KIJANA ABUNI UMEME WAKE, UNAZALISHWA KWA UPEPO, HAUJAWAHI KUKATIKA MWAKA WA 21 SASA ...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 сер 2024
  • KIJANA ABUNI UMEME WAKE, UNAZALISHWA KWA UPEPO, HAUJAWAHI KUKATIKA MWAKA WA 21 SASA ...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

КОМЕНТАРІ • 32

  • @benjaminjoseph1747
    @benjaminjoseph1747 Рік тому +1

    Wow! Ubunifu wa hali ya juu. Hongera sana.
    Watu wana vipaji, vinahitaji kukuzwaaaa.

    • @tangaoldtv1067
      @tangaoldtv1067 Рік тому +1

      Kweli wanavyo Ila inge KUWA kipindi Cha MAGUFULI hapo sawa lakini kipindi huki Cha KINA JANUARY MAKAMBA WATAHUKUMIWA kuanzisha mtambo bila kibali JANUARY MAKAMBA KINA NAPE NAUYA WEEE HAIWEZEKANI kuendelezwa MAGENERETOR YA WAZUNGU YATAPATA WAPI MASILAHI

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 Рік тому +3

    Ni bora ili tuwakomeshe Tanesco wanao katia wanachi umeme makusudi 🤣🤣🤣🏃🏃🏃

  • @MR.T490
    @MR.T490 Рік тому +1

    a very good project well done👍... mungu akufungulien maarifa zaid

  • @gwijitv
    @gwijitv Рік тому +1

    Kama umegundua Mzee hamalizi sentensi bila kisema neno KUMBE, Gonga like hapa

  • @EM2916
    @EM2916 Рік тому

    Hi, nipo Kenya naomba uniunganishe na huyu brotha anitengenezee kwetu .

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen Рік тому +1

    Dah! Hongera sanaaa Hii Safiiii sanaaa dah! Umetusaidia sanaaa🤲Ubarikiwe 🙌🙌🙌Mrusi Hana Chake Mwafrica Mungu mwema 🙏

  • @JIWEtv6484
    @JIWEtv6484 Рік тому

    Mungu akulinde coz kwa nchi yetu wanaweza kukukatisha usiutumie coz unakuwa umeingilia masirahi ya watu, mfano yule mtoto wa kigoma aliyebuni studio ya radio yake.

  • @mgawerevocatus8582
    @mgawerevocatus8582 Рік тому

    Global aksante kwa kuwaibua familia hii tunaomba mawasiliano yao

  • @user-wq7yt9ph2i
    @user-wq7yt9ph2i 5 місяців тому

    Ongeren idea nzr, vp kuhusu betr tatu ulizoziunga ndn je zna sustain kwa mda gn kwa huo mda unaowasha invertor , mn invertor inaconvert umeme wa dc kuwa ac 220v-240v , natmn kwl kuljua hlo , mn ht mm nmept wazo kutkea kwny hlo wazo 🤔

  • @husseinbakary1969
    @husseinbakary1969 Рік тому

    Safi sana njoo mnifungie na mimi tanesco hadi leo hawajatufungia umeme na tupo mjini

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Рік тому +3

    Mashine zisambae nchi nzima Tanesco ifungwr au?

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 Рік тому

      Tanesco chokambaya umeme mgao kila uchao.

    • @JIWEtv6484
      @JIWEtv6484 Рік тому

      Watajuwa wenyewe wafunge au waache, au wawekwe kwao

  • @ndayijeanclaude5094
    @ndayijeanclaude5094 Рік тому +1

    Sasa mbona alie utengeneza siyo yeye anatueleza jinsi unatumika ?

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 11 місяців тому

    Naomba namba yako broo. Nipo Tunduma

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 Рік тому +1

    Njoo unifungie kwangu huo umeme ili tanesco wanikome

  • @kasianngungo9769
    @kasianngungo9769 Рік тому +1

    Namba zao jaman

  • @victormushi6641
    @victormushi6641 Рік тому

    hii nchi ina watu wana akili sana, watu wamekalia kuangalia wazungu tuu

  • @jskconceptscreativity1575
    @jskconceptscreativity1575 Рік тому

    big up san mwamba
    jsk nafatia soon

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 11 місяців тому

    Tafadhali nitumie namba yako

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Рік тому

    Waafrica hupeana mishahara mikubwa sio kuinua vipaji ili ajira ziongezeke. Miziki ya sasa nikuharibu watoto

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 Рік тому

    Tallent

  • @leith87seif55
    @leith87seif55 Рік тому

    Nice

  • @renatusmakolo9023
    @renatusmakolo9023 Рік тому

    Nategemea waendelezwe zaidi na sio kuwakataza

  • @victormushi6641
    @victormushi6641 Рік тому

    jiandae kuja kutoa mzee na kupigwa marufuku utengeneze tena

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 Рік тому

    na mimi nataka

  • @gazzowamikazo6987
    @gazzowamikazo6987 Рік тому

    nipeno yao nautaka uo umeme siutak umeme wa luku

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 Рік тому

    Kichwa Cha habari ni uongo, umeme haujawahi kukatika miaka 21 na umegunduliwa na huyu kijana ana miaka mingapi? Sema umeme ulitengenezwa na baba yake

    • @georgejosephulaya1711
      @georgejosephulaya1711 Рік тому

      1. Kijana amezalisha mashine Mya 1500watt na mwingine ametengeneza 60 watt.
      2. Hapo Kuna mashine mpya na ya zamani.

    • @EM2916
      @EM2916 Рік тому

      Kijana amefundishwa na babake kutengeneza yake kwa hivo kijana alipata kukiwa na umeme uliotengenezwa na baba