MTANZANIA ALIEBUNI UMEME WAKE "HAUJAKATIKA MIAKA MINNE, NILIISHIA LA SABA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 сер 2019

КОМЕНТАРІ • 1 тис.

  • @depsmilindi8424
    @depsmilindi8424 4 роки тому +35

    Watanzania nawapenda sana.... Napenda vile mnavyo ishi, na ubunifu wenu. Natamani sisi Wakongo na nyinyi watanzania tuwe inchi mbili zinazo weza kutumika pamoja myaka za usoni....
    Nyinyi mnatufaa kabisa kuwa inchi jirani, hamuna mambo ya vurugu, ni maendeleo na kazi kwenda mbele...
    Strong 🇨🇩💪🇹🇿

  • @irenekato411
    @irenekato411 4 роки тому +286

    You don't need to be a university graduate to be smart, Tz needs more people like him. So proud of him

    • @jonaskabonda741
      @jonaskabonda741 4 роки тому +1

      Exactly

    • @meshacktimoth1370
      @meshacktimoth1370 4 роки тому +2

      This is very good , the problem was government to support these talent people . After opening the door now people are innovative.
      We have to create special program to certify these people .

    • @eddimalon6051
      @eddimalon6051 4 роки тому +2

      You need to be university and graduate to be professional, thats why when you sick you have to meet Doctor, and to get good leader.
      Without good education is too many problems.

    • @emmanuelkurwa3096
      @emmanuelkurwa3096 4 роки тому +2

      Irene Kato sasa kwann umetumia Kingereza

    • @routhawad2150
      @routhawad2150 4 роки тому

      Exactly

  • @aminamfaume4244
    @aminamfaume4244 4 роки тому +350

    Tusipokupa hongera itakuwa wachawi.hongera kk ..hongera kk Allah akubariki sana

    • @ashreymapinda5321
      @ashreymapinda5321 4 роки тому

      Kakaa umeowaa

    • @aminamfaume4244
      @aminamfaume4244 4 роки тому +1

      @@ashreymapinda5321 watafuta mchumba Dada afauyo

    • @ashreymapinda5321
      @ashreymapinda5321 4 роки тому +1

      Hapana nimeuliza tu kwani kapoteza muda na pesa nyingi kwa muda mlefu na maisha ya sasa tz hapa ndio maana nikauluza na sio kama mamtaka no 🔕 nilitaka kujua tu amina mfaume

    • @witomwidisi1214
      @witomwidisi1214 4 роки тому

      Nice

    • @nasethmadale6251
      @nasethmadale6251 4 роки тому +2

      Asante kaka natamani kujiunga na ubunifu huoo laaa mungu akubariki hata bill get alianza hivi hivi lakin amini siku moja utafika malengo yako niliwahi kusikia radioni nadhani kama sitakosea redio free kama miaka miwili au mitatu iliopita ila ahimidiwe mungu barikiwa sana @milladi ayo nashukuru hata kumwona live !!!!!!!!!! Amen

  • @mommary2424
    @mommary2424 4 роки тому +46

    Hongera Sana na Mungu azidi kukuinua ukafanikuwe lengo lako.wabongo tumezoea kuoneanaga wivu badala ya kusaidiana,lakini ifiki hatua watu kama hawa serikali iwasaidie watafika mbali na watawasaidia wengine.siyo mzaha kabisa huyu Kaka basi tu sina uwezo ningemwezesha kazi nzuri sana bro.big up💪

  • @aby21111
    @aby21111 4 роки тому +27

    This guy must be supported and tanzania must be proud of such talent .

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 роки тому +66

    Hongera sana Farooq Mungu akuwezeshe Zaidi,In Shaa Allah.

  • @aynatjoe5756
    @aynatjoe5756 4 роки тому +9

    Omg Tanzania my country I love u...we got talents.. Mashaallah Farouk Allahu bariq...Hon JPM keep a eye on this talents...

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz703 4 роки тому +5

    Maa Sha Allah, huyu jamaa ni genius. Watu wa namna hii ni vyema sana kuwaweka karibu na watoto/vijana wetu ili wapate kujifunza kutoka kwake.

