WAZEE WA YANGA WAMUHARIBIA DIVA THE BAWSE SIKU, AGEUKA MBOGO - "HELA HAWANA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 162

  • @alexandernkwamah5905
    @alexandernkwamah5905 Місяць тому +5

    Hata watakaoisikiliza hiyo kesi na kuwaelewa wazee hao watakuwa punguwani au WAMETUMWA kuivuruga YANGA. Wananchi tuwashtukie. Mnanielewa, tuwashtukie. Huyu dada anasema kweli.

  • @saliieking7279
    @saliieking7279 Місяць тому +1

    Kumbe diva ni mwananchi safi sanaaaaaaaaaaaaaa

  • @Adrianolaurian
    @Adrianolaurian Місяць тому +4

    Wazee hatuwataki 💪

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 Місяць тому +3

    Wazee wamemuharibia Mood kila mtu aisee, hata mimi cjalala kabisa aisee

  • @ibrahimmtoni1863
    @ibrahimmtoni1863 Місяць тому +4

    Hawa wazee kwa nini mambo ya mpira yapelekwe mahakamani wao walitakiwa wshitaki kwenye vyombo vya michechezo wana sheria zao hili seala ni batili mgoja tusubiri kdg mtapata ukweli na hiyo kesi kwa nini ijulikane wakat wa hukumu tu ilitakiwa iwe wazi na watuhumiwa waitwe hamna kitu hapo

  • @JumaMusa-q4y
    @JumaMusa-q4y Місяць тому +1

    Hongera sana INJINIA

  • @seiphomary834
    @seiphomary834 Місяць тому +3

    Mahakama kwan kesi ya yanga ipo mahakaman kuna kesi mbaya dunian kama kesi ya ushoga unataka hiv mahakama kuwa tass zetu zote hawajafksha swala hl mahakaman kwel je hapa unapata tafsr gan kwenye stability ss tunabomoa kwenye ujinga tuna imarisha # tuna uliza mwenye hii timu ni nan wakat mwengine ndio unaona mungu kionyesha ujinga unaishia kwenye ujinga sizan hii kesi ilihtaj hata airtime mahakaman kuna hak hapo ya msng kwel #

  • @Mwenjala
    @Mwenjala Місяць тому +6

    Naitwa Aboubakar Hawa wazee wa yanga Wangalieni Wana matatizo ya akili

  • @JackSanga-fw9xt
    @JackSanga-fw9xt Місяць тому +3

    Hao wazee watuachie yanga yetu tumewachoka jmn kila ck wao tuu 🙏🙏🏻🙏🙏mungu ibariki yanga yetu

  • @EnessioRhumba
    @EnessioRhumba Місяць тому +2

    Ongea kiswahili

  • @JumanneTitto
    @JumanneTitto Місяць тому +1

    Team ilipo kaa kwenye njia dowakajuwa kunasheria au wanataka turudi kwenye bakuri wao wazee wamekua wakatfute pakujipoza siokuogoza Team

  • @AbubakarmadaiAbubakarmad-qo3cq
    @AbubakarmadaiAbubakarmad-qo3cq Місяць тому +1

    Siwapingi wasaf

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Місяць тому +1

    Vimetumwa hivyo vizee

  • @iddibishinaba644
    @iddibishinaba644 Місяць тому +2

    Hello there mimi naitwa Iddi kutoka Marekani. Dada yangu kazi nzuri unayo fanya ila nataka kutowa ufafanizi kidogo. Kinachomfanya mchezaji alipwe kiwango kikubwa na service yake anayo towa kwa timu wala sio mtu. Kinachosajiliwa sio mtu bali nikilile unacho fanya. Mbona feiso analopwa mpunga wakutosha nikwasababu yakile anacho honyesha uwanjani.

