Hawa walaunga wengine usiwafanyie interview Sanya mashabiki hatutaki wasanii wapangwe ndo kipindi kinanoga Sanya nenda kwa wasanii wanaojielewa hawa wa singeli wala unga hatuwataki jitu halijui utani linataka vita tu
We kuma la mamako acha zalau za kisege kipindi kiwe cha wasanii wa aina flani ndo nini vita nini mshamba nini wewe jikataee mshamba na washamba kiaboa wenzako
Haaaaa😂 kweli muhuni ni muhuni jamn. Daaa mc balaa umeuwa aise hapa
Sema like nyingi kwadada kajua kukiwasha
Kama kweli sanya anaunyama nipe like nimpelekee❤
Et angelala na mimi wiki nzima 😂😂😂
Bangi ishachemka hapo kichwani😂😂
😂😂😂
huyo bibie alivyo serious dah ...hahahaha sema safi sana
Yaani hapo kuna mtu kashaibiwa tayari usicheze na wahuni😂😂
Na mna bahati mwanangu ana mwili mdogo lakini angekuwa mtu wa gyme,heehe 😂😂😂😂Namkubali sana mwanangu 🔥🔥🔥🤞
WCB pamoja sana ❤❤
Kwanza angelala na mm wiki mzmaa😂😂😂
Wahuni siyo watu wazuri atachinja mtu hapo😂😂
Daah wasani wasingeli bangi nyingi 😂😂😂😂
😂😂😂
Moo Town katika hv ni kweli hii mwanang umepqtkan yan kuliko zote
Nakubali
sanyaaaa
Asimin umeuwaaaa❤❤❤
🎉🎉
Which name of your president 😮
Tatzo la wasaniii wa singelii mudaa woteee wanawaza kulogwaaa ndo maana Mambo ya umetumwaaaa😅😅
Angalia tena video hujaelewa amemind kwasababu matukio kama aya yamemtokea na akaibiwa vifaa vya studio sasa kulogwa kumeingiaje hpo
23:17 Anaingia Mlemle 😂😂
Maisha kweli kaka 😂😂😂
Watu washakula zao ndum unawaletea prank 😂😂😂
Hii vurugu ngoma nagwa anasubiri 😂😂😂😂😂😂mc balaa sio kuimba tu hadi kuigiza unajua°°
Ya leo angeumia mtu
Bonge moja la kipindi ❤❤❤❤❤ nipe like hapa
43 namba
dah huyo dada mumpe hela nyingi sana maana kahatarisha maisha yake sanaa
Ila bangi izi
Sanya until we die
WASANII ACHEN BANGI
❤❤❤❤
Balaa yupo sahh wanatakiwa wabadilike uwez juwa mtu yupo ktk mawqzo gn
Show inachekesha sana hii kweli nimipinduko sema balaaa mpaka nimwmuonea huruma dah
Wasafi ni media kubwa sana,, jamaa alijiiona mbali zaidi😢,, af gafra demu analeta mizengwe aaaaaa harari amind😂
Oya kwanza ndugu yenu kweli auuuu sio😂😂😂😂 wauni wanataka kuangusha nae wiki😅😅
say sanya
Hahaha Ana mkwala uyo balaa😢😢😢 eti ata oysterbay aende
Mdada aleko singo nakupenda 😢❤
Hii
@@Abdul-zb8on upo singo mai
Mmmmh ipo siku watu watapigana kwel
Watauwana kweli, maana kila mtu na hasira zake. Kujuta badae.
