Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
MAENDELEO YA UJENZI MRADI WA DART AWAMU YA TATU
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 10 лип 2024
- #DARTMwendokasi #MwendokasiApp #Tanzania #TowardsSmartCities
КОМЕНТАРІ • 32
Наступне
Автоматичне відтворення
MAENDELEO YA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA DART AWAMU YA 3 KUELEKEA GONGOLAMBOTO YAFIKIA 49%DART TV
Переглядів 1,5 тис.
#TBC1: WEKEZA TANZANIA: MAPYA JUU YA UWEKEZAJI MKUBWA WA KITUO CHA BIASHARA UBUNGOTBConline
Переглядів 14 тис.
TANROADS IRINGA INAENDELEA NA UJENZI WA KUPANUA NA KUBORESHA BARABARA SEHEMU YA MLIMA KITONGA.TANROADS HQ
Переглядів 7 тис.
⚡️9 ХВИЛИН ТОМУ! Оточення прийшло до путіна з ШОКУЮЧОЮ ВИМОГОЮ! Його змушують підписати…Телеканал Прямий
Переглядів 1,8 млн
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصيرOne More Arabic
Переглядів 50 млн
«Ми так війну не закінчимо ніколи»: 22-річний морпіх про те, чому їм потрібні молоді #війна #зсуСлідство.Інфо | Розслідування, репортажі, викриття
Переглядів 615 тис.
Umunyarwandakazi vyanse ko yihanga imbere ya PRESIDENT//Imbibe zihuza UBURUNDI n'URWANDA//UmutekanoUMUKUBITO
Переглядів 102 тис.
MAENDELEO YA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA MABASI YAENDAYO HARAKA AWAMU YA TATU KUELEKEA GONGOLAMBOTO.DART TV
Переглядів 1,3 тис.
BMG TV: Kazi Inaendelea ujenzi wa Flyover (SGR) MwanzaBMG ONLINE TV
Переглядів 13 тис.
🇹🇿 BASHUNGWA ASHUHUDIA UJENZI WA BARABARA YA NJIA NNE (KM.29) MKOANI MBEYA UKIANZA KWA KASIWizara ya Ujenzi
Переглядів 7 тис.
Muarobaini wa uchelewaji wa Mabasi mbioni kupatikana.DART TV
Переглядів 191
Inside a New Stadium for Tanzania Premier league. KMC StadiumExplore with Bertin
Переглядів 9 тис.
SGR RASMI YAPIGA HODI BURUNDI,NA DRC,MTAALAM KWAAJILI YA USHAURI WA MRADI HUO KUPATIKANA MUDA WOWOTESISI NI WAZALENDO
Переглядів 8 тис.
UJENZI SOKO LA KISASA UBUNGO| MRADI KUKAMILIKA MWAKA HUU | KUBEBA ZAIDI YA YA WATU 2000ST BONGO TV
Переглядів 1,7 тис.
SAKATA LA GHOROFA KARIAKOO LAFIKA MEZANI KWA RAIS/RAIS ATOA MAAGIZO KWA WAZIRI/ KAMISHNA AFUNGUKAJAMBO TV
Переглядів 44 тис.
Танки ВСУ в Курской области. Что происходит? Руслан Левиев о прорыве границыТелеканал Дождь
Переглядів 2,6 млн
МАФИЯ в РЕАЛЬНОЙ ЖИЗНИ: Масленников, Матвиенко, Булкин, Сабина, Бустер, Дилара, Гурам, Леон, ЯнчикДима Масленников
Переглядів 6 млн
Я тоже так могуDouble Bubble
Переглядів 2,2 млн
РЕЙНДЖЕРС - ДИНАМО. Детальний огляд матчу. ЛІГА ЧЕМПІОНІВFootball Hub
Переглядів 307 тис.
Что под плащом? 😱 #тнт #shorts #юмор #шоу #однаждывроссии #моргунова #картункова #кошкина #летоОВР Шоу
Переглядів 4,6 млн
Для кого жиза?Анджилиша
Переглядів 2,2 млн
ВСУ зашли в Белгородскую область. Ахмат снова сбежалOm TV
Переглядів 1,1 млн
«Приїхали Бандеру шукали. Який Бандера? Він помер взагалі-то. Ні, от сказали, у вас тут Бандера є»Суспільне Дніпро
Переглядів 84 тис.
Barabara nyembamba mno
safi sana mfanye halaka kabla 2027
Good job
Kupanda mwendo kasi ni aibu yani mnasukumizana kama wanyama mnapandana migongoni yani hakuna heshima kabisa
Ongezeni ubunifu kwenye muonekano wa vituo
Yaani, ni kama vibanda vya kuku aisee 😂 very basic hata kile pale SGR station mjini hakina hadhi ya ile station, wonder who comes up with these mundane designs or is it cost cutting?