    • @DM_15
      @DM_15 Місяць тому

      Nikweli kulipwa pesa nyingi nikutokananskazi unayo fanya but hii hapa tz imeanzajuzituu wakati simba ikifanya transformation. Nyumahuko wachezaji walikua waburudishajituu hawakua wanalipwa pesanyingi hata uwe star, unakumbuka akina Alex masawe pawasa akina chumila mogela chuji wotehao wengiwao waliendesha maishayao kwa biasharanyingine nje yampira walioweza kujipanga mbakaleo wana maisha angalau wengine walipoteakabusa. Hivyo diva hajakosea

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Місяць тому +3

    Siasa na mpira wapi na wapi

  • @jimmymhina1264
    @jimmymhina1264 Місяць тому +1

    Wewe sijui Diva sijui na hicho Kingereza chako mmh hebu acha unajua, wewe ni mtangazaji hii radio husikiluzwa na wanajua Kiswahili na wasiyo jua.Diamond fungua idara ya Kingereza mpeleke huko binafsi sijapenda.

  • @ezekielabel5843
    @ezekielabel5843 Місяць тому +2

    Hajui sheruhi,

  • @fadhilindunguru7946
    @fadhilindunguru7946 Місяць тому +1

    Wazee Day

  • @RoseMnyampanda
    @RoseMnyampanda Місяць тому +1

    Hao wazee wasitutimbue

  • @sakinamsafiri8660
    @sakinamsafiri8660 Місяць тому +1

    Yaani....yaani...wazee tulikuwa tunawaheahimu lkn mimi naomba kuanzia leo wapite hivi👉

  • @samben4442
    @samben4442 Місяць тому +1

    Team inakuwa na wazee kwani ni ukoo huo, waache mambo yao

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx Місяць тому +3

    Hawako kwa maendeleo walitka wachangishe pesa hovyo hovyo ili wapate chakula kupitia Logo ya timu

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Місяць тому +1

    Anaharibu kipindi huyu dada jamani mpira wanasikiliza hata wasio soma lugha tangaza kiswahili mhuuu

  • @DutuPaul
    @DutuPaul Місяць тому +2

    Hawa wazee maskini wanaweza kuendesha tim tuwalaani waachie timu yetu wakaae mbali na umaskini wao huko

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 Місяць тому +1

    Jamani Kwan wao ni nani hasa katika YANGA hiii

  • @jimmymhina1264
    @jimmymhina1264 Місяць тому +1

    Nyie waandishi mkiwa mna ongea na mteja mumsikiluze Kwa makini na siyo pale Penye point yenu mnayo itaka,Mzee kasema amekubali maendeleo ya Yanga .Lakini hayo maendeleo aliyo leta yasifanye kukukuka taratibu yaani katiba

  • @remmymkhumbi3095
    @remmymkhumbi3095 Місяць тому +4

    Diva unaongea na watanzania hicho kiingereza chako nawe tutakupeleka mahakamani 😅

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 Місяць тому +2

    Kwakwel hili taifa letu linamambo ya ajabu sanaaa...! si hasa imekaa vibaya sana kwa tanzania hiii...!

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Місяць тому +4

    Tunaomba majina ya wazee hao please. Tulikuwa tunasikia waarabu wanamaamzi magumu sasa wakati unaenda kufka

  • @SaidMbande
    @SaidMbande Місяць тому +1

    Kwan lazima kuwa yanga wanatakiwa wajue njaa mbaya awatakiwi kuvumiliwa hata kidogo

  • @JumbeOjaso
    @JumbeOjaso Місяць тому +2

    Hii kesi ilifunguliwa lini na kwa nini vyombo vya habari havikuiripoti?
    Hukumu ya mahakama ya kisutu itakatiwa Rufaa na maisha ya kawaida yataendelea, wala Hukumu hii isiwatie hofu, kwani, wanachama wa yanga % 99 wanaikubali yanga hii na hakuna zaidi ya.
    Kuweni na amani hizi ni kelele za muda tu.

  • @TheSalama2525
    @TheSalama2525 Місяць тому +2

    Hao Wazee ni Wachawi lazima mulifahamu...Haikubaliki hivi wanavyotaka...kusudio Lao kuchafua Nchi yetu..... Wasaidizi wa Mama mpelekeeni Habari hiyo mbaya asione ajabu Jangwani tukakugeuza Nairobi.. tujuane Wananchi wote.