  • @miriamabinery5695
    @miriamabinery5695 4 роки тому +76

    Safi sana ,Mungu akurinde ili wazimishaji wa vipaji wasindwe kabisa

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 4 роки тому +69

    Wawooo video ipo ki professional haswaaaa 💯💯💯💯✋Millard utabaki kileleni

  • @maarifahub5066
    @maarifahub5066 4 роки тому +128

    Ayo Tv endeleeni kutambulisha vipaji nchini

    • @gracesimba9571
      @gracesimba9571 4 роки тому +1

      Kijanampambanaji apewesaport yakutosha iliafikembalizaidi

    • @d.a.t3383
      @d.a.t3383 4 роки тому

      Ayo TV Specialize in Articles of development and Encouragement to young ones ACHANA NA HAO VITEGA UCHUMI VYA KIMALAYA

  • @mayaally2512
    @mayaally2512 4 роки тому +203

    wana habari hizi ndio habari za kutuonyesha sio za mastaa wa kibongo na wanasiasa tu

  • @keagleeagle821
    @keagleeagle821 4 роки тому +93

    Hapa kutaingia mambo ya enviromental impact assessment.
    Na mambo mengine mengine
    Huyu ana akili kubwa sana.
    Ataendelea sana

  • @rajabngunga9530
    @rajabngunga9530 4 роки тому +12

    Hongera kk kwa ubunifu allah atakufikisha unapo taka kama una mkubali huyu jamaa weka like yako hap

  • @pettermollel2531
    @pettermollel2531 4 роки тому +29

    Hongera kaka .. ni ubunifu nzurii .... Nimetamani niwe karibu na mkoa wako ningekuja unipe huo ujuzi na me nitengeneze umeme wangu ....

  • @worldlyricssongs6141
    @worldlyricssongs6141 4 роки тому +40

    Jamaniii Mungu anakusudi jamaniii...darasa la saba bila chuo anafanya mambo makubwa kama haya. Iv angesoma c Angekua genius 🙄😘😘 hongera brother

    • @ahluljazira2259
      @ahluljazira2259 4 роки тому +7

      C kila MTU ana akili ya darasani wengine vipaji Tu vinatosha

    • @thelalas9204
      @thelalas9204 4 роки тому +7

      Angesoma angeajiriwa kwisha

    • @shukuranikibona5893
      @shukuranikibona5893 4 роки тому +5

      Angesoma sana asingefAnya hayo akili Yake ingedorola kwa kusubiri ajira tuu..!

    • @akutiboysolomon9418
      @akutiboysolomon9418 4 роки тому +1

      Angesoma asingeweza kufanya hivyo kwani ingemlazimu kufuata na kukariri anachofundishwa kwa lugha ya kikoloni ambayo haieleweki , asingefuata ubunifu wake na ukitaka kufanya vizuri shuleni ukubali kuoshwa ubongo kisha ukaririshwe mawazo ya wengine

    • @bakarihatibu4587
      @bakarihatibu4587 4 роки тому +1

      Majibizano wa hizi comments pia, ni mafunzo tosha kwa mwenye kufuatilia na kuzingatia

  • @jonesmedia4120
    @jonesmedia4120 4 роки тому +20

    No need of being employed to become rich but creativity is highly required

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 4 роки тому

      @Hugine VEVO indeed no one has ever been rich through employment means

  • @lizernest7852
    @lizernest7852 4 роки тому +10

    Now this is the type of innovation we need in this country...

  • @nasrahsihaba3522
    @nasrahsihaba3522 4 роки тому +30

    😀😀sisi ndo watanzania bwana bg up kaka milad kwakutuletea habari za watanzania mwenzetu wanaojituma kama hao gd job

  • @patrickmngongo6767
    @patrickmngongo6767 4 роки тому +123

    Kama unamkubali huyooo jamaa kwa kipachiii gonga like

  • @missmunyao1609
    @missmunyao1609 4 роки тому +7

    This man is a genius.I hope 🇹🇿 will take him seriously.

