KABATI LA MAAJABU: MIAKA 100 HALIJAWAHI KUFUNGULIWA WALA KUSOGEZWA | MSWAHILI
Вставка
- Опубліковано 26 сер 2024
- KABATI LA MAAJABU, LINA MIAKA 100 HALIJAWAI FUNGULIWA | MSWAHILI...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #MswahiliWasafi
VIVA TANZANIA 🇹🇿💚🇹🇿💚 KEEP GOING UNCLE ZEMBWELA 👍🇹🇿
Ntanunua kabat kama ilo niwe nawekea simu yangu nikitoka kazin maana mke wangu 😔
Duuuuuuuhhhhhhh
Hahahha hatar
🤣🤣🤣
Mswahili ✨🇹🇿
Plz like
kwa ujinga wa mtu mweusi utakuta wameshindwa adi waje wenyewe wanabeba mali kirahis kabisa, mim nakuja na gesi apo nalikata ilo
🙄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 asante mawazo yako kama mimk
Cha kusikitisha sana katika maelezo yote wasimuliaji wametaja Wajerumani na waingereza ila hawaja taja hata kwa bahati mbaya dhulma nzito,manyanyaso,uburuzaji,utumwa,uzalilishaji n.k dhidi ya waafrika na makundi haya mawili kwa karne na miongo ya kutosha....😭😭😭😭😪😪😪🙊
Kuna Baadhi Huwa yanakuwa na thamani kama madini
Na Kuna Baadhi ya maeneo wenyewe mbao ni wazungu wamewahi kuja na Kuchukua Mali zao Huwa unakuta liliachwa na mababu zao huko...
Na huwezi kufungua wenyewe wakija wanafungua kizembe Sana tu
Tanzania Ina historia Kubwa Sanaaa
Napenda sana mistari yako big up zembwela
Hilo wahuni tunalifungua kilahisi wepesi wepesi tena ki softi softi
Salute Zembwela big up.
Aah safi
Huyu jamaa aongea point 👍👌
Hapo nakumbuka niliendaga #2004 nikiwa darasa la nne shule ya msingi #Kiungani Kule mitaa ya #Kurasini
Kuna video ya BARAKA The Princes kashoot apa
Hela hiyo wakiuza mahela KIBAO Hilo kabati
Naikumbuka HOTEL YA BADEKO duuu mtihani kwa kweli nyumbani kwetu tukitamba enzi hizo ni kweli brother usemayo sehemu nzuri sana.
TUNAISHI BAGAMOYO ATA UTAMADUNI PIA AKUNA AKUNA NGOMA ZA ASILI AKUNA SANAAA
Utajiri wao au utajiri wetu acheni kutupotosha!umo walikuwa wana weka madini yetu kuna mali humo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Daa umeropoka ukweli mtupu
Nimeogelea hapo badeco beach 2015 sikuku yaiddi pili,, daah ulitokea mtiti tulikimbizwa wageni Kama movie vile,, siwezi isahau cku hyo
💥💥💥💥
Mswahili analiangalia kabati😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anaona dhahabu zembwela😂😂😂😂😂😂
Badeko mwambie diamond 💎 aweke investment
Dah watu wanaopewa madaraka hawazingatii hapo tulikua tukijaga wkt tunasoma tulikua tunakutama watu wengi sana tafauti ila Leo hakuna kitu
Nakuja winch napaki huo mkabati nitashughulika nao mbele
Mkuu wa wilaya hapo bure kabisa Brother Zembela
Mbona kama kabati hilo ukilinganisha mchoro unapata uso wa mtu, napia unapata moyo?
Hamna kitu humo wazee wa michongo washachukua kila kitu una cheza na Mbongo , hapo wana wachezesha na akili za watu
Du hatari ni sehemu niliyokuwa timu yetu ABC Leopard hapo Bagamoyo
Unakuta huko Kuna Mali,mi ningefungua Tena kwa baruti
jamaa ni mtangazaji,anajua
Hilo linafunguka wapo watalam Wajapan wanafunguwa loki za zaman
uko mbali sana. unakata kwa gesi tu
Au bomu hilo liliwauwa wahusika,maana kama walibakia hata kama walienda kwao naukute ni vito vya thamani wangerudi kwa kuwa walikuwa wamewekeza kihalali
Watu hawajaamua tu.
Nothing impossible under the SUN.