  • @Mwenjala
    @Mwenjala Місяць тому +3

    Hawa wazee wamerogwa

  • @user-gj1bx9ow3u
    @user-gj1bx9ow3u Місяць тому +1

    Mimi nikijana nitakua mzee ila sio mzee wa hovyohovyo kama wazee wa yanga ingawa sio wote

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Місяць тому +6

    Mafanikio ya yanga yamevuruga stability ya simba... na hakuna team ya kufunga yanga, ni mahakama tu.. hiyo hukumu ni kuhamisha agenda ya nchi,tuache kufuatilia issues za wafanyabiashara wa tz na yanayoendelea Kenya

    • @SaidiMkome-qq7hy
      @SaidiMkome-qq7hy Місяць тому +1

      Leo team kwakuwa yamewakuta sio ivi Kuna team inazungumziwa tz hii kma simba wazee mgeni nn Aya mambo ya kawaida tyuu na yakitokea ndiyo kma ivi na sio mara ya kwanza au mgeni ndugu kwenye soka Ili ndugu izo ndiyo simba na yangu karibu acha kujaa upepo🙌

    • @emanuelikisanga7513
      @emanuelikisanga7513 Місяць тому

      0​@@SaidiMkome-qq7hy

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Місяць тому

      Msianze kusingizia Simba, tangu mwanzo mliambiwa mambo ya kupitisha MTU bila kupingwa. ( Lengo lilikua Zuri, kiongozi Ni mzuri ila shida katiba yenu hamjaifuata). Hawasema kiongozi ni mbaya. " UTARATIBU MLIOJIWEKEA UFUATWE". Mpira wa Bongo bado ujanja mwingi. Migogoro ya Ndani hiyo. Na hiyo kesi imefunguliwa tangu 2022 Wala sio Leo 😂😂

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Місяць тому

      Sio kweli wanazuiaje we usiangalie yanaendelea kenya kwa utandawazi huu, hiyo kesi imeenda kortini hata kabla ya hiyo uprising ya kenya haya mambo yako tz kwa vila Hivi huu ni upuuzi ambao upo since time immemorial

  • @majaliwamussa1343
    @majaliwamussa1343 Місяць тому +2

    HAO WAZEE NI WACHAWI

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 Місяць тому +2

    Jamani hawa wazee wamehongwa tu hawana haya

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 Місяць тому +3

    MAKOLO WAMEFURAHIIIIII SANA KUSIKIA ENGENEER HERISI SAIDI ANATOKA HA HA HA HAAA MAKOLO HOYEEER KWELI LEO NIMEAMINI SIMBA WOOTE NI MAKOLO ILA MTAMBUE YANGA ATOKI MTUUU WANGA NYINYI 😂😂😂😂

    • @TheSalama2525
      @TheSalama2525 Місяць тому

      Hatoki Mtu yoyote Hao Wazee tutawachoma moto.

  • @givenMwakalindile-nd8tp
    @givenMwakalindile-nd8tp Місяць тому +5

    Watangusha watu presha hao wazee

  • @kambalekambale541
    @kambalekambale541 Місяць тому +4

    Mh raisi fukuza hao mahakim watatuharibia nchi

    • @TheSalama2525
      @TheSalama2525 Місяць тому

      WANANCHI HATUWATAKI HAO WAZEE WACHAWI

  • @ghulamhaji7856
    @ghulamhaji7856 Місяць тому

    The Best footballers je ni wa kwenu Tanzania kwann msitengeneze the best footballers wa Kitanzania

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Місяць тому

    Nyinyi waandishi msigeuke kuwa washabiki fanyeni utafiti kisha ndio mtoe maelezo ndio maana sasa watu wanawskimbia

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Місяць тому

    Mpe nafasi mwenzio pia aonger

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Місяць тому

    Makombe hayahalalishi batili, na pesa sio kigezo cha kuvunja sheria, Mzee Magoma yupo sahihi na ndio maana Mahakama imetoa hiyo hukumu.