  • @YusufAli-ib6xu
    @YusufAli-ib6xu 4 роки тому +8

    Millard ayo May god bless you always you are great 👍🏻

  • @bressfabians4537
    @bressfabians4537 4 роки тому +55

    ETI NA WEWE MWANA CHUO UNALINGA UNA DEGREE.
    😂😃😄😅😂😁😀

    • @florarwegasila9484
      @florarwegasila9484 4 роки тому +1

      Ulitaka tulinge tuna nn?

    • @japhetelius712
      @japhetelius712 4 роки тому +1

      Flora Rwegasila we nae vp wamekutaja jina ulieshindw kubun ata mende 😂😂😂

    • @raphaellyfrank4932
      @raphaellyfrank4932 4 роки тому

      Haaaa😂😂😂😂 kumbe hata elimu ilikuepo zamani2 ko high level hazina maaana

    • @fadiajunjuwithmyfamily580
      @fadiajunjuwithmyfamily580 3 роки тому

      @@japhetelius712 shikamoooo🤣🤣🤣🤣

  • @ramadhanimzamilo2077
    @ramadhanimzamilo2077 4 роки тому +255

    Wana vyuo mpooooo, haya nyie hangaikeni2 na mavyeti mtakula vyet🏃🏃

    • @deusmauka9626
      @deusmauka9626 4 роки тому +2

      😂😂😂😂😂😂

    • @jumajembe3570
      @jumajembe3570 4 роки тому +4

      Hao wa vyuoni watasubiri sanaa na badoooo!!!

    • @shairanadam1443
      @shairanadam1443 4 роки тому +2

      Ramadhani Mzamilo 😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 4 роки тому +10

      Hahahaaaaaaa,nimecheka,alafu watajigamba wana digrii nakazi wanachagua

    • @purryselestine4000
      @purryselestine4000 4 роки тому +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂kwa kweli

  • @danieljefwa2071
    @danieljefwa2071 4 роки тому +8

    From kenya hongera brother.keep it up

  • @kimkayndo
    @kimkayndo 4 роки тому +7

    Hongera sana Mjomba. Alhamdulilah

  • @catherinerobert1759
    @catherinerobert1759 4 роки тому +17

    Waoooh it's amazing. Unbelievable man 🤝

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 4 роки тому +4

    Proud of you Brother!
    Africa ll change na watu kama wewe!
    ✊🏾🇧🇮

  • @khamisshee5131
    @khamisshee5131 4 роки тому +2

    bro Millard una roho nzuri sana binaadamu kama ww wako wachache sana
    Allah akuzidishia AMIN
    mm niko kenya lkn nakuangalia sana
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪 aka bachuchu

  • @carlosndyetabula656
    @carlosndyetabula656 4 роки тому +43

    Huyu kaka angepelekwa akafundisha watu vyuoni na shuleni ili nchi iwe na watu wengi wenye uwezo kama huu innovations hasa ndilo suala la dunia ya leo

    • @marysdiosa8764
      @marysdiosa8764 Рік тому +1

      wewe ndo umeongea point

    • @samludo5435
      @samludo5435 Рік тому

      @@marysdiosa8764 akat wenzenu wanataka wafundshwe na maprofesa wasioweza kutengeneza ata pin

  • @askahanyona1590
    @askahanyona1590 4 роки тому +3

    Utaenda far aisee!hongera kwa ubunifu na Mungu akuzidishie hekma.I enjoyed watching this video n learnt alot.

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 4 роки тому +55

    tanesco mnasubiri nini mpeni sapoti mzalendo huyu

  • @dianaketo2676
    @dianaketo2676 4 роки тому +4

    Very very bright! Hapo kuna watu roho zinawafurukuta kutaka kumvamia mkaka wa watu na maswala ya mapato.

  • @josephkinyanjui4826
    @josephkinyanjui4826 4 роки тому +2

    Bro uko na Talanta Kali Sana ,may God bless you congrats.