Mwendokas mefeli kilakitu mpk chenji za kuwarudishia abiria hakuna kama vp mjiuzulu wate tuwape wengne
Kuna changamoto nyingine nyingi mno,msongamano kwenye vituo,ukatishaji wa tiketi,wahudumu wanakuwa na lugha chafu,kukosekana kwa chenji,madereva wamekuwa wanatoa lugha chafu kwa abiria,Nauliza swali jingine ni kwa nini UDART mliondoa wale madereva wa awali mkaajiri madereva wa daladala ambao hawajali chochote wawapo barabarani na kusababisha ajali kedekede na kuharibu mabus yenyewe!
KADI WAMEUA MAKSUDI
Latra kwenye magar y wt binafisi wapiga faini kisa mtu kazdi mwendokasi tunapandiana kama ngo'mbe mbona hamuweki mabasi yenu tuone ikiwa n wakweli,mtishia raia kilacku
kwa mabasi yapi labda?
Mnapoteza pesa bure hakuna mabasi ya kupita humo msitusumbue
Nyie DART uku mbagala ujenzi si ushaisha??? Mbn hamuanzi huduma ?? Yan barabara imanza kujengwa tangu niko diploma ad leo nimemaliza degree. Nyie watu kiboko
Mwendo kasi imefeli mjitathimin huwez kata ticket ukakaa kituoni zaid ya saa moja umesubiri gari na wakati ikitokea yanapita yanapita empty hayana watu ilhali watu wamejazana vituoni , ifike pahala mjitathimini kama mnatosha kutuhudumia watanzania , Dhamira ya serikali ni nzuri lakin utendaji ni mbovu aswaaa
Kwan c naskia kuna mwendokasi app
Kazi nzuri ila wale wa barabara za mitaa DMDP ni majanga matupu Kila siku ahadi tu.pugu, banguro mwembe kiboko, kifuru kinyerezi hakuna kitu mara mwezi wa nne mara wasita na Sasa wasaba duu!
barabara za mitaa ni tarura, DMDP wana mambo mengi, japo hujenga barabara sometimes
Soma comment za bongo wajuaji kuliko wako kila mahali hii hulka sijui tutaiacha lini , mbongo huyo huyo ndo kocha, mchezaji, injinia, daktari…😅 na anasema akiwa anajiamini kabisa 😂
Kwani unadhani wabongo vipofu? Kama kitu hakijakaa vizuri sasa unataka tunyamaze wakati ndio kodi zetu hizo!!! Wewe vipi mbona hueleweki?
Rais alituahidi mabasi ya umeme alivyotoka ufaransa
Ulikuwa uongo mtupu kila siku wanaahidi
Hiyo project ina njia zake na ni ya katikati ya mji wala haina uhusiano na mwendo kasi. renovation ya jiji la Dar inakuja soon, muda si mrefu kuna kitu kizito kinakuja kufanyika pale jangwani na hata klabu ya Yanga na wao uwanja wao wa kisasa wanaoutarajia kuujenga hivi karibuni pia nao upo ktk sehemu ya project hiyo. Na istoshe mkumbuke hata treni za kuchongoa alivyosema atazileta mlimbeza hivyo hivyo, mlimuita muongo, mkamtukana na kumkejeli, lakini mwisho wa siku mkaishia kupata aibu, chuma zimekuja na hizo safari zimeshaanza na stori taka zote zimeishia midomoni.
@@rayisadesigns2646 treni zs mchongoko ni JPM na tokea yuko mzima walishatoa oda na miradi yote anamalizia ya JPM anatembelea nyota ya JPM ! Samia ni nuongeaji hamna kitu sport arena hadi michoro walionyesha na wako kimya tu
@@rayisadesigns2646sorry but I would like to know how or where you got that info from “renovation la jiji” I wanna check it out for myself if you have a link?
Ujenzi wa awamu ya 1 uliikamilika 2016, miaka 8 baadae awamu nyingine zinajengwa. Cha ajabu design ni ileile na zaidi ni mbovu kuliko awamu ya kwanza. Hii ni ishara ya kufeli kwa DART na TANROADS kwa ujumla. Shame on you!!!
Sa we bwege Kwani ushasahau mambo ya COVID hapo katikati ama unabwabwaja tu?
@@section8ight174 COVID inaingilianaje na design ya vituo vya mabasi?
@@petersonolangu2398 si umesema hapo kwamba Kuna gepu kubwa kati ya awamu ya kwanza na awazu zilizofuata? Na mimi nilikuwa nakukumbushia tu kwamba mambo yalisimama ama kupungua spidi kubwa dunia nzima.
@@section8ight174 bro hapa sizungumzii mda wa ujenzi wa awamu, nazungumzia angalu pangekua na design tofauti za vituo sio vilevile kwa awamu zote...pawe na improvement
😂😂😂😂😂😂 stupid comment @@section8ight174
vituo muonekano wake mbaya mradi uko poa,Mjini wekeni vituo dizaini nyingine na kadi zitumike sio tiketi za makaratasi
Vilevile waweke A/C kwenye hayo mabasi watu wasafiri kwa style nzuri walau!!