  • @sarahmichael1327
    @sarahmichael1327 Місяць тому

    Hao wazee wametumwa jamani yani dah

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Місяць тому

    Mahakama ndio chombo kinachotafsiri sheria sasa kama mna tatizo na hukumu mnatakiwa muende Mahakamani na sio kumzonga Mzee Magoma.

  • @piussimtala5111
    @piussimtala5111 Місяць тому

    Mahakamani tena?

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 Місяць тому

    Ina maana hoyo kesi toka imefinguliwa mpaka hukumu inatolewa mahakama haikuweza kuujulisha uongozi? Iweje wanachama hatujui kama tunakesi? Vipi watu wawili watuamulie maelfu ya wanachama?

  • @ghulamhaji7856
    @ghulamhaji7856 Місяць тому

    Mpaka leo wachezaji wazawa wanalipwa very low hatuthamini wachezaji wetu

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 Місяць тому +1

    Wachawi wa yanga wanachangia kuharibu timu za hapa Tanzania hao wazeee wapuuzweee tu hawanauwezo wakuiongoza Timu wanataka kuirudisha yanga ilipotoka

  • @ains1122
    @ains1122 Місяць тому

    Gen Z wa Yanga waamke sasa kuwatuliza hawa wazee

  • @oigenmwaya6018
    @oigenmwaya6018 Місяць тому

    Hiv huwezi kuzungumza kiswahili vizuri au kujishaua uongozi wa wcb mtafutieni kipindi cha kiingereza tu kuliko kuchanganya lugha ovyoo kabisaa

  • @martinkasera1642
    @martinkasera1642 Місяць тому

    Wedada mtangazaji unaboa kiswangilish ni lugha ganihiyo uchagae kutumia lugha unayoijua

  • @user-qe7gw2ox2k
    @user-qe7gw2ox2k Місяць тому

    Wewe mbona kimombo kingi

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g Місяць тому

    Usitumie mabavu kunyonya wengine pesa yakoisikufanye kunyonya wengine utaratibu nikituchamusingi sana

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Місяць тому

    kipindi cha wazungu maaana ni kingereza kitupu tu hapa kinaongelewa

  • @husseinfundikira3616
    @husseinfundikira3616 Місяць тому

    Tuwajue ao wazee au mzee unataka nni ukae miaka yote

  • @user-xz7fm3sf7z
    @user-xz7fm3sf7z Місяць тому

    Katiba inasemaje

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Місяць тому

    Ambacho hamkijui hao wazee wanashawishiwa na simba kuivuruga yanga ipoteze muelekeo

  • @BashiruShawed
    @BashiruShawed Місяць тому

    Kwani kiswahili amukijuwi nyinyi

  • @Zenny89
    @Zenny89 Місяць тому

    Wazee Ndo wakina Nani? Wananini?…Njaa tuuu😂

  • @hamzahabibu1050
    @hamzahabibu1050 Місяць тому

    Hao wazee wanatutafuta ubayaaa

  • @VoiceLions-xu7uf
    @VoiceLions-xu7uf Місяць тому

    Wazee wanahalibu timu hawatakiwi kuwepo kwenye yanga yetu

  • @Zuberigangisa-dk9ne
    @Zuberigangisa-dk9ne Місяць тому

    Kuna watu wamekosa fikra Sana, timu hiyo ya wananchi na sio ya mzee, niko NAMTUMBO

  • @habibukassam9702
    @habibukassam9702 Місяць тому +1

    Wazee wachawi utawajua tu wakafirwe na watt wao

  • @SixtusSperatus
    @SixtusSperatus Місяць тому

    Kwanza sheria zime wekwa ili zivunje

  • @allyramadhanikazi2416
    @allyramadhanikazi2416 Місяць тому

    Hawa wazee wangefukuzwa wasijihusishe na Moira hadi wanakufa

  • @TheSalama2525
    @TheSalama2525 Місяць тому

    Hii hukumu Wananchi hatuibali kabisa,, wasisababishe Uvunjifu wa Amani.... Mama Samia kila leo unasisitiza Amani,,, Mbona hawa Wazee wanataka Machafuko makubwa Daresalam??

