MSWAHILI:JENGO LA NGOME KONGWE BAGAMOYO LAMTISHA ZEMBWELA,ATAKA KUPOTEA.
Вставка
- Опубліковано 6 лют 2022
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
Nimeghadhika sana na historia potofu,ya unafiki na uwongo mtupu !!! Nendeni shule mukasome vyema kuhusu maswala ya utumwa Afrika na ulimwengu mzima kwa jumla! Historia ya kuigiza ya kizungu bado munairudia bila kueleza chimbuko!! Inakera sana Muafrika hadi waleo amekabwa na taasubi za kimagharibi !!!
Kweli wa ongo
Asante,Kwa makala. Inayovutia,lkn Pia inahuzunisha.
Ombi kufanyike ukarabati,ili historia hiyo isipotee. 🙏🏾
Duh leo nimejua vitu vingi hibgera sana Swahili
Nani aliye kua akiuza watumwa?!wale Maalafu wa kiafrica walioko India na sehemu za ulaya na Marekani vipi ilikua,mbona wengi sana.
Hongera bwana zembwela
noma sana
Tell the children the truth..history ya mzungu ndio mnatudanganya hadi leo dunia imeamka biashara ya utumwa anajulikana nani mfanyaji ...
Hiyo Kweli hata ulaya Indian women lazima watowe maali Kwa mwanaume
nomependa sana
Ivyo nyie Wabongo mnajuaje ukweli wa history halisi ya Zanzibar??
Huyo gaid ni muongo haijui history ya bagamoyo zembwera rudia utafuti wako utajua kama alikuongopea
Duhhhh dada anakwambia sehem nyngine usichukuwe umemjibu vipi ?
Kaka Zembelwa,uliogopa kwenda vyumba vingine kwanini.. 🤣🤣🤣
Huyo gaid wa kiume ni muongo sana bagamoyo hakuna sehemu ya kunyongea zembwera
Ipo kaka kama unakujua badeko hotel baada ya geti tu upo mnara wa kunyongea
Wsalabu mnawasema vibaya wajelumani na waleno na wakoloni nawaingeleza mnawa SEMA vizuli japokua waliuwa Sana tunajua mmekalilishwa kumchafua mwalabu kwakigezo Cha utalii uliona wapi makabuli namisikiti ya waisilamu yanasimamiwa na wakristo eti utalii kwanini wasitoe historia wazee wakiisilamu siwapo nakwanini makabuli ya wakristo hawayafanyi utalii
Kuhusu mlango umeongopea
Km historia hamuijui mna Chuki zenu za Kibinafsi na Warabu kwa mnakua na Confidence na mnaloliongea wakati sio Ukweli??
Wakati juzi tu Muingereza katoa Ushahidi na akaomba Samahani kwa Biashara ya Utumwa aliyoifanya Africa na ikiwemo Tanzania??
Kwa taarifa yenu mwarabu anakataa yakua hajawahi kufanya Biashara ya Utumwa Duniani sio Tanzania bali Ulimwenguni kote!!!
Huo ndio Ukweli Mtupu without doubt!
Dah huyu jamaa muongo
Uyo msimulizi wa kiume hana analolijua ktk historia , eti wahindi walipendelea kulima mitende eheeee!!!!!!!
Kaombe ajira hapo uwe unatusimulia wewe
Nyie mnajua yaliofanyika tokea lini??
Umeona eee
History itajirudia hii sehemu kama hii iko nchini. Senegal inaitwa the door no return its me ukifika hapo akuna kuludi
Bagamoyo
Mkoloni. Ni. Mkoloni..tu.si.mwarabu..au.mzungu..wote.ni.wachenzi.tu..waliuwa.babu.. Zetu. Hapo. Anaonekana.mkoloni.mzungu..halikuwa..mzuri
@@selemani.matendo4091 Hata mtu mweusi alikua mshenzi zaidi kwa kukamata na kuuza ndugu zake, huenda babu yako ndio alikua mtekaji na mkamataji wa watumwa na kuwauza ndio maana bado umejikuta umebakia TZ
Alafu utakuta mzanzibar eti anajivunia kuwa mwarabu Pumbavu
Nyie mnaojiita Mswahili Mweusi Roho zenu ni Mbaya na Usaliti
Mnasahau fadhila that's all i can see from people like you 😜
Shame on you!