#GOODLUCK

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 вер 2024
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

КОМЕНТАРІ • 851

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 2 роки тому +10

    Kwa kweli Mimi Ni Mwislamu, Lakini nyimbo za huyu kijana huwa zinanifariji na kujiona nipo katika ulimwengu mwingine kabisa, Mwenyezi Mungu atakuinua zaidi, ikiwa ni pamoja na huyu Kuhani aliyekupa zawadi ya gari, Mwenyezi Mungu atamuinua zaidi, Aamina.

    • @everlynelabarakwe5944
      @everlynelabarakwe5944 10 місяців тому

      Kabixa huwa kabla minniamke huwa nauskiza Kwanza nyimbo zake.

    • @huseynmaitaya9002
      @huseynmaitaya9002 6 місяців тому

      Wewe ni Munaafiq , na usipokua makini waweza kuritad , kwa ujinnga wako

  • @dainessmnaku800
    @dainessmnaku800 2 роки тому +17

    Wale waliokuwa wanasema goodluck gozbert hajuw kuimba wanaona hayaa mm binafs nazipinda Sana nyimbo zake zote

  • @DjFinestWorldWide
    @DjFinestWorldWide 2 роки тому +56

    Goodluck Gozberts deserves all the love he's getting, Kenyans in the house show some love.

  • @mwitamarwa2277
    @mwitamarwa2277 2 роки тому +49

    Hakuna machozi yasiyo jibiwa. Ubarikiwe mtu wa Mungu

    • @godfreykatala.4773
      @godfreykatala.4773 Рік тому +1

      I appreciate Good luck Gozbert

    • @qutemishy6876
      @qutemishy6876 Рік тому

      Am muslim but i love the way he sing his songs im always listening and this video make me cry to much
      😭 hakuna machozi yasiyo na majibu 🙏 blessingo

  • @cutemamy9602
    @cutemamy9602 2 роки тому +18

    Jamani Hadi machozi yamenitokaaa Bwana Yesu Ni mwema haki...Napokea katika jina ya Yesu kupitia Goodluck

  • @neemamjema1067
    @neemamjema1067 2 роки тому +19

    Ni wachache ambao wamebarikiwa yani wenye utajiri halafu wakumbuke kuwabariki/ kuwainua wengine Nabii mkuu Dr GeorDavie heshima yako🙌🙌

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 2 роки тому +8

    Huyu mchungaji kwa kweli,ni amazing sana kwa kweli ni wa ajabu sana,wachungaji wengi hawawezi kufanya hiki alichokifanya Nabii Geordavie

  • @tumainisangaonline6536
    @tumainisangaonline6536 2 роки тому +4

    Mungu akubariki Gozbert nyimbo unazoimba ni baraka kubwa kwa kizazi hiki kwa vijana wenzako na jamii nzima ya Kristo

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 2 роки тому +28

    kweli nimeelewa leo umaridadi huficha umaskini.huyu kijana ni mardadi hata ukiambiwa amemaliza mkopo wa haria huwez amini.Mardadi wa Yesu.Yesu azidi kukuinua nyimbo zako zinabariki wengi kijana

  • @brother_majesty
    @brother_majesty 2 роки тому +8

    I will drive Mercedes Benz before 2023

  • @issakwisamwakisambwe4080
    @issakwisamwakisambwe4080 2 роки тому +3

    Asante sana kwa sadaka hiyo ila asiwe mtumwa wa zawadi hiyo mpe mwache aendelee na maisha yake

  • @kesiakesia2225
    @kesiakesia2225 2 роки тому +13

    Mungu na Mimi nikumbuke naambatana na baraka hizi batesekeke Mungu nifute machozi

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 2 роки тому +35

    Yesu namimi unikumbuke, hakuna machozi yasiyo na majibu, Asante nabii wa Mungu🙏

  • @massbass6090
    @massbass6090 2 роки тому +55

    Goodluck nakupenda bure kutoka Kenya Mungu azidi kukuinuwa siku zote am happy for you have along life my brother

    • @cibakakataraka464
      @cibakakataraka464 2 роки тому +1

      uendeleye kuishi nabiwamungu ulichokifaya kina ningusa sana mimi nimu congo

    • @michaelndungu4159
      @michaelndungu4159 2 роки тому

      Nabii mungu akupe maisha mingi duniani uishi kupea watu neno njema

    • @kenyan9739
      @kenyan9739 2 роки тому

      Nampenda

  • @yusternyson9794
    @yusternyson9794 2 роки тому +13

    Ni baba mwenye upendo tena ana Mungu wa kweli ni nabii alieteuliwa na Mungu kwaajiri ya dunia yote,baba Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi.....🙏

    • @lusianguno6434
      @lusianguno6434 2 роки тому +3

      Najiungamanisha na baraka hizi kwa Jina la Yesu.