  • @ngaritotv4784
    @ngaritotv4784 4 роки тому +28

    Kaka hongera sana uko vizuri talented

  • @sadiaabed6687
    @sadiaabed6687 4 роки тому +68

    Ww usimuulize kiasi anachokipata utafanya mahasidi wamvamie kwanyumba

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 4 роки тому +2

      Kabisa maana wabaya wanatega maskio tu.Mungu amlinde na mabaya yote nakumuinua zaidi

    • @janejohn1083
      @janejohn1083 4 роки тому +2

      hongerakaka nikipajiulichozaliwa nayomweshimiwa Raisiwetu tunakuomba umuwezeshe kakayetu.

    • @mwanaidyibrahimu3207
      @mwanaidyibrahimu3207 4 роки тому +1

      @@m.mmarckus6298 Ammyn in shaa Allah

  • @jamesphilemon5339
    @jamesphilemon5339 4 роки тому +12

    Nakukubali sana milard kwa taarifs zako

  • @mauldinchembera5772
    @mauldinchembera5772 4 роки тому +9

    the guy is a LIVING PROVE of go hard on your dreams

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 4 роки тому +6

    Uchizi ume kamilika hahaha safii bro kaz kaz upo sahihi sanaa vyema

  • @madamloveness7274
    @madamloveness7274 4 роки тому +116

    wazungu ukigundua kitu wanakuendeleza ili uwe imara zaid ila bongo utazimwa kama umeme wa luku

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 роки тому +17

    Umefuhisha sana uchizi umekamilika no yako ngapi nikiwezeshe mkombozi wa vijana ndio tanzania viwanda vijana tufanye kazi vizuri baadaye utajiri utakamilika ndio watakushangia sana weka no yako

  • @festoottosimkwayi5597
    @festoottosimkwayi5597 4 роки тому +2

    Very good.
    May God bless the guy.

  • @joshuasamson4174
    @joshuasamson4174 4 роки тому +2

    rais wetu mpemdwa nampenda sana rais John pembe magufuli amekusikia atakupa msaada mungu ibarki tanzania mungu mbariki rais wetu kwa jina la yesu

  • @kimutattoo4067
    @kimutattoo4067 4 роки тому +7

    Congratulations and Cerebrations to you brother 100%

  • @blackwarrior-animations593
    @blackwarrior-animations593 4 роки тому +64

    Kama Umeiona Drone imekatiza kwa nyuma Gonga like :-D

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 4 роки тому +1

    Mashallah hongera sana Brother, uyu ndio aina ya mume ninaemuhitaji, anajituma sana, nimependa sana jitihada zako bro, Allah akusimamie katika kazi zako na akutimizie ndoto zako kila cku zijazo 🙏

  • @drukundo4276
    @drukundo4276 4 роки тому

    Brother from USA keep it up men thats great job ....Africans we need to own our things

  • @Smartboy-wt1es
    @Smartboy-wt1es 4 роки тому +30

    Hv hao walo dislike ni wa2 kweli au mizim? Kweli kuna mijitu ina roho mbaya kupitiliza!!

    • @sospetermathias4253
      @sospetermathias4253 4 роки тому +3

      Jamaa uongo mbaya kunawatu hawajui maana ya like na dislike wanabonyezatu ilimladi liende

    • @MrKadaboy1
      @MrKadaboy1 4 роки тому

      Walio dislike hii video ni wapumbavu tu

    • @bahatibunzali15
      @bahatibunzali15 4 роки тому +1

      Hawajui wanaona yote sawa

  • @Mbugokilonda
    @Mbugokilonda 4 роки тому +7

    Hii ndiyo Turiani ya vipaji njooni mjionee vipaji vipo vingi tu halafu watu hawajaenda sikuli (School) saloot kwako Mtu wangu jilani yangu, pongezi sana Faroock

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 Рік тому

    Mashaaallah hongera sana Farouk Allah Akulinde na Mabaya na Akuzidishie kipato zaidi

  • @cyrusmuchiri6834
    @cyrusmuchiri6834 4 роки тому +1

    Huyu mjasiriamali ana juhudi sana. Kiwango cha ubunifu wake ni cha hali ya juu. Ingelikuwa mimi nisingewaendea hao wafadhali wote na taasisi zote zile, si eti kwamba niko na hela mbali ningekuwa nishachoshwa nao. Hongera!!

