AHMED ALLY NDIO AFISA HABARI BORA KWENYE TIMU ZA TANZANIA / ANAJUA KUIPAMBANIA TIMU YAKE - OSCAR

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 256

  • @chichasam9032
    @chichasam9032 Місяць тому +19

    Oscar Osacar umeongeaaa point leo umetumiaa akili kubwaaa sana sana

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA Місяць тому +8

    SIFA YA MSEMAJI BORA NI YULE ASYEKATISHA TAMAA YAANI ANAHAMASISHA NA WATU MNAHAMASIKA KUENDELEA MBELE. AHMED ALLY IS THE BEST IN TANZANIA

  • @iddydule2287
    @iddydule2287 Місяць тому +20

    AHMED ALLY

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Місяць тому +23

    Kiufupi jamaa anajua sana kazi yake na anajua jinsi ya kuongea kwenye umma kwa kuzingatia muktadha.

  • @SalmaChamy-tg4bo
    @SalmaChamy-tg4bo Місяць тому +7

    Baba levo alitaka asifiwe ali kamwe.
    Lakini sio hivyo.
    Ahmedy allay peke yake ndie msemaji bora sana mtake msitake

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 Місяць тому +4

    Limama levo halijui ata kusema Ahmed Ally 😂linasema amed Ally sijui mmeliokota wapi😂

  • @lusekelonelson7256
    @lusekelonelson7256 Місяць тому +8

    Oscar uko sahihi. Mara nyingi wasemaji wengi Wana wika ikiwa timu inafanya vizuri. Lakini yeye ameweza kusimama na kutoa hamasa isiyofifia hata katika kipindi ambacho timu haiende vyema

  • @gatsonmatiko8000
    @gatsonmatiko8000 Місяць тому +3

    Oscar Oscar umeoneaaaa point sana

  • @user-up1fx4vt4r
    @user-up1fx4vt4r Місяць тому +4

    Sikuzote katika maisha huwezi kumuweka chawa katika uchambuzi mana chawa hana tofauti namwanaume bwabwa mana chawa nimtu mbea namwanaume ukiwa mmbea niushoga

  • @PhilimonGeorge-wg8ms
    @PhilimonGeorge-wg8ms Місяць тому +3

    Baba levo hiki kipindi anakiaribu sana yan anabwabwaja2 hajui anachokiongeaa

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA Місяць тому +4

    OSCAR ANAONGELEA KIWELEDI WAKATI BABA LEVEL ANAONGELEA USHABIKI.

    • @JustinRuben-yo2vf
      @JustinRuben-yo2vf Місяць тому

      Ushawahi kumuona baba levo anaongea bila ushabiki?

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 Місяць тому +4

    Hivi Hilo li mama levo mnaliweka la Nini hapo kwenye kipindi chenu ata mpira halijui mbwa hilo

  • @FatherKunutti
    @FatherKunutti Місяць тому +1

    Ahmed Ally is the best bhana!!!

  • @salimmbilu4524
    @salimmbilu4524 Місяць тому +3

    Nyie wasafi acheni kuweka majitu yasiosoma tutaacha kuwafuatilia

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 Місяць тому +2

    Baba levo nae😅😅

  • @flaxbeatman
    @flaxbeatman Місяць тому +2

    Baba levo wewe ungekalia tu sofa apo nyuma.😂😂😂 ubishi tu kuoga aaah????😮

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Місяць тому +1

    Huo ni ukweli Ahmed Ally ni msemaji bora na ndo level ya kujishindanisha na hao wasemaji wadogo wadogo

  • @GeradLeonard
    @GeradLeonard Місяць тому +21

    Mti mzuri ndo kupigwa mawe Ahmed piga kazi, ila kuna wachambuzi inapaswa wachambuliwe pia😂

  • @JumaMaulidi
    @JumaMaulidi Місяць тому +1

    Mapua simba alipopigwa 5 mara2 tulikua nakikosi kizuri lakini tukavuka

  • @themasimbi2
    @themasimbi2 Місяць тому +3

    Naionea huruma sna hii media yan unamchukua Mtu hana ata elimu ya kukaa hapo ndo unamuweka ,dah kwel uchawi upo