  • @jasmnegodfrey5283
    @jasmnegodfrey5283 2 роки тому +17

    Ipo siku nitaimba uwo mwimbo kwa mapito ninayo pitia Asante Yesu ata sasa umenitunza

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 2 роки тому +23

    Waoooh Mungu humwinua mnyonge mavumbini na kumketisha na wakuu😭

  • @xjxjxnxn2673
    @xjxjxnxn2673 2 роки тому +7

    Ee mungu asante kwa kumkumbuka kaka yetu,baba naomba pia nami unipanguze machozi nami nimelia kwa muda mrefu muno baba nikumbuke naomba

  • @samwelnjuguna2156
    @samwelnjuguna2156 2 роки тому +21

    I can't hold my tears, I love Goodluck and the song Shukurani has always been the best song on my gallery.
    May God bless you and the Pastor.
    Service to mankind is service to God
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦

  • @restkalemile5274
    @restkalemile5274 2 роки тому +15

    Kwa mema yote nitamtukuza Mungu, ila all in all tutembee na NENO wapendwa ni upanga ulao kuwili Hakika Neno LA Mungu ni silaha kwa mkristo WA kweli.

  • @eufresiabahati8845
    @eufresiabahati8845 2 роки тому +1

    Aki nimemsaidia kulia kwa furaha Mungu akuhinue paster

  • @frankmnale1900
    @frankmnale1900 2 роки тому +6

    Pole sana
    Ulipopita sio penyewe....
    Angalia ulipoanguka ukatubu dhambi zao ili ulejeshwe kwenye uwepo wa BABA YETU ALIYE JUU MBINGUNI.

  • @dannymkogoti961
    @dannymkogoti961 2 роки тому +3

    Nimetokwa na machozi 😭ya furaha kuona kumbe bado kuna watumishi wa Mungu wanaweza kusimama na waimbaji vijana ambao wengi wanatuchukulia kama tunatafuta pesa, kama wahuni, hatufai Mungu akubariki nabii mkuu Kwa moyo wa kipekee....ulichomfanyia goodluck itabaki ikiishi ndani yetu waimbaji tunaopambana kufika mahali na kututia nguvu ya kumtumikia Mungu...goodluck ubarikiwe kaka zaidi na zaidi.

  • @kipyegomaureen5397
    @kipyegomaureen5397 2 роки тому +7

    Congratulations 🎈 goodluck loyal fan from Kenya mungu akubariki na akuinue na kukubariki zaidi na zaidi

  • @everlineakombe6477
    @everlineakombe6477 2 роки тому +14

    These is how God sends destiny helper to your life without knowing, glory be to God love from Kenya.

  • @christianmwasakogo5579
    @christianmwasakogo5579 2 роки тому +7

    Hongera Nabii kwa zawadi ulompa Good luck

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka960 8 місяців тому

    Baba NABII MKUU GeorDavie Utumishi wako ni wa kweri. Lazima Roho yako nilazima iendelee

  • @shishiafricanaofficial325
    @shishiafricanaofficial325 Рік тому +1

    Amen and Amen
    Napokea uwo unabii kwa jina la yesu
    Yale ninayo pitia naamini leo ndio mwisho sitalia tena
    Amen

  • @isabelavictor9964
    @isabelavictor9964 2 роки тому +7

    Mungu naomba unikumbuka na mimi Amen 🙏

  • @jantex029
    @jantex029 Рік тому +2

    Machozi ya furaha kwangu since I love his songs inanifunza mengi 😭❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 live longer @Goodluck

  • @reginaojiw1653
    @reginaojiw1653 2 роки тому +3

    This has moved me to tears...nani kama Mungu, God bless you Goodluck, azidi kukuinua.kukubariki. Thank you for blessing us with great music.

  • @refined.nuggets
    @refined.nuggets 2 роки тому +10

    I am Kenyan, love playing his mix on my earphones..... The law of attraction is demonstrated in his song... Hauwezi kushindana na mwanadamu mwenye kinywa..... Pale kwenye wimbo kunaye anampa gari..... Its God's doing......

