Bodi ya Wakurugenzi TANESCO imefurahishwa na maendeleo ya mradi wa Bwawa la Julius Nyerere.
Вставка
- Опубліковано 19 чер 2024
- Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania, TANESCO imefurahishwa na maendeleo ya mradi wa Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere.
- Наука та технологія
Asante kwa taarifa lakini punguzeni bei ya umeme tafadhali ndio lilikuwa ndoto ya jamaa.
Ashukuriwe hayati Magufuli r.i.p jpm
Mgao upo sisi kwetu kila asubuhi umeme una katika na una rudi saa 12 au saa 1
Sisi huku kwetu umeme una katika mtu ana simama anasema hakuna mgao
Kumbe bado haujakamilika awa watu bwana upigaji mwingi sana atutaki kelele sisibtunataka umeme JPM alisema utakamilika lini na nyie mnaleta stori
Umeme mbona haupungui bei sasa, kwan Afrika tumelogwa na nan?