  • @oscarezekiel1826
    @oscarezekiel1826 4 роки тому +34

    Nabkubwa
    Wacha wakuone chizi lkn sisi tunakuona Genius

  • @victorrobert1701
    @victorrobert1701 4 роки тому +27

    Oyo tv bando langu mmelitendea haki

  • @AliJabir-xi4em
    @AliJabir-xi4em 4 роки тому +2

    Ww jamaa Mungu akujaalie sana naona nia njema kbs Kwa vijana wenzio Mungu akupe zaidi

  • @midundotechtz6843
    @midundotechtz6843 4 роки тому +1

    Daah kitambo sana nimeishi mitaa hiyo thanks sana milard

  • @YusufAli-ib6xu
    @YusufAli-ib6xu 4 роки тому +12

    Rais magufuli huyo mwingine mtaalamu ambae hajapata support yoyote

  • @richardmnkande1130
    @richardmnkande1130 4 роки тому +8

    Hii akili ikitumika vizuri italeta ukombozi Mkubwa sana kwenye jamii ya watu wa tuliani, Serikali inahaja ya kufikiria kuhusu MTU Kwa Mkubwa wote unaostahili

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 4 роки тому +2

    Mashallah hongera sana

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue7188 3 роки тому +2

    Knowledgeable ♥️🇹🇿🙏

  • @bosspeter6259
    @bosspeter6259 4 роки тому +3

    kaka Mungu awe nawe hii nikipawa toka kwa Mungu sio lasima university kwa Mungu akuongesee ujusi sana na sana

  • @fadhilplatnumz6209
    @fadhilplatnumz6209 4 роки тому +14

    Gd- sanaa" Jamani huyujamaa sio Chizi ila nimtafutaji na anaidia kubwa Og Mkalii

    • @emmanuelmwakipesile5149
      @emmanuelmwakipesile5149 4 роки тому +1

      Nikweli ukishakua na mawazo tofauti na jamii inayokuzunguka basi watu wanakuchukulia tofauti

  • @darweshk7342
    @darweshk7342 4 роки тому +1

    very talented bro highly appreciated Kaka uko vizur

  • @stellahmosha9517
    @stellahmosha9517 4 роки тому

    Wanachuo wanaosubiri 2021 ili waajiriwee gonga like situnasonga na maubunifuu tuu, hongera kaka tena sana zaid na zaid

  • @silvasiame9861
    @silvasiame9861 4 роки тому +21

    If you've a strong intellect, no need of university intelligence( where human being have turned into intelligent robots,they feed with you informations,materials of no Use). Super Brother, good work

    • @solomonikanichi6285
      @solomonikanichi6285 4 роки тому

      Solomon kanichi
      Uyo jamaa ni darasa lasaba je nyie mnao soma vyuo vikuu hassa vya umeme mnawezs

  • @alexchungu9505
    @alexchungu9505 4 роки тому +38

    Hawa ndio wanafaa kuwa ma engineer..

    • @solobenny6291
      @solobenny6291 4 роки тому +1

      huyu ni talented ila hawez kuwa engineer, engineering inanzia kwenye paper ndo field lakin wabalikiwa wanaanzia field, kuna utufauti mkubwa sana na failure ni nyingi mno hata yy amekili kuwa kaangaika sana mpaka hapo alipo fika, lkn angekuwa n ujuz wa kihandisi asingesota kama alivyosota. All in all ni hongera kwake asikate tamaa atafikia malengo

    • @alexchungu9505
      @alexchungu9505 4 роки тому +1

      SOLO BENNY , colonia legacy ni mbaya sana.. imekuja kuharibu kila , hasa kwenye mifumo ya elimu..

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 4 роки тому

      Hivi Magu rais hujamwona Huyu jamaa anafaa kuendelezwa ana ubunifu wa aina nyingi sana ni kichwa angepewa sapoti aisee

  • @shadrackmutokaa3742
    @shadrackmutokaa3742 3 роки тому

    Mm n mkenya.. Napajua hapa... Nimeona mwenyewe katika ziara zangu mandizini turiani... Hongera mhesh.