  • @RoseMnyampanda
    @RoseMnyampanda Місяць тому

    Mh rais ingilia Hilo swala nyie wazeeeee

  • @BensonDickson-xf1ge
    @BensonDickson-xf1ge Місяць тому

    Mbona mnalia sasa!

  • @AmidaNdeu
    @AmidaNdeu Місяць тому +1

    Wana nch tuandamane hakuna kuachia

    • @cngeze
      @cngeze Місяць тому

      Mwambie Hersi afuate sheria basi

    • @Adrianolaurian
      @Adrianolaurian Місяць тому

      ​@@cngezesheria gani,

  • @SmilingBirdwingButterfly-yq3he
    @SmilingBirdwingButterfly-yq3he Місяць тому

    Hao wazee wamezoea kujinufaisha wao sasa naona njia za kujinufaisha zimefungwa sasa wanataka kumtia ili waendelee kujinufaisha wao

  • @JuniorMbando
    @JuniorMbando Місяць тому

    Ongea kiswahili au kingereza ungea hatukuelewi unachanganya nn sasa

  • @GEOFFREYEGNOKUMBURU
    @GEOFFREYEGNOKUMBURU Місяць тому

    HIVI WAKATI MACHAWA WANAPIGA PESA,WALE WAZEE WENYE TIMU HUWA WANAKUMBUKWA?

  • @user-jk3qx3dt6c
    @user-jk3qx3dt6c Місяць тому

    Hebu tumuulize Mwanasheria wa Yanga, anasemaje juu ya jambo Hilo?

  • @proisolution7166
    @proisolution7166 Місяць тому

    tumetoka kwenye majini,tukaleta VAR,sasa tumeleta HERSI atoke YANGA kweli maskini hampendi maendeleo mmeanza hayo,SIMBA PAMBANANENI MMEKWISHAAAAAAAAAA ,HIYO NDIYO SOLUTION YA KUIMALIZA YANGA KWELI NCHI HII INA WATU.MMEWAPA PESA KIASI GANI MMEKWISHAAAA HATA VARAAAA ZENU HAZIJAANZA KUANZA KAZI MMETUMIA WAZEE HERSI PAMBANAAAAAAAA.

  • @ephulaemsengo2816
    @ephulaemsengo2816 Місяць тому

    Laana ata pata mama ako

  • @user-tp3nm1do6j
    @user-tp3nm1do6j Місяць тому

    Hawa wazee makafiri tutawaua tu kabisaa tuju kulaumiana

  • @sairshelly
    @sairshelly Місяць тому

    Diva huna ujuwalo. Yani sifa zote hizo na top 10 kwa yanga bila kuitaja Simba? Unajuwa ka.a Simba ipo top 7? Yanga haipo top 10. Afrika ipi inazungumzia usajili wa Tz? Au hapo wasafi unaona ndiyo Afrika nzima? Fanya mambo ya mapenzi ndiyo fani yako mbibi

  • @meshajohn8713
    @meshajohn8713 Місяць тому +2

    Wazee ndonini? Kumalamamazao?,mmbwa Hawa?

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Місяць тому

    Utopolo ulibwanji

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Місяць тому

    case sio kumudu garama case ni uhalali wa uwepo wao tuu

  • @seiphomary834
    @seiphomary834 Місяць тому

    Ss hatuna haja ya sheria tunataka wazee watuambia wao wanataka nn harafu tuwape timu yao wazee ss tutaacha jina lao tutanunua singida fc harafu tutahamia huko harafu tutawaacha na jina lao yanga kuna wakat sio mfumo kuna nyakat sheria zinabadilika sana tena sheria za kibinaadamu tumeshuhudia mengi kwenye chama uwe wa kwanza kula za maono unakuta wa tatu kapewa kiti kwenye jimbo unakuta wa nne katangazwa bas tuwe fair enough mahakama mkiona sehemu kuko stable ebu tuache ujinga tufanye mambo mengine mnataka timu ziende mbele mnataka mafanikio nyny mna haribu mifumo tena kwel nch yetu tunapenda ujinga sio reality

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 Місяць тому

    KUNAWAKATI TUNAHITAJI KUSIKIA MAWAZO YA HUYO UNAEFANYANAE KIPINDI ILA TATIZO DIVA UNAONGEA SANA UNATAKA KUSIKIKA WEWE TU MWEZIO AKIONGEA KIDOGO TU UNAMKATISA WHY UNABOA ETI!"

