @MartinYakobo-io1og
    @MartinYakobo-io1og Місяць тому

    Mbele kwa mbelr

    • @AMENMUSHI-wt4li
      @AMENMUSHI-wt4li Місяць тому

      Mungu ahusike na wabunge wa namna kama Tulia

    • @AMENMUSHI-wt4li
      @AMENMUSHI-wt4li Місяць тому

      Bado areas zsngu na nauli za mizigo mm Mstaafu

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter Місяць тому

    Wakina lissu wengekusaidiya haya ndiyo matatizo

  • @user-zr1wl5zk4i
    @user-zr1wl5zk4i Місяць тому +1

    Kwani nynyi c ndomlikua mnawafukuza chadema ? Mkukikwanguruwe

  • @yahyadenny4368
    @yahyadenny4368 Місяць тому

    Acha unafiki ulikuwa waziri nn kilikutoa

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Місяць тому

    Mpina ukihitisha maandamamo leo, utaungwa mkono haijawahi tokea hapa tz

  • @DanielMao-t3g
    @DanielMao-t3g Місяць тому

    Baba chonde chonde endelea kutetea maslahi ya watanzania

  • @Petro.John.
    @Petro.John. Місяць тому

    Mambo ya Lema yametimia.

  • @user-kq4yx3lg6f
    @user-kq4yx3lg6f Місяць тому

    Mpina wewe umezaliwa kwa ajili ya kuwatumikia wa Tanzania na Mungu yupo pa1 nawe aho mashetani watashindwa tu.