  • @fridaphilemon8898
    @fridaphilemon8898 Місяць тому +2

    Baba levo hana akili na Hana point pua kubwa tu kuoga aaahaaa😊

  • @mkorinthomgalilaya6700
    @mkorinthomgalilaya6700 Місяць тому +8

    Baba levo kipindi cha michezo hakimfai

  • @david255chengula5
    @david255chengula5 Місяць тому +1

    Oscar umeliangalia kwa ufupi sana ili.binafsi ahmed ally mm namuitaga mr pointless hajawai kuongea point ni pumbA mda wote baba levo uko sahihi kumkatalia uyo oscar watu wanapima spech zako na unamafanikio gan katika kpndi cha uongoz wako?na sio kumuonea huruma et timu yake iko kwenye iko kwenye wakati mgumu kwa leo ukiweka pemben ushabiki baba levo kasimama kwenye ukweli kabisa.mwamba hajui kuongea kabisa m sjawah kumuelewa

  • @ThabitKibirit
    @ThabitKibirit Місяць тому +2

    Ambae hakubali kuwa Ahmedi Aly nibora achaneni naye huyo ni mpumbavu Kama wapumbavu wengine

  • @RaymonTz746
    @RaymonTz746 Місяць тому +5

    Baba levo acha porojo we tupe hio taarifa tuone walicheza na timu gani

  • @oscaroscy7738
    @oscaroscy7738 Місяць тому +2

    baba levo anaharibu kipindi...HANA MPANGILIO katika kuongea

  • @AlphaIssaya
    @AlphaIssaya Місяць тому +2

    Semaji la caf nakukubali sana

  • @elkanangosha9588
    @elkanangosha9588 Місяць тому +3

    Huyo baba levol mbona alikandwa na hamonaizi hakuwa na mkono ya kujibu

  • @fadhiliabasi6585
    @fadhiliabasi6585 Місяць тому +5

    Ndio mana tumehamia Somewhere!!!!!

  • @user-od4xf5hu8y
    @user-od4xf5hu8y Місяць тому +1

    Unashangaa pa jobe kupewa thank u, kapewa chama?

  • @AmriAlly-fu4fk
    @AmriAlly-fu4fk Місяць тому +3

    Hii ndo shida ya kuweka mtu asie na taaruma ya michezo kama baba levo pia mulewe muziki na mpira ni vitu viwili tofauoti

  • @othinielkamyola3697
    @othinielkamyola3697 Місяць тому +1

    Leo nimewaenjoy kuchambua❤❤

  • @yusufuhassan6524
    @yusufuhassan6524 Місяць тому +1

    Hivi baba levo ana Elimu Gani??

  • @nyaombogodfrey
    @nyaombogodfrey Місяць тому +2

    Huyoooo baba levooo anajielewaa kwel au analetaa ushabiki kwenye station ya wasafi

  • @chichasam9032
    @chichasam9032 Місяць тому +4

    Baba levo ana tatizo la kiakili apimwe

    • @davismuzahula907
      @davismuzahula907 Місяць тому +2

      Wewe huoni hiyo pua unadhani ina kitu kweli?

  • @Sanjey-vp1fm
    @Sanjey-vp1fm Місяць тому +1

    Huyu baba levo choko uyu maana kufatiliana kwa hizi timu mbili ndio kawaida, mfano mdogo uyo Ali kamwe yy kaanza kufatilia friend match wala ligi haijaanza tena akaja na habari ya uongo halafu uyo ndie msemaji bora kwako, kweli choko.

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 Місяць тому +1

    Baba Levo,Ahmed Ally ni msemaji na si mtabiri

  • @saimonphilimon2956
    @saimonphilimon2956 Місяць тому +1

    Ila mke daimond naye !! Ivi wale mapacha wa daimond ameshawaachisha kunyonya

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Місяць тому +1

    Huyu Baba levo hafai kuwa mchambuzi yupo ushabiki mbwa huyu

  • @nelykaaya6503
    @nelykaaya6503 Місяць тому +1

    Kweliii kaka

  • @jamalimwaseba494
    @jamalimwaseba494 Місяць тому

    Baba level hawezi kutangaza habari

  • @RamadhanRamadhan-m2f
    @RamadhanRamadhan-m2f Місяць тому +1

    We chawa

  • @ericsallu3237
    @ericsallu3237 Місяць тому

    Huyo Muha hajui kitu Ahmed Yuko vzr.