  • @musapaul2830
    @musapaul2830 4 роки тому +2

    Nimeshindwa hata kusema hongera nikihisi haitoshi kwa Mr. Hassan F. Maana ubunifu huu mpaka sasa Mimi najiona zero kabisa. Ila cha Msingi Mungu ambariki sana MTU Huyu na ikiwezekana aweze kuanza kuibua vijana wengine ili kuwa na wabunifu wengi zaidi nchini.

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 4 роки тому +3

    Hongera Millard Ayo,kwa hakika kiasi uwe juu..Na mungu akujaalize uzidi kuwa juu na ufanikiwe kwa kila jitihada,kwa hakika unajitahid juu ya kazi yako na unaitendea haki itakiwavyo,uko juu kikazi,kuongea,kuhoji na kufwatilia kila habari au jambo,big up sana na mungu azidi kukuongoza na mafanikio zaidii

  • @costantinejovine6026
    @costantinejovine6026 4 роки тому +3

    💯💯💯💯 Bro Big Up

  • @joachimlevi7202
    @joachimlevi7202 4 роки тому

    Aise kumbe Tz tuna vichwa vinavyofikiria!!! Hongera Farough kwa kazi nzuri. Enyi viongozi mlio na nafasi mwangalieni mbunifu huyu kwa jicho la pekee

  • @hannansdeliciousfood4261
    @hannansdeliciousfood4261 Рік тому +1

    Bismillah maashaaAllah Farouk...Allah azid kukuongoza njia....hakika si kwa uwezo wako tuu bali Allah kachangia pakubwa...hongera sana

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 4 роки тому +30

    Mambo yapo mazuri mengi yanafanyika
    Ila watu Hawaoni zaidi ya kutawaliwa na mambo ya uwya, mambo ya bongo movie
    Blh Blh

    • @parma786
      @parma786 4 роки тому +1

      Brother hongera sana juhudi safi very good, Lakin hapo kama mto uta over floor yani maji mengi kupita kiasi chake je mitambo yako ipo imara kwa hilo Au ni vipi unadhani

  • @isunga1964
    @isunga1964 4 роки тому +24

    😆😆😆😆wanaume wa Dar wachache sana mwenye mambo haya hongera kaka huku wnaangaika kuongeza nguvu za kiume tu

    • @mohamedgilala8423
      @mohamedgilala8423 4 роки тому +1

      Ha!ha! umenichekeshaa cct

    • @bbynai9206
      @bbynai9206 4 роки тому +1

      Umenichekesha sama Tena nimecheka kwa mguvuno

    • @isunga1964
      @isunga1964 4 роки тому

      @@mohamedgilala8423 maana wahatari sana kuongeza nguvu 😆😆😆😆

    • @isunga1964
      @isunga1964 4 роки тому

      @@bbynai9206 😆😆😆hatari sana mpendwa wanaongeza nguvu mpaka vizazi wanagusa

    • @khamishassan1436
      @khamishassan1436 4 роки тому

      wanaume wa Dar chips kuku na mziki sio kazi za kiume kama hizi

  • @yohanalaiser2667
    @yohanalaiser2667 4 роки тому

    Hongera sana Faruk....hongera sana Ayo TV.....watanzania wote tujifunze mfano huu....huyu kaka ni engineer kabisa

  • @abrahamsingano5372
    @abrahamsingano5372 4 роки тому +1

    you are a wonderful guy Mr Ayo keep it up

  • @danielwilfred2609
    @danielwilfred2609 4 роки тому +3

    Very inspiring

  • @alijeilani6969
    @alijeilani6969 4 роки тому +4

    Mimi naweza kukusaidia lakini ni mkenya na naishi America yawezekana niishi Tz

  • @denismakweba3870
    @denismakweba3870 4 роки тому +1

    Hizo hela za tuzo kalipie upate kibari😘💖 ufanye vitu bila tabu💖hongera sna kka👏👏👏👏

  • @fatumatandika5849
    @fatumatandika5849 Рік тому

    Hongera sana mdogo wangu Farouq Hassan Khalifa Mungu anaona kazi ya mikono yako nina imani iko siku nawe utatoboa,kaza moyo.

