TANESCO yatolea ufafanuzi MKANGANYIKO kuhusu viwango vya KODI ya Majengo inayotozwa kwenye LUKU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 сер 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

КОМЕНТАРІ • 46

  • @KarumeKindamba-lk1px
    @KarumeKindamba-lk1px Місяць тому +4

    Shida sitanesco,nimatatizo yakuwa na wabunge ambao wapo kwamaslai ya obinafsi.Kifupi Kodi hii inalipwa na wapangaji na siwamiliki wa nyumba.Naiwapo utaanza kuhoji mmiliki atakupatangazo la kuhama utakapo maliza mkataba.Kwahiyo hatuna watetezi na sibusala kulaumu tenesco.Sisi watanzania tulichokipanda na haya ndio mavunoyetu.Tenesco endeleakukusanya mpaka wantanzania watakopo chukua hatua ya kuwasimamia wabunge wao.Mungu huwaabadili jambo mpaka muhusika alikatae.Tanasco kusanya madeni na watanzania watakapo kataahuduma yako msaada wa Mungu utaletwa

  • @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
    @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd Місяць тому +2

    Hii nchi ya ajabu sana wanatuchulia wananchi ni mazombi kila wanacho tuambia na sisi ni kulalamika chini chini tu upumabavu umetujaa wanachi .... AMKENI WA TZ MAISHA YANAZID KUWA MAGUMU TU KILASIKU

  • @ngulathfundikira4205
    @ngulathfundikira4205 Місяць тому +2

    Wanazingua sana tanesco aisee

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 Місяць тому +3

    Uzembe wao wenyewe wanahusisha had wapangaji huu ni uonevu kwakweli

  • @babymanka6466
    @babymanka6466 Місяць тому +2

    Ivi kama mpangaji akinunua umeme alafu anakatwa inakuwaje kwasasababu anatakiwa alipe mwenye nyumba sio mpangaji sii ndio.

  • @EmmanuelSima-qz1gd
    @EmmanuelSima-qz1gd Місяць тому +2

    Me nauliza je nyumba moja yenye mita mbili na kuendelea inakuaje mana kila mita lazima ukatwe hela ya pango kila mwez

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Місяць тому

    Hi nchi bwana una ongezwa tozo bila taarifa kwakua wao ndio matajiri

  • @MartineShija
    @MartineShija Місяць тому

    Majiz makubwa yamepita nahelayangu kila mwezi nanunua umeme nakatwa 1500 Lakini mwezi huu nmenunua wa 5000 nmepata unit 1.10 huu niujambazi kabisatena unyang'anyi kwavile mkokwenyehako ka mfumo basi mnakuwa mnajiongezea hela zetu ilfamilia zenu zishibe vzur sawa jilimbikizie mali za Zuluma2

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 Місяць тому

    Huo ni wizi tu kama wizi Tanesco mmepewa kazi si yenu

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Місяць тому

    Saahivi nchi ina jiendesha yenyewe hakuna dereva😢

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns Місяць тому +1

    Kama mnashindwa kujifunza kwa Kenya haya subilini nasisi tuzame mtaani ndo mtakiona

    • @babymanka6466
      @babymanka6466 Місяць тому

      Aaa sio kwa ss watanzania ss hatupendi maugomvi tumezoeya kuishi kwa aman hata kama inatugarimu aman ndo urithi wa mtanzania.

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Місяць тому +1

    Uo ni wizi kama wizi Mwingine pumbavu zao madeni gani wakati kila mwezi unakatwa kulanina zao 😢

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Місяць тому

    Ni waongo sote tumetozwa 2000 unakuta wengine tuna nyumba za vyumba 4.turudisie hela yetu.

