UZURI WA HISTORIA YA MJI WA BAGAMOYO TANZANIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

КОМЕНТАРІ • 15

  • @Ba63828
    @Ba63828 3 місяці тому

    Asante kwa kutugàwia historia muhimu. Kichwa chako kina skull zaidi ya vitabu. Ukiandika kiatabu utasaidia sana.

  • @GadiPaulo
    @GadiPaulo 2 місяці тому

    Asante Kwa history nzuri

  • @issaismail6153
    @issaismail6153 4 місяці тому

    Anajua sana history ya bagamoyo

  • @machetebogota4218
    @machetebogota4218 Рік тому +1

    MashallAh Tanzania ina vivutio vingi Sana tuleteeni na history ya kule kilwa

    • @machetebogota4218
      @machetebogota4218 Рік тому

      Ila waarabu ndugu zetu walikuwa washenzi Sana kwa ndugu zetu Mie mndengereko Leo najikuta nipo Zanzibar kumbe babu zetu waliletwa kwa utumwa uku Allah awalaani wote wakifanya unyanyasaji huo na awaangamize zaidi na zaidi Aamin ya Rabbil a alamin

    • @fatmasalim8293
      @fatmasalim8293 Рік тому +1

      Warabu ndio ulowaita washenzi Lakin I wazungu ndio mabwana zenu warabu wawasaidia kwa kila kitu mpumbavu wewe mungu akulani wewe usokuwa na kheri

    • @AliAmour-g2o
      @AliAmour-g2o Рік тому

      ​@@machetebogota4218soma historia na ufahamu pamoja na kujifahamu vizuri, na sio usome kama kasuku kwa kupelekwapelekwa na fikra za mtu, ipe akili yako uhuru wa kufahamu ukisimacho na sio ukisikiacho kaka

    • @HadijaRajabu-pr9di
      @HadijaRajabu-pr9di 5 місяців тому

      Na munavyo tukataa Watanganyika munataka muungano uvunjike. ​@@machetebogota4218

    • @HadijaRajabu-pr9di
      @HadijaRajabu-pr9di 5 місяців тому

      ​@@fatmasalim8293Hakuna Mwarabu mwema na wala hakuna mzungu mwema na huyo Mwarabu asi leo biashara ya utumwa bado anafanya.

  • @dean314videos9
    @dean314videos9 Рік тому

    Is it possible you can put this video in English?

  • @HadijaRajabu-pr9di
    @HadijaRajabu-pr9di 5 місяців тому

    Mbona wazaramo wanasema neno Bagamoyo limetokana na wao?.

  • @rehemafungo7387
    @rehemafungo7387 Рік тому

    Kwa anayetaka kufika,inapatikana wapi ?

  • @CharlesFabian-j9l
    @CharlesFabian-j9l 7 місяців тому

    Iko Pwani mkuu