  • @herimwijonge954
    @herimwijonge954 4 роки тому +12

    Very big talent!! Tatizo tanzania vibali vingi sana (BUREAUCRACY) 🤦‍♂️

  • @zphtz4218
    @zphtz4218 4 роки тому

    Live long brother napendaga sana fan ya umeme RESPECT. Allah akupe long life

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 4 місяці тому

    Hongera mtanzania mwenzangu. Mungu akubariki sana.

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 4 роки тому +5

    Usikubali kuwapa deep siri yako serekali haswa ya awamu hii watakumaliza nakukuzima hutoamini we jifanye kumsifia chuma😲. broo keep it up ungelikuwa ulaya ungesha kuwa siyo mwenzetu kwanza wangekusaidia kuwa kisasa na kukuza. Baada ya hii zideo utasikia ndiyo wanakutafuta km vile umeanza jn aibu kweli😩

  • @levocatusgatu4295
    @levocatusgatu4295 4 роки тому +2

    Swaliiii kwa Maprofesaa wa Tz wamesha wahiii kubuni vituganiii:::;?!!!!!hongelasana mzebabaaaa yani hongelasana sana kigoma michikichi kibao lakin hakunakiwandaaa cha kukamulia maweseeeee daaaah God bless U::;;!!!!

  • @manonistephano4620
    @manonistephano4620 4 роки тому +1

    Hongera saaaaaana bro

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 4 роки тому +1

    Maasha allah allah akuzidishie yan bonge la idea.

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah2990 4 роки тому +6

    wao wanakuona huna akili ila wewe ni genius kweli

  • @mrmhenipm
    @mrmhenipm 4 роки тому +7

    Mpaka fedha zote hizo,,,kwa nini hao watu wa Bodi wasitumie gharama zao za kwenye bajeti?duuuu Tz bhana!

  • @gatewayjr2601
    @gatewayjr2601 4 роки тому +1

    #Kazi Mzuri anaitaji support kwa anachokifanya

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 2 роки тому

    Morogoro tunavipaji na tz kwa hujumla sema hatuna viongoz wa kutushika mkono hongera sana my bro Allah akubariki sana na awabariki na wengine ili usumbufu wa tanesco imekuwa kelo sana...

  • @lornakaleveratsisaga953
    @lornakaleveratsisaga953 4 роки тому +4

    Congratulations boss.... May the good Lord see you through all your endeavours.

  • @hilaliuxalex3168
    @hilaliuxalex3168 4 роки тому +12

    Ayo tv for my bandle

  • @robertstivin8940
    @robertstivin8940 4 роки тому +1

    Mtuhuu apo fresh anahakili nzuri saana wanao takiwa nikama hao ichin

  • @fabiankilato6649
    @fabiankilato6649 4 роки тому

    Safi sana Kaka. Hongera sana . Mwenyezi Mungu akusimamie na akuongoze.

  • @abasijuma5055
    @abasijuma5055 4 роки тому +3

    Kwa tuliosomea electrical engineering .......huwezi anzisha power generation bila ya kua na knowledge hata devices to implant huwezi oteshwa tu ukaziweka some skills is needed .....msipotoshe watu eti kaishia lasaba bila ya knowledge akafanya

  • @hadijapazia684
    @hadijapazia684 4 роки тому +9

    Utaambiwa ulipe kodi sasa iv.

    • @na0m1fes51
      @na0m1fes51 4 роки тому +1

      HADIJA PAZIA 😂😂😂

  • @sol-ql1kt
    @sol-ql1kt 4 роки тому +2

    Great Mind Maa Shaa Allah

    • @sol-ql1kt
      @sol-ql1kt 4 роки тому

      Quite inspiring kwakweli

  • @peteroriva6298
    @peteroriva6298 4 роки тому +1

    Hapana huyu jamaa nomaa sna mbunifu sana daaaah wampe sapot

  • @rashidfentu5542
    @rashidfentu5542 4 роки тому +5

    Ayo tarifa zako nazikubali sn huna tarifa za kimbea kama media zingine kaz kaz zao zari diamond ndo zao big up sn

  • @abumoyo840
    @abumoyo840 4 роки тому +4

    welldone my brother