  • @Msumi74
    @Msumi74 Місяць тому

    Hao tanesco hawana cha kujitetea ila hiii nchiii na mwakani wakinifanyia ivyo tena watanifunga tu kwa miezi yote kwann wasikate ni matapeli tu Kenya oyeeeee

  • @Africaamkenitznawenuso
    @Africaamkenitznawenuso Місяць тому +3

    Majambazi

  • @AmonMeshack
    @AmonMeshack Місяць тому +1

    Kama vipi wazme umm wao tutumie vumuli vya kuni 😡😡

  • @alcadoathumani9957
    @alcadoathumani9957 Місяць тому +1

    Kwanza huo ufafanuzi alioutoa siyo kweli au labda mimi ndiyo sijaelewa kwasababu kama hawajapandisha kodi basi tanesco mmetuibia hela zatu kwasababu kila tunapoanza mwezi mpya tunakwata kodi kupitia luku Sasa hayo madeni yanatoka wapi ?inamana hapo kwamaelezo hayo nikama tunalipa kodi mara mbili tunaulipia mwaka wa fedha na kila mwezi tunalipa tena au sivyo

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Місяць тому +1

    Daa atuna ra kuogea ira inauma basi tu kwakuwa nimezariwa tanzania bas😂😂😂

  • @seriesplus255
    @seriesplus255 Місяць тому +1

    Hayaaa sasa wengine tumelala gizaa😂

  • @DewGroupTech
    @DewGroupTech Місяць тому +1

    Nchi hii imefika kubaya

  • @OmariNgurangwa
    @OmariNgurangwa Місяць тому +1

    Wezi

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg Місяць тому +1

    Wizii tu

  • @allymaulid9391
    @allymaulid9391 Місяць тому

    Sasa hapo mpangaji anausikaje

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 Місяць тому

    Linapenda kuongelewa kila siku mvua zmekata limeanza kutukatia umeme wakat juzi tu lilisema kuna umeme mwingi

  • @wadantz123
    @wadantz123 Місяць тому +1

    Utapeli ty

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in Місяць тому

    Haya n majambazi...nchi ngumu hiii

  • @bongomastory791
    @bongomastory791 Місяць тому

    Waongoooo wanakata alafu wanaandika cost

  • @salumobed5980
    @salumobed5980 Місяць тому

    R. P Magufuli.... Kwel tutakukumbuka

  • @zebedayobiswalo1924
    @zebedayobiswalo1924 Місяць тому

    Sijaelewa tanesco na Wana deal na umeme na housing or?

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg Місяць тому

    Mm nimepanga nyumba sihish na mwenye nyumba ninapo lipa kod ya jengo apo sinaonewa😊

  • @jeremiahevodius925
    @jeremiahevodius925 Місяць тому

    Tatizo tuna shilikw moja la umeme litafanya linavyo taka walikuwa wap kukata mpaka waje wakate wakati hu hi mchi inakwenda wap umeme wenyewe upo ju umeme unakatika katika bado makato ju na mimi mpangaji nimecode nyumba nikilipa code kupitia umeme uwon me ndo nitakuwa namlipia mwenye nyumba code apo si nitakuwa naonewa mimi

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 Місяць тому

    Hii inch ngumu sn dah

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Місяць тому

    Ndo mkate elfu3 kufatilia kwenyewe hamuwezi kazi kukata tu ela watu wameunga umeme direct mwaka wa3 eti hayajui au mnajua ela mnakozitolea umeme wa elfu10 ni unit19? Na hapo umepanga kweli umasikini mbaya

  • @DewGroupTech
    @DewGroupTech Місяць тому +1

    Uonevu huo

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Місяць тому

    Unakatwa kodi isio kuhusu. Unalipa deni ambalo halikuwepo maana TANESCO kila mwezi wamekata hio kodi hakuna mwezi walijisahau! Kisha una shinda bila umeme na unala bila umeme what the fuck!

  • @allymaulid9391
    @allymaulid9391 Місяць тому

    Ni wizi tu amna lolote hapo

  • @user-es7jn7cp5d
    @user-es7jn7cp5d Місяць тому

    Maisha magumu sanaa aise basi tu

  • @stivertz7014
    @stivertz7014 Місяць тому

    Agh hawa jamaa hawa

  • @mlelwatv5831
    @mlelwatv5831 Місяць тому

    Mbona mnakata 2 000😢😢😢

  • @MtumishiNgowi
    @MtumishiNgowi Місяць тому +1

    Ujinga mtupu