  • @ngatiaann1406
    @ngatiaann1406 2 роки тому +5

    Good luck umebarikiwa kwa ukweli nakupenda sana sana naninapenda nyimbo zako sana.wish one day nitatembea tu tanzania kwa ajili yako nikutane tu na ww

  • @officialnalib5208
    @officialnalib5208 2 роки тому +18

    Good luck has been my inspiration, God bless you Bishop

  • @rozzykin3469
    @rozzykin3469 2 роки тому +3

    I truly love this young man. He truly blessed me with his songs.
    He deserves even much more!!! God bless you good luck!!! May you receive many many more.
    Watching you from KENYA

  • @Judy001
    @Judy001 2 роки тому +24

    Am soo happy for him,and my God bless him more and more... Lots of love from Kenya.
    Nyimbo zako zinagusa wengi

  • @nyamwinukankwera3749
    @nyamwinukankwera3749 2 роки тому +5

    Mwenyezi Mungu akuzidishie mtumishi wa Mungu

  • @edwardkimaro2103
    @edwardkimaro2103 2 роки тому +1

    Inapendeza Sana Nabii Mkuu Kwa Utoaji huo hata Mimi Nashawishika Nike kuutembelea Mji wa Nabii Mkuu hivi karibuni.

    • @blackvirus8740
      @blackvirus8740 5 днів тому

      Mnamsifia kampoteza Kijana Wakristo tunafeli wapi???

  • @anithajustine697
    @anithajustine697 2 роки тому +26

    it is amazing how far the lord can take anyone who is willing 🙏

  • @oloonyikakmolelloloonyik-vd3zg

    Mungu awabariki akubariki sana akuongezee maona

  • @georgetavalentine4686
    @georgetavalentine4686 2 роки тому +9

    Exactly he's also my favorite male gospel singer 🙌♨️♨️💯💥

  • @madamsoka2562
    @madamsoka2562 2 роки тому +16

    Ameni Mungu wa mbinguni akakuzidishie mtumishi, amwongoze nabii wake mteule.

  • @09Dorcas
    @09Dorcas 2 роки тому +2

    My favorite musician from TZ.May God continue elevating u.

  • @MichaelMunuve-jy6lk
    @MichaelMunuve-jy6lk 8 місяців тому

    Nyimbo sa kaka huyu sina nifuta kweli kweli son God bless you & bless you talent man

  • @praxystyleempire2576
    @praxystyleempire2576 2 роки тому +18

    Everything works for good to those who love him🙏🏻this man of God is a blessing

  • @shanecebrichards5551
    @shanecebrichards5551 2 роки тому +1

    We love Goodluck Gozbert. Glory be to God Almighty🙏. Representing Kenya 🇰🇪 🇰🇪. Watching from UAE 🇦🇪

  • @mamy8220
    @mamy8220 2 роки тому +3

    Na Mimi niliependa uwowimbo ikianza napenda sana ubalikie🙏🙏🙏😍 amen baba balikiwa 🙏🙏🙏

  • @scolakalindu8077
    @scolakalindu8077 2 роки тому +3

    Amina amina Baba 🙏 Baba unasema kweli kabisa Baba aminaaaaaaaa

  • @ivynekorir
    @ivynekorir 6 місяців тому

    The song shukrani always keep me settled and calm my soul 💞, I always find hard to end my day without singing the song Goodluck my the lord uplift you brother

  • @gamasasule10
    @gamasasule10 2 роки тому +2

    daaah kuna mahali Mungu amenitoa kupitia ushuhuda wako brother daah Mungu anao watu barikiwa sana

  • @godymussa1919
    @godymussa1919 2 роки тому +1

    Jo dave hakika weww ni mtumishi nakuamini kuanzia sasa wewe ni mtumishi Mungu akubarik sana

  • @staralive9260
    @staralive9260 2 роки тому +7

    Ni kweli huo wimbo ni mzuri sana!! Pamoja na nyimbo hizo lakini na zote alizoimba Goodluck zinaimbwa hata na waislamu kwa wakristo. Mimi nakukubali goodluck kwa kweli unagusa wengi. Nakujua vema sana Good uende kwa Selemani pale alipo pia umwambie jambo atakuongezea na baraka.

  • @princessringo2879
    @princessringo2879 2 роки тому +5

    Napokea namim kwa jina la yesu

  • @pastorb.alaurent1006
    @pastorb.alaurent1006 2 роки тому +2

    Fact Goodluck Hongera sana kwa kuonekana kwnye jicho la Nabii

  • @reaganhassan156
    @reaganhassan156 2 роки тому +3

    Nimependa alipo sema,Mungu ana watu,na mm naamin kuwa Mungu ana watu

  • @fridahkarimi5510
    @fridahkarimi5510 2 роки тому +11

    Huo wimbo umekuwa umenisaidia wakati wa mapito magumu nikiwa hapa Kenya,This is awesome God we serve,ooh mungu nikumbuke nami bado nakusubiri,malangoni mwako siondoki yesu🙌