  • @ephulaemsengo2816
    @ephulaemsengo2816 Місяць тому

    Hao wazee mikuma ya mama zao

  • @user-cr4th9lr6b
    @user-cr4th9lr6b Місяць тому +2

    Mimi ningekuwa mdhamini ningewaachia team hao wazee

    • @29WavesTV
      @29WavesTV Місяць тому

      UMEWAZA EXACTLY KAMA MIMI waachie klabu nyngne ianzishwe

    • @rashididotto277
      @rashididotto277 Місяць тому

      😂😂bora ulivokosa kuwa ndugu yangu.maana ungetuchanganya sanna. yan unajuwa kuna watu wengine wamekaa kuvuruga hal ya hewa, hawapend kuona sehem kuna aman. najarbu kujiuliza ao wazee wakipewa iyo team wanaweza kufanya zaid ya alivyofanya ghalib na gsm yake😂. yan uwez amin asilimia 99 yA wana yanga naiman hawatakuwa pamoja na ao wazee muda walio anzisha ili jambo sio sahh watafute muda mwengine lakin sasahv hakuna mwanayanga mpenda maendeleo atakae kubal hersi said aondoke madarakan kwa upumbav wa watu wachache.

  • @chidtec4485
    @chidtec4485 Місяць тому

    Feisal mzimu wake unafanya kaz sasa

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py Місяць тому

    Hawa wazeee awana akili, timu kwa Sasa Iko vizulii hao wazeee wanataka Nini, wazee mtoke yanga msitulenteee mauchawi yenu tokeni yanga, na plizsidet wa yanga atoki msutualibie timu, hiii sio timu ya mtaani, tokeni Yani mmetulibia siku sana, Yani haya mazee ndio yaleyale matumbo mfoko tokeni mkalishwe na watoto wenu,

  • @Mtituboy
    @Mtituboy Місяць тому

    Heshimuni Sheria utopolo

  • @tobiskaswahili6299
    @tobiskaswahili6299 Місяць тому

    Kumbe sa unaongea nin kama ujui

  • @DoreenTesha-kk2kw
    @DoreenTesha-kk2kw Місяць тому

    Iyo siasa ni uchawi kwenye soka ,,wapuuzi hawa

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m Місяць тому +3

    Ao wazeee nyumba zao tuta pija moto waache warete njaaaaa zao izoo

  • @SylivesterKilunga
    @SylivesterKilunga Місяць тому

    Kikubwa katiba ifuatwe wanayanga wenzangu

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Місяць тому

    Yanga wanapata laana zurumaaa

  • @omarifadhili651
    @omarifadhili651 Місяць тому

    Kuna wazee Hawana akili sijui wamehongwa ili waiharbu timu ama vp

  • @elishagregory1595
    @elishagregory1595 Місяць тому

    hao wazee wamekaribia kufa sasa

  • @khamisassan9556
    @khamisassan9556 Місяць тому

    Wewe diva ni mshamba

  • @saidkhadija7557
    @saidkhadija7557 Місяць тому

    huyo onesmo hajui kitu

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 Місяць тому

    Kwanza wazee hao mambumbumbu kiukweli Kwa wazee hao hakuna hata mmoja mwenye uwezo wa kuiendesha hiyo timu na naamini hao wamepewa mpunga ili watuharibie timu yetu na ni washamba sana walianza na manji afu wanakuja Kwa huyu GSM ,hivi hawaoni Aibu hata Kwa mafanikio tuliyonayo ??? Wamepigwa na kitu kizito!!!

  • @Zuberigangisa-dk9ne
    @Zuberigangisa-dk9ne Місяць тому

    Huyo mzee ni shabiki maandazi, sifa yake hashibi kwa pale alipokula