  • @KassimOmary-yc4ps
    @KassimOmary-yc4ps Місяць тому +1

    Ahmed ally tanzania 1 akuna Kama yeye

  • @KabungaKalla-fw4pp
    @KabungaKalla-fw4pp Місяць тому +1

    Kama anaweza kuwadanganya watu .wakati wote na wakadanganyoka basi huo ndio ubora wake

  • @mwamakaassely2260
    @mwamakaassely2260 Місяць тому +1

    Baba Levo ni msenge mmoja

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Місяць тому +1

    Baba levo huwe na hakili sio kilajambo niutani tu ww nimtangaZaji

  • @josephemmanuel388
    @josephemmanuel388 Місяць тому +2

    Uyu chakula ya diamond malinda ana

  • @AndreaAbery
    @AndreaAbery 11 днів тому

    Wao walisema ubaya ubwela tunawaambia sisi ni ubaya upwiru

  • @AkwembeAlly
    @AkwembeAlly Місяць тому +1

    Mnashusha taalumma yenu ya uchambuzi wa mpira kwa ajili ya uwepo wa huyo Nyumbu wa Serengeti Babalevo

  • @ChristopherMgute
    @ChristopherMgute Місяць тому

    Mm nawaelewa

  • @RaymonTz746
    @RaymonTz746 Місяць тому +4

    Ahmed ally sio mtabiri ni msemaji huyo ko elewa baba levo

  • @johnsonemanuel-rd1xe
    @johnsonemanuel-rd1xe Місяць тому +1

    Baba level sio mwanamichezo

  • @peterkitajo3681
    @peterkitajo3681 Місяць тому +1

    Huyu baba leo ni mtangazaji kweli au niushabiki wa tu fulani

  • @HalfanAlly-pr4xt
    @HalfanAlly-pr4xt Місяць тому +1

    Baba levo ww tangu lini na uchambuzi WA Mpira

  • @david255chengula5
    @david255chengula5 Місяць тому +1

    Baba levo yuko sahihi achen ushabiki bhana mwanba n mr pointless

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 Місяць тому +1

    Baba levo anachambua nini? Na hukai kimya?

  • @nikasmkud7332
    @nikasmkud7332 Місяць тому +1

    Wewe Levo usiwe egemevu wa uongo ulitaka tukuheshimu uwe mkweli usupendelee uyanga wako utajuta .mwandishi Bora Yuko fair

  • @ramadhanifrancis
    @ramadhanifrancis Місяць тому +1

    Sema hilo jamaa halijui mpira cjui kwnn munaliweka Kwenye kipind

  • @leejems142
    @leejems142 Місяць тому +2

    Huy bab lev mseng an let ushabik kweny kaz

  • @kidsontemba1641
    @kidsontemba1641 Місяць тому +1

    BABA LEVO hawez kukuelewa uwezo wake mdogo sanaaa kuelewa huyu huwa namsikiliza hajui mambo mengi tu

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 Місяць тому +4

    Iv baba levo hana kazi yakufanya nayie hii studio hainawachambuz make baba levo ni mwehu

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Місяць тому +1

    Ahmed ni msemaji ilo aliitaji mabishano,

  • @jumanakamo5503
    @jumanakamo5503 Місяць тому +1

    Yaani wee baba Levo ni MWEHU

  • @JacksonWimbe
    @JacksonWimbe Місяць тому

    Yaaaaaaaaa

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 Місяць тому +1

    Oscar yuko sawa

  • @lissahmsigwa5552
    @lissahmsigwa5552 Місяць тому +1

    Kujiamini nisilaha tosha katika dunia hii

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 Місяць тому +1

    Baba Levo hawezi elewa, Fani za kulazimisha

  • @ChaseGabagambi
    @ChaseGabagambi Місяць тому +1

    Baba levo hujui mpira unabaka fan

  • @VenanceMdugu
    @VenanceMdugu Місяць тому +1

    Baba levo aende kurekodi muziki hajui

  • @idatonymassawe
    @idatonymassawe Місяць тому +1

    Tatizo anaye mpinga oscar naye 😂😂😂 kipusaaa

  • @NoelSanga-k3f
    @NoelSanga-k3f Місяць тому +1

    Mbn kama bana levo anaumia jmn

  • @MeckMsea-cx1ct
    @MeckMsea-cx1ct Місяць тому

    Kwakweli amedy Alli amepambana. Sana bonge la semaji

  • @user-tr4cx3zu2u
    @user-tr4cx3zu2u Місяць тому +1

    Baba levo ni kichwa boksi mpira kachezea wap na pua yake io kama inanusa harufu ya viungo

  • @hawahussein137
    @hawahussein137 Місяць тому +1

    Huyu baba Levo na mpira wapi na wapi

  • @robertmwakyusa984
    @robertmwakyusa984 Місяць тому

    Kaongea vizuri Sasa jichanganye umsikilize

  • @martinlema4192
    @martinlema4192 Місяць тому

    BabaLevo uko sawa.... Yaani Yanga tumefungwa anafuatilia game letu yeye timu yake huko washakalia

  • @allyanthony3489
    @allyanthony3489 Місяць тому

    Baba Revo hunaga hakili

  • @user-zj2gc2zj2c
    @user-zj2gc2zj2c Місяць тому +1

    Hiv baba levo kuwekwa kwenye hiki kipindi ni kwasababu ni chawa wa Daimond ama wameamuamua watuwekee kituko.