  • @vivianamani2310
    @vivianamani2310 2 роки тому +23

    From Glory to Glory
    Grace to Grace
    This is God in Action💝
    Yeye ni mwaminifu Siku Zote na Wakati Wote. Amennnnn💃💃💃

  • @kakadanny4393
    @kakadanny4393 2 роки тому

    Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi nabii wa Mungu

  • @shukurumhina2131
    @shukurumhina2131 2 роки тому +1

    Goodlack mungu azidi kukuinua katika viwango vingine ww umenivutia adi na mimi naimba kaka goodlack

  • @joycesemeyan8153
    @joycesemeyan8153 2 роки тому +2

    pia mm naupenda sana huo wimbo wake wa shukurani ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @kasokihortense7313
    @kasokihortense7313 2 роки тому

    Ingene haja ninayo nikwamba mungu aniwezeshe Siku moja nifike mbele ya huyu nabii Dr deodavie nimuone aniombeye

  • @nemuelombasa8810
    @nemuelombasa8810 2 роки тому +5

    Very truly man of god,he did Jesus if u have two clothe and brother doest have ,give him one pair,god bless man god and keep on doing good.watching from Kenya ombasa

  • @evajkemboi5992
    @evajkemboi5992 2 роки тому +3

    Good luck Mungu akubariki tu sana. I like your songs.

  • @priscamagambo5320
    @priscamagambo5320 2 роки тому +3

    Na Mimi napokea gari yangu ya kwanza,nzuri

  • @luckkelvin6908
    @luckkelvin6908 2 роки тому

    Amina nabii mkuu nami napokea kwa imani Viatu vyangu lazima niuze nimalize

  • @rachaelnjerikamau9447
    @rachaelnjerikamau9447 2 роки тому +18

    This man is a called of God.his songs are such an inspiration to me.truely he deserves God's blessings.

  • @evabikabhai1861
    @evabikabhai1861 2 роки тому +7

    Nabii Mkuu,
    Joy cometh in the morning
    Nakuheshimu Sana
    Nakupenda wewe na familia yako.
    Ahsante kwa upendo wako
    Mungu akuinue.

  • @judithrwebugisa4923
    @judithrwebugisa4923 2 роки тому

    Honestly speaking..this video has made me shade tears of joy...Njia za Mungu hazichunguziki...na nimejifunza zaidi na zaidi ktk safari kueleke ktk hatma ya kusudi LA Mungu kwangu....Imenipa nguvu kwa namna ya tofauti!

  • @chantosu123
    @chantosu123 2 роки тому +5

    Na mimi pia napenda goodluck sana. I am thankful for u and may God bless this man for blessing u❤️

  • @bestshine6273
    @bestshine6273 2 роки тому +6

    Appreciate GOODLUCK GOZBERT !!

  • @BarbraAchieng-nr9br
    @BarbraAchieng-nr9br Рік тому

    Wow God is great kila wakati jina la Yesu lipewe sifa milele na milele, anatoa watu mbali sana , ana India aibu thank you Jesus

  • @janethkinabo3486
    @janethkinabo3486 2 роки тому +1

    Barikiwa Baba, kwakweli umemtendea haki. Baba Mungu azidi kukuweka baba

  • @irenecandyk
    @irenecandyk 2 роки тому +2

    Nabii mkubwa God bless you for your good deeds. I wish one day to meet you Nabii. I do believe and trust that day I will meet you and my life will change. God bless you abundantly. Am following from Kenya.

  • @jeanmarie6736
    @jeanmarie6736 Рік тому

    Niko Asia Labi Mukuu Mungu akubaliki nakufatiriya sana Goodluck naypiya Namufwafa miyakwamiya hallelujah

  • @suzanjohns455
    @suzanjohns455 2 роки тому +7

    yes papa joy comes in the morning God bless u man of God

  • @dianahasagi1022
    @dianahasagi1022 2 роки тому +4

    God we love you all the way from Kenya 🇰🇪

  • @viplianemmbone8040
    @viplianemmbone8040 2 роки тому +1

    Have watched this in tears, one day I was told that am the cause of all the problems in my family. Now as we speak am the breadwinner everyone is depending on me despite yhe small salary I get I know God is going to lift me too so that I can change the situation in my family 😭😭😭😭

  • @user-vw6yp8td7r
    @user-vw6yp8td7r 5 місяців тому

    I don't know why God directed me here today... God is washing away my tears

  • @faidamkambe6301
    @faidamkambe6301 2 роки тому +11

    Glory to the Lord. He is a Mighty King. Goodluck you always touch my heart with your songs. Wacha uwepo wa Mungu utembee nawe sikuzote.