Zembweraaaaaa
Yani wew ungekua rais wa tanznia bax tungekua na rais boraa maan mashawliyako sopoa
Vunja kabati hilo.kama mmeshindwa nipeni Mimi .mna madini humo mengi vsanaa
Sasa si ilikuwa mkienda mkirudi mje na chochote tujenge wewe ndo wa kwanza ndo unalaumu
humo hatuwezi kuiba hata kimazingara?
Nakumbuka sana mm ni wa mlandiz
KONDEBOY JESHI NDIE MSANII MKUBWA IN TANZANIA KWA SASA KWASABABU YEYE NDIE ANAITANGAZA NCHI YETU KIMATAIFA KUPITIA MZIKI MZURI ANAOUFANYA 👣💥💥💥
Nyoo wazo lako hilo.... Kaenda mataifa mangapi... Mond ndio habali ya dunia..... Mpka urusi wajua
Uyu mtu anatoa maerezo hayo kayatoa wapi🤣🤣🤣tunaongeapeana tu
HIYO HOTELI BADECO NILIFIKA HAPO MIAKA 23 NYUMA MAPOKEZI KULIKUWA NA MGUU WA TEMBO UMEWEKWA NA NJE YA HIYO HOTELI NIKAONNYESHWA MTI AMBAO HAUKUWA MKUBWA SANA NIKA AMBIWA WAJERUMANI WALIWANYONGA SANA NDUGU ZETU KUPITIA MTI HUWO NILIFADHAIKA SANA NADHANI BADO UPO.
Hapo kuna vitofali vya dhahabu na rupia za bei ghali sana ila tatizo ni uchaw wa mjerumani . Unakuta hizo mali wakati zinafichwa walifanya zindiko na kuuwa mababu zetu kama 20 ivi. Hivyo ukivamia bila ridhaa yao lazima mfe . Au litoke bonge la nyoka liwagonge wote mfe
Situnadai wazungu sio wachawi. Hahaha
Hamuja taka kulufungua
Napakumbuka hapo
Hayupo unaemuomba
Yaani Mwafrika jinga sana yaani mtu aliyekufanya mtumwa eti kabati la mgerumani, vunja tupa kule, vitu
Hili jego Wajerumani sijui
Chuma chakavu
Zembela hili karibuni mimi cast madude naisi Lina dhahabu
Zembwela waambie waache uoga humo Kuna madini wavunje tu kama wameshindwa masela wapo fasta tu ,uoga wetu ndio umaskini wetu
Acheni woga vunjeni kabat hilo Muna marupia na mashani
Lingekua kenya hili kitambo
Zembwela bomoa hilo
DAWA ZA KUMUACHSHA MTU POMBE NA UZINZI
m.ua-cam.com/video/VSKtv-Xh3Lg/v-deo.html
Heeee Badeco imefungwa???
ACHENI KUPOTOSHA
Mimi dogo Rama mchomeleaji niiteni happo nifungue ,chapu tuu
Mpaka waje kutoka kwso watoe vitu vya thamani
Waafrika ndio maana tunakufa maskini wallahi sisi ni wajinga
VIDEO KUMI (10) ZA SINGELI ZENYE WATAZAMAJI/VIEWS WENGI YOU TUBE👇🏼👇🏼👇🏼
ua-cam.com/video/AhuQ66eLYHY/v-deo.html
#SHARE NA WENGNE 👏🏼
Humo kuna madini! Hiyo ni Mali, ukilifungua tu! wewe ni bilionea. Hilo jengo limejaa utajiri .
Hamna chochote humo
@@thabitiykitwana1271 vita kuu ya dunia wajerumani walishindwa kuondoka na baadhi ya hazina za madini hivyo wakaziacha kwenye majengo na masanduku mengine yalifukiwa chini,kwenye milima,mapango,kwenye makanisa ya kale na sehemu mbalimbali nchini.
Hata hilo sanduku lenyewe unakuta ni shaba tupu.ningekuwa huko ningelipiga mazima
Ndugu yangu ramadhani Kwa akili za kuzaliwa wewe Bado unaamini kwamba ndani Kuna mali zikaa tu miaka yote. Serikali yetu kama unavyoijua mali zikae tu ivi ivi?.
@@thabitiykitwana1271 ndugu yangu kuishi kwingi ni kuona mengi,tembea ujifunze.kuna sehemu nyingi sana kuna madini yaliachwa na wajerumani.namna ya kuyafikia na kuyachukua kuna siri zake
Hehehehehehehe milango na madirisha yake hayapo
Vitu vya kale haviangalii ipasavyo na wa havisaniwi kutokana na kutoelewa nini naama ya hivyo vitu