  • @user-jf4bj7gt4b
    @user-jf4bj7gt4b Місяць тому +1

    Baba levo Hana akili hata kido ndo shida ya watu wa yanga wapelekwe mirembe

  • @ZakaZakaria-qq9fv
    @ZakaZakaria-qq9fv Місяць тому

    we baba levo hujui hata kuchambua mpir unaonyesha ushabik waziwzi

  • @jumanakamo5503
    @jumanakamo5503 Місяць тому +1

    Hivi huyu anaitwa baba Levo kichwani ana akili kweli?

  • @VenanceMdugu
    @VenanceMdugu Місяць тому +1

    Oscar hilo lijamaaa halielewi asijaji wakati hajaiona yanga ilikuwa nzuri kwenye vibonde

  • @hamisialli6544
    @hamisialli6544 Місяць тому

    Baba levo we ni yanga ndomana
    M bishi

  • @abdallahal-khaify
    @abdallahal-khaify Місяць тому +1

    Baba levo wacha porojo zako, uongo ukisemwa kwa Simba unasihi ila ukisemwa kwa nyuma mwiko hausihi!!! kua mwadilifu basi tafadhali .

  • @OfficialgobaDodoma2
    @OfficialgobaDodoma2 Місяць тому +1

    Kiufupi baba levo aendeleze uchawa tuu maana hajuwi mpila

  • @Paulkessy-j8n
    @Paulkessy-j8n Місяць тому +1

    Sasa uyo baba levo ni shabiki wa yanga au mchambuzi. Apo mchambuzi nae kidooogo ni Oscar Oscar

  • @user-mh2tn5ce7b
    @user-mh2tn5ce7b Місяць тому +1

    Tafuten watu wa mpira baba miyayusho kiufupi haujui mpira

  • @SteveNday-wt9wy
    @SteveNday-wt9wy Місяць тому

    Uyo bb levo mbna haeleweki mala muziki uchawa uchambuzi wa mpila

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Місяць тому +1

    MAMA LEVO USICHEKE SANA UTAPASUWA CHUPI CHAWA WEWE 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 MATOPOLO MACHOGO FC 😂😂😂

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Місяць тому +1

    Huyu bwana mwingine ana ongea kama vile katoka mlango mmoja mabatini Mwanza!

  • @kelvinefuronielisha4039
    @kelvinefuronielisha4039 Місяць тому

    Yaaan mama levo akili zipo kwenye pua

  • @boniphacebrighton1889
    @boniphacebrighton1889 Місяць тому

    Baba Levo Hafai kuongelea mada za mpira kabisaa

  • @ObedFrank
    @ObedFrank 20 днів тому

    Baba levo hujui chochote

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Місяць тому

    Utofauti wa osca na baba levo ni elimu ,yaani mjinga ni mjinga tu ,

  • @IddyMzuri
    @IddyMzuri Місяць тому

    OSCAR OSCAR, WW NI KIBOKO,ACHANA NA HUYO CHAWA WALA SIO MCHAMBUZI,AENDE AKACHEZE KAMALI

  • @VenanceNtakabile
    @VenanceNtakabile 27 днів тому

    Huyo anayebisha. Kuwa ahamedi aly aulize kuwa cafu ndio waliompa tuzo ndio wenye mpira wao

  • @JokoloJokolo-vt5pm
    @JokoloJokolo-vt5pm 25 днів тому

    Ilo boya linaisha nn ni msemaji bola ndio kuliko boya yoyote

  • @raphaelbendera
    @raphaelbendera 6 днів тому

    Baba levo D hata mbili hana empy brain kbc

  • @fetymohamed3316
    @fetymohamed3316 Місяць тому

    Oscar Oscar kubishana na mwanaume ambae alisema anaweza kumzalia mwanaume mwenzake niupotevu wa mudaaa