  • @floribertmukambwadun7173
    @floribertmukambwadun7173 2 роки тому +1

    Un vrai homme de Digne. Soyez richement Béni le grand prophète en tanzanie

  • @doreenshii563
    @doreenshii563 2 роки тому +12

    Be blessed Nabii for blessing our boy child Good luck,🥰🥰🥰🥰ingekuwa ni Kenya wadaku wangesema ni stage managed

    • @rinarina472
      @rinarina472 2 роки тому

      Kenyans tuko na wivu aki🤣🤣🤣

    • @Pro-g2n
      @Pro-g2n 2 роки тому

      Kabisa Joy

  • @patrickmutuku9769
    @patrickmutuku9769 2 роки тому

    I ever like ua songs bro , I believe mungu yupo and wakati wake ndio mzuri kila wakati , thanx Jesus for gift of life always

  • @joycemwingira894
    @joycemwingira894 2 роки тому

    Good luck. Gozbert. MUNGU. Akubariki. Na. Aendelee. Kukutendea. Makubwa. Zaidi. ya. hayo

  • @hatangimbabazisenzoga3245
    @hatangimbabazisenzoga3245 2 роки тому

    Barikiwa tena natena kwa roho ya upendo,huruma na ktoa Mungu azidishe mu Yesu Kristo Amen

  • @leonardsiele2279
    @leonardsiele2279 9 місяців тому

    Asante kwa huyu priest kwa hiyo zawadi kwa Goodluck ❤❤

  • @user7619
    @user7619 2 роки тому +4

    More grace to you Goodluck. Na Mungu akuzidishie baraka Nabii

  • @aggieapple
    @aggieapple 2 роки тому

    Sir GeorDavie Mungu akubariki sana....Goodluck Mungu akutangulie na akuinue zaidi kwa kazi ya Mungu

  • @rabinzsinoya1434
    @rabinzsinoya1434 2 роки тому

    Goodluck MUNGU akutangulie uwe na maisha yakumsifu MUNGU siku zote za maisha yako.lov u

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 2 роки тому +3

    Amen Amen Mungu akutumie kwa viwango vya juu sanaa

  • @princebravoKE
    @princebravoKE 2 роки тому +4

    Yesu nikupe nini ila tu kushukuru!

  • @wapyatv4548
    @wapyatv4548 2 роки тому

    Baba Asante Sana kwa kumtunuku kijana mwenzetu ,Asante mnooo.Baba tunakufuatilia Sana n tunapenda kazi yako.

  • @sirielinnko5691
    @sirielinnko5691 2 роки тому +5

    Amen amen Mungu azidi kuwainua vijana wengine wengi

  • @elidamathias6713
    @elidamathias6713 2 роки тому

    Goodluck umelia umeniliza na mm Mungu ni mwema machozi yako yamejibiwa Mungu najua na mm nitajibiwa

  • @user-dn1dw9su6e
    @user-dn1dw9su6e 2 роки тому

    Mungu nimukubwa najikuta majozi nawomba na namini mambo yangu atakwa Sawa love frome burundi 🇧🇮 saudi 🇸🇦

  • @maggiembithe2926
    @maggiembithe2926 2 роки тому +14

    This is God😭😭🙏🙏🙏what God can do is exceedingly amazing

  • @kingkitoko6538
    @kingkitoko6538 6 місяців тому

    Mungu anatenda ubarikiwe Pia nabi mkuu

  • @baracksylvester6194
    @baracksylvester6194 2 роки тому

    Binadamu wote tunapendwa na mungu ila wewe @nabii GeorDavie mungu amekupendelea sana na mungu azidi kukubariki nasi uzidi kutubariki

  • @mariabasily115
    @mariabasily115 2 роки тому +2

    Kuna nyimbo yake inaitwa nipe kukumbuk wema,naipend sanaaa🥰🙏

  • @nellyflo9736
    @nellyflo9736 2 роки тому +5

    I love this man called Gozbert,he's songs is really touched &Blessed Alot..❤God Bless him alot.🔥🇰🇪🙏🏻

  • @edithjackson9257
    @edithjackson9257 2 роки тому +28

    To God be the Glory!!!! Truly He's able to do abundantly beyond what we think or Imagine. I am now fully persuaded that He can change someone's life instantly! Enjoy the Benz Bro! You are an Apple of God's Eye and a Trophy of His Grace. Thank God for your Ministry. I listen to your songs quite a bit here in America and have been Richly blessed.