Mo town sanya 🔥🔥🔥 Halaaaaa 😂😂😂😂
Balaaa
Duuuuh
Balaaa mc kajaaa vizuri ad raha😂😂😂
Balaaaaaaaah
Balaa balaaa kweliiii😂😂😂
Uking'atwa na nyoka lazima uongeze unajibu safi sana balaa
Ebwana
NAISUBIRI YA CHID BENZ😂😂
AAAah watajuta kwnn wamemuektia😂
Kuna ya Adam mchovu 😂
😂😂😂😂
Yani nilukuwa namkubali lkn Leo sijuh kwann kanitoka
😂😂labda kwa sababu ya hasira alizo zionyesha
Watu wa singel na ugomv wa silaha😅😅, ila nimemuelewa mc balaa kwa nyakat alizopitia
Hivi hiviii
Sanya leo mumeyakanyaga kwa wahuni
Hivi ni Kweli 🗣️🗣️🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😂🤣😂😂😂🤐🤐
Hawa walaunga wengine usiwafanyie interview Sanya mashabiki hatutaki wasanii wapangwe ndo kipindi kinanoga Sanya nenda kwa wasanii wanaojielewa hawa wa singeli wala unga hatuwataki jitu halijui utani linataka vita tu
Kama huwataki wewe t usitusemelee
Kama huwatak ww t usitsemelee
We kuma la mamako acha zalau za kisege kipindi kiwe cha wasanii wa aina flani ndo nini vita nini mshamba nini wewe jikataee mshamba na washamba kiaboa wenzako
WE KAMA NANI UWAAMULIE WATU WAMAFANYIE INTERVIEW FALNI NAFALNI WE LICHOKO LIMOJA
Kwan umelazmishwa babuu
Mzee inabid uangalie na wasanii wakuwafanyia kipindi
hatariiiiiiii sana
Leo ndio nimeamini mziki wa singeli ni wawahuni ukizingua wanaondoka na wewe😂😂😂😂😂
Angekutana na chibuduma nipe Tena nipe sijaona kingewaka🤣
huyu jamaaa kweli ni BALAA😂
Jmn
Angelala na mimi wiki nzima kwanza ni ndugu yenu Ausio" 😂😂😂😂
INGEKUWA media ndogo hapa pangewakaaa kaheshim wasafi tu 🎉😅😂
Yani naaribu show SIM yako nachukua af Amna kitu chochote mtanifanya
Wa kwanza mimi nipeni like zangu
Xagent najafa ap nakubali
Haaaa eti nikiwa nyumban naweka usanii mfukon😂😂😂 uwiiiiiiii
Kweli wee n balaa😂😂
Ivi ni kweli daah monta sanya kakutana na mc banazo kichwa bangi
😂😂 wakiendaga police wanatolewaga hao
Jama yangu apo kapata moto😮😮😮
Ni hatariiii 😅😅😅
Kisu wapi umeshindwa kumchapa hata kofi na ulkua naye karbu😂😂
Duuuu!!!!!' Kumbe waimba singeli uwa ni wahuni kweli
Kwanza jela ana chumba chake 😂🔥
Mc balaaa amekamatika😂😂😂😂
Singeli tu ze woldi😅
Ana machungu
Kuna siku hki kipind litatokea tukia baya maan prank mnazofany na haya maisha haya yet mach
🔥🔥🔥😂😂😂💪
Balaa Mc kwa uhuni huu sitokuja kukuamini ukija kusema umezurumiwa na Promota hela show 😂😂😂 Mapromota nahisi wamemuelewa vzuri Balaa Mc hapa 😄
Hivi hivi hivi hivi 😂😂😂😂😂
Kama ningekuwa mimi ningempasua Sanya fasta, pranki siyo ustaarabu
Huy ndo mwana ume sas co platifoma ana lia lia t😂😂😂😂
Mhuni hapingwi Yani Sanya me hata kama mko na kipindi chenu me sitaangalia kwamba ni challenge nitatoa mtu damu tu
Kuna MTU kapigwa pochi/simu apo wahuni sio RAIA 8:23
Sema mo hiyo michezo acha itakuja ikutokee puani nakwambia kama hapo angemchoma kisu tu kesi kwako
Kwanza ndugu yenu kweli au😂
Kuweni makini na hawa watu 😂😂😂
😂😂😂 Wameyamuny
Wana vya Arusha vinakolea kichwan hapo hawaelew hapo
noma sanaa kweli hii kweliii hiviiiii duuu
Media yenu inadhalilisha watu😂😂
kivipi
Mc balaa bangi zote kwisha😂😂😂
😅😅😅😅😅 duuuuh
Ila hiki kipind huwa cyo poakitakuja kuleta majanga ckumojah
motown bonge la creator 😮
Mumeenda kuhoji mvuta bange 😅😅😅
✊
uyooooo😂😂😂
Uwo ujinga 2